Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
Kevi hayo yapo hata Mimi yami niku ta nampenzi namhidu mia kila kitu hadi kodi namlipia rakini yaliyo nikuta makubwa kumbe mpenzi wangu ana toka na rafiki yangu ina uma sana pole Sana umecheza vizuri
Daaah kiukwel jamaa unaweza san mungu akubaliki utafika mbali sana, unajua kuandika story, imenigusa sana adi moyoni👏👏👏👏, me nakupa 🌺🌺🥀🌹💐💐 yako kaka, me ni funny wako.
ua-cam.com/video/2D7qNJwlenk/v-deo.htmlsi=8hg05b8azPzwuW_8
LEO IMETOKA SERIES YETU MPYA YA MAPENZI INAITWA - VAMPIRE LOVE ❤ bonyeza link kuitizama
Movie tingisha
nakukubali sana kelvin na team yako mnatoa mafunzo mazur
Q😊
Q😊q
You kill it my bro kev🔥🔥🔥
Mariam tafadhal bona unafanyia Kelvin, nawe nelly hiyo tabia ya kulelewa na mke congratulations Sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Good job team Kevin much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
19:43 dauhgo Tfjkm
Msanii wangu kelvin!! Pole sana kaka!! Fun wako wa kids kupona kutoka Kenya 🇰🇪 like ZA kelvin!!
Nimejifunza kitu hpa asante sana Kelvin❤❤❤❤
Much love kelvin from Kenya 🇰🇪❤❤❤nmewaona kelvin na brown kwenye mama yangu kichaa,,,by steve mweusi
Good work Kelvin we love you so much 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hyo part mliompea Victoria ilikuwa mmpee Loveness au Tina ingekuwa powa but piaaa... Mmetisha good job.
Thank you
Kelvin njooo huku mariam anakuchiti mariam sio poa jamanai kelvin polee i love you kelvin from Kenya 🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Good job team Kevin much love from burundi
Pia nawakubali xana movie zenu zinamafundisho mnooo ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana
Background music ni wimbo wa Nani Kelvin namanisha artist
Pia mm natamani kujua artist wa huu wimbo @@paschallameck4372
Hongera sana ila mimi huchukia wanaume wakupenda kulelewa kweli😢😢😢
Japo2 wanaigiza lakini me mwenyewe najisikiya vibaya
@@starnnystivini164 kabsa😏
@@starnnystivini164 sio to maigizo aya yapo sana kwenye jamii
Aaaaaa true story jamani wanawake mungu anatuona vilevile waume kama hao pia wapo 😢😢mungu niepushe na waume kama hao 🙏🏻🙏🏻
😭😭😭
Naitwa anastazia nipo dar mhhh!!! Huyu mdada hana at a aibu
Jaman Kelvin I love you ❤unajua Sana
Hongereni xana kelvin najua mwanaume akipenda amependa yupo tayari kwa lolote pia kwa vumilivu kutoa hela hali umesikia kila kitu ila Mungu anamwona Mariam kwa dhambi zake.Nachukia xana wanaume wasiopenda kujishughulisha na kupenda kulelewa na wanawake.
Asante sana
shukran sana blaza
vip kuusu hiopart yamwisho vizuri kama ungekaatu bila kuimba ndo ungekua mwonekano mzuri kwamba unaumia
Iyi kali kabisa tunaipokeya kwa furaha natena tunafurai kwamana minutes ambayo metupa imeturizisha myoyo yetu❤❤❤❤❤one love one access
Sawa j5 inaendelea
😂😂
Kelvin na loveness mnaendana sana 🤗🤗
Safi sana Mnaongoza🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mapezinzi sio pesa mapenzi ni hisia kelveni pole sana love you DONTA TV family ❤
Aisee Iko funzo kubwa ya maana love from kinshansa- Congo 🇨🇩
Donta tv mnanifanya kama chizi kwenye jalala yan mda ote nachungulia mmetupia kitu gan....kaz nzuri kwakwel hongeren
Mnaendana sana kelvin na loveness
Kelven nikweli mapenz ni uchizi ht mm niliwahi kuwa zaid ya hivo nilimpenda mwanaume ila yy alikuwa anampenda mwengine ahaaa ila mung ndie hakim
Pole
Wanawake tutafika mbinguni tumechoka sana 😅😅😅
Hayo sio mapenzi ni ujinga
Ok
Nawapenda sana niko Burundi 🇧🇮
Hata mm cjachelewa ❤❤❤ Ongeren DONTA TV pamoja 🎉🎉🎉🎉
🙌🙌
Kaz nzur kaka
Good job Kelvin much love from Burundi ❤❤❤
Asante sana
Jaman mbona nzuli nakupenda kelvin ❤❤❤❤❤
😂
Congratulations kelvin with ur group
Munayuwa sna ❤ kabisa.
