DEO SUKAMBI AFICHUA WANANDOA KUISHI MIAKA MINGI BILA TENDO -"WANAWAKE WAMEGEUKA WANAUME" | HARD TALK

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  8 місяців тому +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 8 місяців тому +6

    sukambi yupo vizuri kwa kweli somo zuri sana!!

  • @happychildren7003
    @happychildren7003 8 місяців тому +3

    Na ndo mana uislam unamtaka mwanamke kukaa nyumbani na mwanaume amhangaikie kwa kila kitu

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 7 місяців тому +1

    Ongereeni sana sana mnaongelea maisha ya watu wengi,lakini ongeeni kiswahili sahihi acheni kizungu,mbona mchungaji EZEKIEL wa kenya anaongea kiswahili tu,!!

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 місяці тому

    Nimependa hapo mwisho, ni kweli sio Mungu ndo anawajibu ....

  • @ANGELBYAMUNGU
    @ANGELBYAMUNGU Місяць тому

    Shikamoo Mr DEO

  • @neemajacob6407
    @neemajacob6407 8 місяців тому +2

    Wasn't boring for me. Nimejifunza

  • @SM-xt2yi
    @SM-xt2yi 8 місяців тому +1

    Jamani tunaomba mpunguze au mtoe hiyo background sound/music. Binafsi napata shida kusikiliza kinachosemwa.

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 8 місяців тому

    Pastor Deo umejibu vema issue ya Lesbians. I agree with you 💯 %

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 8 місяців тому

    Mungu anajibu kila mtu 🎉🎉

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 8 місяців тому +2

    Ametalk sense kabisa

  • @MamaNabii
    @MamaNabii 8 місяців тому

    Asante kwa mafundisho nimesaidika🎉🎉🎉

  • @nsiadawson7633
    @nsiadawson7633 7 місяців тому

    Nimejifunza kitu 👏👏👏

  • @UpendojohnTango
    @UpendojohnTango 8 місяців тому +1

    Mbarikiwe sana watumish

  • @hamidamussa593
    @hamidamussa593 8 місяців тому

    Golden voice # Lilian Mwasha💪

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 8 місяців тому +4

    😮uko kunena kwaa lilian ndo kunaniachaga hoi😅😅😅😅😅

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 8 місяців тому

      Mungu anisamehe ila huwa naona km ni kitu tu ambacho amekizoea😂, sio kunena kwa maana ya kunena kweli

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 8 місяців тому

      Nakwambia cjui anajua na maana yake😅

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 8 місяців тому +3

    JAMANI TULIKI MISS SANA KIPINDI. NEXT TIME MLETE CHRIS MAUKI

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki 4 місяці тому

    Sijui huujumbe utaupataje.mshirikiane kujenga hili

  • @ANGELBYAMUNGU
    @ANGELBYAMUNGU Місяць тому

    Umeniona mm

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 8 місяців тому

    THAT'S Deo Sukambi...

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 8 місяців тому

    Bila Dr. Elie kwa kweli hapanogi

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 8 місяців тому +2

    Kama naona ishu ya mke wa masanja na katibu yanahadiliwa kinamna!!😊

    • @imanimwakinga4934
      @imanimwakinga4934 8 місяців тому

      Ulikuwepo?? Au nawewe unadakia uliyoyakuta mitandaoni?? 😂😂😂😂😂 Kwanini hamuwezagi kusikiliza Tu kipindi bila kuwaza watu na maisha yao mazuri wewe huna hata mia 😂😂😂😂😂.

  • @michaelmgege4600
    @michaelmgege4600 8 місяців тому

    Doctor mwaka next time

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 26 днів тому

    ❤❤❤

  • @WinfridaNdege
    @WinfridaNdege 8 місяців тому +5

    kweli mnajiita watumishi wa Mungu alafu mnashangaa Mungu kujibu maombi ya ma lesbian? Mbona hamshangai Mungu kujibu maombi yetu sisi waongo, wazinzi, walevi , mafisadi n.k !! Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu, Mungu anachukia DHAMBI ila hamchukii MTENDA DHAMBI! na anatusubiri sote turejee tobani

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 8 місяців тому

    Ukiachia hao akina dada je nani anafikiri jana dhambi na anastahili kujibiwa na Mungu, Mungu habagui mtu

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 8 місяців тому

    Sukambi yupo vizuri sana lakini tumemmiss Dr Ellie utuletee jamani

  • @neponova8988
    @neponova8988 8 місяців тому

    Positive content🔥🔥🔥

  • @RogatheJosiah
    @RogatheJosiah 7 місяців тому

    Wanaumiza sana sitaki hata kuwa sikia uchungu nilionao munguvanajua

  • @RogatheJosiah
    @RogatheJosiah 7 місяців тому

    Dada mie Ni mmoja wa hao wanao chukia wanaume sana lla s

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 8 місяців тому +2

    HUYU DADA ANAPENDA MAPENZI😂😂😂😂

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan8203 8 місяців тому

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 8 місяців тому

    Ilikuwa bored. Tuletee mauki then turudishie Dr Elie

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 8 місяців тому

    Mama mwanamme hatapata mtu wa kumfanya feel like a man ndio wale huwa wanakuja kuwa wanawake na kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja kwa nini lazima awepo mtu wa kukufanya ujisikie kama mwanamme wakati wewe tayari ni mwanamme ina maana uanamme unatengenezwa na mtu mwingine na sio nature ulivyo zavyozaliwa?

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 7 місяців тому

    😂😂😂😂😂