Ni vile kunambi hakujua kama kelvin anamshughulikia kutoka Kwa sababu hawajawahi kuonana na kunambi wakati akiwa ndani...ndio maana akamtaja kelvin Kwa sababu yy alikuwa Bado na kinyongo
Yani movie hiyi inamafunzo kweli, mda mwengine uruma na kusaidiya inamponza bwana Kelvin unazidi na kiherehere chakumteteya Kunambi afu kakutanguliya kwa mabaya daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimejifunza mengi endeleyeni series kwa iyo movie 🥰🥰🥰
ii movie yenye mafunzo sana aija wai tokea movie kama ii Tanzania nia zima kesho yangu ina shika nafasi kumbwa sana naipenda sana kesho yangu nimejifunza vitu vingi sana katika kesho yangu asante sana kelvin naomba mungu azidi kukulinda daima ili tuzidi kujifunza zaidi ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Series nzuri ispokuwa uyo anaesuka huyo abadilishe na aache kuvaa hereni mpo kwa niaba ya kelimisha jamii kakin hapo mnaihamasishha jamii isuke ivae heren
Kunambi kwa movie zote huwa yuwanisinya,tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂juuu anachukia kelvin mpole 😢😢😢😢😢😢😢😢😢loveness nawe chunga utaekwa ndani ,udaku wa kelvin umempoza aliambiwa na vicky 😂😂😂😂😂😂😂kelvin analia fanny lakini mm sijajiandaa afande 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Series nzuri sana mnaonyesha kitu fulani cha tofauti mi huwa ni mgumu sana kufuatilia maigizo ya kibongo maana sio kama sio mazuri ila upangiliaji na seriousness, kwa baadhi ya waigizaji bado sana wanaharibu sana ila kwa hii serious Nimenyoshaa mikono. Kelvin , James, Vick, nyuki ,love, mmetisha na mwanangu Jafari ila kunambi bana
Kusaidia mtu Ndio kuwekwa gerezani waaaah Kelvin huruma yako ndio hiyo sasa na huyu anayeitwa eti ndio kisinja na kunambi wamenikera jamani nawapenda Sanaa donta tv 🎉❤
naomba mnambie leo hii story ya #KESHOYANGU kwenye series za mbogo unaipa namba ngapi katika tatu bora ?
Namba mbili kutoka ile ya kijana maskini❤❤
Number moja mara sili mia mia ❤❤❤
Naipenda sana hii Kesho yangu juu ina somo sana
Nambari mmoja ❤❤❤❤❤😢🎉😢😢
Much love ❤❤❤❤
Kunambi kanikela kinoma oi mnipe like sana 😢😢😢
Me pia jmn kanikela san kunambi
@@user-oi8es1jv6v yani ningekuwa mm kunambi Nisha mtema 😂😂😂
Kunambi umenikera sana edy kevin kaua hapana wakera
Kasahau,,,, James ni Mpenzi wa Nasra
Wemah wko kelvin kakuweka hatarini bnh
Km wafuatili hii kesho yangu like apa plz 🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰nawapenda saaaana team Kelvin
Sisi ni number moja mahana hii series ni kali kinoma like apa jamani
Kunambi anaboa mtu ambaye anamsaidia ili atoke yeye ndo anambambikia kesi jamani, naombeni like zangu wadau
Ni vile kunambi hakujua kama kelvin anamshughulikia kutoka Kwa sababu hawajawahi kuonana na kunambi wakati akiwa ndani...ndio maana akamtaja kelvin Kwa sababu yy alikuwa Bado na kinyongo
Kunambi kunambi kunambi umenikera sana kweli 😢 Kelvin uruma Yako imekupoza kwa kweli
Yani movie hiyi inamafunzo kweli, mda mwengine uruma na kusaidiya inamponza bwana Kelvin unazidi na kiherehere chakumteteya Kunambi afu kakutanguliya kwa mabaya daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimejifunza mengi endeleyeni series kwa iyo movie 🥰🥰🥰
❤🎉
Nimejikakamuwa Leo nipeni like zangu🎉😊
Kutoka Nairobi likes zangu plz
❤❤❤❤
Hoii kelvin wangu ka kamatwa jamani, kunambi ww umechoma ❤❤🎉😊 Kenya
🎉 🎉🎉🎉 Atali Sana bonge la mouvie linamafunzo mazuri mno❤❤
Leo nimechelewa lakin msininyime like😢❤❤
Wakwanza gutokeya Burundi 🇧🇮❤❤
ii movie yenye mafunzo sana aija wai tokea movie kama ii Tanzania nia zima kesho yangu ina shika nafasi kumbwa sana naipenda sana kesho yangu nimejifunza vitu vingi sana katika kesho yangu asante sana kelvin naomba mungu azidi kukulinda daima ili tuzidi kujifunza zaidi ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tena sana watching from south Africa
Kunabi umeniudhi kwa kumtaja kelvin.
