Mwamba namkubali sana, lkn kibongo bongo bado hakuna wa kumfananisha na the great alijarb gabo lkn mbk leo sielewi aliishia wapi xo Kanumba Kanumba Kanumba acha apumzike kwa amani 😢
I like ur movies, keep it up bro nd don't lose hope u'll reach ur destiny.nd I want you to continues with the movie cal penzi la dada was kazi na kijana tajiri part 10 plz.good job bro👌
Strong guys ,,, keep going... I really love what you are doing,,, natamani Sana nigekua muongoni ya waigizaji wa donta ,, kiukweli napenda sana kuigiza Ila sijapa iyo nafasi ,,, strong strong wasee ❤
Tafadhali Usiwai dharau mtu kwa Sababu uwezi kujua kesho yake jua itamchomozea upande ngani, hayasiowezekana hakika itawezekana mbele ya mwenyezi mungu 🙏🙏🕊🕊🕊
Hakika ni Movie nzur sana ,Vijana tubadilike,ulimbukeni na kukosa maadili kutatufelisha sana , Maisha ni Watu na watu ni maisha,tuwe waungwana kuliko kupenda ubabe
Wa Tano Leo jamn nipeni like hata mbili
Sawaa
Brother unajuwa sana
Daaah kevin umenikumbusha mbali niliachana nadem wang kama ww hongera sana kwa kaz nzur ww ndye utakuwa mris wa kanumba kazaaaaaaaa
Ucjal like ii pokea kwa ajili ya Klvn anae zunguka na vyety yake uku😭😭
Baraka zako zko njian Kevin don't worry dea bro
Napenda move zenu Kaz nzur asanten any way wakwanza leo naomben japo like mbil tu❤😂
Sawaa 😍
Asante kwa movie nzuri
@@Dontatv255movie zako nazipenda sana God bless your heart 🤲🤲🤲
Jaman nmechelewa Mimi Leo naombeni hat mmjo
Daaaa Kwanzaa hongera Sana kwamafundisho munayo tupatiya na movie zengine haziishimwisho munatuhacha jiyapanda❤❤
Hongera kelvin kwa mafunzo mazur mungu akusaidie ufanikiwe malengo yako nakupenda Sana uko vzr
Brother unaweza, mungu akuongozee maarifa utafika ulipopalenga, binafs nafrah kkfatilia
Kelvin tunakupenda sana unatufundisha sana mambo mengi mungu azidi kukuinua uendelee kuielimisha jamiii,,,
Napenda sana kazi zako kevin zidikupapanda utafika mbali sanaaa❤
Congratulations for good work,nasoma mengi ya dunia❤
Maigizo mazuri na hongera, dharau ni mbaya sana 🫡. lakini kazi si lazima uajiriwe
Nimejifunza mengi thanks good wark ♥️❣️ love you
Bro Mr kelvin me napenda sana kazi yako huwa najifunza vingi sana pia Kuna baadhi mengi nishapitia so I'm so very strong,, God bless you bro 🙏
Hahahaha 🤣🤣🤣 kelvin bravo nimecheka mpaka walai mungu mkubwa🙏🙏
Nakupenda bur kelvin mungu akupe nguvu na kaz yako❤❤
Love 💕 you so much Kevin good work
Ukwelu nikwamba unajua utakuja kuwa star mkubwa sana hivi soon Mungu akutangulie katika kazi zako pia uish kwakumtegemea Mungu
AMEN🙏
Mungu anisaidie niwe Star kama Kelvin
Ongera kaka..mfuasi wako from kenya🎉🎉
Usijali Kevin ipo siku utafunguliwa mwanga Muhimu kuomba Mungu 🤲nawapenda sn 🥰🥰Allah abarik kazi yenu
Mungu yup atakusaidia
Movie zenu nzur na zenye mafunzo much love kwa wahusika
Asante sana
Napenda sana move zako kaka natamani kuigiza na wewe
Kesho yangu iwahi jaman
Asante sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote ❤️❤️❤️❤️😭😭😭dunia ina takiwa watu wapendane napeny kosa kusamehana sio kukumiana