Much love team Kelvin watching from saudi
mapnzi ya kibongo utumwa penda uwee chuma ulete...baaadae ujue uwee mlinzi..wachache wanaotambua samani ya upendo...❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakukumbali kelvin wewe ni kaa mentor kwangu manake nimejifunza mengi kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana
Na unavyojua kulia viky😂....Nawapenda sana from Kenya❤
Waaah kama mapenzi yanauma hivi shikamooo 😢😢
Yaani ww mwanaume km unamapenzi ya kweli km hivyo unavo ekti bs upo vizur sana dah na mm pia nahitaj mwanaume km ww❤❤zanzibar
Mwanaume gan huyu ww unavaa heren na yy anavaa heren vip tn unamujonga unatuzalilisha wanawake wenzako
Nimefika jamani, much love ❤❤ from 🇰🇪
Lijana ume hovyo lakupenda kulelewa na mwaña mke😢😢😢😢😢
😂😂😂😂😂na ndo ambao wamebaki dunia ya kisasa 😢😢😢😢yaan nimejikuta macho yananitoka wallah
Team Kelvin much love from kenya❤
😢😢 ujiga wamapesi apana siwesi saudia Arabia tune from kenya
😂😂😂🤣🤣 Mambo ya kupika kubusi ni magum
Vick Leo huna akili kabisa Yan yy mwenyewe n maskini alafu ww wachukua pesa ukampe mwanaume mwingine kwel huna huruma ww
❤❤kelvin nakupenda sana kwa kazi nzuri pongezi much love from kenya
Asante sana
@@Dontatv255 karibu
Kazi nzuri sana jamani mb zangu zinaisha kwaajili yangu
Aty ..haitambui Mambo yako hayapi kipa umbele wee ni yupi dume surwali ..wewe much love Kelvin ❤❤❤❤Bigup my G 🔥
Mhhhhhh
Kazi zuri hii nayo imenipea funzo❤
Kelvin umerogwa nn
If u Don't love the man, respect is work and money
Kevin naomba unambie mwenye aliimba hiyo nyimbo nmeipenda sana
Hama q - hapo mwanzo
Kelvin nyimbo ❤❤mashallh
Hongera sana mnatoaa sana funzo kwa vijana wakitanzaniaa the way yakuitunzaa furahaa pale anapoipataaa na wanawakee mjaribu kuwa na huruma na wanaumee b'se tunayapitiaaa mambo mengi wakati wa utafutajii kwa mnao pendanaa pendanenii sana na mapenzi hayaishii kwasababu yakucheet Ana no mnaaachanaa baaada ya mioyoo yenu kuchokana!!.😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Victoria wacha unafiki mbona unashobo namna iyo surely,wanawake hawabebeki kwel 😢❤
Haiko victoria wetu. Ni Mariam
Mazoea bwanaee
@@GraceVISAMAYANI-gj1xm🤣🤣🤣🤣
Mapenzi ety wanawake akie wah ...Thanks Kelvin for your love...from Kenya
Thanks
Wimbo mzuriii jamani,nmeupenda
Kaimba nani
Napenda kazi zenu big up donta tv🎉🎉🎉
Sawa Asante
Mapenzi bwana aixe niuchizi kweli bro polesana umepitia mengi xana ❤❤
Kazi nzuri Asante kervin kwakunifunza kuhusu mepenz yakwer
Good job team kelvn much love from keny❤❤
Asante sana
Aseeee na Bora umekuwa jina la mariamu😂😂😂😂😂 umetisha mariamu 😂😂😂 badilika wenye tabia Kama ya mariamu badilikeni😂😂😂😂 pole Sana kelvini jamani unae mpenda nae kampenda mwingine❤❤❤❤
Wa kwanza kabisa leo 😂😂😂😂 duhh mpaka naonekana sina kazi
❤️🙏
@@Dontatv255❤ Nawakubali sana chama langu Donta tv 🤜
@@Dontatv255naomba tuonane kesho
1:06 @@Dontatv255LM kßi8❤
Jamani huyo mariam natamani awe mdgo wangu nimpge😢😢😢
