Ongereeni sana sana mnaongelea maisha ya watu wengi,lakini ongeeni kiswahili sahihi acheni kizungu,mbona mchungaji EZEKIEL wa kenya anaongea kiswahili tu,!!
Ulikuwepo?? Au nawewe unadakia uliyoyakuta mitandaoni?? 😂😂😂😂😂 Kwanini hamuwezagi kusikiliza Tu kipindi bila kuwaza watu na maisha yao mazuri wewe huna hata mia 😂😂😂😂😂.
kweli mnajiita watumishi wa Mungu alafu mnashangaa Mungu kujibu maombi ya ma lesbian? Mbona hamshangai Mungu kujibu maombi yetu sisi waongo, wazinzi, walevi , mafisadi n.k !! Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu, Mungu anachukia DHAMBI ila hamchukii MTENDA DHAMBI! na anatusubiri sote turejee tobani
Mama mwanamme hatapata mtu wa kumfanya feel like a man ndio wale huwa wanakuja kuwa wanawake na kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja kwa nini lazima awepo mtu wa kukufanya ujisikie kama mwanamme wakati wewe tayari ni mwanamme ina maana uanamme unatengenezwa na mtu mwingine na sio nature ulivyo zavyozaliwa?
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Du😢😢
sukambi yupo vizuri kwa kweli somo zuri sana!!
Na ndo mana uislam unamtaka mwanamke kukaa nyumbani na mwanaume amhangaikie kwa kila kitu
Ongereeni sana sana mnaongelea maisha ya watu wengi,lakini ongeeni kiswahili sahihi acheni kizungu,mbona mchungaji EZEKIEL wa kenya anaongea kiswahili tu,!!
Nimependa hapo mwisho, ni kweli sio Mungu ndo anawajibu ....
Shikamoo Mr DEO
Wasn't boring for me. Nimejifunza
Jamani tunaomba mpunguze au mtoe hiyo background sound/music. Binafsi napata shida kusikiliza kinachosemwa.
Pastor Deo umejibu vema issue ya Lesbians. I agree with you 💯 %
Mungu anajibu kila mtu 🎉🎉
Ametalk sense kabisa
Asante kwa mafundisho nimesaidika🎉🎉🎉
Nimejifunza kitu 👏👏👏
Mbarikiwe sana watumish
Golden voice # Lilian Mwasha💪
😮uko kunena kwaa lilian ndo kunaniachaga hoi😅😅😅😅😅
Mungu anisamehe ila huwa naona km ni kitu tu ambacho amekizoea😂, sio kunena kwa maana ya kunena kweli
Nakwambia cjui anajua na maana yake😅
JAMANI TULIKI MISS SANA KIPINDI. NEXT TIME MLETE CHRIS MAUKI
Sijui huujumbe utaupataje.mshirikiane kujenga hili
Umeniona mm
THAT'S Deo Sukambi...
Bila Dr. Elie kwa kweli hapanogi
Kama naona ishu ya mke wa masanja na katibu yanahadiliwa kinamna!!😊
Ulikuwepo?? Au nawewe unadakia uliyoyakuta mitandaoni?? 😂😂😂😂😂 Kwanini hamuwezagi kusikiliza Tu kipindi bila kuwaza watu na maisha yao mazuri wewe huna hata mia 😂😂😂😂😂.
Doctor mwaka next time
❤❤❤
kweli mnajiita watumishi wa Mungu alafu mnashangaa Mungu kujibu maombi ya ma lesbian? Mbona hamshangai Mungu kujibu maombi yetu sisi waongo, wazinzi, walevi , mafisadi n.k !! Mungu huwanyeshea mvua wema na waovu, Mungu anachukia DHAMBI ila hamchukii MTENDA DHAMBI! na anatusubiri sote turejee tobani
Ukiachia hao akina dada je nani anafikiri jana dhambi na anastahili kujibiwa na Mungu, Mungu habagui mtu
Sukambi yupo vizuri sana lakini tumemmiss Dr Ellie utuletee jamani
Positive content🔥🔥🔥
Wanaumiza sana sitaki hata kuwa sikia uchungu nilionao munguvanajua
Dada mie Ni mmoja wa hao wanao chukia wanaume sana lla s
HUYU DADA ANAPENDA MAPENZI😂😂😂😂
Mapenzi ndiyo habarii ya mjin
❤
Ilikuwa bored. Tuletee mauki then turudishie Dr Elie
Mama mwanamme hatapata mtu wa kumfanya feel like a man ndio wale huwa wanakuja kuwa wanawake na kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja kwa nini lazima awepo mtu wa kukufanya ujisikie kama mwanamme wakati wewe tayari ni mwanamme ina maana uanamme unatengenezwa na mtu mwingine na sio nature ulivyo zavyozaliwa?
😂😂😂😂😂