😢😢nimejikuta naumia na nalia saaana maana mitihani ya huyu dada hayana tofauti na mimi😢nimekataliwa na baba jibyoo hivyoo sijawahi kuita baba na pia alikataa hadi kupima D.N.A 😢na anajua kama mimi mwanawe ila kuna maagano upande wa mama yangu yanasababisha hayo yote yaani nina mengi 🙌ila 🙏🏻kwa sasa nipo ughaibuni yaani baada ya kufuatilia sana maombi jamanii mimi ni muislam ila nakirii damu ya YESUU ❤❤❤❤ nyiee nyiee ❤❤leo hii namiliki nyumba?! Leo hii namiliki pikipiki?! Nimetamkiwa nisifanikiwe nimetamkiwa sitadum katika mahusiano yaani dada liliani nina mengi ila nayakataa katika jina la YESU na nafunika maisha yangu katika jina la YESU na kwa damu ya YESU
Dada Lilian Mwasha you are a blessing, Hakika wewe ni baraka. Nimefuatilia vipindi vyako vingi na ktk hiki nimelia sana, ila nina matumaini juu ya maisha ya Grace Kwa Sababu ni mikono salama. Tunamshukuru Mungu Kwa kukuinua Ili utumike kuinua wengine. Tutafanya jambo Kwa neema ya Mungu juu ya maisha ya Grace Kwa jina la Yesu Kristo. Amen
Omba Grace kuvunja hiyo laana ya kukataliwa. Omba usichoke kama alivyoomba Ayubu bila kuchoka. Utafanikiwa mwanangu. Nakuombea Mungu azidi kukutangulia
Kweny maisha umakini unatakiwa sana kama usipojifunza tokea nyuma unaweza jikuta kila siku unajiongezea matatizo kwanza msukuru Mungu kwa mapito pili samehe omba Mungu akupe kibali cha msamaha na pia jikabizi kwa Mungu mwambie peke yangu siwezi Mungu nisimamie niongoze hapo utaona miujiza ya Mungu
Polen sana dada mwenyezimungu n mwingi wa rehma utavuka mitihan yako salama na utakua happy 😊 hongera sna mama lilian maneno yako yanatibu watu weng sana hapa ......
Pole sana Dada kwakweli inaumiza sana , Halafu ukimpata mwanaume mwengine usimuhadisie story yako maana wanaume wanaweza kutumia maisha yako ya nyuma kuendelea kukuazibu Sasa inabidi ufungue kurasa mpya na pia uwasamehe wote walokukukosea kwa ajili ya afya yako Ningumu lakini mungu akusimamie Ameen 🙏.
Dada Lilian mungu akubariki kipenzi story ya huyu dada inaliza mno.....nami nimepitia hiyo hali ila nashukur mungu mama angu yupo nilizaliwa na mama mlemavu tuko watoto wa watatu kwetu ....Mungu anitie nguvu niko Oman naipambania familia yang😭😭😭🙏kila binti alie pitia changamoto ktk ukuaji mungu atusaidie tusimame imara
Pole sana dada , mungu akutie nguvu Na usimame kwenye imani, mungu anaweza kubadili chochotekwa wakati autakao , mlilie mungu yeye hujibu kwa wakati , inshaallah kher 😢
Lilian mwasha woman of God kabis super woman unaongozwa na roho nakuombea kadr mungu atakavyokuongoz najua utakuw mama kwa uyu dada pleas kuwa mama ake najua unamoy mzur
Dada mdogo nafkiria hivi kutokana na mitihani ulio pitia kwanza mpende mungu na lapili muombe msamaha mungu wako maisha yatabadilika haraka sana namaanisha mungu mola wa ulimwengu
Dada yaaani nashukur umeongelea hiyo point , cz ilinitesa sana jaman ndiyo inayomtesa huyo dada roho ya kukataliwa , yaani hata ufanye Kizer kipi badoo
Stori ya huyu dada haitofautiani sana na stori yamaisha yangu japo Mimi wazazi wote wamefariki nikiwa mdogo Namshukuru Mwenyezi MUNGU Leo nipo Kwa waarabu huku najifanyia vikazi vyangu nasomesha mwanangu shule nzuri
sorry kwa maisha ulio pitia usinge za nje bila ndoa ya mume alafu maisha ulio pitia usingefikia kwenye mapenzi ungesonga mbele maisha yako mengine kabisa sio umepitia maisha mungu alafu unaingiza Habar za wanaume really apo ndo umekosea kabisa
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