Oya weeeh wazee wa kesho yangu like zenu apa😂😂❤
Nimekuwa wa
156 naombeni like hata mbili Tu jamani ❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤
Nipe like leo wa kwanza❤
kigoma Ina wapenda sana aisee big up sana
nipeni like zangu
Ooomugejuwaka ma amesema kawewe wejo umewuwa nassra wake bati huruma mingi nudhabi kabisa pole Kevin
Niki towa like mniite mbha za nini😊
Kevi ndani ya nondo daaa mwana kulitafuta mwana kulipata
Namba5 nipo hapa😅😅❤
Huyobuana arikura pesa yajamus joanamalia watu germanium kunyanya kabisa shida pole Kevin
Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂
Nmeingojea kwa hamu hii series jmn daaah
Kunambi manyoko kwa herufi kubwa😏😏😏😏😏
Anakera
@@AyubuAmosi-wo8wb ni mshenzi mpaka kwenye maisha yake ya kawaida 😏😏😏😏
Jamani ni movie mbna mmemkasilikia sana mmh ata kama inakera
@@user-xo1oh2vl3h ata ivo tumemkasirikia kimove move brother 🌝
no 1 naomba like 👍 10 pls
No 3 naomben like 7🙏🤝
Nawafatilia kutoka chicago USA ,movie nzuri sana weka hata series 2 kwa wiki.
Kiukweli series hii kali sana tena sana
Hilo jua la kushootia mnalitoa wap mbn dar ni mvua tangia mlipotoa EP ya 28 😂😂😂😂
Wee kunambi n shetan sana aky umenikera kma umekera na kunambi like zenu bas naomben
Na Mimi Leo jamani Nime wai kdg
Oyaa sijachelewa sanaa like 5 tuuh
Kunambi hapendeki wallah daah😮😮
mapema sana nmeingia,, thankyu
wa kwabza simiyu movie nzuri hata msipo toa like
Marafiki Nyoko😂😂
Kelvin wewe nawe pia ni kiherehere mbona ulikataa ushauri wa wenzako wewe,,,watching from Kenya
wa kwanza like zenu naziomba ❤❤❤
Naomben likes km unamkubali kelv
Wowo staki like zenu nyie waomba like ushamb tu😊😊
Number 1 nipo apa naomba ata like 10
Nimekupa lkn sijapenda kila ck mnawahi nyie tu
No 1
Naombeni like zenu mm nimewahi leo
Hiii movie ni nzuri sana ❤❤
Wa kwqnz leo naomben like zang hata 10 tu
wanangu wa nguvuuu kazi kazi aina kufeliii wala kuchokaaaa
Mmmhh Jmn yaaaan mimi kila ck najitaidi lkn munaniwahi nisaidieni like tu maana siyo kwa kusudi langu
Mm wakwnza leo naomba lke zng❤❤
Wa kwanz leo like tafadhal
Much love from saudi ❤❤❤❤
Series nzuri ispokuwa uyo anaesuka huyo abadilishe na aache kuvaa hereni mpo kwa niaba ya kelimisha jamii kakin hapo mnaihamasishha jamii isuke ivae heren
Istoshe anavyofanya havimfanani,,ni kama li mtu lizima hovyo tu
leo wa kwaza mim nipe zangu 🎉🎉
Congratulations team kelvin hoyeeee much love from saudi 🇰🇪
1 from Tanzania
Naikubali kazi nzr 🇲🇿🇲🇿💪💪
Kunambi jaman nataman kupasua simu nimpige nipeni like zangu
Leo mimi wa 3
Leo umewahisha big up 🤛 broo kevi
Kunambi loho mbaya sana hajuwi kama Kevin ni mtu mwema
Kunambi pia mm ameniuzi sana lkn sawa thu
Huruma ya Kelvin imemponzaa😢😢😓😓😓😓mpk anatia hurum il kunambi una kiti chako motoni😂😂😂🤣🤣🤣🤣but good job nawapend n napend series zenu😍😘😘😘😘😘
Watu mnalilia comment kama watoto wadogo
Aki kunambi wewe😅😅😅😅😅😅 ushamuuza mwenzako
