“NILIKUA JAMBAZI, NILIVISHWA TAIRI NICHOMWE MOTO, NIKAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA”- MCHUNGAJI ASIMULIA
Вставка
- Опубліковано 2 кві 2022
- “NILIKUA JAMBAZI, NILIVISHWA TAIRI NICHOMWE MOTO, NIKAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA”- MCHUNGAJI ASIMULIA
Unaweza ukakaa na kufikiri kuwa wewe una shida nyingi na kwamba Mungu amekusahau mpaka siku utakapo kutana na mtu aliyepitia shida nzito KULIKO wewe!
Kutana na PASTOR DEOGRATIUS MASAWE akipiga stori na @lillianmwasha kuhusu kifungo chake cha miaka 30 jela kwa kosa la UJAMBAZI!
Safari yake ya jela ilikuwaje? Maisha ya jela yakoje?
Tazama mahojiano haya ya KIPEKEE kupitia GLOBAL TV ONLINE.....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
Asante mrembo
Kipindi kizuri sana
Kaka deo ple.mungu mtumikie upo kwa ajili yake.usije ukaleta ubbaifu kwa muumba.pls una sisimuwa
HUYU NI MCHUNGAJ WANGU AISEE PASTOR DEO MASSAWE HUKU MBEZI (TEGETA A, GOBA) gonga like Kwa mchungaj
Massaweeeeee basi
Nafahamu ni urafiki yangu sana nilikuwa nae Gereza la ukonga kama itawezekana Nije kuabudu kwenu naomba nifahamu Jina la kanisa na lipo wapi.Asante
Pole sana ndugu Mimi ni raiya wa oman nimekifatilixiya kipindi chako hard tork nigiba raisi mama suluh Hassan awape msamaha wafungwa wengine watakuwa wameisha tubu na wamemrudiya mungu magereza siyo mahala pakuwomba hata kama ni aduwi yako usimuwombe mtu au kufunga huko na special majela ya huko tanzaniya nnavyo ya sikiya
Asalm alykum
Mungu akubariki Dada yetu kwa kazi njema unayofanya. Nampongeza na Ndugu yetu Deogratius kwa fungu jema alilochagua kuokoka na kumtumikia Mungu. Kumtumikia Mungu kuna faida. Tutafurahi sana kama utatuletea wengine wenye mikasa tofauti na ambao walimwona Mungu wakiwa Gerezani au hata uraiani.
Hongera sana kaka Deo kwa kumpokea Yesu barikiwa sana
,aqq
Zs sz
Itoshe tu kusema Utukufu wote apewe Bwana Yesu.
Hongera sana Lilian kwa kutuletea kaka Deo, hongera kwake pia kwa kutoka gerezani na ametoa ushuhuda mzuri sana juu ya jinsi gani Mungu ametenda maishani mwake. Hakika nimejifunsa mengi.
Mungu ni mwema....jmn kuna umuhimu wa kwenda kuwatembelea ndugu zetu gerezani....its real hard talk.
Kwakweli nimebarikiwa Sana inshaaaalah mwenyez mungu atutangulie maisha yetu
Amen umenipa nguvu Sana huu ushuhuda kwa nnayopitia ..
Huyu Kaka anasir nzito kwenye maisha yake nahis hata kuua aliua sema ndo kaamua kuokoka 😭🙏
na alivo na sura ngumu 😪😪
Hamna!!!!
Wewe hujawahi kutoa mimba? Au unafikiri kutoa mimba ni kuzaa
Mungu anatumia watu wenye udhaifu.Haijalishi umetenda nini.
@@shamimushittindi1418 🤣🤣🤣😍 mbavu zangu
Haleluyaaa Mungu wetu ni mwaminifu sana hawaachi amuombae ndugu zangu maombi yananguvu
Nimekuona my brother endelea kuipeperusha hii bendera ya Yesu. Nimefurahi kukuona ukisonga mbele.
Ameen Yarabb, naamini hata haya ninayopitia Allah atanipitisha sehemu sahihi 🙏
INSHA ALLAH. Amin.
Naliaa Mungu anaweza kufanya mambo katika njia ya Ajabu😭
Ubarikiwe Lilian pia ubarikiwe Mchungaji kwa ushuhuda wako kweli hakuna gumu kwa Bwana Yesu.
