VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”
Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa
Wao ndio hawajui
hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz
Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo
Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu
Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ
Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍
Putin sio putting
😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.
Spika kapigwa jicho hilo
😂😂😂😂
@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂
Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!
Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje
U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country
Napenda marekani na urusi50/50
Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa
Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.
Big up madam speaker,I'm proud of you❤
Hongera Mh Tulia.Big up!
Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍
Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕
Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.
Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉
Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama
😂😂hapo akizingua atamkimbiza
Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂
😂😂😂😂@@FerdinandCharles-ko7de
@@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli
Tz to the world superb sana @tulia
Mzee anaona kama anapotezewa muda2
Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize
🎉🎉🎉
Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅
Acha wenge ww
Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin
Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action
Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.
Hongera spika wa bunge la Tanzania
Putin aje Tanzania jaman naomba
shida wamerakani hawapendi
Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂
Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu
mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote
Kijana unataka Vinu😅😅
Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe
Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah
Haaaaa haaaaa
Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake
Jaman dada yngu mungua akutunze
Haki ya mungu sisi wabongo ni wajasiri,,, tulia katulia na anaongea sawasawa hongera kwake cheki sura la putin angekuwa mkenya hapo tayari kashasema luo hawatufai uwa wote kwa uoga tu wa sura ya putin lakini sipika wetu wa bunge❤❤❤❤❤❤
Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent
I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .
Hatua kubwa sana madam tulia
Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.
❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee
Mnyakyusa anaflow balaaa❤
Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama
Kirusi cha UTI 😂😂
Nimependa sana hasa ninapomuona Dr Tulia anaongea kwa heshima sana yani kama mwanafunzi wa darasa la pili kaitwa ofisini na mwalimu mkuu nimependa hongera spika wetu
anakufaidiisha na nini
Haaaaaa haaaaaaaa
Duuuuuh! Wewe Jamaa hatari sana. Umenivunja mbavu
😂,,😂😂
Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.
Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢
Safi sana Mhe. Speaker 👏💯
noma
Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation
Big up to sipika Tulia Rais ajaee
Hongera sana mh Tulia
Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.
Asante
Putin ni hatari
Well presentation for national ❤
Respect putting
Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona
Mshukuru nawewe mungu kwa nafasi yako
Always namshukuru sana
Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉
Jamaa jicho alichezi sio poa
Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.
Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima
Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤
Uyu dada anajua aise
Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤
Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin
Mwamba yupo very serious
Big up🎉
Hongera sana Mh spika Tulia Akson
Safi spika wetu TULIA.
Hongera sana mh Tulia
Inapendeza sana
Ongera mauwa yako❤
RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉
Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus
Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana
Ur accent is fly for sure🔥
Asante Tulia Ackson
Spika katulia sana
Kama jina lake
HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF
Wow....madame speaker congoreee
Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS
Hilo ndo hitaji letu
Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu
Mh tulia your very brain I really likely your talking
Great Tulia Ackson
Congratulation Tilia Ackson
Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa
Mnafikiri urusi kuna msaada?😂
Tulia akson🔥🔥🔥🥰
Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia
Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka..
Kwa kichwa😂😂
Happening Macho
Hongela mama umetuwakilisha wa tz.
Long live African Queene!!
Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud
IPO KAZI
Safi spika wetu
Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.
Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO
Tulia NI kama zeelenziky tu
Hastahili kukaa na putin
Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂
Sawa
HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.
Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅
Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh
Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?
Glory be to God kwaajili ya speaker wetu
Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala
Ahaha anaonekana kama anapotezewa mda kwenda kwenye makombora
Hongera mama yetu
👂👂👂👂👂👂👍👍👍🇿🇲🇿🇲Tanzania 💡
Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪
President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries
Nimependa Brics ❤
Hongera sana kwa Mama huyu
Hilo jicho la mwamba linaweka kukutoa Kwenye mood 😂😂😂😂😂
❤❤
Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.
Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?
@@ramadhanmahongole9293
Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.
@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.
@@johnv6916
Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.
@@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.
Duh aise noma putin
I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god
Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way
Safii..welcome russia
Jamaa lenyewe Kama halitaki vile