Kwelii anayekuchukia anakuchukia tuu dah kunambi 😢😢😢 at kev tena
doooh kunambi kachoma kibanda
😂😂😂😂Kelvin amenichekesha sana pamoja nakung,ang,Aniakoteande kule alafu anasema anaogopa
Kiukwel kunambi unakera sana jmn mtu anatafuta jitihada za kukutoa lkn wewe duuuh ...😅😅😅
Kwani leo ndio jumatatu siku ya kotini😂😂😂
Hili lidem kenge kweli wqtu wapo na majanga analeta umalividavi et sinyanyi mdomo wangu mpaka kelvin arud si amfuate hukohuko 😂😂😂
Naitwa miriam I love kesho yangu ❤🎉🎉🎉
Dada huyo hayuko siliasi kabisa kacheka kusikia kelvin ni mpole wakati ni kwenye hatua ya majonzi ameharibu
Wakwanza leo naombeni like jamn
❤❤❤❤❤
Kelvin umeona huruma 😮yako sasa like nipeni
Ni Nouma hiii ..like zenu wakuuu
Kiukweli Kuna huluma zingine 😢😢😢😢😢😢😢
Nawakubali sana kwa kazizenu munazo zifanya❤ 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kelvin baba mungu hatakutangulia 🎉🎉🎉
Leo wa Kwanzaa mm
Jamani wema waponza aki,,, Kelvin sasa police 🚔 tena mmmmmm 😢😢😢😢 sisemi kitu apo ❤from Kenya 🇰🇪
Kunambi kwa movie zote huwa yuwanisinya,tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂juuu anachukia kelvin mpole 😢😢😢😢😢😢😢😢😢loveness nawe chunga utaekwa ndani ,udaku wa kelvin umempoza aliambiwa na vicky 😂😂😂😂😂😂😂kelvin analia fanny lakini mm sijajiandaa afande 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aki Kumbeee Umeonaaaa 😂😂😂😂😂Kma Mtto Vileee Aki Unikera Sana Ata Mmi
Kunambi ni anaboa sana kabsaaa ila kweli ina nguvu kubwa kuliko uongo watuhumiwa wote ni hawausiki ata kidogo
Series nzuri sana mnaonyesha kitu fulani cha tofauti mi huwa ni mgumu sana kufuatilia maigizo ya kibongo maana sio kama sio mazuri ila upangiliaji na seriousness, kwa baadhi ya waigizaji bado sana wanaharibu sana ila kwa hii serious
Nimenyoshaa mikono. Kelvin , James, Vick, nyuki ,love, mmetisha na mwanangu Jafari ila kunambi bana
Wakwanza mm naombeni like zangu
Mimi hapa toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naikubali sana movie
Nakubal sanaaaa kak
Kunambi hajielewi anaropokwa tu😢😢😢
1
Wakwanza leooo ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kunambi ku, acha tu niache umenitia hasira sana , mfadhili mbuzi utamnywa mchuzi kuliko binadamu
🎉🎉🎉 good job
Kusaidia mtu Ndio kuwekwa gerezani waaaah Kelvin huruma yako ndio hiyo sasa na huyu anayeitwa eti ndio kisinja na kunambi wamenikera jamani nawapenda Sanaa donta tv 🎉❤
Much love from Kenya 💝 we love you our neighbors ❤️
Nimewa jamani hata like 5 kekee
Team Kevin tumtoe Konambi au tujuwan kwa like
Kunambi aki unamchukia Bure Kelvin ila hingereni Team Donta tv wote nawapenda Bure mko vizuri Sana ak
Naombeni likes zenu
Ww mr.D unahiribu sana sasa ukweli unaujua unaumiza watu wasio na hatia askar wenye tabia kama hizi walaaniwe milele
Its like it's coming to an end,jamani kama munapenda combination ya,kelvin,kunambi,Nelly na loveness,gonga like,Kenyans tuko