Kelvini ww baba wwtu mstarabu uyoo mm nampenda hana busara frani ivi dah😢😢😢kweli umejichangany yn tumejifunza kitu pole san😯
Hongera sna kaka Mr Kevin napenda sna. Movie zko Mungu akuzidishie kipaji chko🙏🏼🙏🏼
Kazi nzur na inamafunzo♥️♥️♥️ tujifunze kumuheshimu Kila mtu
Kelvin God bless you so much am learning a lot from your movies ❤❤🙏
Jamani ni from your movie sio you movie 😂😂😂😂
@@NorahSweet-qf4gt thanks 😊 ujue ni usingizi plus kusafe time 😂😂🫂
Mwabesa kweli hongera sana nduku sangu
Yani Kevin nakukubari san broo Kwa mafuzo Mazuri mashallah mungu awabariki muzidi kufika mbali wapendwa 🥰🥰🙏
Brother Kelvin unajua mpaka unajua tena cogra2lation sana brother
Kijana maskin alie mdharau boss bila kujua ❤big up saana Kelvin 👌👌
Oooh pole hukujua ila heshima ni muhimu na utu ❤❤
Kelvin,Napenda sana Uigizaji kupitia ww nimejifunza kwako vingi. Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
Excellent 👌🎉 job keep up people 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Movie zako nzuri Tena zenye matunzo Allah abariki kazi ya mikono yako kaka akufikishe kwenye ndoto zako
Napend movie nzur zenye mafunz❤❤big up
Ikoo poah Sana❤
Napenda kazi yako kelvin na vilevile funzo unalodhihirisha kwa jamii all the best
waaah shule kubwa sana mwenye macho kaona mwenye masikio kasikia
Much love from Kenya guys like back I have learne something thing graat
Kuishi na wanadamu ni kazi,Ngoma inaitwaje,nakupenda Sana kelvin,unajua mapenzi waaah
Unaweza kuzimia haki usiombe ikukute hii asante kwa somo zuri
Dharau sio njema...na tabia Njema n silaha ktk maisha yako
Teacher Kelvin nawakubali hongera xana mnatupa movie nzuri xanaa zinazo tufundixha xana ongera kaka 👍👍👍👍👍
Kazi nzuri sana nimejifunza kitu aki nimependa❤❤❤❤
Asante sana
Nakuona m2 wa mbali sanaa broo
Napenda Sana Kelvin unavyoigiza hakika tunajifunza mengi MUNGU atimize haja zako🎉🎉
Mr kelvin uko poa sana umetishaaaa
Noma sana Kelvin yuko vizur
Mashallah nice❤❤❤
Wenye wanaapenda DONTA mnipe like hata 10 jamn
Naipenda sana
I like your movies 😍 endelea kuigiza,,nawapenda Sanaa....
Unyama xana kaka
Broo you are doing a good job your fan from Kenya. Utachukua nafasi ya kanumba tu very soon
Tunawazo Moja nawe..kanumba 2
Nisoma mengi kupitia bipindi hivi
Mwamba namkubali sana, lkn kibongo bongo bado hakuna wa kumfananisha na the great alijarb gabo lkn mbk leo sielewi aliishia wapi xo Kanumba Kanumba Kanumba acha apumzike kwa amani 😢
Safi sana kaka nakubali kazi zako
Kwaiyo mm ni wamisho😢 lakn mashallh nimependa nimejifunza kitu lakn Tina unatakiwa uwe na subra hata kama mpz wako hana kitu unatakiwa uvumiliee ❤❤❤
Movie zko zko na mafunzo kelvin ❤❤❤
Nimejifunza brother kelvin 😢😢
Mwenyezi Mungu aya skiye maombi Yako sema amen🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮💯😍🥰🥰
Wow asant kbs Kévin kwama funzo kbs ❤❤❤❤❤❤❤
Waooo movie nzuri sana hongereni wote mlioshiriki
Good lesson, kudos guys. following From Kenya
Jamani Mungu akuongozeusilie na mtu pia na uzima wako na kumshukuru Mungu tu.