Uwii wapenzi daah viki njooni muone haya anayo yafanya viki..pole kijana wa mwenyewe uzuri umempa hela,,hata mimi n wa kwanza😂😂🏃🏃😂😂
Waaah njoon Uku Victoria kaanza ukora haa imeweza banaaa❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂jaman
@@VictoriaMwigani umeanza tabia mbaya ww😂😂😂😂😂😂😂😂 kitakuramba
Waooh kazi nzuri Kelvin part 2 nasubiri mm yani 💟💟
Sawa inakuja
@@Dontatv255 inakua
Daah good job nawapenda❤
Kelvin uko vizur mwanangu kaz zako nazielewa sana
Wahooooo ,kazi nzuri
Kelvin você é muito forte😢😢😢😢😢😢
Asanten sana kwa movie nzuri yenye mafunzo mungu awabariki🙏🙏🙏💯💯💯🔥🔥🎉🎉🎉🎉👍
Asante sana
Good work 🔥❤
Thanks 🔥
❤si wewe kevoh najikaza hapa Saudia natumia mpenzi wangu msaada kumbe anapea demu mwingine nioshe Choo 😭😭
Mm hapa kutoka Kenya nimeioenda sana❤❤❤
Asante
Huo ukurasa nouma, Bora uenjoy kaka, Mungu analijua Hilo na wakati sahihî ukifika Mungu huonyesha njia. Amini kwamba
Tunajifunza lakini ndugu zangu
This is reality my friend
Mariam hii sio poa Kwakweli 😢😢😢😢 Wanawake wajifunze kupitia wewe waone kwajisi yanavio uma😢😢😢 ila pôle sana Kevin😢😢
Kweli Wanawake mnatuumiza sana😢😢😢😢
Ilaa loveness jmn😊😊😊
jaman alivo fanya mariam siovema
😮😮
Pamoja sana najifunza mengi sana kutoka kwenu
Hii movie Inamaana kubwa sana hukiielewa
Poapoa tuko pamoja❤❤❤❤❤
❤❤ nikweri nibola ukampenda mwanaume masikini Kuliko mwanaume tajil
Ni nzuri sana CONGRATULATIONS .movie zinafundisha na mafunzo ndani yake
Dah!!! Kijana nashindwa niseme Nini hata kwa ubunifu mulionao haya yapo kweli kwenye jamii hasa kwa kizazi hiki2000-2024
😭😭😭😭😭😭😭😭 pole sanaa kelvin 😢😢😢😢😢so touching 😢😢😢
Kazi safi kelivin nakutazama kutoka kenya
Hongera xana kelvin ,hii movie Ina funzo xn
Kutoka Burundi Guys ❤❤❤
I Love You Very Much ❤❤❤
Thanks
@@Dontatv255nakupenda
Uyu mariam niatari wanaume chungeni sana Yaan anawes kuomba pesa wa mwanaume mingin ampatie mwanaume mingin dunia hii imebadilika wanawake wanaong a wanaume
Kabisa 😭😭
Asante tumejifunza❤❤❤
Nawakubali sana jaman Kwan hili nifunzo
Mwanaume akipenda anapenda sana na anakuwa yupo tayari kwa lolote ila sisi wanawake ndio tunazingua sana
Hiyo kwel mdogo wangu
Umenens
Umenena
Kabisa yn
Uhakika
Kevi hayo yapo hata Mimi yami niku ta nampenzi namhidu mia kila kitu hadi kodi namlipia rakini yaliyo nikuta makubwa kumbe mpenzi wangu ana toka na rafiki yangu ina uma sana pole Sana umecheza vizuri
Kelvin ongela Kwa kazi nzuri nawapenda❤
Filam iko vizur sna❤
Ongela brother kazi zako ni nzuri
iyo nyimbo ina itwaje🎧🥳
Good work❤
Aaaa nice one kelv napenda sana movle zako namimi APA nimtu wamapenz sana ila kinachonikost2 nipesa brother yangu
Kazi mzuri keep it up
Sisi wanawake jamaniiii tumuogope mungu jamani watoto wa watu wanapambana sana juu yetu tuwe tunarizika jamani
Daaah kiukwel jamaa unaweza san mungu akubaliki utafika mbali sana, unajua kuandika story, imenigusa sana adi moyoni👏👏👏👏, me nakupa 🌺🌺🥀🌹💐💐 yako kaka, me ni funny wako.
Asante Kwa somo zuri kwetu vijana