😢😢nimejikuta naumia na nalia saaana maana mitihani ya huyu dada hayana tofauti na mimi😢nimekataliwa na baba jibyoo hivyoo sijawahi kuita baba na pia alikataa hadi kupima D.N.A 😢na anajua kama mimi mwanawe ila kuna maagano upande wa mama yangu yanasababisha hayo yote yaani nina mengi 🙌ila 🙏🏻kwa sasa nipo ughaibuni yaani baada ya kufuatilia sana maombi jamanii mimi ni muislam ila nakirii damu ya YESUU ❤❤❤❤ nyiee nyiee ❤❤leo hii namiliki nyumba?! Leo hii namiliki pikipiki?! Nimetamkiwa nisifanikiwe nimetamkiwa sitadum katika mahusiano yaani dada liliani nina mengi ila nayakataa katika jina la YESU na nafunika maisha yangu katika jina la YESU na kwa damu ya YESU
Dada Lilian Mwasha you are a blessing, Hakika wewe ni baraka. Nimefuatilia vipindi vyako vingi na ktk hiki nimelia sana, ila nina matumaini juu ya maisha ya Grace Kwa Sababu ni mikono salama. Tunamshukuru Mungu Kwa kukuinua Ili utumike kuinua wengine. Tutafanya jambo Kwa neema ya Mungu juu ya maisha ya Grace Kwa jina la Yesu Kristo. Amen
Omba Grace kuvunja hiyo laana ya kukataliwa. Omba usichoke kama alivyoomba Ayubu bila kuchoka. Utafanikiwa mwanangu. Nakuombea Mungu azidi kukutangulia
Kweny maisha umakini unatakiwa sana kama usipojifunza tokea nyuma unaweza jikuta kila siku unajiongezea matatizo kwanza msukuru Mungu kwa mapito pili samehe omba Mungu akupe kibali cha msamaha na pia jikabizi kwa Mungu mwambie peke yangu siwezi Mungu nisimamie niongoze hapo utaona miujiza ya Mungu
Nasubiri like❤ zangu nimefika wa kwanza jaminiii 😢😢😢
❤❤❤❤
Hongera
Roho imeniuma Sana Kama mama...Mungu anasababu kubwa na wewe samehe ili miujiza ya Mungu ifanye kazi...
Polen sana dada mwenyezimungu n mwingi wa rehma utavuka mitihan yako salama na utakua happy 😊 hongera sna mama lilian maneno yako yanatibu watu weng sana hapa ......
Allah tu nakuomba mfungulie njia gress wetu aishi vizur aweze kulea watoto wake Amiin
Amiin
Such a tough life and touching story, hugs and love from Kenya. My prayers are with you dada grace
Pole sana Dada kwakweli inaumiza sana , Halafu ukimpata mwanaume mwengine usimuhadisie story yako maana wanaume wanaweza kutumia maisha yako ya nyuma kuendelea kukuazibu
Sasa inabidi ufungue kurasa mpya na pia uwasamehe wote walokukukosea kwa ajili ya afya yako
Ningumu lakini mungu akusimamie Ameen 🙏.
Exactly 💯
Pole sana dada story Yako imenigusa sana nawe dada mwasha ubarikiwe sana kwa kazi nzuri unayofanya nakufatailia kutoka kenya
Dada Lilian mungu akubariki kipenzi story ya huyu dada inaliza mno.....nami nimepitia hiyo hali ila nashukur mungu mama angu yupo nilizaliwa na mama mlemavu tuko watoto wa watatu kwetu ....Mungu anitie nguvu niko Oman naipambania familia yang😭😭😭🙏kila binti alie pitia changamoto ktk ukuaji mungu atusaidie tusimame imara
Pole sana
Pole sana
Innshaalah😢
Pole dada wamekutupia liroho la kukataliwa lakin Allah yupo
Daah pole sana dada ang mungu Yuko wallah Ipo siku yatakwisha
Pole sana dada , mungu akutie nguvu Na usimame kwenye imani, mungu anaweza kubadili chochotekwa wakati autakao , mlilie mungu yeye hujibu kwa wakati , inshaallah kher 😢
Lilian be blessed kwa kurudisha utukufu kwa Mungu
Pole sana mimi haya maisha nilivopotia changa moto hivi wala sisemi japo mimi nilikuwa begakwa bega ma mama angu
Lilian mwasha woman of God kabis super woman unaongozwa na roho nakuombea kadr mungu atakavyokuongoz najua utakuw mama kwa uyu dada pleas kuwa mama ake najua unamoy mzur
Pole Sana my dia umeptia mengi sna duuuh Mungu akupe ujasiri
Dada mwasha naipenda sana program yako🙏dada grece pole sana kwa mitiani mungu Atakubariki Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷
hii story ya huyu dada imeniliza sana
