MCHUMBA WA ALI KAMWE AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE "NAMPENDA ALI KAMWE MTU MZURI"

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 106

  • @upendokweka8381
    @upendokweka8381 15 днів тому +4

    Hata hapo bado kamwe haujapata mke, azidi kuomba mungu

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 16 днів тому +22

    leo mwanangu aliy kamwe umeniangusha nn hicho ulicho mvalisha huyo sijui ni mchumba kabakisha nn aonekane yuko uchi hakuna ndini inaruhusu mwanamke kuvaa hivyo hivyo km umeona toka utokako ungemubadilisha hiyo nguo kwani uzuri ya kujisitiri bei ngani

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c 4 дні тому

    Mwanangu Ally Kamwe hilo vazi la mwali wetu limetuangusha sisi mama zako siku nyingine rekebisha

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t 16 днів тому +5

    Wala hajapendeza ,vazi haliendani na hyo harusi ya kiislamu,katoka mfupa waroho km kaona malakul mawt

  • @elizabethgeorge2197
    @elizabethgeorge2197 16 днів тому +4

    Ila mmeendana jamani ❤❤❤❤

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l День тому

    @li dogo mkali broo

  • @emmykassim4132
    @emmykassim4132 16 днів тому +7

    Mtoto WA kiislam Ally KAMWE una sauti wew mwanamme unaeuhusuje avaae hivyo

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 15 днів тому +1

    Bi harusi 🎉❤ mashallah hongera Sana dada vizi liko❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 16 днів тому +8

    Zaylisa wa pili tumempata😂😂😂

  • @kisinzajohn1805
    @kisinzajohn1805 16 днів тому +7

    Huyo binti ndio wa kuoa

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 16 днів тому +11

    Mnao ongelea Kuvaa kwani nyie hua mnavaaje 😂😂😂

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 15 днів тому

      Kwani pele aliko pasu paunganishwa asinge pendeza au na ww ndio walewale waenda uchi hata km malaya jistiri mtu akiambiwa yule anajiuza akatae akutete wee unatetea kuvaa vile kipaja chanye km cha ndege kaa

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 15 днів тому

      Si kwa sababu hawaonekani na hawajulikani 😂😂

  • @user-vj8pi2wc3z
    @user-vj8pi2wc3z 14 днів тому +2

    Sasa mbona anacheza cheza!!
    Au ndio "shek well before you use"

  • @ismahafidhi1756
    @ismahafidhi1756 15 днів тому +3

    twenty four seven au nimesikia vibaya

  • @AdamAdam-xf3gh
    @AdamAdam-xf3gh 16 днів тому +7

    Hilo paja au mkono tu

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 11 днів тому

    Hongera mchagga

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 16 днів тому +3

    So cute❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 16 днів тому +2

    Umaarufu na pesa kweli mtihani dada umekubali kuvishwa utupu ili kupata maokoto na umaarufu subhana llah

  • @ericbrunokalonndwa8590
    @ericbrunokalonndwa8590 15 днів тому +3

    All good. Mavazi inategemea na event sioni issue amependeza mdada lazima watu wajue dresses na events na sherehe haijafanyika msikitini au kanisani

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z 16 днів тому +2

    Kusema kweli hiyo nguo aliyovaa haifai kbsa. Haina maadili

  • @HappyAmani
    @HappyAmani 16 днів тому +3

    jaman mnaosema ni mchumba wa ali kamwe muwe mnaangalia hata vidio msikie maelezo kabla ya kumjaji kamwe kama mnatak kujaji mjajidini huyu Dada lakn pia me sio cha ajabu kwan mbna watu wanavaa vbya zaid ya huyu Dada acheni roho za kwann mnaboaaaaa

  • @adammkisema1524
    @adammkisema1524 16 днів тому +3

    HUYU MWANAMKE KAMDHALILISHA MSEMAJI WETU..........anashindwa kuuliza ama kujua dress code ya harusi ya kiislam....kama amepania kuonesha ....

