KESHO YANGU PART 30 💞 Love Story

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 734

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  Місяць тому +281

    ua-cam.com/video/a7h0JvtswiE/v-deo.html

  • @janemumbua4683
    @janemumbua4683 Місяць тому +10

    Nikiona watu wame like kwa komenti yangu uwa na furahia sana plz naomba like hata mbili tu
    Asanteni sana wana ndonta tv kazi nzuri sana🎉🎉

  • @ferdinandasende1883
    @ferdinandasende1883 Місяць тому +10

    Nikiwa wamwisho kutoka Malawi namimi naomba like hata 5

  • @SalooHussein
    @SalooHussein Місяць тому +7

    Kelvin Khan kazi nzuri sana broo we ni mwandishi Bora Sana wa taamthilia endelea na usipunguze tupo pamoja Kama team donta alafu tumalizie series yetu pendwa ya la malkia wa majini

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 Місяць тому +44

    Leo nimechelewa kidogo nimekuwa m2 wa 103 naomba like zenu

  • @FrankManirakizacom
    @FrankManirakizacom Місяць тому +17

    Nami naomba like zangu nipo Zambia munatufundisha sana

  • @user-ws4lb1ke2c
    @user-ws4lb1ke2c Місяць тому +18

    Kihande hapa jmn naomben like hata sita tu kilasiku mm wamwisho tu please

  • @abdallahbudodi819
    @abdallahbudodi819 Місяць тому +17

    Safi sana dogo, endeleeni kutupa burudani murua

  • @ManenoMrongo
    @ManenoMrongo Місяць тому +3

    Me nawaomba msiwe mnatoa move Kila siku tofaut tofaut kwnz malizen Moja hlf ije nyngne ahsnteni sna,,,,mko vzr

  • @AaIi-qw3ec
    @AaIi-qw3ec Місяць тому +16

    Wanasema tutowe maoni nyinyi mnadayi like vip nyiye ok basi bado mwisho uyo Jemsy auliwe na yule aliua Nasra ❤❤❤yule naye akamatwe anyongwe Bro ❤❤ much love ❤❤❤❤❤❤ Burundi

  • @raphaelvarane-rv9bv
    @raphaelvarane-rv9bv Місяць тому +11

    Tunaitaji movie kali sana kuliko iyi❤❤❤❤❤❤❤

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial Місяць тому +31

    Donta tv and tondo plus Hebu nipeni like hata 10 tu? Please. Japokuwa nime Chelewa lakini sio sana. Kaka kelvin waambiye mashabiki wanipe hata like 10 tu? Kaka 😂😂😂😂

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q Місяць тому +8

    Pole sana Mr nyuki mana kwasasa unapitia kipindi kigumu dadako Vick amekua mkatili Kelvin naye ndohivyo😢 ila usikate tamaa hilo tunalo jifunza nawapenda Bure kutoka Kenya 🇰🇪 ❤❤

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Місяць тому +26

    Wa Kwanza naombeni like zangu jmn 🤣

  • @Weni-gu6fj
    @Weni-gu6fj Місяць тому +17

    Watching from Kenya likes basi

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Місяць тому +4

    Mashallah shukurani sana washilika mungu abaliki kazi zenu

  • @StephenOuma-py7uh
    @StephenOuma-py7uh Місяць тому +16

    Leo wa kwanza kutota upande wa Kenya,,,wapenzi wa Viki wapi like

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu Місяць тому +12

    It's very interesting kelvin and you team ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz Місяць тому +24

    Japo nmepata waliowahi ila cjalechelewa jamani mnaomkubali Kelvin muache likesa jamani

