UTAPENDA VAZI NA VIBE LA RAISI MAMA SAMIA KWENYE HII HARUSI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Subscribe/ Share/ Like & Comment:
    / @mcgarab
    For Booking:
    Call: +255 714 637 457
    Email: grugalabamu@gmail.com
    Join me for conversation!
    Instagram: / mcgarab
    Facebook: / garabkubwa
    Twitter: / mcgarab

КОМЕНТАРІ • 344

  • @tonniocharo1076
    @tonniocharo1076 4 місяці тому +4

    Nakupenda Mama. Allah akujaze mapenzi na busara zaidi

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t Рік тому +6

    Mashallah Masamia uko fit kabisa insh Allah kula la kheri love frm Kenya❤❤❤

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 Рік тому +17

    Kwa sbb anajuwa kuvaa na nimzuri nature! Lazima apendeze tu!

  • @ndennkya9554
    @ndennkya9554 Місяць тому +1

    Kutoka moyoni mwangu kusema kwelime nampendaga sana tena sana Mama Samia jamanii Mama Love uuuu❤mchapa kazi jembe letuu

  • @agneskapwani3484
    @agneskapwani3484 Рік тому +13

    Najuaga kukupenda tu rais wangu♥️♥️♥️ishi mama hakuna mkamilif unapambana👌

    • @jamilaadan6840
      @jamilaadan6840 4 місяці тому +1

      Kabisaaaa mkamilifu Allah ❤❤hakika anapambana!😊

    • @user-hn8co6sr7i
      @user-hn8co6sr7i 4 місяці тому

      Complete comment

  • @ashraff_tz
    @ashraff_tz Рік тому +15

    For really mi nampenda sana huyu mama Allah amjaze Afya. I never seen the president like this woman interms of relationship with people. All in all designer wake anajua

  • @abubakaryduma5374
    @abubakaryduma5374 Рік тому +24

    Mitano tena Kwa MAMA....

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Рік тому +17

    Mungu azidi kumlinda mama yetu, jamani kapendezaaa😍na uzuri unachangia🥰
    Kwa uzuri Mungu kamtunuku, na roho ya upendo kampatia..
    Tunajivunia wanawake wa Tanzania, tunawezaaaa❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому +10

    Rais wangu mbona umependeza sana.Safi sana ❤❤❤👍👍

  • @chikuliundi8908
    @chikuliundi8908 Рік тому +3

    Mama Yuko poa sana jamani Mashallah Allah ambarik😊😊❤❤

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg Рік тому +8

    Heko kwa kila mama .....Anaweza kweli kweli, Proud of her with much love from Kenya

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Місяць тому

    Nampa hongera mama samia unajuwa kuongoza nchi yako mama pongezi zngu kwako n hkuombea dua ucku n mchna❤❤natamani nngelizaliwa tanzania 😢

  • @sophiamasawe4309
    @sophiamasawe4309 Рік тому +7

    Mama amependeza sana wenye wivu wamuone hivihiv ❤

    • @DaimaNyakunga-jb6do
      @DaimaNyakunga-jb6do Рік тому

      Pesa ya bandari hiyo mtaitapika

    • @benjaminmtebe5009
      @benjaminmtebe5009 Рік тому

      Nimelipenda Sana vazi la Rais wetu leo Umependekeza Sana aliyekushonia abalikiwe Sana

  • @simonlyimo4360
    @simonlyimo4360 11 місяців тому +4

    May God bless our Tanzanian Madam President Samia🙏. One of the best not only a leader but also a patriotic Queen us Tanzanians could ever witness.

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 Рік тому +3

    Jamani wapambe wake mbona mama kaulambia vizuri sana yaani natamani kichwani awe hivi hata ofisini kafunga lemba lake yaani ni 🔥nimeipenda hiyo safi Rais wetu umepemdeza mnoooo.