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 16 днів тому +1

    Acheni Uswahili...kutoelewa mahusiano ndio matokeo ya maswali ya mwandishi😊

  • @PillyAlly-ku1hj
    @PillyAlly-ku1hj 16 днів тому +3

    Huyoo mwanamke ni mshezi wa tabia Malaya huyo

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 15 днів тому

      Wewe umejuaje kama sio huwa mnafanya wote watu wenginr bhanaaa

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 16 днів тому +6

    Maa shaa llaa biharusi kajua kujisitiri sio aliy kamwe sijui kaalika kitu ngani kile paja lote liko wazi kabakisha sehem dg tuu chupi ionekana wallaah ss wanawake hatuna aibu

  • @NajmaMustafa-hq3vm
    @NajmaMustafa-hq3vm 16 днів тому +4

    Demu mwenyewe mshamba

  • @annambele789
    @annambele789 15 днів тому +2

    Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 14 днів тому

    Mbona hapa umeonekana kama kijana wa hovyo jamani. aaaaa kijana hapo umetuangusha sana

  • @EmmanuelAllan-kz7rm
    @EmmanuelAllan-kz7rm 7 днів тому

    Hahahhhah hizi comment zinachekesha

  • @user-mt3xf4pc7p
    @user-mt3xf4pc7p 15 днів тому +2

    Jamani semaji letu mungu akusaidie upate mchumba mwenye maadili mema ajistili Kama dini unavyokuruhusu

    • @despinadamian8693
      @despinadamian8693 15 днів тому

      Hicho unachokiona sio tabia mbaya na kama angekuwa na tabia mbaya nadhani huyo ally kamwe asingekuwa nae

  • @user-so6md6rm2w
    @user-so6md6rm2w 16 днів тому +3

    🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi

  • @MonaMbalike
    @MonaMbalike 16 днів тому +8

    Kigodolo kimekaa upande au wenzangu hamuon kama mm

  • @user-yn1jb4iu8e
    @user-yn1jb4iu8e 16 днів тому +1

    Ally kamwe huyo mwanamke amekudhalilisha amevaa hovyo sana. Amekudhalilisha sana.hakufai anajishauwa sana.

    • @PinkyLeonard
      @PinkyLeonard 16 днів тому

      Unamjua na wewe ovyooo kaa jinga

  • @user-gk5ms2bk9k
    @user-gk5ms2bk9k 13 днів тому

    Jamani vaz la uyo mdada wa msemaji wetu kamuaibishaaa

  • @zanzibartrip5954
    @zanzibartrip5954 15 днів тому +1

    Napita tu nakuangalia m

  • @LilianiMeena
    @LilianiMeena 15 днів тому +1

    Hahahahaaaa eti msomi 😅😅😅wasomi anawajua msomi sio mshamba kiasi hicho

  • @despinadamian8693
    @despinadamian8693 15 днів тому

    Jamani kwani mmejuaje kama mke wake au mpenzi wake ally kamwe au huyo dada kaongea chochote yani watu 😂😂😂

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 15 днів тому +1

    Mbna hers make wake kajsitili IGA kwa wenzio

  • @gaudeciajackson8398
    @gaudeciajackson8398 16 днів тому +1

    Kuna watu wanajisitiri ila wanafanya mambo ya ajabu

  • @BenithaSalvatory
    @BenithaSalvatory 15 днів тому

    Mavaz sio mwanamke unaejielewa uwez vaa Ivo

  • @SaidhassanSuleiman
    @SaidhassanSuleiman 16 днів тому +3

    Twenty four seven duuuu

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 16 днів тому

    Ndo nn hicho ?

  • @user-nb6nn6sv7u
    @user-nb6nn6sv7u 16 днів тому +1

    Hajui kujieleza uyu katutia aibi siswatu wamoshi

  • @subiralema
    @subiralema 16 днів тому +3

    Afai kuwa mke uyo ana aibu anaonyesha kibaka

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 14 днів тому

    Mchumba mwenyewe anajionea aibu na gauni lake la uchi

  • @user-we8cl7yt2d
    @user-we8cl7yt2d 16 днів тому

    Kaka Ali huyu dada mh! mbona paja nje

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis 16 днів тому +5

    😂😂😂😂😂 security twenty four seven we huogopiii?😂😂😂

  • @KhadijaKiwambu-qx8qh
    @KhadijaKiwambu-qx8qh 15 днів тому

    Uyu atakuwa Ana wazazi Mana mama ake asinge kubari anvae iri nvazi nando Mana hii dunia tunashushiwa miteani kibao wanawake tumezidi jamani kutembea wazi sijuwi mavazi Aya yataisha rini hee mungu nijarie katika maisha yangu nisije ata siku moja nikanvaa ivi wara watoto wangu nitakao wazaa wasije wakaiga huu ujinga wa Hawa mashetani ivi kweri sijuwi wanadamu tunaerekea wapi Hee mungu tupe mwisho mwema Mana mtiani kwa kweri

  • @salimaljahwari1
    @salimaljahwari1 16 днів тому +2

    Huyu msichana yuko uchi. Ustarabu ni pamoja na mavazi. Dini zote mwanamke ajistiri.