  • @BAHATIMASSAWE
    @BAHATIMASSAWE Місяць тому +4

    Nawashaur endeleen kutoa mivi kama hii nimeipenda ni nzuri sana pia inafundisha

  • @user-pu6tf6ft6i
    @user-pu6tf6ft6i Місяць тому +4

    Napenda hihishe walete nzuri zaidi ya hii

    • @user-pu6tf6ft6i
      @user-pu6tf6ft6i Місяць тому +1

      Napenda sana kuwa mwigizaji hila naweza kuigiza mpole maana mimi pia nimpole

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys Місяць тому +4

    Jamani toweni vipande viwili viwili mm kimoja hakinitoshi piya msicheleweshe sana

  • @user-mk1pj7dd2c
    @user-mk1pj7dd2c Місяць тому +4

    Nimechelewa naombeni like

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq Місяць тому +64

    Wakwanza mm jamani like 10 zatosha🇿🇲🇿🇲🇿🇲 pia mm niombe msiwe mnatoa tamthilia kila wakati tutawachoka mapema utakuta leo kuna hii kesho nyingine keshokutwa pia mpaka inakera wapendwa 💞💞💞

    • @user-yw6ir4bg3l
      @user-yw6ir4bg3l Місяць тому +3

      Kama huna bando acha movie itoke kaa kimya kama huna la kuzungumza mnakaa mnaomba like kama vile za kula

    • @joakmmatokeo6650
      @joakmmatokeo6650 Місяць тому

      ​@@user-yw6ir4bg3lni ushauri wake tu ndugu mbn sio kitu kibaya hiko

    • @judithkadhengi7230
      @judithkadhengi7230 Місяць тому

      😅😅😅😅muelewe​@@user-yw6ir4bg3l

    • @user-kx2kr8mp3e
      @user-kx2kr8mp3e Місяць тому +2

      Nikweli kabisa Kama Hana bando atulie asitukere sisi nkuunga mkono wewe mwenzangu tuko pamoja mwaya Kelvin endeleen kutupa burudan ninawapenda San zaid yasan my love❤❤❤

    • @user-kx2kr8mp3e
      @user-kx2kr8mp3e Місяць тому +3

      Nyuki nakupenda San pamoja na Neli mnaongea point san

  • @hemedhemed-ij7lm
    @hemedhemed-ij7lm Місяць тому +5

    Iendelee tu mpaka kisimame kiama tamu sana kesho yangu😂😂

  • @Rodrygostamili
    @Rodrygostamili Місяць тому +4

    Kazi zuri sana daah aisee inamafunzo kibao

  • @JuliasJonasMasali-rx5qu
    @JuliasJonasMasali-rx5qu 2 дні тому +1

    Dah! Kazi kubwa kweli na hili fundisho zuri

  • @user-wh8px4pu9n
    @user-wh8px4pu9n Місяць тому +10

    🎉🎉🎉🎉oyooooooo wangapi walikua wasubir kwa hamu hii episodes 30

  • @user-ds6dd4jm3u
    @user-ds6dd4jm3u Місяць тому +4

    Kwakweli mumenifundisha sana

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti Місяць тому +3

    Hii move ni moto mno me binafc sitaman iishe ina mafunzo saana ndan yake 🔥🔥💯🙏

  • @malkialinah
    @malkialinah Місяць тому +2

    Asanteni kwa kesho yangu nampenda Kelvin ❤️🥰🥰🥳😊

  • @Nickm22
    @Nickm22 Місяць тому +4

    Much love from Nairobi 🇰🇪

  • @user-gb1go3ey9p
    @user-gb1go3ey9p Місяць тому +2

    Kazi mzuri mnooo

  • @user-km1ms4ms4u
    @user-km1ms4ms4u Місяць тому +5

    Leo. Mm wa mwisho naomben like zang🎉🎉

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv Місяць тому +16

    Jamani na mìmi naombeni like ata 5 from tanzania 🍊

  • @MWAS.254
    @MWAS.254 Місяць тому +3

    Thee whole of that movie it's awesome bro continue thee same

  • @Ramso_kingself
    @Ramso_kingself Місяць тому +2

    Iyo iyendeleee kwakua Ina mafundisho mengi Sana arafu waongezeke waigizaji ambao ni smart Sana wasiwe wachafuu

