"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 238

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 11 днів тому +16

    Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 11 днів тому +23

    Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 10 днів тому

      hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 10 днів тому

      Alikua zaman Amna kitu hapo

  • @allanuslwena8585
    @allanuslwena8585 11 днів тому +18

    Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 11 днів тому +15

    Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 11 днів тому

      Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 11 днів тому

      Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 10 днів тому

      Ukileta kiboko yao wanamuua

  • @costandunguru7603
    @costandunguru7603 11 днів тому +14

    Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 11 днів тому

      Wote ulipwataja wspigaji

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 11 днів тому +1

      changamoto sana

    • @ramadhanishamtandulo1510
      @ramadhanishamtandulo1510 11 днів тому

      Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional

    • @benshark3212
      @benshark3212 11 днів тому

      MP au PM?

    • @mochemba
      @mochemba 10 днів тому

      Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 11 днів тому +12

    MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA

  • @MbasaSanga
    @MbasaSanga 11 днів тому +6

    Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu

  • @JosseJone
    @JosseJone 11 днів тому +9

    Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂

  • @user-yt4si2th5k
    @user-yt4si2th5k 11 днів тому +16

    Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o 11 днів тому +5

    Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 11 днів тому +7

    Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 11 днів тому

      Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 11 днів тому +18

    Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.

    • @mupinimulila1762
      @mupinimulila1762 11 днів тому

      Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.

    • @itiamekimbui722
      @itiamekimbui722 11 днів тому

      this is the problem we have in Africa

    • @IsayaFidelys
      @IsayaFidelys 11 днів тому

      Hapo ndo swali.lilipo.??

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 11 днів тому

      Watanzania wenyewe mna safari ndefu

    • @stevenmabungi3245
      @stevenmabungi3245 11 днів тому

      Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali

  • @CyprianKasilo-d8h
    @CyprianKasilo-d8h 11 днів тому +3

    Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669 8 днів тому

    Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 11 днів тому +7

    Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 11 днів тому +1

      WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 11 днів тому

      ​@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo

  • @CalvinShuma
    @CalvinShuma 11 днів тому +2

    Asante sana mweshimiwa waziri mkuu

  • @KasianiTitus-un5rk
    @KasianiTitus-un5rk 10 днів тому +1

    Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi

  • @daudimashimbi8530
    @daudimashimbi8530 11 днів тому +2

    Hongera sana mheshimiwa majaaliwa

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 11 днів тому +1

    Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 11 днів тому

    Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe

  • @RojamilaSamson
    @RojamilaSamson 11 днів тому +3

    Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 11 днів тому +2

    Safi Sana PM

  • @KilingohJuma
    @KilingohJuma 11 днів тому +1

    Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman,
    Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.

  • @carlosditram2069
    @carlosditram2069 День тому

    Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 11 днів тому +7

    Engineer wa ovyooo sanaa

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 11 днів тому

      KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

    • @mamodelmam
      @mamodelmam 11 днів тому +2

      Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno

  • @FrancisMtema-s9t
    @FrancisMtema-s9t 11 днів тому

    Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.

  • @AmiriAmiri-x2z
    @AmiriAmiri-x2z 11 днів тому

    jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.

  • @KwayayaUinjilistiHimo
    @KwayayaUinjilistiHimo 7 днів тому

    Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu

  • @YakoboChambo
    @YakoboChambo 7 днів тому

    Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata

  • @mgoboibrahim
    @mgoboibrahim 11 днів тому

    Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 8 днів тому

    WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri20 10 днів тому

    Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 9 днів тому

    aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 днів тому +2

    Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake

    • @lukasmgaya652
      @lukasmgaya652 11 днів тому

      ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 днів тому

      Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,

  • @RAJABWADIGOGO
    @RAJABWADIGOGO 11 днів тому

    hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin

  • @Kinyerezi1
    @Kinyerezi1 5 днів тому

    Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..

  • @danieljoseph6702
    @danieljoseph6702 11 днів тому

    Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 11 днів тому +3

    Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 11 днів тому

      😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani

  • @chui99
    @chui99 11 днів тому +6

    Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu

  • @leobalige7069
    @leobalige7069 11 днів тому

    Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n 11 днів тому +1

    Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)

  • @volcaremigius6881
    @volcaremigius6881 10 днів тому

    Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 11 днів тому +1

    Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 10 днів тому

    Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 11 днів тому

    Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 11 днів тому

    Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 11 днів тому +3

    Mtakoma mmezoea kuiba

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 11 днів тому

    Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 11 днів тому

    Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 4 дні тому

    Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 10 днів тому

    Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 11 днів тому

    Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko
    Tembea na kiboko sasaivi mkuu

  • @salamaalladini
    @salamaalladini 10 днів тому

    Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii

  • @stevemsola437
    @stevemsola437 10 днів тому

    Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn

  • @stn4873
    @stn4873 11 днів тому

    Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂

  • @mwanaafrika_tz
    @mwanaafrika_tz 11 днів тому

    Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 11 днів тому

    Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!

