"MAGUFULI ALIKIONA KIFO CHAKE, ALITAKA AKAFIE NYUMBANI KWAKE" MSTAAFU MABEYO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 62

  • @user-tl4cy7br6v
    @user-tl4cy7br6v 5 місяців тому +8

    Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 місяців тому +15

    Dah kama naww imekugusa hii tujuane

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 5 місяців тому +7

    Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo

  • @Tizah-255
    @Tizah-255 5 місяців тому +8

    CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake

  • @prophetjamesmzigaba4447
    @prophetjamesmzigaba4447 5 місяців тому +10

    Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 5 місяців тому +5

    mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 5 місяців тому +4

    Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 5 місяців тому +4

    Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.

  • @crispinakimaro3821
    @crispinakimaro3821 5 місяців тому +2

    Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 5 місяців тому +10

    😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 5 місяців тому +5

    Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 4 місяці тому

      Ndo najiuliza apa sipati majibu

    • @emanuelshine
      @emanuelshine 3 місяці тому

      Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.

  • @JaphethKauno
    @JaphethKauno 3 місяці тому

    Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.

  • @ivangasper1709
    @ivangasper1709 5 місяців тому +1

    Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 5 місяців тому +3

    Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JackM.-mh5cs
    @JackM.-mh5cs 2 місяці тому

    Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 5 місяців тому +2

    Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi1137 5 місяців тому +2

    ipo sku mtasem ukweli

  • @joselinemwaki9665
    @joselinemwaki9665 5 місяців тому +1

    Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli

    • @simasima8084
      @simasima8084 5 місяців тому

      Asante kwa kugundua hilo😢😢

  • @geofreymlingwa2914
    @geofreymlingwa2914 5 місяців тому +1

    Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM

  • @joharimillanga1587
    @joharimillanga1587 4 місяці тому

    Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia

  • @chuisayi754
    @chuisayi754 5 місяців тому +4

    Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 5 місяців тому +1

      Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 5 місяців тому +1

      Nakwambia wanafik tuu hawa...!!

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh 4 місяці тому

    Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh

  • @JusteneAtilio
    @JusteneAtilio 29 днів тому

    Daaah

  • @ezekielmbazi.8687
    @ezekielmbazi.8687 4 місяці тому

    Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid

  • @user-ve1xm7gn9y
    @user-ve1xm7gn9y 5 місяців тому +1

    Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿

  • @mrmiamiaclassic6492
    @mrmiamiaclassic6492 5 місяців тому

    Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 5 місяців тому

    Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu

  • @vitalgiddy04
    @vitalgiddy04 5 місяців тому

    Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi

  • @user-mortone
    @user-mortone 5 місяців тому

    Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea

  • @VeronicaVitus-rk5mf
    @VeronicaVitus-rk5mf 5 місяців тому +3

    😢

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7l 5 місяців тому

    ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 5 місяців тому +2

    Inauma sana

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 5 місяців тому

    hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!

  • @joshuambilinyi6655
    @joshuambilinyi6655 4 місяці тому

    Daah

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh 4 місяці тому

    Sjakuelewa kabisa

  • @RichardNyalucy
    @RichardNyalucy 5 місяців тому

    Ccm wamemlambisha kisu chenye asali

  • @JulianaMakunja-vr4jl
    @JulianaMakunja-vr4jl 5 місяців тому +1

    Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭

  • @justinjasson7070
    @justinjasson7070 5 місяців тому

    Mzera kulikuwa na vifaa?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 місяців тому

    Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102 5 місяців тому

    Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?

  • @MagingaJoseph-iw9nk
    @MagingaJoseph-iw9nk 5 місяців тому

    😢rip

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 місяців тому

    Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 4 місяці тому

      Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee

  • @user-wl8ok7zz5d
    @user-wl8ok7zz5d 5 місяців тому

    rip

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 5 місяців тому +1

    Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 5 місяців тому +1

      Ulikuwepo syoooo????

    • @fortunendyamukama3906
      @fortunendyamukama3906 5 місяців тому

      Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 5 місяців тому

      @@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 5 місяців тому

    Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 5 місяців тому

    Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.

    • @doiabel3793
      @doiabel3793 5 місяців тому

      Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu

  • @Eng2460
    @Eng2460 5 місяців тому

    😭😭