Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 648

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 5 місяців тому +81

    Kama umerud tena kuangalia gonga like hapa!!!!

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 5 місяців тому +25

    Huyu mzeee ni mashine ya kazi.. kama umeangalia hapa 2024. Baada ya kum miss magufuli wetu.. 🤝

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 11 місяців тому +123

    Jamn wanaotamn arudi Kazin Rc Agrey plz like hapa😂😂😂

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 2 місяці тому +1

      Mimi😂😂

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 2 місяці тому

      Ndio unaposhangaa hii nchi yetu,mtu kama mwanri eti yupo nje ya mfumo

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 2 місяці тому

      Alistafu mdatu​@@hassanhancha1413

    • @user-vy2fc5nc5u
      @user-vy2fc5nc5u Місяць тому

      Baada ya magufuri kufa huyu jamaa alikataa mambo ya siasa sasa hivi ni mtu wa kanisan

  • @israelsiame4403
    @israelsiame4403 3 роки тому +550

    Nani ameangalia hii baada ya Dr Magufuli kutangulia mbele za haki, like tujuane.

  • @majosamalundi3687
    @majosamalundi3687 4 роки тому +28

    Huyu mzee nampenda kwa sababu hana shida nawanasiasa anachapa kazi mungu amubaliki

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 4 роки тому +51

    Huwezi choka kumsikiliza Rc Agrey Mwanri. Nimesha sikiliza hii clip zaidi ya mara 5. Na sitachoka kurudia kusikiliza. Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa

  • @abelfidel4568
    @abelfidel4568 4 роки тому +47

    jamaa ni kichwa sana japo unaweza dhania kuwa ni comedian but lina akili nyingi sana na liko very brilliant kwenye kaz

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 4 роки тому +149

    Nisije nikakukosea adabu mkuu! Hebu nipeni like jamani maana nimecheka sana!

  • @williamkwigema4169
    @williamkwigema4169 4 роки тому +143

    Toronto ya Tanzania. Big up Mh Rais kwakumteua huyu mzee. Tuletee huyu mzee hapa Manyara.

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 4 роки тому +35

    Duuu mkuu wangu huyu huwa ananibariki sana. yaani hata kama amekasirika utacheka tu. Barikiwa mzee wa Toronto.

  • @barakaoriginal4044
    @barakaoriginal4044 3 роки тому +79

    Naitazama paka keleo 28/3/2021 Niachie like yako

  • @WivianRich
    @WivianRich 4 роки тому +96

    Mimi namkubali sana Mzee wa Toronto, mchapakazi mwanzo mwisho alafu yupo makini, kumuongopea ni ngumu mno

    • @lotimwansule5017
      @lotimwansule5017 4 роки тому +2

      Rais John magufulini ebu mlete huyo mkuu wa mkoa Rukwa ,mkoa huu umezubaa sana ,auchangamshe huyo mzee wa Toronto Ni kiboko

  • @Masco_Ke
    @Masco_Ke 4 роки тому +38

    I am from kenya but yes he is doing great Tabora is growing

  • @arsenmakoye4650
    @arsenmakoye4650 4 роки тому +28

    mzee wa vituko Mungu ampe maisha marefu

  • @johntogoro6191
    @johntogoro6191 3 роки тому +44

    Tulifurahi sana enzi zenu jamani, ila ndo mapenzi ya Mungu

    • @suzansuzanei1143
      @suzansuzanei1143 Рік тому

      Amefariki kwani huyu mkuu wa mkoa

    • @quanthug9517
      @quanthug9517 Рік тому

      @@suzansuzanei1143 hapana yupo Ila kwa Sasa sio mkuu wa mkoa ,alitaka kugombea ubunge akashindwa kwa kura Moja.Kwahiyo Kwa Sasa ni barozii wa zao la pamba na Mwinjilist Kanisa Fran hivi la tabora

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 9 місяців тому

      Yupo hai

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 9 місяців тому

      Yupo hai

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 4 місяці тому +1

      Yaani saa hizi tungekuwa kama Ulaya😢

  • @eduardomiheso8888
    @eduardomiheso8888 2 роки тому +22

    Good intelligence of a such leader💪

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 3 роки тому +25

    Sijui kwa nn walimpa uaraisi Samia SULUHU sibora wangempa Huyu mzee wa Toronto yupo vizur Mashallah

  • @silamwamlima2758
    @silamwamlima2758 4 роки тому +101

    Mwanri anaongea balaaaaaaaa duuuuu full comedy

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 3 роки тому +1

      Comedy lakini kwa vitendo ni balaaa

  • @paulnyobisontours3423
    @paulnyobisontours3423 4 роки тому +27

    Big up sana mwanri👏👏👏

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 4 роки тому +86

    Nataman tu skku moja nikutane na Mh. Magufuli walau nimshike mkono wa kumpongeza. Mungu akulinde Rais wangu na vibaraka wrote na wasokupenda wote no wachawi

  • @williamramatinga3607
    @williamramatinga3607 4 роки тому +6

    Hongera sana mh. Mwanri kwa hotuba fupi na nzuri.

