BAHATI BUKUKU: WIMBO DUNIA HAINA HURUMA NI HISTORIA YA KWELI/AELEZEA MUME WAKE ALIVYOKAGULIWA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 48

  • @estheragapao
    @estheragapao Рік тому +2

    Nataka mimbo ya bahati bukuku, Mungu amubariki sana 🙏🙏

  • @bernadetahonde9972
    @bernadetahonde9972 2 роки тому +6

    Kazi Yako ni njema Mama barikiwa Sana Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 роки тому +6

    Uchungaji Mungu Akuite Ukijiita Utakimbia Barikiwa Sana Dadaa Watu Wanafikiri Ni Rahisi Mie Hata Umamaa Mchungaji Tu Siwezi

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 3 роки тому +8

    bahati toa nyimbo mama, we need you

  • @janemumbua7353
    @janemumbua7353 2 роки тому

    Hongera sana mama bahati kama unacho kibali kingini na ukitumie usije onekana kama yule mtu alizika tarada yake badala ya kutumikisha...I like the song waraka WA amani it blesses me so much God bless you.

  • @edicekemunto7123
    @edicekemunto7123 3 роки тому +3

    Mungu aendelee kukulinda,kukubariki na kukuneemesha AMINA

  • @deborasamweli8362
    @deborasamweli8362 3 роки тому +1

    Mungu akuzidishie neema nyingi saana muchungaji ubarikiwe na mungu

  • @joycegesare1571
    @joycegesare1571 3 роки тому +1

    Asante ushuda msuri , mungu akubariki sana kwa kutumia kalama yako

  • @qrolymzava3965
    @qrolymzava3965 2 роки тому +1

    Safi sana dada angu barikiwa sana

  • @nclaud.n9101
    @nclaud.n9101 3 роки тому

    Natamani sana kujua #bahati_bukuku yuko wapi! Ninyi ambao mnamsogerea eti tunahamu ya zile dozi ao mtupe mitandao ambako tunaweza mfwata...

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 2 роки тому +4

    Napenda nyimbo zako mama na zitaishi mpaka kiama

  • @sarahsalehe-zk6yu
    @sarahsalehe-zk6yu Рік тому

    Mungu akupe Maisha marefu my dada

  • @sharonmuhonja3532
    @sharonmuhonja3532 Рік тому

    nampenda bahati Sana yani Sana

  • @quiholoafonsoluvumboluvumb5925

    Adoro esta senhora.

  • @ماربيلا-ب4ن
    @ماربيلا-ب4ن 2 роки тому

    Haleluhya mungu ni mwema nikiwa saudia asante sana

  • @joycekibona3058
    @joycekibona3058 3 роки тому +2

    Mimi napenda sana wimbo wa waraka wa Amani MUNGU AKUBARIKI

  • @esterfungo3105
    @esterfungo3105 2 роки тому +1

    Hongera

  • @Semenimussa-i7x
    @Semenimussa-i7x 6 місяців тому

    Nampenda sana

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 3 роки тому

    Umeongea point kabisa mwana wa Mungu
    Ni kweli ukiwa na kitu cha tofauti lazima kutakuwa na upinzani mkubwa Sana
    Ukiona hauna mashambulizi ujue hauna kitu kitakacholeta madhara

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 2 роки тому

    Umesema kweli kabisa mtumishi wa Mungu.

  • @eliyamwaipopo5873
    @eliyamwaipopo5873 2 роки тому +1

    Waimbaji wengi hawa aminiki ndoa zao zime vunjika awana ushu uda wao mbovo sana wakiongozwa natamaa zapesa pia wanao washabikia wana ufaham mdogo sana wa kimungu acha magugu nangano vimee pamoja

  • @rachelsimbeye9637
    @rachelsimbeye9637 2 роки тому

    Mungu akubariki mama

  • @julianakavula8195
    @julianakavula8195 2 роки тому

    I love your voice mama

  • @christopheraine6446
    @christopheraine6446 3 роки тому +4

    Jamani huyu dada ametumwa na Mungu

  • @rizikiruwa7116
    @rizikiruwa7116 2 роки тому

    Barikiwa dadangu

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 3 роки тому

    Nimekuelewa sana

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 2 роки тому +1

    Sauti yake naipenda sana vile ilivyo nzito ivyo ndo naipenda sana

  • @GasperKissend
    @GasperKissend 6 місяців тому

    Naomba kufaha mama yng bahati unawatoto wangp

  • @LydieFAiDA-mo6mi
    @LydieFAiDA-mo6mi Рік тому

    Bahati bukuku dunia haina uruma

  • @zachariadoro1073
    @zachariadoro1073 2 роки тому +1

    Kesho ni fumbo ni storia ya kweli family ya mfikemo mbeya, Mimi sio mkazi wa mbeya Bali ni mfutiliaji na shabiki wako

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 2 роки тому +1

    Amina

  • @irangamariekulimushi1687
    @irangamariekulimushi1687 3 роки тому +1

    Ushuhuda nzuri

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 роки тому +2

    Haki wala✍️

  • @moisemuhindotayiswika5317
    @moisemuhindotayiswika5317 Рік тому

    Bahati bukuku namupenda ila ombi langu ni atengeneze FILAMU ya WIMBO wa UMEWAZIDI WOTE

  • @celinekanonge2829
    @celinekanonge2829 Рік тому

    Nîmes wafata Lubumbashi

  • @pimgee7237
    @pimgee7237 3 роки тому

    Amen

  • @geoffreymwasaghua1721
    @geoffreymwasaghua1721 Рік тому

    Mbona hukuombea ndoa yako dada?

  • @alexraphael3177
    @alexraphael3177 3 роки тому

    Mkifika wa 4 mniambie saw

  • @saladaniel9274
    @saladaniel9274 3 роки тому

    Wa tano

  • @evodiaeverist8675
    @evodiaeverist8675 3 роки тому +1

    Huuni mwisho wadunia kwasababu maandiko matakatifu yanasema nyakati zamwisho dini itakua nibiashala kamabiashala zingine

    • @mwatebelalugano8531
      @mwatebelalugano8531 2 роки тому

      Kitabu gani hicho kinaeleza kuwa dini itakuwa biashara kama biashara zingene?

  • @MJ-ye7dd
    @MJ-ye7dd 2 роки тому

    Sa mwataka mwimbaji afungue baa? hahaha Bahati

  • @berthamassawe1498
    @berthamassawe1498 3 роки тому

    Wakwanza

  • @zakayombangoissaya5697
    @zakayombangoissaya5697 3 роки тому +2

    Wa pili

    • @jeanettemwakalonge7168
      @jeanettemwakalonge7168 2 роки тому

      Mungu akubariki Bahati bukuku nakupenda sana mama

    • @mamaommi5696
      @mamaommi5696 2 роки тому

      Ninyakiti za mwisho wimbo huu barikiwa,na wimbo huu nininivkina wagombanisha aaaaaaa bahati barikiwa sana maam

    • @jennydanny2681
      @jennydanny2681 2 роки тому

      Uko imara mno nimekuww nikifatilia