I like ur movies, keep it up bro nd don't lose hope u'll reach ur destiny.nd I want you to continues with the movie cal penzi la dada was kazi na kijana tajiri part 10 plz.good job bro👌
Strong guys ,,, keep going... I really love what you are doing,,, natamani Sana nigekua muongoni ya waigizaji wa donta ,, kiukweli napenda sana kuigiza Ila sijapa iyo nafasi ,,, strong strong wasee ❤
Ucjal mtafute Klv akungushe jamani
Tafadhali Usiwai dharau mtu kwa Sababu uwezi kujua kesho yake jua itamchomozea upande ngani, hayasiowezekana hakika itawezekana mbele ya mwenyezi mungu 🙏🙏🕊🕊🕊
mvie zenu zsote ni nzuri snaa🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kwamov nzuri zakutufundisha
Kelvin ww nzur ❤sana😂❤
🎉
Mnafanya kazi nzuri sana ila amtoi move mpaka mwisho zengine kuweni na utaratibu mnzuri tunapenda kazi zenu basi fanyeni vizur zaid
endeleen vivyo hivyo KAZI nzuri nawapend
Daktari🎉🎉🎉love sana ❤❤❤
Asante sana 🙌
Hongera Sana kelvin napenda Sana movie zako ukiendelea hivo utafika mbali Sana nakutakia Kila lakheri
Jamani Kev sijakuzoea kuigiza Ivo 😢😢
Napenda sana move zako kelven hogera sana🤲🤲
Mbn movie zako zanafatana na kimaskini Naitaji kujua stolia yako kbs🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pole sana hila tina usingemwambia ulipomuacha tu kazi ikapatikana 😊
Ujui Nguvu ya mapenz wewe😂😂😂😂
Kazi Zur napenda kazi zenu
Nakupenda bure Kelvin Allah aibarik kaz yak
wa mwisho jamani nipeni like aky
I hv learn something from this episode ucjrbu kuamini rafiki yyote coz km c rafikiye hungekusa kazi ,pia ucdharau mtu ucyemujua
Big up sana mwamba, kaz nzuri
Mm nakupanda sana kelvin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Shukran kelvin funzo kw wengi wenye tabia Kaa hzo
Nc Kelvin kwakazi yako
Movie zenye mafunzo mazuri nawapenda sana❤❤❤🙏👍
Good job kelvin keep it up bro kipaji unacho
Upo vzr can mungu akujalie napend kaz yk❤❤❤❤
Muv
Kazi nzuri wallah❤❤❤
Nakubal sana kelvin
Ukweli nimesoma kitu dunia ni kupita tu humuimu ni kumtengemea mungu kwa kila jambo
Big up kaka Mungu akupaishe maana bila kujiongeza hivi maisha n magumu
Kweli kabisa
Upo vzur sana kak
Ukweli my dear brother Kevin nmesoma mengi kwako nkiwa gulf 🎉
Hakika ni Movie nzur sana ,Vijana tubadilike,ulimbukeni na kukosa maadili kutatufelisha sana ,
Maisha ni Watu na watu ni maisha,tuwe waungwana kuliko kupenda ubabe
Movie nzur hatal sana daaah napend sana kuzitizam kila mda
Good jobs kbs napenda muvi zako❤❤❤ from burundi
Funzo zuri sana wallahi
Good lesson
Congrats kelvin Kwa kazi Yako coz umenifunza mengi ❤❤
Congratulations brother
kaka unanifundisha kit usiache kak kutufundisha kaka✊👊
God bless you Mr Kelvin
Yani sina usemi ila nawaombe maisha marefu yenye mafanikio mema❤❤from kenya to saudia❤😂❤❤
Kazi nzurii Sana kevn
Hongera kaka. Sema kelvin 2naomba mwendelezo wa blind of love mmeishia part one only
Very impressive great performance