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 4 роки тому +19

    Briliant and exellent speech.

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 4 роки тому +11

    SuKuma ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...... I Love ToroNto💝💝🇹🇿💝💝

  • @babuuwakitaa1285
    @babuuwakitaa1285 4 роки тому +5

    Safiiii Mzee Wang nakukubaliiii kinyamaaaa

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo2348 4 роки тому +18

    Kiukweli katika speech zilizobamba na zitabamba miaka nenda rudi ni hii.. Mwanri ana uwezo mkubwa mno Tena sana wa ku capture mindset & attention za watu. Magu mwenyewe hapo anasaluti 😆

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 роки тому +170

    Wangp Wana Amin manwali ndo kiboko ya maguful

  • @dionizcyprian7045
    @dionizcyprian7045 3 роки тому +30

    The best speech I never heard

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 4 роки тому +4

    Agrey Mwaniri kagombeee tunatamani kukuona Bungeni kwa Mara nyingine bado unafaa kuisaidia nchi Nadhani kusitafishwa kwako kuna maana plz do it Dad I love so much natamani kuwa kama wewe

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 2 роки тому +12

    Absolutely true,! He did a great job in Tabora .

    • @ambelejames1862
      @ambelejames1862 2 роки тому

      RC huyu nilikuw namuelewaga sana hata cjui wamempeleka wap

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 роки тому +13

    Magufili he was my hero RIP

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 4 роки тому +9

    Dah kama unastres zinaisha zote hongera baba unakipaji cha kufurahisha na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jaxboytv7834
    @jaxboytv7834 4 роки тому +72

    TORONTO'S PEOPLE MPO...🔥🔥😂😂

  • @elijahgichumbi9971
    @elijahgichumbi9971 Рік тому +20

    East Africa will never have a President like this. Whoever instigated Rais. John Pombe Magufuli's death, his or he's 10 generations will only see trouble. Rest well my hero

    • @MrHersun
      @MrHersun 11 місяців тому

      Covid killed him for his obtuseness

  • @emmanuelbembe6202
    @emmanuelbembe6202 4 роки тому +7

    Katika wakuu wa mikoa ambao huwa na furahishwa na kazi zake ni huyu wa tabora kiukweli anapiga kazi vizuri sana

  • @adrianmallyakibona.352
    @adrianmallyakibona.352 4 роки тому +5

    Aggry Mwandry, ni mfano wa viongozi shupavu wanajua Kucheza na opportunities. Kiukweli raisi amefanya kazi kubwa na mkuu wa mkoa huyu ni mfano wa kuigwa Kwa kweli... Hongereni Sana viongozi wa nchi

  • @teamruto7806
    @teamruto7806 4 роки тому +25

    This guy is just so smart. 🇰🇪

  • @abdulrahmanmuhamad6927
    @abdulrahmanmuhamad6927 4 роки тому +24

    Nampenda sana huyu mzee

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 4 роки тому +10

    😂Nampenda sana huyu Mzee wa Toronto huwaga ananifuraisha mpaka natokwa na machozi ya furaha, Good job Mzee Mwanri

  • @masoudrashid6180
    @masoudrashid6180 4 роки тому +6

    Nakuheshimu sana mzee upo vizur sana

  • @pauljpaul6625
    @pauljpaul6625 3 роки тому +4

    Mzee wangu Mungu akuweke sanaaa

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 роки тому +8

    Rais Mama Samia mpe huyu jamaa Mkoa mmoja tufurahi.

  • @tuonhfhgf1605
    @tuonhfhgf1605 4 роки тому +45

    Yaan Mzee Unaongea Kama Unatafuna Halua Tamu Isiyokwisha utamu

  • @lazaromasimami9094
    @lazaromasimami9094 3 роки тому +23

    Wangap wanangalia had sasa video hii tujuane

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 4 роки тому +7

    Hahahaha umetisha mzee wa Toronto huwa nakukubali sana.

  • @samsonsamson1152
    @samsonsamson1152 4 роки тому +172

    upele umempata mkunaji....nahamia torontooo

  • @gibsonndegwa6325
    @gibsonndegwa6325 4 роки тому +3

    Tanzania you have a real visionary leader.The real sukuma ndani

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 4 роки тому +10

    Upo vzr ktk kuwasilisha mzee

  • @marrywilliam3987
    @marrywilliam3987 4 роки тому +6

    Woyoooo Jaman karibuni sana Torontooo, nakupenda bure Agrey

    • @paulina.kivuyo166
      @paulina.kivuyo166 4 роки тому

      Nakupongeza sana mwanri kanyaga mafuta hivyo hivyo .