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx Місяць тому +2

    Kazi nzuri team Kelvin aki munatupa mafunzo mazuri🎉🎉🎉

  • @Demetrio-zs4pr8el6c
    @Demetrio-zs4pr8el6c Місяць тому +1

    Asante sana serie yetu imetufundisha sana

  • @Nathanael1Kambale
    @Nathanael1Kambale Місяць тому +13

    Mimi wakwanza gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq Місяць тому +2

    Basi mwenzenu kila siku nachelew ilov you donta tivi nawapenda woteee❤❤❤❤ naombeni like ata 20

  • @MariaMbele
    @MariaMbele Місяць тому

    Hongereni sana kwakazi nzuri mnatoa ujumbe mzuri sana katika jamii mungu awasimamie katika kazi zenu

  • @user-qp4sm2ko1y
    @user-qp4sm2ko1y Місяць тому +4

    Tuseme mnalalaga umu jmn😂😂😂❤

  • @ramosmlela4823
    @ramosmlela4823 22 дні тому +1

    Mm wamwisho kabisaa sitajii ataa like ya mtuuuu

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Місяць тому

    Nakupenda sana kelkvin ukukosea kumchagua baba police jaman ana jua adi ana jua tena ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fidelntahunga
    @fidelntahunga Місяць тому +3

    Tunashukuruni sana tunawafollow toka GomaKongo

  • @SuzanaFidelis-kt8zh
    @SuzanaFidelis-kt8zh Місяць тому +1

    Endelezeni isiishe Jaman nimeipenda sanaaaa

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 Місяць тому +1

    Kesho yangu naona iko sawa kabisa Kelvin mungu akutie nguvu nyingi sana uedelee hivo hivo you always make my day hata kaa nimekasilika sana lakini nafurai tu juu yenu na wapenda saana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @HotaeTz
    @HotaeTz Місяць тому

    Awo waliyo shiliki.mauwaji wakamatwe.kunambi atolewe ili ajionee.naajuwe maisha yapoje.alafu na ombeni sapot.yenu ma broo

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Місяць тому +3

    Love you much from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤

  • @Joseph-oe7qe
    @Joseph-oe7qe Місяць тому +29

    Wakwanza jaman naomben like 25 tu

  • @user-rr4sq6mu8g
    @user-rr4sq6mu8g Місяць тому +9

    Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂😂

  • @SmilingBreadLoaf-pi8sb
    @SmilingBreadLoaf-pi8sb Місяць тому +5

    Njema sana ii

  • @user-br3dc6ec4c
    @user-br3dc6ec4c Місяць тому

    Nzuri sana mm kiukweli nimempenda sana nyuki kwa moyo wake wa upendo wa dhat jp sio ndugu yake wa damu.

  • @Fatom2002-hw3mq
    @Fatom2002-hw3mq Місяць тому +1

    Nawapenda sana

  • @JaphetKabilig
    @JaphetKabilig 19 днів тому

    Mm naifrahia hii movie ni nzur sana ata msipo nipa like zenu

  • @EmanuelyChilingo
    @EmanuelyChilingo Місяць тому +2

    Napenda kuwakumbusha2 wakuu kuweni chap kutoa vipande🎉

  • @amaninarwahi
    @amaninarwahi 24 дні тому

    Mimi binafsi mumenikosha kabisa kupitia thamsilia iyi imenikosha kabisa félicitations vraiment

  • @user-jo7kw3jz6e
    @user-jo7kw3jz6e Місяць тому +2

    Kazi mzuri sana hamuna baya donta tv ila tunaomb ikisha t iwep nyengin ikisha munakaa sku nyingi hamutumi munaboa

