WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- WAZIRI MKUU MAJALIWA AKASIRIKA - AMTUMBUA INJINIA PAPOHAPO - AAGIZA MKURUGENZI ALIYESTAAFU AITWE...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo
Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.
Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.
Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.
Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Safi sana baba majaliwa kwa kazi nzuri wakileta mchezo nikutumbua tuu hao ndio wanaotuharibia ladha ya taifa letu la Tanzania naipenda nchi yangu....tumbua haooooooooooo
One❤ mkuu nakuombea uchukue nchi❤❤❤❤❤❤
Majariwa waziri wetu mkuu nakukubari Sana Mimi tuombe uzima iko siku utakuwa laisi wetu
Majaliwa hakuna kitu ubabaishqji mtupu sio kazi ya waziri mkuu kukagua viti!! atakagua viti vingapi nchi nzima!! serikali nzima imejaa wazembe
Wawajibishwe na wakuu wa hiyo mikoa, kwa sababu hayo yanapotokea wao wanabweteka tu.
Wajifunze kwa mwenzao Makonda Arusha.
Asante.
Mungu akupe nguvu w mkuu
HAO NDOWANAO KWAMISHA NA KUCHAFUA MFUMO MZIMA WA RAIS WETU 🙏,,NAOMBA WAZIR MKUU HAO WACHUKULIWE HATUA KALI SANA 🙏
Mh. Waziri mkuu hawa watendaji ndio wanapopiga sana fedha za serikali .pesa nyingi zinatumwa miradi inakwamishwa na hawa waliopewa dhamana. Endelea kuwa mkali mh...vingine hawa mchwa watu wataifirisi inchi
"Bati hakuna stoo usidanganye "😊😊
Safi mheshimiwa
Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili mkuuu bomba ongela sana mueshimiwa wazili
Samahai wakuu naomba kujua wanafukuzwa waondoka kabisa shamba au mnawatafutia kazi nyingine mie naona bora muwafirisi kabisa kasimu unaakili sanaa ndo maana magufuri alikuamini sanaa
Namuona JPM, na Raisi ajaye. Sijui mnanielewa?
Kwahiyo mnasubiriaga mpaka wakishakula ndio nnajitokeza
Hapo serikali yatu inapokesea wekeni sheria kila mtu ajue kwamba nikiwa ktk nafasi flani nikikosea tu au pesa imeibuwa wale wauska wote wafilisiwe mali zao lakini hapo kila siku tutaishia kusema ili watu watuone kwenye mitandao ukiondoka tu moto uleule
Acheni kuingiza habari tofauti na kichwa Cha habari husika.😊
😂😂😂
asante sana kasim majaliwa kwa kutembelea ujenzi jengo lakini tutaona wakati huu mnatudanyanya wezi awapelekwi mahakamani inaishia apo apo kujifanya wakali kutufunga macho ninyi amtutetei atakidogo wewe Samia unataka ETI kuongoza Tanganyika tutafanya utafiti kubaini ata mmoja wenu ata baki mamlakani tunasema tutawatoa mamlakani tunataka katiba mpya nilazima watanganyika waishi kwa kuheshimana kikabila mbona wamasai wa ngorongoro ngombe zao kuuzwa na mahakama ubaguzi mkubwa sana wakidini na viongozi walioko mamlalakani wanatutisha na wasio julikana wako ndani ya nchi yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu
Wasomi wetu mnakwama wapi mkiaminiwa na serikali kusimamia miradi???????? Wakipewa wachina wazawa kelele nyingiiiiiiiii
viongozi wote wa serikali waki-chukua hii staili ya Magufuli wananchi tutakua na imani sana na ninyi viongozi wetu, lakini mkikaa tu ofisini bila ya ufuatiliaji mtawapa akina Mbowe na Lissu nafasi ya kuwachafueni jambo ambalo sio zuri kiviiile
Wahujumu uchumi ndo ao Tia ndani wote miaka kumikumi
Hao wazee wenye vitambi wawe wanakaa mbali na matukio😢
😂😂😂
😂😂😂 maisha bna wakibanwa wanakuwa wapoleeee kama wali,...ila ukiwakuta kweny 18 zao za upigaji wanajifany wababe atariiii maisha hy nimecheka.
Mnamuonea Injinia
❤❤❤❤❤
Bilioni 3 majengo 44%
Amelipwa pesa zote wamegawana😢
Waziri mkuu nyie ndio mnaongoza hii nchi miaka yote toka uhuru na watendaji wanaiba hela za Umma miaka yote naona ni wakati wa kuweka serikali nyingine ya Chama kingine
Wapambe watakunyoosha
Inasikitisha sana. Wataalamu tuliowaamini wanatuangusha. Watu hawana uzalendo kabisa. Wao hawajali kwani watoto wao wanasoma shule za kulipia.
Wewe umeona hao nawalio iba pesa zetu c a g
MAJAALI NAKUOMBEA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SIKU ZI JAZO UJE UWE RAIS MAKAMU WAKO AWE MAKONDA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWE CHALAMILA ILI MAFISADI WAJE WAJUTE KUZALIWA😂
Hilo ni tatizo la makandarasi wa ndani wezi tu.
Hao wa kuvaa kijani na matumbo makubwa wamekaa kimya tu na hao hao ndio wako kwenye mfumo wa kuzichana pesa za maendeleo. Hawa si wazalendo.
CCM kwa hali hii mmeshindwa maana siye hatujui kinachoendelea tunapiga makofi tu kwa CCM. Leo mnatutoa imani nanyie kitakachoendelea msitulaumu, msitilaumu.
Hawa ndo wanatumia fedha zetu kuharibu mabinti wa vyuo
Waziri kasim majaliwa ikipendeza ugombee urais
Wangekuwa wananyonga mbwa hawa piga risasi tu wezi hawa sio wa kuwachekea wanaitia Tanzania umasikini sana
Wamekula na fundi
Viongozi wa serekali hususan kwemye miradi hawana mzalendo wezi alafu wanaenda kanisani na msikitini aibu sana
Jembe la magufuri
Hizi ndizo degree za TZ
Ubaya wanaapa kwakutumia bibilia na Quran. Wazee wetu walikua wanaapa kwakutumia damu, udongo,... Ukiiba unakufa. Wazungu na warabu wametudanganya baada ya kutukanya. Rudi kwenye mifumo muone kama mtakua mnakimbizana na hao
Tunaomba mama ukiisha muda wake, huyu waziri mkuu Majaliwa awe raisi wa Tanzania, maana anastahili kabisa!!
Piga iboko hao ujinga tu tuna pembelezana sana
HAYA MAJIZI IKIWAPENDEZA YANYONGWE SISI WANYONGE TUNAKAMULIWA KODI HALAFU NYINYI HAMNA HURUMA NAPESA ZA WAVUJA JASHO WANCHI HII KWANZA KABLA HAWAJANYONGWA WATOBOLEWE MACHO😂
Na wewe unayechukua wake za watu,tukutoe nini