  • @EvelyneChacha9
    @EvelyneChacha9 3 роки тому +4

    Vizuri😍😍nimependa sana
    Magufuli simama😭

  • @cruzzymsomalitm7676
    @cruzzymsomalitm7676 4 роки тому +7

    *dah uyu jamaa ni noma anaongea faster kama kameza wasafi studio*🔥🔥🔥🔥🔥

    • @vitalsymon454
      @vitalsymon454 4 роки тому +1

      Cruzzy MsomaliTM SIHA tunakusubiria mbuge wetu

  • @johnmanda3210
    @johnmanda3210 4 роки тому +85

    huyu jamaa atahusika kwenye kampeini kumsaidia mkuu... yuko vizur xn wana tbr tusiame

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 роки тому +1

      nahamia Toronto...lol

    • @mussabuhe1832
      @mussabuhe1832 4 роки тому

      Jamani morogoro lini mamikoa yote naona kama mamizigotu sijuikunaninitu jamani

    • @alexngao4605
      @alexngao4605 4 роки тому

      Nkbl

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 Рік тому +3

    Much love from Kenya 🇰🇪 ❤

  • @thomasmagoti1525
    @thomasmagoti1525 4 роки тому +23

    Mhhhh!!!! Hahaahasss sukuma ndaniiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @amosmwita4111
    @amosmwita4111 4 роки тому +2

    Namupendaaaa Sana ningependaaa au mkuu wangu wa mkowaa wangu yuko vizurii Sana duuhuu h

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 роки тому +2

    Dahaaaa nampenda sana Mzee wa torontooo

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 4 роки тому +81

    MZEE WA SUKUMA NDANI OYEEEEEEE

  • @JoshuaMasunga
    @JoshuaMasunga 2 роки тому +4

    Dah, Mambo yetu ni bambam🤣🤣 likes nyingi kwa Mzee wa Sukuma ndani tafadhari........

  • @awenanassor3169
    @awenanassor3169 4 роки тому +76

    Hiyo speed ya kuongea utafkiri umesetiwaa au ulipita studio nini? Endeleaaa kusuquma ndani wahalifu

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 роки тому +7

    😂😂😂😂 mwanri sijui anakuaga amepata mvinyo kidogo manake anafurahisha. R.I.P mkuu Magufuli

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 роки тому +38

    JMP flesh air of Tanzanian politics....mpaka raha...

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 2 роки тому +18

    This guy is an eloquent and gifted orator!

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 4 роки тому +25

    Heheheeee!! Kama umemwelewa mkuu wa mkoa wa taboraa kama mimi gonga like🤣🤣🤣

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 4 роки тому +10

    Hongera sana Mhe RC tabora uko vizuri wewe ni shujaaa hata prezident anakujua kuwa wewe ni shujaa tunaiombea kila raheli Toroto

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 роки тому +5

    Mzeeee was sukuma ndani😄😄😄😄😄😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥💥kura yangu nakupa bure kabisa. Unapiga kazi sana.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 11 місяців тому +3

    Itifaki imezingatiwa. Protocols observed 🇰🇪

  • @isayachisanza7748
    @isayachisanza7748 4 роки тому +11

    mungu anakuona Mzee wa sukuma ndani

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 4 роки тому

    Anaesema ni comed apite kulr anatiririka vzr mnoo hongera mzee

  • @petermwalongo9848
    @petermwalongo9848 2 роки тому +14

    Live long Mzee wa Toronto!

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c 4 місяці тому

    I love you mwandy uko vzr mnooooo Hawa ndiyo viongozi waliotuachia historian bhanaaaa

  • @martinfrancis3709
    @martinfrancis3709 4 роки тому +15

    Mimi nakuombea uwe mhubili wa injili safi sana

  • @shabanijulius8345
    @shabanijulius8345 4 роки тому +12

    Motherland ❤

  • @gitegagitega6543
    @gitegagitega6543 4 роки тому +8

    Sukuma ndani natamani nahuku🇧🇮🇧🇮nione mvi Kama yamzee wa Toronto tabora magufuri wewe nijembe dunia nzima Mimi Ni MURUNDi nikionana nawee face to face nakupa Laki mbili atakama wewe nimweshimiwa kwasababu wewe nijembe dunia nzima 🙏🙏🙏ww Ni number ☝️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊💪👊🏋️🏋️🏆🏆🏆 wabongo mungu awape Nini? 👊👊

  • @liyanakarzan182
    @liyanakarzan182 4 роки тому +1

    Naomba mungu anijalie mume wa Toronto nikapaone

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 4 роки тому +42

    Aiseee ardhi inafukuliwa hadi inalia!