Lilian please guide this guy to write a book in Swahili to be translated into English French and Spanish it will be a true masterpiece best seller. Hollywood will do a movie from that book. Watching from Kenya with 💗❤️💖🌹
Nimejifunza mengi kwa kupitia shuhuda ya Mr Deogratus. Ubarikiwe sana na tena Sana deo
lilian toka nimezaliwa nafikiri sijawahi kuguswa kwa namna ya interview hii....moyo wangu una mengi sana kusema na Mungu juu yako ila kwamachache nitasema kwamba Namuomba ssna Mungu baba kupitia mwanae YESU CRISTO akubariki kwa kila kitu na akugunze kama mboni ya macho daima na kukujibu kila ombi na haja njema ya moyo wako .hakika kipindi hiki cha hard tolk mikono ya YESU inakuongoza kuendesha kipindi hiki....
Kwenye hii Dunia tusikate Tamaa mungu yumwema
Mungu wetu ana Njia nyingi za kukufikisha kwenye baraka!
Kwakweli mrudishe strory nzuri na inafundisha aje atupe pia aidia ya biashara iliyomfanya kwa kipindi kifupi kupata nyumba na gari na kuwa na maisha mazuri tafadhali 😉❤
Kutoka kwake gerzan Mungu alishamwamdalia mtu watu wa kumtoa at bila y biashara angetoka kimaisha Kamaukikutan na watu sahih Hy ankubia nakupa gar nimependa ushuhuda wako wengne at myumba wanakuchangia unashangaa antushinda at baadh y sis tuliokuw huru mtaan.
Tafadhali mrudishe Deo,mtu wa Mungu
Naomba arudi tena kwa kweli kumtegemea MUNGU kuna faida kubwa barikiwa kaka
Maombi hayaozi,Mungu muweza ndie kila kitu katika maisha ya mwanadamu,hongera kaka Deo na mwendesha kipindi
mungu akubariki dada nimejifunza mengi sana kupitia huyo baba mungu awatowe na wengine amina barikiwa dada lilian
Apo kwenye chakula saa nane mchana mpaka kesho Tena duh! Mungu tunusuru namabalaa sisi navizazi vyetu
Mwandishi usioneshe kushangaa sana siyo weredi!!
Una YAKO tu
Mwandishi ni mwanadamu,kuna wakati ubinadamu(i.e hisia na mapokeo mengine) vinashinda taaluma..
Anashangaa sana na yeye hadi anaboa
Nyie ambao mnaona hayashangazi mtakuwa mna roho ngumu sana
@@Future-ul4vi kwakweli stori kama hii ukashindwa kushangaa mmmh
Asante sana Dada yetu LILIAN MWASHA MTANDAO WA HARD TALK. UMEJIKITA KUINJILISHA IPASAVYO. MUNGU AKUBARIKI MNOMNO..
Ameeen maombi sio takataka ubarikiwe sana.
Mungu akubariki dada lilian,hii interview nilikikua naisubiri,cjui kwann huwa nasukumwa kutembelea wafungwa na cjawah,I need to do this
Ameen naamin ninayopitia ktk maisha Yang yatapita🙏🙏amenities moyo dada Lilian God bless you ❤️
Ameen and Ameen 🙏🙏🙏
Ameen
Lilian nimelia kwa kweli. Mwache Mungu aitwe Mungu
Dada wewe ni mtumishi wa MUNGU Vaa nguo ndefu ili usiwape nafas ya kukuhukumu kwa mavazi
Umeona mavazi tu kope alizoweka je?
Jamanii arudii tenaa ... Hukumuuliza kuhusuu nyumba na garii anazomilikii alizipata pata vipii ndanii ya kipindii hichii kifupii ama alikuwaa na nyumba before kuwa gerezaniiii
Ahsante sana Dada Lilian Mwasha. Kupitia Wewe nimeipata fursa ya kumjua Bw. Deograsia na hadithi ya maisha yake. Hongera kwa kazi yako nzuri. Mwenyezi Mungu akubariki.