  • @stonetown578
    @stonetown578 Рік тому +5

    Masha'Allah TabarakaAllah pendeza madame President

  • @aboubakaryjuma8349
    @aboubakaryjuma8349 Рік тому +5

    Tuna Rais Chuma Wallah,MashaaAllah

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 Рік тому +27

    Mash Allah mama yetu huyo❤Allah akulinde na jicho la hasad Ameen

  • @Grattitude85
    @Grattitude85 Рік тому +10

    Am proud of you mama, apart from kupendeza sana. Lov u

  • @ziadaissa9607
    @ziadaissa9607 Рік тому +4

    Jamani nàmpenda Mimi mama samiah mungu ampe maisha marefu

  • @thebodyguard8164
    @thebodyguard8164 Рік тому +20

    I love tanzania, love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 4 місяці тому +2

    Mama wa Watyu Wengi Mwenye Kuleta Amani Wapotezaji Wamepotea Kwa Ushupavu Wake

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Рік тому +9

    Mashallah mama samiha nakupenda raisi mpole na hikma Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwanawamtemiHawa
    @MwanawamtemiHawa Рік тому +4

    Mashallah mashallah mama tunakupenda saana kipenzi chetu mama samia wetu mtetezi wetu

  • @user-ts3gz3qh4x
    @user-ts3gz3qh4x 4 місяці тому

    Yaani uko vizuri sana Mama Samia Mungu akupe maisha marefu huna baya na mtu adui zako Mungu awapige Ameeen

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Рік тому +13

    ManshaAllah Mpendwa wawatu Rais Samiya umependeza sana tunakupenda sana Allah akuhifadh na kila hasad

  • @NeemaVuai-pm7pt
    @NeemaVuai-pm7pt Рік тому +3

    Mashaallah Ilove Tanzania Ilove Zanzibar

  • @user-me6gv6tm8h
    @user-me6gv6tm8h 4 місяці тому

    Mashaallah mashaallah tabarakallahu may bless Allah our president protect you shari yote 🙏🏽🙏🏽Allahu ma thuma amini 🙏🏽🙏🏽

  • @sitazonou5296
    @sitazonou5296 6 місяців тому +1

    My sister president ❣️Samia❣️ I love you ❣️ in i love Tanzania too
    Ramadan 💚Mubarak💚 inshallah

  • @HawaAhmed-by6ox
    @HawaAhmed-by6ox Рік тому +5

    Proud of you mama
    Looking very pretty

  • @zainabantony
    @zainabantony Рік тому +3

    Perfect mama mitano tena %%

  • @mohamedabad7179
    @mohamedabad7179 Рік тому +6

    Binafs mama nimemridhia fi duniya wal akher🥰🥰

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 Рік тому +14

    Umependeza sana mama , nakupenda sana

  • @MaaneML
    @MaaneML Рік тому +7

    I am proud of my president. Have my love and hugs ❤❤❤❤❤

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 Рік тому +5

    She is ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 a legend ❤❤❤❤❤

  • @user-oc8rh9br4k
    @user-oc8rh9br4k Рік тому +4

    Risi wetu anamashauz hatair 😂 ❤tnzn amani itawale

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 7 місяців тому

      Chezea mzanzibari ataacha wapi masahuzi 😂😂😂

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Рік тому +6

    na mimi sijuhi nimuite rahisi ktk harusi yangu.

  • @Fatma-it2ue
    @Fatma-it2ue 14 днів тому

    Pole sana hiyo ndiyo nzia

  • @DicksonElisha-ic1lv
    @DicksonElisha-ic1lv Рік тому +3

    Mama anapenda bata

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 5 місяців тому

    Mashallwah mungu akupe daraja hadi peponi umependeza mama

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Рік тому +5

    Mama Kanoga 🤩😘🇹🇿

  • @ziadaissa9607
    @ziadaissa9607 8 місяців тому

    Jaman Rais wetu mzur Sana nampenda mno mola amzidishie

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Рік тому +21

    The only president in africa who 90% of her citizens love's her for free even even opposition followers it has been camping too difficult for opposition leaders fainting to her political,
    Congratulations mama samia.