  • @NyagiciroGrace-jv9yi
    @NyagiciroGrace-jv9yi Місяць тому +1

    angele. ❤❤❤❤❤

  • @user-ng3sv1yk3o
    @user-ng3sv1yk3o Місяць тому +1

    Muvi ipo vzr sana napenda kazi yako kevi lop uh

  • @user-tb8et3wq1f
    @user-tb8et3wq1f Місяць тому

    Jaman iendelee nzuri san na inafundisha kwer

  • @BarackMathieuStrong
    @BarackMathieuStrong Місяць тому +1

    Yakwangu nawa pongeza sana nikiwa muimbaji wa nyimbo za kumwabudu Mungu nawatakiya maisha marufu ila izi shauri zote zisiwe kwetu tu binafsi ata kwenu piya ziwafunze

  • @naomnyamoitaosiangochannel5552
    @naomnyamoitaosiangochannel5552 Місяць тому +1

    Kazi suri sana

  • @Davidmtambalabita
    @Davidmtambalabita Місяць тому +1

    Imeenda vizuri ila huku mwishoni tu mmeanza kuongeza watu kuweni makini msiaribu

  • @injeai361
    @injeai361 Місяць тому +1

    Nzuri ila fupi ❤❤ nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤🎉. From Kenya

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w Місяць тому

    Move nzuri sana juhudi kwa sana,

  • @ErikaMnama
    @ErikaMnama Місяць тому +1

    Mnajua kweli kuigiza mungu awabariki muendelee kutoa na vitu vingine vikali 🤜

  • @AlphonsinaSilayo-ff3pe
    @AlphonsinaSilayo-ff3pe Місяць тому

    Pole sana kaka nyuki kwa mtihani mungu atawasaidia mtavuka na kaka Kelvin pole sana kwa mtihani

  • @sylviaomwenga8740
    @sylviaomwenga8740 Місяць тому +1

    Jamani sitamani iishe 😊

  • @InnocentMkola
    @InnocentMkola Місяць тому +2

    Tatizo mnachelewa sana hadi tunaanza kuisahau❤❤

  • @MarcelinaPaschal
    @MarcelinaPaschal Місяць тому +1

    Mkovizuri sana hongereni kwa kazi nzuri sana

  • @YIRtrue
    @YIRtrue Місяць тому

    Nmeikubali story yako jmnnnn hongera sana donta❤️🫷

  • @user-ro6lp6or6s
    @user-ro6lp6or6s Місяць тому +1

    Congratulations kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤ ni mototo hihi série 😊😊❤❤❤❤❤

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g Місяць тому +1

    ❤❤❤❤kz nzuri sana

  • @user-zi1ue8cr8b
    @user-zi1ue8cr8b Місяць тому +2

    Fireeeeeeeeeeeeeeee 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @jumandongolo2660
    @jumandongolo2660 Місяць тому

    Kazi zuri sana tunaomba muwe munawaisha

  • @josephineuwizeye8250
    @josephineuwizeye8250 Місяць тому +1

    VIZURI sana hongereni much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @HassaniMohamedi-bb1ws
    @HassaniMohamedi-bb1ws Місяць тому +1

    Kwaza mm nazipenda sana movie za kelvin naomba mtoe kubwa lenye mda wa lisaa lizima

  • @JamesMutisya-oc5xs
    @JamesMutisya-oc5xs Місяць тому +39

    Nimewahi Leo ebu nipeni like ata Tisa tuh

  • @omarmwachili1108
    @omarmwachili1108 Місяць тому

    Mbona move zinakawia kutoka na mnazimalizia mahali patamu

  • @KAKINDA-cc7ds
    @KAKINDA-cc7ds Місяць тому +1

    Mimi nahitaji like hata 20 ndugu zangu, kwa upande wangu mnajitahidi sana lakini yani story huwa mnavyo toa huwa zinaendana jitahidini sana kuweka story tofauti tofauti,