Bw. Deo pole na Hongera sana. Mwenyezi Mungu ni mwema. Ningependa nipate mawasiliano na Wewe.
Mungu anatisha Bwana Yesu asifiwe saana
Hii ni shule kabisa mliotupa leo..Mungu awabariki sana
Hakika nimeoendezwa
Kwakweli .Mungu ni jibu kwa kila jambo asante kwa kazi nzuri .Dada Liliane Mwasha I love ❤️ you so much👏🏽na Kaka hapo ame tu jenga sana kwa story yake ambayo ame pitiya kwenye jail mubarikiwe sana .God be the Glory 🙏🏽🙏🏽
Nimependa hiki kipindi hongera niko Mozambique 🇲🇿🇲🇿👍💯
Oooh karibu tz
Arudi Tena na mke waje tuwaone Asante Sana kwa ushuhuda huu
Mungu azidi kumbariki naomba arudi afanye tena mahojiano
Hongera sana.Nimefurahi kusikia umepita kwenye tanuri la moto ili uje kuokoa wengi kupitia neno la Mungu na shuhuda zako za kusisimua. Ubarikiwe sana
Mungu anawajua walio wake....
Ubarikiwe Sana Kaka Deo kwa kumpokea Yesu Kristo nakumtumikia Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo kuwa Mchungaji kutii sauti yake
Mungu afananishwi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ukiwa na imani ni kweli mungu yuko kubwa ni kumrudia yeye mungu wetu,kwani hakuna mungu aliyeshindwa yuko mungu aliyetushindia.
Nakupenda Lilian Mwasha , you're an inspiration to many!
Lilian hilo seals la kurudi siyo la kuuliza ni la lazima, aje atuambie hiyo nyumba biashara na gari amevimirikije tangu mwaka 2019 Hadi 2022!
Umenitia moyo sana kumbe namm nitafikia ndoto zangu,namaisha yachangamoto yataisha kwangu nitamuona Mungu
Mwandishi mwache atililike paspo kumkatisha Kwa maswal pia acha kushituka shitka
Sister Nimesubirii Sanaa Umuulizee Swali la Rafiki Yake Waliefungwanae Alitoka Jela na Yeyee au Alibaki Jela na Kama Alitoka Walitokaa Muda Tofauti au Nani Alianza Kutokaaaa
Plz Naomba umuulize na uje kutupa jibu hata wewee🙏
Fanyeni iwe kila wiki, kipindi hiki kina mambo mazuri sana
ALLAHU AKBAR
MUNGU MKUBWA
Kuhusu yule rafiki yake pia alitoka nae ama ?
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu ni mwema pole sana kaka
Mungu amekupaaaaa sauti Mungu aibarikiiiisautiii yako mpendwa wa Mungu
Muendelezo alipataje mke,alipataje nyumba au gari na etc....
DEO amenibariki sana🙏 mrudishe tena naamini Kuna mengi zaidi ya kutufunza
Ameeeen ahsante nimejifunza👏👏
Rafik yake alitoka au imekuaje,history ya kaka imenitoa machoz lakin yote tuseme mungu ni mwema 🙏
Kweli akuna kukata tamaa kwenye hii dunia
Bro deo pole sana ,,.mpaka sasa utatambuwa ndugu mwema ni yupi kwako ,,
Hard Talk indeed! Lilian 👏
Mungu akubariki sana my Lilian nakupenda mnoo
Walikuwa wanaiba bila kuua kweelii????Mungu amekubadilisha sanaaa hoongeraa na usiwevuguvugu tenaa.Mtumikie Mungu vyema asikupungukie hata tone.Mungu akubariki sana.
Duh,hapo kwenye maendeleo mbona unatuvhanganya sana,miaka mwili tayari una nyumba, gari,Biashara,mhhhh,,
usikute anapiga mishe izo izo😜
Dada msifu aliyemuumba Yesu
Huyu na wenzie wameuwa wengi Kwa uwizi wao wa magari' ila hasemi tu kama walikua wanaua
Irudiwe aulizwe hili swali
@@asiaminja3556 Kwa kweli
Usihukumu usichokijua
We unataka kujua ameua ili nn? Note ni kubadilika
Jmn kashasema hakuwa mzoeefu na gar ya mwsho kuiba walmfnga kamba
Ikiwa jamuhuri ili kufunga kimakosa…una haki ya kufungua staka zidi ya jamuhuri kwakupotezea mdaa huu gerezani.
