WAZIRI MKUU AKASIRISHWA AMWASHIA MOTO MTUMISHI, "MMEJENGAJE MILIONI 11 HII NYUMBA, SITOWAVUMILIA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 321

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 2 роки тому +33

    ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA

    • @athanacnicholauc3555
      @athanacnicholauc3555 2 роки тому +2

      Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 2 роки тому +1

      huyu alitakiwa kuwa rais

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 роки тому

      Alitakiwa na nani?
      KATIBA?
      Yaani mazezeta mna shida😅
      Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!!
      Pumbavu zenu..

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 11 місяців тому

      Endeleeni kumchoresha

  • @JumaRashidi-qu6nv
    @JumaRashidi-qu6nv 2 роки тому +20

    Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa

  • @azizahharoun1236
    @azizahharoun1236 2 роки тому +56

    That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺

  • @sophiaalexandersophia8610
    @sophiaalexandersophia8610 2 роки тому +30

    Kwa Mara yakwanza tangu afe magu
    Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 2 роки тому +1

      Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana,
      Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 2 роки тому +2

    Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍

  • @evarimdecoration4256
    @evarimdecoration4256 2 роки тому +7

    Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 2 роки тому +39

    RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako

    • @stefanomwanzarubi6216
      @stefanomwanzarubi6216 2 роки тому +2

      Hadinimemkumbuka magufuli

    • @bubelesatanzanialogistics3948
      @bubelesatanzanialogistics3948 2 роки тому +4

      Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu

    • @fadhilimanjeka3729
      @fadhilimanjeka3729 2 роки тому +2

      Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.

    • @mahmoudabdallah4533
      @mahmoudabdallah4533 2 роки тому

      Duh

    • @antonychristian1369
      @antonychristian1369 2 роки тому

      Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea
      Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 2 роки тому +1

    Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 роки тому +12

    Mungu Akulinde Baba🙏.

  • @ramadhanhemedi1554
    @ramadhanhemedi1554 2 роки тому +9

    Uko sahihi muheshimiwa hongera

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 2 роки тому +7

    Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 2 роки тому +7

    Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata 11 місяців тому +1

    Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 роки тому +10

    Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha

  • @jamesjeremiah9416
    @jamesjeremiah9416 2 роки тому +1

    Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto ..
    Mungu Akulinde.
    na Charamila Kagera..Moto unaonekana

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 роки тому +4

    Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 2 роки тому +2

    Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932 2 роки тому +11

    Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 2 роки тому

      Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 роки тому

      CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 роки тому +10

    Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 роки тому +1

      elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome

    • @mudihb1820
      @mudihb1820 2 роки тому

      Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 роки тому

      acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 роки тому

      @@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 роки тому +18

    😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 роки тому +1

      ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 роки тому

      Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 роки тому +1

      @@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Рік тому

    MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu

  • @Really-football
    @Really-football 2 роки тому +16

    mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 роки тому +1

    Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 2 роки тому

    Kazi ienderee

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 2 роки тому +23

    Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.

    • @sk-wj9or
      @sk-wj9or 2 роки тому

      Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali.
      Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be.
      Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu.
      Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei.
      Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu

    • @ruthsawida8507
      @ruthsawida8507 2 роки тому +1

      Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli

  • @queenlizzyplatnumz4942
    @queenlizzyplatnumz4942 2 роки тому +2

    The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 2 роки тому

    Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 2 роки тому +4

    Engineer anaharisha apoo....

  • @ummyjoel4308
    @ummyjoel4308 2 роки тому +2

    Hongera sana wazir mkuu

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 роки тому +5

    Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame

  • @venancengunda3879
    @venancengunda3879 2 роки тому +15

    Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 2 роки тому +7

    Majaliwa ungekuwa Rais tu!

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 2 роки тому

    Big up PM

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 2 роки тому +3

    Unaweza mkuu

  • @jamessimbaire3016
    @jamessimbaire3016 Рік тому +1

    Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 роки тому

    Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому

    Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 2 роки тому +2

    Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 2 роки тому +2

    Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine

  • @emmanuelerasti2405
    @emmanuelerasti2405 2 роки тому +2

    Bebaaaa

  • @bonywahab9565
    @bonywahab9565 2 роки тому +5

    Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....

    • @maryamaliy8509
      @maryamaliy8509 2 роки тому +1

      Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Рік тому +1

    JPM tutakukumbuka daima aiseeee

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 роки тому +2

    Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!