    • @ngamanyajoshua839
      @ngamanyajoshua839 Рік тому +3

      Excuse me..Go Back and do it research properly

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Рік тому +4

      Una uhakika na unachokiongea umefanya utafiti au umekurupuka tu

    • @husnamusa3178
      @husnamusa3178 Рік тому +2

      @@ngamanyajoshua839 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @fatinaselemani7243
      @fatinaselemani7243 Рік тому +3

      Huo ni uwongo na upotoshaji mkubwa mno

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Рік тому +1

      @@emanuelleopod3949 wewe uliyefanya reseach za kisukuma unasemaje? Unapinga kwa hilo?

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 4 місяці тому

    Huna baya mama yetu mwenyezi mungu akupe umri mlefu nakupenda mama yangu kwajili ya Allah

  • @user-zc3oz6uk5z
    @user-zc3oz6uk5z 9 місяців тому +1

    Hongera sana umependeza mama Samia

  • @ethelgivamakota7143
    @ethelgivamakota7143 Рік тому +7

    Mama amependeza sanaaaaaa

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u 7 місяців тому +1

    Yeye anafulai wegine wanalia,wabongo wanafki kweli niy si ndo mnatukana kila cku leo eti nampenda mama mungu akulinde eeeeh tz yangu allo,unafki kweli

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 9 місяців тому +1

    Masomaso maadui waskuone mama yetu ❤❤❤

  • @wilonderby
    @wilonderby Рік тому +1

    Ko harusi nzima Amna aliyeshika simu dadekiii 🙌🏾🔥

  • @user-eh8lk9lk8z
    @user-eh8lk9lk8z 6 місяців тому

    Mungu akujalie kila la kheri dunia na akhera nakupenda raisi wetu

  • @user-pj1lj5hw8p
    @user-pj1lj5hw8p 7 місяців тому

    Mama ubarikiwe sana na mungu awe pamoja nawe siku zote za maishi yako

  • @Irene-sk4ig
    @Irene-sk4ig Рік тому +18

    Mashallah amependeza sana mama yetu,

    • @capteniziro9843
      @capteniziro9843 Рік тому

      Mama ako wewe

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Рік тому

      ​@@capteniziro9843 Alokuwa anampenda ni Mama yake na Rais wake....alochukiwa ende akanywe maji ya bahari...😅😅😅

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому +1

    Hongera Mama Mungu akulinde akupe UMRI ❤

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Рік тому +4

    Mashaallah jazakumllah kheir mama amiin

  • @JoharJoha-ww7tg
    @JoharJoha-ww7tg 4 місяці тому +1

    Mashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joeae6297
    @joeae6297 8 місяців тому

    Haya sisi WaCongomani tunampenda sana Mama waAfrica mama Samia Suluhu

  • @faridashabani5940
    @faridashabani5940 9 місяців тому +2

    Mama la mama❤️❤️❤️

  • @djamilalinigerstrauss5501
    @djamilalinigerstrauss5501 Рік тому +1

    Harussi people was Allways loving to me !!thank You !!!( around Soderee )

  • @halimangache4657
    @halimangache4657 4 місяці тому

    Mama Samia hoyeeee....much love from the 254...Allah bless you mama...❤❤❤❤❤❤

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi9678 Рік тому +4

    Aisee mama kapendeza Sana.

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k 4 місяці тому

    Mama..Allah akupe umri mrefu ishaallah.

  • @user-cd5ch7mi1e
    @user-cd5ch7mi1e 6 місяців тому +1

    Mh... kweli Zanzibar ni raha tupu pwani hiyo

  • @askofuisayagerald
    @askofuisayagerald 2 місяці тому

    ri bibi angu Samia mama nakupenda mama angu jamani mama angu

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 8 місяців тому +1

    Kweli

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 Рік тому +4

    Mama yetu ni mzuri Maa shaa Allaah

    • @fatumaahmed4718
      @fatumaahmed4718 9 місяців тому

      Kujisitiri kwa watu wa kike ni mararidadi wakati wate

  • @davidtemba9641
    @davidtemba9641 Місяць тому

    Naipenda Tanzania kwa amani yetu.🙏🙏

  • @ashaali7506
    @ashaali7506 Рік тому

    Alhamdulillah mama samia mimi mwanao zahir simu yangu imeibiwa haha😅 i love you our queen ccm oyee!