  • @user-io5xg6mt8g
    @user-io5xg6mt8g Місяць тому

    NAWAPENDA KWA AJILI YA ALLAH WANA DONTA TV 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @restitutajohn7469
    @restitutajohn7469 Місяць тому +1

    Ila episode inakua fupi sana kaka kelvin na mr nyukiiii plz iwe ndefu kidogooo

  • @user-tz2xk3ei4z
    @user-tz2xk3ei4z Місяць тому +2

    Ebu zidisha juhudi zenu pia musicheleweshe kutoa muendelezo

  • @MssaMkama
    @MssaMkama Місяць тому +1

    Nikwer jamani mue mnatoa silizi moja ikisha isha ndo mnatoa nyingine situpo mashabiki zenu tuna waunga mkono

  • @user-td6tc4jo1h
    @user-td6tc4jo1h Місяць тому +1

    Mmetisha Sana donta TV nawapenda Sanaa woteee ila nimesikitika Sana Kev kaenda sero daah 😭😥😥

  • @mkobamwenda7068
    @mkobamwenda7068 Місяць тому

    Mnajitahidi sana hii kazi ni mzuri sana jitahidini zaidi iishe vizuri sio kikatidha tu km wengine wanavoharibu tana tamani kujua maisha ya kelvn kunambi na wengine wote maisha yao baada ya kesi kuisha

  • @MishaelMwaisongwa
    @MishaelMwaisongwa Місяць тому

    Mko vizuli ila ombi langu ni 1 kwani mnapo toa tamthilia Kila wakati love hii kesho nyingine mnatuvuluga mfano hii ya kesho yangu mngeifanya ikaisha ndipo muanzishe nyingine
    Niombi tuu brooo kama inawezekana ❤️❤️❤️❤️💥💥🇦🇼🇦🇼🇦🇼

  • @hadijanzaka9422
    @hadijanzaka9422 Місяць тому +28

    Wakwanza Leo naombeni likes zangu ATA 10 tuu

  • @user-kk2pu6pr6k
    @user-kk2pu6pr6k Місяць тому

    Nataka iyi njimbo ya natafuta nataka kwenda kwa mama jamani Kevin tiya azo Ku tiktok tufahe chalenge ❤

  • @shuweikharashid4175
    @shuweikharashid4175 Місяць тому +16

    Hatimae nimewahi nipeni like zang

  • @isackmwakanyuma8725
    @isackmwakanyuma8725 Місяць тому

    Hakika kazi nzuri mafundisho yanaendelea kujenga sisi kama jamaa asanten kwa kuendeleqa kutufundisha Mung azid kuwap ubunifu siku hadi siku Good Job.

  • @vincentobegi7471
    @vincentobegi7471 20 днів тому

    Kazi safi kevin nakubali

  • @user-dt4sq5kn5q
    @user-dt4sq5kn5q Місяць тому +1

    Mambo ni moto ❤❤

  • @user-os6yx4jx3m
    @user-os6yx4jx3m Місяць тому +1

    Yani mimi naipenda sana sana ❤❤❤❤❤❤ na nahamini kama mutategueneza yengine 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @alexngamilaga7359
    @alexngamilaga7359 Місяць тому

    Good job donta tv ,ikiisha hii tupieni nyingine kali zaidi ya hii

  • @BrianWanjala-fd9zp
    @BrianWanjala-fd9zp Місяць тому

    Afande kisinja anapenda hela sana hii story amenyamazia tu cha muhimu pesa tu ili hali anajua muhusika wa haya maradhi

  • @user-oj5wg3vf9i
    @user-oj5wg3vf9i Місяць тому +5

    From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @LucyLucy-me5ge
    @LucyLucy-me5ge Місяць тому

    Ingawa kwa kuchelewa ila ntachangia maoni yangu
    Ushauri wangu ni huu kwenu donta fanyeni mpango mmalize kwanza kesho yangu ndipo mtoe vibao vipyaa