Umesikiliza au
@@hadijamandanje6189 😂🤣🤣🤣
@@konshazikonsha6180 maana amekilri alikuwa jambazi Ila wanasema amefungwa kimakosa aishitaki jamhuri,hivyo nimejifunza tukiona kichwa Cha habari tunatoa hukumu bila hata kusikiliza
Mungu Mkali
Hili kwa ninavyoona ni tangazo la dini tu hakuna kupigwa bila hata kovu!
SASA HILO TANGAZO KIVIPI SASA? KAMA KWAKO HAIINGII AKILINI TULIA, MAANA VITU VINGINE VYA ROHONI SIO RAHISI MBUGILA MBUGILA KAMA WEWE KUELEWA. SHUBAMIIIIIIIIIIT
Nimegundua shetani anashughulika Sana na watu wenye kitu ndani lakini walio wake Mungu aliwajua toka tumboni mwa Mama zao na aliwatakasa hawafi hao mpaka washuhudie matendo makuu ya
Hongera mchungaji
Maisha ni fumbo kuu hakuna haja ya kukata tamaa HONGERA MCH. DEO kama bado ana muendelezo wa hadithi mlete tena
Tunajifunza kutokana namakosa thanks Lilian
Nimefulahia kipindi hiki (hard talk) na nafuatilia nikiwa Rwanda. Big up sister
Hamna linaloshindikana kwa Mungu Yani mpaka mwili unanisisimka hii stori
Mungu asifiwe sanaaaa
Mungu ni mshindi Mungu mwema popote Mungu yupo
Namkumbuka sana huyo jamaa nikuwa namkutaga kipindi naenda kumtembelea kaka angu Emmanuel Humbe nayeye kashinda rufaa yake mwaka jana kwa mazingira kama hayo ya kaka Deo natamani nionane naye asee kaka Deo japo ata nipige naye stori
God exist in difficult situations
Lilian naomba uniombee na mie nakupenda sana
Jamani nimebarikiwa sana na story ya Deogracious very inspiring Asante Mungu nami na amini atanibadilishia maisha yangu🙏🏿
Nawe umekua mwizi...
Amen pole sana kaka
Audi atuambie miaka3tu amempata nyumba gari na biashara hii imekaaje arupata ufadhiri au vipi.
Dada Lilian nakukubali sana mungu ukubariki
Ubarikiwe dada
amen Mungu nimwema siku zote
Mungu huwajua wake tañgu kuzaliwa kwao.
Msawe arudi maana amenibariki sana isaack mwambojoke
Good lesson please bring him back🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
I have watched this more than 10 times
Haleluyaaaaa Mungu yupo na anaishiii
Kwa nini hakumzungumza tena yule DEREVA Jee aliwahi kuja kutoa ushahidi Mahakamani na jee alimuomba Msamaha , na wewe mtangazaji hukumuhoji hatiuma ya yule Dereva walikutana tena>>>???
Tafadhari mrudishe tena 🙏🏽
Mungu akubariki sana mtumishi
Lilian kweli nimelia. Unastahili kuwa mchungaji
Alhamdulillah kwayote big up Lilian❤👌👌👌
Asante dada Lili uyu baba arudi kweli
Dada Lilian. Naomba arudi. Swali la Rafiki ake aliishia wapi, amtembelee na kumshauri amrudie Mungu
In God we trust😘
Umemkatisha pale aliposema kuingia mahabusu ndio ilikuwa hatari kuliko alivyopigwa ungemuacha akaelezea kilichomkuta alipokuwa akiingia mahabusu
Nayeye alibakwa na yeye
Njia za Mungu hazichunguziki...Glory to God
Mkasa umepitia ila sasa hapo kwaiyo sauti baba pole baki napo sema allhamdulillah upo hai
Arudi atwambie baada ya kutoka alianzia wapi hadi kufikia kumiliki nyumba na kazi zote
Pole sana kakangu
Lilian hayo makope hujapendeza kabisaaaa