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f 4 місяці тому

    Mashaallah

  • @bibielroybibielroy8710
    @bibielroybibielroy8710 Рік тому +2

    Maashallah uko vizuri mama

  • @mammym4185
    @mammym4185 Рік тому

    MashaAllah MashaAllah lovely

  • @yusufujaluo979
    @yusufujaluo979 Рік тому +1

    Mashaallahu Allah akuhifadhi

  • @mpelajohn2681
    @mpelajohn2681 Рік тому +1

    Huyu Rais nampenda sana anayembeza nitakufa naye sitajali jela.

  • @janeushaky7043
    @janeushaky7043 Рік тому +2

    Mitano tena kwa mama

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Рік тому +1

    Asante Kwa madaraja mama

  • @evarosdiana6454
    @evarosdiana6454 Рік тому +1

    kenya wanaona hii maneno, mama poa, c kama hapa 🇰🇪 wa2 wakor

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Рік тому +1

    mama yetu tuna kupenda sana

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 6 місяців тому

    Mashallaaah nimependa

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 Рік тому +7

    Gara b umekula bingo jiandae kuwa mkuu wa mkoa

  • @HamisMberwa
    @HamisMberwa Рік тому +1

    Mama yetu mama samia

  • @SingidaRPLC-pv4um
    @SingidaRPLC-pv4um 12 днів тому

    Wanawake ni jeshi kubwa

  • @user-qx4dz5kx3g
    @user-qx4dz5kx3g Рік тому

    Mama kama mama.nakubali umependeza.

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Рік тому +2

    Asante mama

  • @user-xw9no5ct1k
    @user-xw9no5ct1k 5 місяців тому

    Gara B ww ndio mc wa kitaifa 💕

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому

    Nchi inaenda na imepoa, Mungu azid kumbarik na ampe afya njema na umri mrefu, ila wakina mama wana mavazi ya kila aina sasa sijui ndio dera au kijora ila Kimemtoa hatari

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 3 місяці тому

    Mama nakukubali sana

  • @samshabaan686
    @samshabaan686 Рік тому

    Umetokeza,vema,mam,nakupenda pia.

  • @mwajabuabdallah3544
    @mwajabuabdallah3544 Рік тому +1

    Maashallah

  • @halimatmohd3673
    @halimatmohd3673 Рік тому +1

    MASHAAALLAH❤❤❤❤

  • @hekimaluvanda5337
    @hekimaluvanda5337 Рік тому +8

    Mitano Tena kwa mama .

    • @romanilyimo
      @romanilyimo Рік тому

      Ss mitano inatoka wap hapo ss chawa uko vzr ase 🤣🤣🤣🤣

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Рік тому

      @@romanilyimo kwani huioni ipo mbele hapo?

  • @Hawa-rt3jl
    @Hawa-rt3jl 3 місяці тому

    Machozi yamenitoka huyu mama binafsi nampenda❤

  • @FATEHEWASAPA
    @FATEHEWASAPA Рік тому +1

    Yukopoa sana

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Рік тому

    Rahaa za Muungano!!! Bariki Tz!!!!

  • @asteriamahatane6987
    @asteriamahatane6987 Рік тому +1

    Hakuna Kama mama...

  • @alphonsinammasy4809
    @alphonsinammasy4809 Рік тому +9

    We appreciate you are wonderful work❤❤❤

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 8 місяців тому

    Hafdhullah..!

  • @aishamaulid2864
    @aishamaulid2864 Рік тому

    Maashaallah. Umependeza

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Рік тому

    Mashaa Allh ❤

  • @HusseinMohamed-jq7hu
    @HusseinMohamed-jq7hu 9 місяців тому

    Jihifadhi sana mama dunia tunapita kuna kaburi mbele yetu

    • @user-ox1ce7iu8i
      @user-ox1ce7iu8i 8 місяців тому

      Acha ujunga wee harus kwen hua hapmpigiw nyimbo ama unahc rais ni malaika anaishi mbingun

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Рік тому

    Waooo mama kapendeza mwenyewe

  • @SmilingGoshawk-mz2gp
    @SmilingGoshawk-mz2gp 6 місяців тому

    Penda sana mama akeee❤❤