  • @hosea7919
    @hosea7919 2 роки тому

    Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 2 роки тому +7

    Funga pumbavu hao.
    Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo
    Majungu tu ndio sifa yatu.
    Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 роки тому +4

    Majaliwa wafaa mno fanya kazi

  • @bahatiamnon7579
    @bahatiamnon7579 2 роки тому

    Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde

  • @fraviansweetbert2703
    @fraviansweetbert2703 Рік тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kila kher

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 2 роки тому

    Engineer katupiga

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 роки тому +3

    Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa

  • @mrndundugurushi9782
    @mrndundugurushi9782 2 роки тому

    Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 роки тому +1

    Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.

  • @wakalimediatz
    @wakalimediatz 2 роки тому

    Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 2 роки тому +5

    Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia

  • @floraleonard9095
    @floraleonard9095 2 роки тому +3

    Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 2 роки тому

    Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho

  • @saidgoryo999
    @saidgoryo999 2 роки тому +3

    Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 2 роки тому +1

    Pole baba

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 2 роки тому +3

    Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 2 роки тому

    Asanteeeeeeeeeee
    We sambaani tunakuita taaateeeeee
    Baba lao
    Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 2 роки тому

    Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.

  • @hilidentamale9778
    @hilidentamale9778 2 роки тому

    Sukuma ndan

  • @jerelkhondwani7165
    @jerelkhondwani7165 2 роки тому +1

    Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???

  • @Catherine-u6g
    @Catherine-u6g 2 роки тому

    Mungu akubark

  • @suleamberforreal7401
    @suleamberforreal7401 2 роки тому +1

    The real replacement of JPM 😥

  • @sherryeverest2522
    @sherryeverest2522 2 роки тому +2

    Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua

  • @maikobernado-4514
    @maikobernado-4514 Рік тому +1

    Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 2 роки тому

    Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 2 роки тому +1

    Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika

  • @fadhilidini1181
    @fadhilidini1181 2 роки тому +5

    mwamba wa uma tunakutegemea

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 2 роки тому +3

    Iyo mbona yakitambo afu Millard

  • @japhetkimario2039
    @japhetkimario2039 2 роки тому

    Coming president

  • @alonhappy9906
    @alonhappy9906 2 роки тому +1

    Honqera wazii mkuu wetu

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 2 роки тому

    Tunakuaminia mh, waziri mkuu

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 2 роки тому +1

    Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 роки тому +5

    Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 2 роки тому +3

    Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2

  • @jacksonmkuye7739
    @jacksonmkuye7739 2 роки тому +3

    Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo

  • @menovicmushy1032
    @menovicmushy1032 2 роки тому +1

    Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.

  • @mariamobedy9898
    @mariamobedy9898 2 роки тому

    Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 місяців тому

    YAANI HAO WANAMFANYA MAMA SAMIA KAMA HAJAENDA SHULE KABISAAAÁ.

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw 11 місяців тому

    majaliwa kasim majaliwa kiongozi mzalendo jasiri na shupavu safisha wote wasio waaminifu wenye kufaidisha matumbo yao

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 роки тому +1

    Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 2 роки тому +1

    Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania

  • @malachcomedy4788
    @malachcomedy4788 2 роки тому +2

    Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 2 роки тому

    Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 2 роки тому +1

    Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 2 роки тому +3

    Wafungwe

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Рік тому

    Pga kazi mkuu Hawa watu watazoea

  • @johnsolo6709
    @johnsolo6709 Рік тому

    Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.

  • @directoridd5893
    @directoridd5893 2 роки тому

    Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Рік тому

    Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 2 роки тому +1

    Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому

    Tanzania kwa Sasa Ni ya wapigaji.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 роки тому +1

    Aya Mambo mtayaona sehemu nyingi Sana kwasababu baada ya jpm kufariki watu wa kupiga dili ni wengi Sana tena nchi nzima.sisi uku mnatutesa na tozo.

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 2 роки тому +1

    Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 роки тому

    Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??

  • @user-hg4yy1qs7g
    @user-hg4yy1qs7g 6 місяців тому

    Jamaaa wanapiga sana

  • @lemaedgar1703
    @lemaedgar1703 2 роки тому

    Tozoooooooooo jamani tozo zinatumaliza uku mueshimiwa