Hongera sana mama bahati kama unacho kibali kingini na ukitumie usije onekana kama yule mtu alizika tarada yake badala ya kutumikisha...I like the song waraka WA amani it blesses me so much God bless you.
Umeongea point kabisa mwana wa Mungu Ni kweli ukiwa na kitu cha tofauti lazima kutakuwa na upinzani mkubwa Sana Ukiona hauna mashambulizi ujue hauna kitu kitakacholeta madhara
Waimbaji wengi hawa aminiki ndoa zao zime vunjika awana ushu uda wao mbovo sana wakiongozwa natamaa zapesa pia wanao washabikia wana ufaham mdogo sana wa kimungu acha magugu nangano vimee pamoja
Nataka mimbo ya bahati bukuku, Mungu amubariki sana 🙏🙏
Kazi Yako ni njema Mama barikiwa Sana Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.
Uchungaji Mungu Akuite Ukijiita Utakimbia Barikiwa Sana Dadaa Watu Wanafikiri Ni Rahisi Mie Hata Umamaa Mchungaji Tu Siwezi
bahati toa nyimbo mama, we need you
Hongera sana mama bahati kama unacho kibali kingini na ukitumie usije onekana kama yule mtu alizika tarada yake badala ya kutumikisha...I like the song waraka WA amani it blesses me so much God bless you.
Mungu aendelee kukulinda,kukubariki na kukuneemesha AMINA
Mungu akuzidishie neema nyingi saana muchungaji ubarikiwe na mungu
Asante ushuda msuri , mungu akubariki sana kwa kutumia kalama yako
Safi sana dada angu barikiwa sana
Natamani sana kujua #bahati_bukuku yuko wapi! Ninyi ambao mnamsogerea eti tunahamu ya zile dozi ao mtupe mitandao ambako tunaweza mfwata...
Napenda nyimbo zako mama na zitaishi mpaka kiama
Mungu akupe Maisha marefu my dada
nampenda bahati Sana yani Sana
Adoro esta senhora.
Haleluhya mungu ni mwema nikiwa saudia asante sana
Mimi napenda sana wimbo wa waraka wa Amani MUNGU AKUBARIKI
Hongera
Nampenda sana
Umeongea point kabisa mwana wa Mungu
Ni kweli ukiwa na kitu cha tofauti lazima kutakuwa na upinzani mkubwa Sana
Ukiona hauna mashambulizi ujue hauna kitu kitakacholeta madhara
Umesema kweli kabisa mtumishi wa Mungu.
Waimbaji wengi hawa aminiki ndoa zao zime vunjika awana ushu uda wao mbovo sana wakiongozwa natamaa zapesa pia wanao washabikia wana ufaham mdogo sana wa kimungu acha magugu nangano vimee pamoja
Mungu akubariki mama
I love your voice mama
Jamani huyu dada ametumwa na Mungu
Barikiwa dadangu
Nimekuelewa sana
Sauti yake naipenda sana vile ilivyo nzito ivyo ndo naipenda sana
Naomba kufaha mama yng bahati unawatoto wangp
Bahati bukuku dunia haina uruma
Kesho ni fumbo ni storia ya kweli family ya mfikemo mbeya, Mimi sio mkazi wa mbeya Bali ni mfutiliaji na shabiki wako
Amina
Ushuhuda nzuri
Haki wala✍️
Bahati bukuku namupenda ila ombi langu ni atengeneze FILAMU ya WIMBO wa UMEWAZIDI WOTE
Nîmes wafata Lubumbashi
Amen
Mbona hukuombea ndoa yako dada?
Mkifika wa 4 mniambie saw
Wa tano
Huuni mwisho wadunia kwasababu maandiko matakatifu yanasema nyakati zamwisho dini itakua nibiashala kamabiashala zingine
Kitabu gani hicho kinaeleza kuwa dini itakuwa biashara kama biashara zingene?
Sa mwataka mwimbaji afungue baa? hahaha Bahati
Wakwanza
Wa pili
Mungu akubariki Bahati bukuku nakupenda sana mama
Ninyakiti za mwisho wimbo huu barikiwa,na wimbo huu nininivkina wagombanisha aaaaaaa bahati barikiwa sana maam
Uko imara mno nimekuww nikifatilia