Huyo Kaka ako sheikh ubwabwa mpe mtu ukweli Kisha atajua yy chakuchagua na nilichogundua nilikua nahisi leo nimepata ukweri mwanamke anaweza kukuingiza motoni Kisha unaongea kwafuraha unaona umetenda jema nakusema nishawazoea waja utakuja kujibu hayo mbere ya Allah Kuna wangapi wanapitia magumu kushinda ww na wapo pamoja na Mungu dah makonde limeniuzi leo
Reytox napenda sana interview zako hongera sana unajua kumhoji mtu ❤❤
Asante sana
Nampenda sana leyla❤
Anacheko zuriii mashallaaah 👌🏼❤️
Interview pambe hatar asante mtoto wa Sakina waliyoka kwa kipindi kizuli
Asantee sana
Interview nzuri ❤
Ukewenza una uweza alikia
Akili mingi😂eti dida😂❤
❤❤❤❤
Umejibu kiakili sana kwa Dida hapo😂😂
Hii imeenda rey
❤❤
Sidaa kuna ujumbee wako hukuuuu😂😂😂😂😂 nimejikuta nacheka kwa nguvuuuu😂😂😂
Tatzo ww lela hujielewii kunatabu zaid yamoto wamung ww hujielew unamtia mwezio mattzoni uyokakaoko ndohajui mungu wala dini mtu mwenyedin atakwambia urud kwamziki hujielew lela hiiduniya achana nakuwapoteza watu
❤❤❤❤❤❤
😂😂😂apo kwa dida kutokaa kwenye ndoa chukua🎉🎉yko
Leila ww Mwanamke wa Kiislam, kuacha minywele wazi ndo nini? Hovyooo!
Huyo Kaka ako sheikh ubwabwa mpe mtu ukweli Kisha atajua yy chakuchagua na nilichogundua nilikua nahisi leo nimepata ukweri mwanamke anaweza kukuingiza motoni Kisha unaongea kwafuraha unaona umetenda jema nakusema nishawazoea waja utakuja kujibu hayo mbere ya Allah Kuna wangapi wanapitia magumu kushinda ww na wapo pamoja na Mungu dah makonde limeniuzi leo
Yaan nimechekaaa leila weweeee😂😂😂
Jibu kwa didaa😂😂😂😂
Hatari
Mh ulianza kuchononolewa ukiwa mdogo mno miaka 16 hao wazazi wk walizidi duh
Mbna yeye kachelewaa sanaa😂😂😂😂😂😂
Kajitahid watu wameanza na miaka 10 qta ungo qwajavunja wamevunjwa kilazima na mijamqa yenye uchu😢
❤❤❤❤