Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
huyu alitakiwa kuwa rais
Alitakiwa na nani?
KATIBA?
Yaani mazezeta mna shida😅
Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!!
Pumbavu zenu..
Endeleeni kumchoresha
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
Kabisa our next president
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
Nyokooo
Rais alibaki tz ambaye anaweza
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu
Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana,
Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
Hadinimemkumbuka magufuli
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
Duh
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea
Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
Mungu Akulinde Baba🙏.
Uko sahihi muheshimiwa hongera
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto ..
Mungu Akulinde.
na Charamila Kagera..Moto unaonekana
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
Kazi ienderee
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali.
Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be.
Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu.
Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei.
Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
Engineer anaharisha apoo....
Hongera sana wazir mkuu
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
Tunahitaji uzalendo
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
Big up PM
Unaweza mkuu
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
Bebaaaa
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
Funga pumbavu hao.
Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo
Majungu tu ndio sifa yatu.
Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kila kher
Engineer katupiga
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
Pole baba
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
Asanteeeeeeeeeee
We sambaani tunakuita taaateeeeee
Baba lao
Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
Sukuma ndan
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
Mungu akubark
The real replacement of JPM 😥
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
mwamba wa uma tunakutegemea
Iyo mbona yakitambo afu Millard
Coming president
Honqera wazii mkuu wetu
Tunakuaminia mh, waziri mkuu
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa
YAANI HAO WANAMFANYA MAMA SAMIA KAMA HAJAENDA SHULE KABISAAAÁ.
majaliwa kasim majaliwa kiongozi mzalendo jasiri na shupavu safisha wote wasio waaminifu wenye kufaidisha matumbo yao
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
Wafungwe
Pga kazi mkuu Hawa watu watazoea
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
Tanzania kwa Sasa Ni ya wapigaji.
Aya Mambo mtayaona sehemu nyingi Sana kwasababu baada ya jpm kufariki watu wa kupiga dili ni wengi Sana tena nchi nzima.sisi uku mnatutesa na tozo.
na sasa wameachiliwa na bii Konokono
@@whatisthetruth.8793 racist
Kwani Ripoti ya CAG kipindi cha Magufuli inasemaje?
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
Jamaaa wanapiga sana
Tozoooooooooo jamani tozo zinatumaliza uku mueshimiwa