BOPAR AELEZEA SABABU YA KUTOA MISAADA ZANZIBAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    cc: Sadia Rashid
    cc: Masoud Maganga

КОМЕНТАРІ • 40

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 5 років тому

    Allah akuzidishie Barka na neema Duniani na kesho Akhera uwe mja mwema wa peponi kwa rehmma zake Allah

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 5 років тому

    Allah akulipe kheri Bopari kwa juhudi zako na uwezo wako alokujaalia Allah Uzidi kubarikiwa na uzidi kutowa kwa ajili ya Allah

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 5 років тому

    Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 5 років тому +1

    Maashaallah mkuu wa mkoa kwa imani yako na uaminifu wako tunategemea mda c mrefu nchi kufikia pale wananchi WANAPO taka Allah akuzidishie imani afya njema na nguvu uzidi kuendelea mbele aaammmmiiin Yaa Rabb-l-alamiin

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya48 5 років тому

    Allah akubark bopar na ulie mkabidh allah ampe nguvu

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 років тому +5

    umemkabize mkuu wa mkoa mweny uaminifu na mweny hekma.Allah swt awakulipeni

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 5 років тому +3

    Umekabidhi kwa mtu makini. Allah akutilie barka zaidi. Amin

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 5 років тому +1

    One freedom Zanzibar home people salam nduguzagu kumilamwisho.lamwezi.mtukufu.waramazani

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 років тому

    Allah akuzidishie Bopar zaidi yaunayotoa nashari zikuepuke. Hongere mkuu wa mkoa kwa juhudi na uaminifu Allah atakulipa kher maahaallah

  • @aishamohammed6991
    @aishamohammed6991 5 років тому +3

    Mash Allah tibaraq rahman! Bopar na mie naomba msaada wa kuezekewa bati banda langu! 🙈

    • @bindawood978
      @bindawood978 5 років тому

      Aisha Mohammed

    • @aishamohammed6991
      @aishamohammed6991 5 років тому

      Naam bin dawood!

    • @hasanalihasani3236
      @hasanalihasani3236 5 років тому

      Aisha Mohammed
      Sawa Aisha utapata inshaallah

    • @aishamohammed6991
      @aishamohammed6991 5 років тому

      @@hasanalihasani3236 nipo seriously ivo Jmn, musitie moyo. Km vp nipeni contact za bwana bopar aniwezeshe mie.

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 5 років тому +2

    Congratulations 🎊🎉🎈 bopar

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 років тому

    MashaAllah. Allah baarikk 🙌🏽👏🏼💐

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 років тому

    SHUKRAN KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 5 років тому

    Maasha Allah

  • @user-ik4xc5vh7b
    @user-ik4xc5vh7b 5 років тому

    ما شاء الله

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 5 років тому

    Mimi pia mara ya kwanza kumuona mzee wa maeelezo baada ya Habara

  • @smithjones4099
    @smithjones4099 5 років тому

    Misaada mpaka lini serekali hio kazi yenu acheni kuiba

  • @hassanbazi8790
    @hassanbazi8790 5 років тому

    Mashaallha mashaallha

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 5 років тому +1

    Huummmmmm

  • @fatmamohamed1099
    @fatmamohamed1099 5 років тому +1

    honger

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 5 років тому

      Iyo sio kujitangaza iyo innampa mtu mwengine mwenye uwezo ili na yeye aweze kua na ham ya kusaidia .

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 5 років тому

      Iyo sio kujitangaza inamtia moyo mwengine alie na uwezo akaweza kusaidia

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 5 років тому

      Ndugu bopar anasaidia sana tu lakini sisi binadamu sote hatupo sana wapo watakao kuponda na wapo watakao kufurahia

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 5 років тому

      Allah amjalie barka zaidi

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 5 років тому +1

    Mkuu wa mkuwa upo makini Sana

  • @mahmoudabdallah4533
    @mahmoudabdallah4533 5 років тому

    kila la kheri bopar

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 років тому

    Kila lakher bopar

  • @abdullasalim279
    @abdullasalim279 5 років тому

    Hio ndio misaada ya kutoa sbb utaanzisha ajira kwa wengine....

  • @alfarsiali2779
    @alfarsiali2779 5 років тому

    Yan kutoa misaada mpk mjitangaze c vzr ht kdg

    • @saidnassor6532
      @saidnassor6532 5 років тому

      Fanya wewe usitangaze

    • @alimzeeali2236
      @alimzeeali2236 5 років тому

      Nani amekufundisha hilo? ama unazungumza jambo usilo na elimu nalo? sadaka hutolewa kwa siri na dhahir yote ni sawa

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 років тому

    nd mara yng y kwnz kumuon huyu mtangazaji huy wa maelezi baada y habari

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde1275 5 років тому

    Wenzetu habari zao nikuboresha miundombinu, afya, elimu na na mazingira sisi kazi kudeals na maagizo na misaada ya Ramadhani tu ambayo ni mwezi mmoja kwa mwaka mzima au tuko vizuri kwenye mambo yote hayo?

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 років тому

    Masha Allah

    • @makameamour3591
      @makameamour3591 5 років тому

      Sheikh Mohd sleman ndio marayangu ya Kwanza kukuona maana nilikua nakuskiat kwenuy redio baada ya kumaliza taarifa ya habari kipindi tangu nasoma shule msingi saivi naitwa baba