    • @nelsonjackson7332
      @nelsonjackson7332 4 роки тому +1

      Sisi wa Toronto tupo swafi. Maisha ni motooo

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 4 роки тому +2

      Hapo imebidi magu acheke tuuu😂😂😂🤣🤣🤣

  • @issazakaria9704
    @issazakaria9704 4 роки тому +21

    Huyu jamaa ni shida anaongea fluently kama mchina

  • @MichapoyaBongo
    @MichapoyaBongo 4 роки тому

    MWANZO MWISHO MAULID KITENGE,MWANAIDI SULEIMAN,MKULE NA EDO KUMWEMBE WALIVYOTAMBULISHWA WASAFI FM...>>>ua-cam.com/video/gsSsaZAe1dw/v-deo.html

  • @zakariamkopi3353
    @zakariamkopi3353 2 роки тому +2

    Kwanza anavyo ongea t ana jiamini na kile anacho kisema nikiongozi wa maana sana huyu mzee ni mchapa kazi hakika

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon5131 4 роки тому +5

    Am kenyan and am moving to Tanzania..bambam

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 2 роки тому +2

    Daaah hakika serikali ya magufuli ilichangamka sana

    • @saidantugwa7671
      @saidantugwa7671 2 роки тому

      13hrs ulikuwepo mzee ....dah tunamis ving sana awamu ya 5

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 10 місяців тому

    One of the best orator very smart

  • @janethhamza8316
    @janethhamza8316 4 роки тому +1

    Mzee mungu Akutunze Amina

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 2 місяці тому

    Mzee wa Toronto very determined 🎉

  • @paschalmsizu7674
    @paschalmsizu7674 4 роки тому +11

    Toronto mpya hyo

  • @bonimwitwa5327
    @bonimwitwa5327 4 роки тому +34

    4 sure rais wetu anastahili sifa jpm is the first among the best.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 4 роки тому +6

    Huyu anafaa kuwa mwana Habari wa Ikulu maana anaweza.

  • @eliasantemhonjwa6256
    @eliasantemhonjwa6256 3 місяці тому

    Haya majembe ni hatari, nacoment 2024. RIP Magufuli

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 Рік тому

    Alimpatia sana Magufuli kwa kummwagia matakwimu bila kusoma.
    Mwanri oyeeeeeee!

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 3 роки тому +2

    mwanri kuna kipindi alikuwaga waziri wakati wa maswali bungeni mbunge akimpiga swali kabla hajajibu kwanza anamsimfia mbunge muulza swali kwa swali lake zuri na anavyowatetea watu wake baada ya hapo ndio anamjibu swali lake ana mbinu sana za uongozi

  • @michaelvincentmhagama8674
    @michaelvincentmhagama8674 4 роки тому +6

    Safi sana

  • @Chugacomedyofficial
    @Chugacomedyofficial 4 роки тому +1

    Safi Sana huwa nikusikiliza lazima nitabasam

  • @Mazanhi-G
    @Mazanhi-G 3 роки тому +5

    Hii ndio video ya kwanza kuangalia na kuvutiwa kwa huyu mkuu. Toka hio siku ilibidi nitafute kumjua zaidi. Mtu wa ajabu sana. Namfuatilia sana, watu wa tizedi nawaomba mpeni huyu kiti aongoze nchi.

  • @obamachamwino7670
    @obamachamwino7670 4 роки тому +12

    daaah.. uyu jamaa n atareeeee sana.. aya toronto tujuane apo wazee

  • @FATIMA12782
    @FATIMA12782 Місяць тому

    Nimeitazama Leo 13/07/2024 please like zenu jamani

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 24 дні тому

    Enzi hizo kulikuwa na mbwembwe na vicheko kwenye uongozi Mungu awabariki

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 4 роки тому +9

    Kaka!! unakemea mapepo au unahutubia, mbn mpk kuhema unashindwa 😂😂😂😂

  • @abdallahjuma3413
    @abdallahjuma3413 Місяць тому

    Mungu amjalie sana🎉

  • @christamazara1266
    @christamazara1266 3 роки тому +3

    Nakukumbuka sn Rais wangu duh pumzika kwa aman.

  • @dianazambi2447
    @dianazambi2447 4 роки тому +5

    Aaaaahhhhaaaaaa mzee wa Toronto nakupenda kwel

  • @user-yn4oi3cz2v
    @user-yn4oi3cz2v 4 місяці тому +1

    Hiv Kuna mtu Bado anaangalia hii video mpaka Leo kama mimi😂

  • @cecymaro1374
    @cecymaro1374 4 роки тому

    Asee uyu mzee ni wakuigwaa kabisaa simwezii jaman yuko vizurii baba magufuli mpee kitii ichoo baba 🤗🤗🤗😂😂😂😂😂