    • @Shakira-Nb
      @Shakira-Nb 15 днів тому

      Ally alitoa challenge gani kwani

  • @johnmgalilwa9136
    @johnmgalilwa9136 16 днів тому

    👊👊👊👊

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 14 днів тому

    sio mdem wa alli huyo maezo tu yanajieza

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 16 днів тому

    Hafai!!!

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 16 днів тому

    uyo sheji kweli au umemkodi ??mbona ally kamwe upo namwamke mke ambae ajajistiri?😂😂😂,kweli hii nihatari

  • @MmingeMminge-kr8nj
    @MmingeMminge-kr8nj 16 днів тому

    Semaji apo umeboa Sana. Ndiyo Nini icho alicho vaa uyo dem, ndiyo mchumba uyo?

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 15 днів тому

    Duniya imeisha wa muanika mke hivo

  • @ZeynabAdam-mq5eg
    @ZeynabAdam-mq5eg 16 днів тому

    Kwan niffa yuko wapi jaman mbon simuoni😅😅

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 16 днів тому

    Mbona wengi mnasema kavaa vibaya 😂 😆 ?

  • @DenisMarahu-hc9uh
    @DenisMarahu-hc9uh 16 днів тому +2

    Ali kamwe. Kuwa makini huyo mchumba kama kweli ñi mchumba sijakwelewa nini hicho paja nje? Kweny umati wa watu namna hii

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 13 днів тому

    Hamna demu hapo

  • @user-uq3dq7sr3l
    @user-uq3dq7sr3l 15 днів тому

    Huyu mwanamke sio wakuoa ni wakutomba na kuacha

  • @raishahatibu7095
    @raishahatibu7095 16 днів тому

    Atakua sio mchumba kamukota tu barabarani ajenae harusini si kwa nguo hiyo kujicholesha

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 16 днів тому +2

    uyo mwanamke atakua malaya tu

  • @atupakisyemwakikali6777
    @atupakisyemwakikali6777 15 днів тому

    Yuko uchi sjui anajiuza

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 16 днів тому

    She is not comfortable😂

  • @EricEmmanuel-oy5lt
    @EricEmmanuel-oy5lt 16 днів тому

    🤣🤣🤣 bongo nyoso sana

  • @Heniryahaz
    @Heniryahaz 15 днів тому

    Ali unatuaibisha huku tunakuheshimu

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 16 днів тому +1

    24 seven ndio nini???

  • @PinkyLeonard
    @PinkyLeonard 16 днів тому

    Mna wivu sana wajinga nyie ovyooo dada wa watu kapendeza ❤

  • @ommyjuniorjumbe3328
    @ommyjuniorjumbe3328 16 днів тому

    Ally kamwe umeudhalilisha uislam kwa mavazi ya huyo mwanamke..yupo uchi kabisaaaa..shame on u Ally..watch out

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 16 днів тому

      Ivi ni ally kawa wa kwanza kufatana na wavaa uchi au ni wengi,,,,,alafu ni islamic wangap wanavaa uchi zaid ya huyu dada?

  • @anoldjefsta177
    @anoldjefsta177 13 днів тому

    Kila mtu anaongelea nguo
    Na akat demu pia ni mbovu

  • @user-so6md6rm2w
    @user-so6md6rm2w 16 днів тому +3

    🤣🤣🤣 twenty four seven we dada khaaa afu bado unajisifu msomi

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 15 днів тому

      Mbona kaongea vzr kua masaa 24 na 7 yaan yote analindwa

  • @annambele789
    @annambele789 15 днів тому

    Nguo aliovaa binti katuaibisha sana asirudie kuongozana na wewe hivyo.

  • @latifauzia6424
    @latifauzia6424 16 днів тому

    Manangu ally kamwe umeniangusha kwa vazi hilo mmmmm

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n 16 днів тому

    Ali kamwe apo umefeli dogo iyo nguo aliyovaa na wewe amuendani kabisa