HOFU YAMKUTA MKE WA BALOZI MSTAAFU ZNZ, ASIMULIA, KUVAMIWA USIKU WA MANANE NA SILAHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 533

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 19 днів тому +22

    Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 18 днів тому +4

    Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 20 днів тому +44

    Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful
    #Poleni

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 20 днів тому +10

    Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 20 днів тому +17

    Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 19 днів тому +12

    Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs 19 днів тому +1

      Hakimu mkazi😊

    • @kuhusumapenzinamahusiano8458
      @kuhusumapenzinamahusiano8458 19 днів тому +2

      Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 18 днів тому

      @@kuhusumapenzinamahusiano8458 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz 18 днів тому

      ​@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂

    • @latifamchomvu4735
      @latifamchomvu4735 18 днів тому

      ​@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂

  • @shakurushakuru2211
    @shakurushakuru2211 16 днів тому +4

    Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 20 днів тому +46

    Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj 20 днів тому +3

      Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj 20 днів тому +2

      Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 20 днів тому +6

      🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂

    • @user-xm2rm7wn6h
      @user-xm2rm7wn6h 20 днів тому +6

      Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому +1

      ​@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 20 днів тому +13

    Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 20 днів тому +12

    Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏

    • @mwinyiali
      @mwinyiali 10 днів тому +1

      izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden552 20 днів тому +22

    Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....

    • @user-cz9zu7ur1h
      @user-cz9zu7ur1h 20 днів тому +3

      Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka

    • @Mrisho-lj7wy
      @Mrisho-lj7wy 14 днів тому

      @@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 20 днів тому +11

    Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah

  • @MtendeniElectronic
    @MtendeniElectronic 20 днів тому +2

    Pole sana amina mungu atakusaidia

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 20 днів тому +14

    Ila mwanamke mzuri mashallah

    • @hono1232
      @hono1232 19 днів тому

      Hatari kweli kweli mashalah

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 20 днів тому +12

    Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 19 днів тому +1

    Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 20 днів тому +10

    Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 16 днів тому +5

    Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 13 днів тому

      Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah

  • @feisalabdallah8632
    @feisalabdallah8632 20 днів тому

    MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 19 днів тому

    Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk

  • @mgalamohamed6956
    @mgalamohamed6956 12 днів тому

    Mwenyezimungu akulinde Insh Allah

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 18 днів тому +4

    Dada mzuri mashaallah

  • @stn4873
    @stn4873 19 днів тому +2

    Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 11 днів тому +1

    Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 17 днів тому +1

    Bismillah mashallah mzurii

  • @Mohamed-sc6bk
    @Mohamed-sc6bk 13 днів тому +1

    Daa mina umevamiwa tena pole sana

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 20 днів тому +11

    allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 19 днів тому +2

    Mzuri MashaAllah ❤❤

  • @mzeenassib4271
    @mzeenassib4271 11 днів тому +1

    Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 8 днів тому

      Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 8 днів тому

      Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss

  • @omarmassoud2011
    @omarmassoud2011 20 днів тому +1

    Allah akulinde sana

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 15 днів тому +2

    Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢

  • @Farsomtz
    @Farsomtz 10 днів тому +1

    Bi amina mashallah

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb 20 днів тому +7

    Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah

  • @khairatkisima9217
    @khairatkisima9217 20 днів тому +4

    Pole jiran yang daah mtihan kwakwel

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 20 днів тому +11

    Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому +3

      😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-vt4vd5rh8u
      @user-vt4vd5rh8u 20 днів тому +1

      ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga

    • @fatumamilimo7336
      @fatumamilimo7336 19 днів тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 20 днів тому +13

    Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤

    • @user-jf7vx9nb9m
      @user-jf7vx9nb9m 20 днів тому +4

      Huyo sio mkomoro mzanzibar

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому

      Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂

    • @husna34562
      @husna34562 20 днів тому

      Mkomoro​@@user-jf7vx9nb9m

    • @user-si9pb1us8d
      @user-si9pb1us8d 19 днів тому

      😂😂😂eti mzigo sina uhakika

    • @baloz8974
      @baloz8974 16 днів тому

      ​@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi

  • @lmdos4382
    @lmdos4382 17 днів тому +4

    Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 20 днів тому +3

    HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.

    • @charlzmboya
      @charlzmboya 20 днів тому

      Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 20 днів тому

      Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro

    • @gasper90mathias58
      @gasper90mathias58 17 днів тому

      Maybe true

    • @hawrajehan2398
      @hawrajehan2398 11 днів тому

      Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 10 днів тому

    Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 20 днів тому

    Pole sana Amina

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic5862 20 днів тому +3

    Ww ni mrembo mashallah 🙏

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x 20 днів тому +2

    Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 15 днів тому

    Mama mzuri haswaa MashaAllah

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 18 днів тому +1

    Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 19 днів тому +1

    Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 20 днів тому +7

    Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂

  • @maase2023
    @maase2023 18 днів тому +3

    Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah

    • @FatumaIssa-kw3vv
      @FatumaIssa-kw3vv 13 днів тому

      Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah

    • @maase2023
      @maase2023 13 днів тому

      @@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike

    • @maase2023
      @maase2023 13 днів тому

      @@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 20 днів тому +8

    Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 20 днів тому +10

    hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 20 днів тому +1

      Nimecheka km fala

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @mnesoboy4338
      @mnesoboy4338 19 днів тому +2

      Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 19 днів тому

      @@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG

    • @mnesoboy4338
      @mnesoboy4338 18 днів тому +1

      @@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 20 днів тому +3

    Pole sana mama , lakin unazungumza mimi ninakutizama to nasahau hata kama unazungumza , mashaallah wewe ni mrembo .

