PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
Вставка
- Опубліковано 6 вер 2022
- PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Розваги
Love you Bahati bukuku from Nairobi Kenya
Nakupenda sana Dada yangu Bahati Bukuku, nyimbo zako zote ni nzuri, na una sauti nzuri Sana! Mungu akubariki sana! na akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele
can't get tired listening to this women of God, woow... More love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
Mafundisho mazuri mama Bahati may God bless you more and more kutoka Kenya
Dada mimi nakupenda bure vile ulivyo na kuombea maisha marefu 🙏🙏
Much love for both of you..very mature women full of wisdom
Mungu wangu nampenda saaana Bahati bukuku asante saaana Liliane Mwasha
Nakupenda bahati ulinifanya nipende Mungu Kwa wimbo wa Estar.
Mungu akubariki sana dada bahati kwa mafundisho mazuri
Hakika dada bahati umenena " urafiki una viwango" Exactly 👍✍🏿
Yani uko sawa
Nakupenda sana dadangu natamani unishike mkono nitoe nyimbo zangu
Nakupenda sana dada bahati natamani siku moja nikushike hata mkono unanitia moyo sana
Amen 🙏 Neema ipo Asante Sanaa bahati bukuku
Amen dada Bahati kwa mafundisho yako
Sasa ninyi nyote mbona mnasauti nzur jmn nawapenda nyote 🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️
Higher IQ by GOD wisdom Mama BAHATI i love you so much, this is the best interview ever by advice and wisdom...
Asante Sana watumishi wa Mungu, dada Bahati ubarikiwe, mtu anayekupenda atakulinda🤚
Mbarikiwe sana wapendwa nimefurahi hii hapa hela kaongeze libwata
Asante sana watumishi was mungu maneno yenu inanigusa moyoni😭😭🇨🇩
You are my favorite, my sister Bukuku you are always my mentor woman of God. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dada bahati nakupenda sana
Mimi ni ni Lilian jebiwott from Eldoret Kenya nasikiliza wimbo zako sana hii Niko Saudi niobee mama najuwa baba nanny mwaitekeasante Kwa maombi zenu ndani ya Kristo.
Powerful wisdom
🥰🥰🥰 Da Lily tuletee Christina Shusho
Nabarikiwa sna&nyimbo za huyu dada Bahat Bukuku nikiwa&mawazo,uchungu majonz huwa napenda kuckiliza nyimbo zke
Kabisa yani nyimbo zake zinabariki mno mimi hizi interview narudia rudia maana nikiwa na mawazo tuu huaga nakuja kumsikiliza bahati bukuku moyo unarudi sawa
Mafundisho haya ni 🔥🔥🔥
Nashukuru sana mafundisho mazuri nikiwa 🇰🇪
kiukweli mama Bahati nyimbo zako zinanifulahisha sana.sauti yako basi kila akusikilizae lazima aipend🙏🙏mungu azid kukubaliki sana.
Mungu akubariki sana dada bahati
Haya maongezi ya Leo Kuna watu wenye ufahamu mdogo watasema Bahati Bukuku hayuko rohoni ila Mimi nimekuelewa Sana hasa hapo kwenye kulindana na kuteteana kwa wanandoa
Na sauti ya dada bahati kama mshikaji fulani hivi
❤umenijenga mimi pia ni mtumishi wa mungu sipendwi na watu ni nini Huwa kinaendelea pale
❤❤❤Bahat unaimba dada❤❤wimbo wako. unapojaribiwa usitende dhambi❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu hakika anao watu anaojivunia nanyi ni miongoni mwao
Mungu tu akubariki dadayangu bahati bukuku nakupenda sana ila naamini tu sikumoja nitakuona ubarikiwe na Bwana.
Nyimbo zako nisababu mimi kutafuta mungu hadi sasa.Barikiwa sana kutoka 254.
Ni kweli kabisa atakuwa kakuchoka.Nimependa
Asante Dada bahati nimejifunza kitu hapo nashukuru sanaaa mungu akutunze🙏
Amina wadada wamama wazur tunarabikiwa mno
Wow leta huyu mwanadada mara na mara tena. Mafunzo yake ni mazuri sana 😍🙏
Mm kama ndugu yangu hawongeyi na wew hata mm siwongeyi na wew kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯🤲🤝🙏
Nakupenda Mama yangu bahati bukuku❤️❤️❤️ na nakupenda mama yangu Lilian.. Mungu wa mbinguni awatunze.🙏🙏🙏
amen
Nabarikiwa na mwandishi anapo nena kwa lunga!!!
Ndah nimebarikiwa Sana jaman
Bahati ameeleza kabisa jinsi Lilian yuko. She's a special child. Nilianza kuangalia hiki kipindi hivi karibuni na nina penda ninacho kiona na kusikia. I love this special show with a passion. Mungu aendelee kukuongezea hekima dada Mwasha.