  • @johnkalibonamchungaji3082
    @johnkalibonamchungaji3082 10 днів тому

    Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 днів тому

    Daah viti vipya vimesha pasuka😂

  • @user-og9jt3mg4c
    @user-og9jt3mg4c 10 днів тому

    Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 11 днів тому

    Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 11 днів тому

    Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 10 днів тому

    Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.

  • @YohanaKamota-vl2ir
    @YohanaKamota-vl2ir 6 днів тому

    Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao

  • @janethferous
    @janethferous 11 днів тому

    Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 11 днів тому +1

    NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 11 днів тому

    Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 11 днів тому

      Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 11 днів тому

    Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 11 днів тому

      Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 11 днів тому +3

    Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 11 днів тому

      MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 10 днів тому

      Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 10 днів тому

    YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻

  • @webrand2305
    @webrand2305 11 днів тому

    Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???

  • @user-pl6cl6um4l
    @user-pl6cl6um4l 8 днів тому

    Watanzania mnaiba Hadi aibu!

  • @bir4450
    @bir4450 10 днів тому

    Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo

  • @andrewjohn9308
    @andrewjohn9308 10 днів тому

    Bongo bwana hii nchi Kazi ipo

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx 11 днів тому

    Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 11 днів тому

    Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb 11 днів тому

    Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana

  • @mcback4384
    @mcback4384 6 днів тому

    Hivi kwani kwenye hii miradi ya serikali si huwa na BOQ kwamba constructor anatakiwa kufata aligned specifications and qualifications? Kwanini ya natokea haya yote na kuna consultant wa serikali anaecontrol yote hayo?

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 10 днів тому

    Waongo hao wameshapiga hela zao

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 11 днів тому

    ❤❤❤❤ waziri

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 11 днів тому

    Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 11 днів тому

    Watanzani wenye vyeo ujauja tu kila Kona utapeli bira kuwafatilia niwizi tu

  • @AthumaniSeleman-od4hu
    @AthumaniSeleman-od4hu 11 днів тому

    Weka ndan wote wezi hao

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 7 днів тому

    Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 11 днів тому

    Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 11 днів тому

    Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 днів тому

    Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 8 днів тому

    Ni Aibu sana

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 11 днів тому

    Wamefanya kazi mzuri

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 11 днів тому

    Wayagozi Ndio nini mliojenga

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 днів тому

    Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢

  • @japhetygodfrey921
    @japhetygodfrey921 10 днів тому

    Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 10 днів тому

    Desk hilo sh 65000? Ni wizi halifiki sh 25000 kama mbao mzuri

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 11 днів тому

    Woooooote wizi tu dawa ni kufuza kazi ili iwe fundisho kwa wizi wengine

  • @bakarikasimu-gn8xj
    @bakarikasimu-gn8xj 11 днів тому

    Viongozi wa wilaya walijua Waziri hatayaona hayo madudu

  • @JuliusKiria-j7i
    @JuliusKiria-j7i 10 днів тому

    Sasa hamuwapi adhabu inamanagan kutuonesha kasoro yani viongozi mlalamikaji na mwananchi mlalamikaji mtawala nan sas

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 10 днів тому

    Duuu hao waongo Dirisha lipi la Aluminium litawekwa bila Wavu haalfu useme utaweka tena???

  • @Mckiatu
    @Mckiatu 11 днів тому

    Mheshimiwa naomba hii tenda ya furnitures pleas

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 11 днів тому

    Hii ndo Tanzania ya ccm Kama viongoz wakubwa ni waiz,Hawa wachin nao ni walewale tu mtoto wa nyoka ni nyoka tu ndo maana ni Tanzania tu dunian kote barabara znavirakavraka Kama chatu,na kiraka kimoja nasikia kinawekwa kwa milion mia tatu

  • @godsonrwegasira4414
    @godsonrwegasira4414 11 днів тому

    Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4