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138 19 днів тому

    Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata

  • @Aminayunus-je7id
    @Aminayunus-je7id 19 днів тому +1

    Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza1535 15 днів тому

    ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK

  • @mapishiyalulu9696
    @mapishiyalulu9696 7 днів тому

    Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 15 днів тому

    Mashallah mwanaamina ❤

  • @majumaatieno5640
    @majumaatieno5640 11 днів тому

    Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 17 днів тому +1

    Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 20 днів тому +5

    MashaAllah bonge la toto dah

  • @geoffreygaudance904
    @geoffreygaudance904 20 днів тому +6

    Pole sana dada

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 20 днів тому +7

    Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu

  • @petermdoe4691
    @petermdoe4691 19 днів тому +1

    Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 20 днів тому +10

    mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani

  • @faiasap8307
    @faiasap8307 19 днів тому +1

    Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 20 днів тому +5

    Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 20 днів тому

      😂😂😂

    • @SaidIssa-tq3yv
      @SaidIssa-tq3yv 15 днів тому

      Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.

  • @user-tw5er2qh3q
    @user-tw5er2qh3q 17 днів тому

    Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua7621 17 днів тому +3

    Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 14 днів тому

    Dah wazidishe ulinzi

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 20 днів тому +1

    Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 11 днів тому

    HUYU MAMKWE MASHALLAH

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 7 днів тому

    Hatari zanzibar

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 19 днів тому +1

    Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 18 днів тому

    Aise.....

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y 19 днів тому

    Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah

  • @AbouhSix-wm2bx
    @AbouhSix-wm2bx 20 днів тому

    Poleee

  • @StellahLivogah
    @StellahLivogah 20 днів тому +7

    Upishane na mtu koridoni asikuone hadi ukajifiche alaf walinzi wawaone majambazi wajifiche??hao ni walinzi?? Hee🤣🤣🤣

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 20 днів тому +2

      Hata mimi nimejiuliza naona maelezo yanakinzana

    • @winfridahubert4072
      @winfridahubert4072 20 днів тому +6

      Mungu akiamua kukulinda hata wew huwezi kujua ilikuaje

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому

      ​​@@winfridahubert4072point 🎉🎉🎉🎉🎉 tumwache MUNGU aitwe MUNGU

    • @powerrecordszanzibar3384
      @powerrecordszanzibar3384 19 днів тому

      Muongo huyu dada, hapo analo analolitafuta pengine anataka kumfungisha mlinzi wake, anajua Siri zake Balozi akiwa hayupo

    • @SurprisedOmbreSky-qg6dk
      @SurprisedOmbreSky-qg6dk 19 днів тому

      Sala usiku manwele nje vp haya maelezo

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 18 днів тому

    Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 20 днів тому +2

    Bibi amina wew sio mchezo mmh

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k 19 днів тому +1

    Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 20 днів тому +1

    Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 20 днів тому +10

    Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo

    • @bilakawaboynew978
      @bilakawaboynew978 19 днів тому

      Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje

    • @ssoud2394
      @ssoud2394 19 днів тому

      @@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 19 днів тому

    Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda

  • @omanmct135
    @omanmct135 20 днів тому

    Hatari kweli

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w 13 днів тому

    Daaaaaah kama mkundu tuanao 😅😅😅😅😅😅 aiseeee

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 15 днів тому +1

    Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu

  • @hono1232
    @hono1232 19 днів тому +1

    6:04 Nahisi mmeo kawafanyia kosa hao jamaa awaombe msamaa

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 20 днів тому +2

    Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.

  • @MassoudAmour-qj1og
    @MassoudAmour-qj1og 16 днів тому

    Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 20 днів тому +5

    Mulize mumeo vizurii

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 14 днів тому

    Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 20 днів тому +1

    Mke mwenyewe mrembo hivyo, kasema nani nikafanye kazi Comoro, nimwache mrembo wangu Zenji! Balozi beba familia yako, ohooo binaadamu si watu wazuri😂😂😂

  • @silimangwali9181
    @silimangwali9181 7 днів тому

    Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas 20 днів тому +3

    Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo

  • @annamussa185
    @annamussa185 20 днів тому +10

    Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 20 днів тому +1

      Astahili eeh

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 20 днів тому +3

      Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.

    • @annamussa185
      @annamussa185 20 днів тому

      @@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 20 днів тому +2

      ​@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 19 днів тому +1

      @@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒

  • @mmadiachata5700
    @mmadiachata5700 20 днів тому

    pole dada hamna camera

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 20 днів тому +3

    Maombi yako ya usiku ndio yanayokulinda
    Endelea kuomba wala usiogope

  • @AllyWaziri-bo3je
    @AllyWaziri-bo3je 20 днів тому +1

    Mungu kaumba

  • @JabiriSeif
    @JabiriSeif 17 днів тому

    Kuna shida hapo ila mungu akulinde na shari zao kwakwel

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 20 днів тому +2

    Huyo.mama.itakuwa.anafatiliwa na.uslamma wataifa pengine kuna matukio wanafanya hao mama wamjini umeona huko alipo nyumba ipo peke yake ma mwisho wake mutauonaa wana jambo wanafanya hao chini ya kapeti hao niusalamm wataifa watu weupe ndio zao mazambe zambe

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 11 днів тому

    Umeme hukukatika zingatia swala za usiku Allah atawalinda daima

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 20 днів тому +1

    Kamanda unasema jku Wazuri wamesomea , Mama anasema Askari walijificha hapo mpaka mtu afe ndio mtakuwa Bize sana