KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- KIMEUMANA KIGOMA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"
Waziri Mkuu amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy
bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali
Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda
Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi
Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN
Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr
Asante baba
Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida
Mungu atusaidie jaman
Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.
Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.
Yes yes
My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen
Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤
This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana
kazi ngumu si wamejipa wenyewe.
mfumo wa CCM ni mbovu .
Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo
Pole Mheshimiwa Waziri Mkuu.Kwani mkuu wa mkoa yuko wapi ???
Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani
Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone
Mh ,hata bukoba mjini
Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi
Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha
Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana
Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.
Sio ukweli ni kneels tu
Hongera wew ndio raisi wa ichi hii
Hamna kitu ccm wameshafeli
Kwel
Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa
Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.
Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena
Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣
Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry
Mungu azidi kukulinda baba...
Mhshmw Majaliwa na Makonda majembe ya mama yetu Samia
Wallah wanatia
hasira
Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli
Ipo haja ya kuongeza uwezo wa kiutendaji katika Tasisi ya TAKUKURU ili kurahisisha kasi ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma zinazokasimiwa kwa ajili ya miradi mbalimbali nchini.
Imeshaliwa hyo
Hela zinaliwa Tu Ila sisi wanannch tukiiba kwenye Mirad huku tunafungwa jela mbona nyinyi munaleana Tu jamani
Fanya kazi mh waziri mkuu,tunakupenda sana ,juhudi zako tunaziona
Msingi tofali mnasimamisha badala ya kukaza ? Hospitali ya serikali ?
Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani
Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe
Kiongoz wng uliobak wa muda wte love dady
Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila
Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo
Kasimu anafanya kazi sana tatizo wakurugenz njaa nyingi
Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!
Kongole,Tua Mama Ndoo Kichwani.
Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti
Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu
Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu
waziri mkuu oyeeeeeee
KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!
Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu
Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu
Majaliwa Khasim...
Kiongozi .
Waziri mkuu njoo na huku nkasi ututembelee baba
Endelea na kazi
Mheshima tunakuomba uchukue formu 2024 tunakuomba wewe ni Raisi wa wanyonge
Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,
Nataman mwaka mmoja uwe Rais wa nchi hii
Majariwa oyoooooooooooooooo lete chomboooo ayo ndo maamuzi ya kiume hapa kwa hapa
Mhe waziri mkuu futa kazi hao hata Mungu alimfukuza adamu baada ya kushindwa kutii maagizo ya Mungu wafuteni kazi hawajui wajibu wao
Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu
Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa
Huyu Mkurugenzi mmemtoa wapi ? Uzoefu wake ? Daaaaah!
Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.
Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua
Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂
Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!
WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI
Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.
Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana
Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa
Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu
Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine
Fukuza wote hao unasubili nini pm
Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮
Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.
Hivi angela kairuki alikuwa anafanya nini hapo Tamisemi haya mama kampeleka utalii kwaniblazima awe waziri? Ndo mana wanaboronga wanahamishwa
Shida hiyo ndio inayofanya nchi hii haiwezekani kupiga hatua kuna Mawaziri mizigo ila wanabebana sijui kunasiri gani humo?.Watanzania wengi wamehitimu hawana kazi ila hichi chama kina Recycling hao hao mtu hafanyi kazi haoneshi maendeleo mazuri lakini atatolewa pale aletwe hapo sijui maana yake ni nini.Ndio maana hali ya nchi mbaya mbaya mno
Inchi imeliwa Sana watupishe tuu
😅
My president 🙏🙏🙏💕
Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Waziri mkuu hapopanashidaaaaa
MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA
Daaaah
Maigizo tuuu😢
Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz
Tatizo hakuna hatua inayochukuliwa,fanyeni Kama China,kipindi cha Magu wanatumbuliwa hadharani haki za binadamu walikuja juu,lakini hela zinavyoibiwa wako kimya Kama vile hawapo
Haki za BINADAMU ni Magenge yenye ufadhili wa wazungu kutuvuruga tu
Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu
Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅
Wizi wowote unaofanyika kwenye harlimashauri zetu ni zao la wizi unaoyokana na serikali kuu.Kama mawaziri wanaiba mabilioni na hakuna aliyesjtakiwa na kirudisha hizo pesa unadhani huku chini hawapendi hizo pesa?
SERIKALI KUU MJICHUNGUZE HELA INAPIGWA JUU KWA JUU
Exactly migao haianzii chini
Waziri mkuu wajichosha tu babaaa
Mzee ongera sana ila mtwara madudu mawilayani hususani masasi Mzee plz
Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida
Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji
Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu
Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.
Hii Nchii ngumu sana
Nyie wachambuzi si kweli ule mpira haujaguswa na mchezaji wa singida saido alipiga ukatoka na hata mwenyekiti wa kamati ya waamuzi amekubali ilikuwa goli kiki ila Bado anamulinda refali aliyeongeza dakika 2 wakati dakika za nyongeza zilikuwa 6 na ndani ya dakika za nyongeza hakukuwa na tukio lililopoteza dakika Tena kama Kuna tukio likitokea ndani ya dk 6 za nyongeza la kuchukua dk 2 nilipo litajeni.
Huuuyuuu mzeee🙏🙏🤦🙏🙏
Katiba mpya ni sasa
Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮
Usimamizi huu ndioulitakiwa uwendelezwe tokakipindi chamagufuli watuwalishazoeakuchapakazi ila milijisahau watumishi wakarudia haliyazamani ubadhilifu.kuwarudishatena wazoekuchapakazi inaitajijuuditena komaa baba kama upivyokaza kipindi kilichopita watu wafanyekazi pongezi kwako waziri.
Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase
Daaah jamani jamani hawa washenzi watoe hao wanarudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu wananchi wataseka kupata huduma za zahanati pamoja na shule maji ndo usisime umeme ndo mamaaaa yangu hata wananchi wamechoka sasa mkowapo viongozi
Natamani mama Samia 2025 angeacha huyu mwamba agombee, sio Sheria lakini huu ni mtazamo wangu tuu.