Mashaallah mafundisho mazuri
Nimeumizwa pia.. Nimepokea isee Nina stori kubwa juu ya maisha yngu
Nakupeda sana bi bahati Kwa mawaitha yako mema huwa yananijenga sana,,Kutoka Kenya
U love her so much even it makes me comment before I see the show
Bahati bado watanzania tunakuitaji, cjawah kukuona Ila nna ndoto za kukuona bahati bukuku
Barikiwa sana mamaangu nakupenda sana oh!🙏🙏🙏🇨🇩
Much love from Mombasa Kenya ❤️ mamangu Bahati.. we love you very very much
Mama nyimbo zako zimenbariki ba kunifundisha mungu akueke mahali ulipojichagulia😭😩 kutoka kenya
Cjawah kukuchoka bahati❤️❤️❤️mungu amekuwekea karama ya ajabu🥂
i love this woman of God... much love from Kenya
Powerful women of God🙏🙏
Mafundisho mazur saana dada yangu Nimekuelewa Ahsante Mungu akuzidishie
Huyu Dada kwani kila kitu a naongea kwa ndimi? Bahati is wise I love her
Amen !! Watumishi wa Mungu!! Mnayonena ni kweli
Limbwata.akaboresha....Gumzo tamu. Kweli lenye mafunzo.... Love you mtumish Bahati.. From Mombasa...Kenya
Umeongea kweli da Bahati ,tatizo wanaume wengi hawana kauli
Napenda sauti ya bahati 🤩🤩
sana saaanaaa!!!sauti yake ilinifanya awe muimbaji wa kwanza niliempenda sana.
@@nsengumuremyisylvester4950 umeona eeeh Yani dada sauti alibarikiwa na mungu aisee!!
Natamani hii iwafikie wanaume wote na marafiki wote
Wau l love this your a woman of God
Mama bahati nashukuru kwa mafundisho mazuri....kutoka kenya
❤❤ powerful words ubarikiwe sana
Nashukuru sana dadaangu mzuri nmejifunza kitu kutoka kwako
Daaaah Dada Bahati💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Motivational speaker
🙏🙏💕
Kwel mungu awabark
Sema kweli Dadaangu. Semaaaaa
Nakupenda dada bahati kwa moyo wangu wote.
Abarikiwe sana
Yes kweli kabisa
Mama angu bahati unaongea kininja saana 🤣🤣ila napenda
Ndivyo kaumbwa hahaha
Congratulations ak umenipigisha hatua nyengine dada mungu akubariki ungekuwa wa maana sana
Hy,mama umetia moyo sana niko kwa majaribu
I love u dada mwasha jamani❤️
Mungu akubaliki Mama Bahati.
Ubarikiwe mtumushi wangu Mungu ulicho kisema ni kweli Adui warafiki yangu ni Adui yangu
Nashukuru sana kwa mafundisho muhimu na yakupendeza na karibuni sana Mombasa
Kwa kweli mmenigisa
Ukovizur dada bahat
Ameen imenijenga sana iyo ya hasira uwa Mungu anakutaka iache....na iyo ya aduhi ni mtu wako wa karibu kweli
Unanitia guvu kwakwer bahati wangu napenda nyimbo zako
Napenda mafundisho yako yamenifurahisha Ubarikiwe mwanangu.
Nice one, really a hard talk. Bravoo
Dada bahati nimejua juzi juzi tu kumbe mdogo wangu ata kama ni mwaka mmoja nampitia bado ni mdogo wangu, ila nampenda adi basi nyimbo zake karibu zote nimeziloard kwanza wimbo unao nibamba zaidi ni ule (lazima usamehe) wapili ni (Mungu hana mshauri), duuu hizi nyimbo mbili aseee😌😌😌😌
Mwasha sister, unatuwezea
Naupenda sana ushauri wako dada bahati bukuku
Bahati bukuku my favorite 🇰🇪🇰🇪
Admired u all dearly sisters; najifunza vingi sana kwenu
I needed this .. aki am really blessed
Barikiwa pastor Bahati Bukuku 🌹🌹
Can't be tired of u guys.God bless you
Big points my sister 🥰
Dada Lilian Mwasha kipekee nakukubali alafu nakupenda kitu kingine ngoja niache mda huu ntakufata dm
Love u sister bahati,,,,,,ila mazagazaga ya yezebeli hayo yatakutupia jehanum ata kama umehudumia watu wengi
Nimeipenda, barikiwa Sana dada
Maashallah asanteni sana kwa haya maongezi mungu awabariki kila lakheli yaarabi ameen 🙏🙏🙏
Mubarikiwe sana watumishi wa mungu nimelewa sana mafudisho yenu
I'm getting some knowledge from these talk here in Qatar
Ndomana nakupenda unasema ukweli💕💕💕💕💕💕💕💕💕👏🏿👏🏿👏🏿👌🏿
Dada nampenda huyuuu jamanii nampenda sana anaongeaga vitu daaa
Mafundisho nazuri dada zangu mungu awabariki🙏🏼
I love this woman
Bahati Bukuku uko na very intelligent,
Asante San
Asateni saana kwa maongezi haya ambayo yamenisaidiya kuhusu maisha ninayo