Pole sana Gres maaa muombe sana mungu Hakika Ipo siku mungu hatakufungulia kila palipo na huzito maaa
Kuna kitu hap nimejifunza Roho ya kukataliwa 😢
Pole sanaaa Allah akuzisiahie subraa afyaa njema na akufarij nafsi yako
Dada mdogo nafkiria hivi kutokana na mitihani ulio pitia kwanza mpende mungu na lapili muombe msamaha mungu wako maisha yatabadilika haraka sana namaanisha mungu mola wa ulimwengu
Dada lily MUNGU akutuze san❤❤❤❤❤ huyo dada ameniliza sana lakin tunayaweza mambo yate katika yeye atutiaye nguvu
Yaan Kuna maisha yanaumiza, ila msemaji wa mwisho ni Mungu mwenyewe
Natamani nipate na mimi maelekezo ya kuongea na anga pamoja na udogo mama lily
Mmmh jamani pole Mungu yu pamoja nawe
Maisha haya duuu, Duniani Kuna mapitooooo🙌
Jaman imechelewa
Mungu awabariki sana
Nimelia sana basi tu Mungu atusimamia basi Kuna watu wanapitiq mapito jamani
pole sana dada
Nilikua na subiri muendelezo pole sana mrembo
she needs spiritual deliverance
for sure , Did you hear how she said that she’s lazy to pray , she probably need delivarnce 😭🙏🏿
Aiseeeeee dada umejuwa kuniliza
We pambana utafanikiwa utapata mume cha msingi uwe mnyenyekevu na mume achana na imani poyofu
Imeliza hii story 😢😢
Pole sana
pole sana dada GRACE
Mapito uliyopitia usikate tamaa nimepitia ila nimejifunza kitu namshukuru mungu asante piga goti mtaje mungu zana ila ipo siku yako
Dada yaaani nashukur umeongelea hiyo point , cz ilinitesa sana jaman ndiyo inayomtesa huyo dada roho ya kukataliwa , yaani hata ufanye Kizer kipi badoo
Roho ya kukataliwa ni mbaya mno wengine hufikia hatua had ya kujiua
Amina
MUNGU ndio suluhisho lake , anaewapenda wasio pendwa na watu. Liliani MUNGU , akutumie kwa viwango kwaajili ya utukufu wa MUNGU.
Nimejikuta naliya nakumbuka mbali
Stori ya huyu dada haitofautiani sana na stori yamaisha yangu japo Mimi wazazi wote wamefariki nikiwa mdogo
Namshukuru Mwenyezi MUNGU Leo nipo Kwa waarabu huku najifanyia vikazi vyangu nasomesha mwanangu shule nzuri
Ooooh Mom samahani mnafikafikaje huko Jamani aya maisha ya kudhalilika Yana chosha Bora kujitafutia
@@victoriajohn4047 mimi ninaagent wangu toka 2014 nipo Huku namshukuru Mwenyezi MUNGU kwakweli kaniheshimisha
Warubini tumehificha wengi dadangu kutafutia watoto wetu.mungu ni mkubwa maisha yanasonga
Barikiwa sana dada angu❤
@@marine88sis6 Naomba unisaidie kama naweza pata connection namimi mamy,nakuomba
Daah 😢😢😢😢😢😢😢
Jmn nayapitia anayopitia huyo dadaa
Unavyo na Dada huyu nimaisha yangu
Yani mm nalia tu
Weka namba yako
We can help dada and your two kids I’m so sorry.. how can we help you , it’s so sad 😭 🙏🇬🇧
You can if you want to help...
@@thedygeorge4548 how ?
I hope Lilian Mwasha will see this.
My
❤
Nikwel dada unaogea ukwel huyu dada hayuko sawa
Huyo ulitaka kuongea nae hata kama huja mtaja jina ni Frola nitetee
Iringa ipi upo gres
Sasa uso unazibwa ili iweje?si mtu mzima huyu aliyeamua kushea story yake ama???lakini pia part one uso hamkuziba
Asante sana dada lilian
😭😭😭
Roho yakukataliwa hy
Nyie Lillian ni prophet???
sorry kwa maisha ulio pitia usinge za nje bila ndoa ya mume alafu maisha ulio pitia usingefikia kwenye mapenzi ungesonga mbele maisha yako mengine kabisa sio umepitia maisha mungu alafu unaingiza Habar za wanaume really apo ndo umekosea kabisa
Daa jamaani hakika mungu ni mwema dada umeniliza sana dada pole mungu ni muweza wa yote amiina
Huyu dada sijui mwasha she too.much pretend km anaact hv kwa mtu sio halisi
Mwasha kakutana na tapeli. Pole dada Lily
Sasa uso unazibwa ili iweje?si mtu mzima huyu aliyeamua kushea story yake ama???lakini pia part one uso hamkuziba
😢😢😢😢