Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 16 бер 2024
- #UhondoTV #Uhondo
КОМЕНТАРІ • 66
Наступне
Автоматичне відтворення
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"Millard Ayo
Переглядів 92 тис.
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE STEVE MWEUSIMweusi Family
Переглядів 5 млн
KUHUSU KIFO MANENO YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI | MANENO MAZITO KWA KIJAZISamMisago
Переглядів 2,6 млн
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 72 млн
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 460 тис.
Сильна історія 🎥: 🎥: Kevin W. / X #спорт #олімпіада2024 #олімпійськіігри2024СПОРТ УКРАЇНИ SHORTS
Переглядів 1,3 млн
🔥Огненный фокус с зажигалкой Zippo! #обучениефокусам #александрнапорко #напоркоАлександр Напорко
Переглядів 7 млн
MWIJAKU AWAONYA YANGA KUFIKA KWAKE “WATANILIPA” AAHIDI KUWEKA GOROFA LAKE MECHI IYAJO SIMBA NA YANGAMillard Ayo
Переглядів 40 тис.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARAGlobal TV Online
Переглядів 1,2 млн
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 03 | Love StoryDONTA TV
Переглядів 605 тис.
"MAPYA" LEMA ALILIPUA SAKATA LA MAKONDA UKWELI WAFICHUKA SASA AMNA SIRIYuhai media
Переглядів 265 тис.
JPM ‘alipomtwangia’ simu Jafo na kumtaka aanze safari ya kwenda MkurangaAzam TV
Переглядів 2,5 млн
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATOWasafi Media
Переглядів 974 тис.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.Wasafi Media
Переглядів 1,8 млн
NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE, KABURI ALIPOZIKWA NA MAENEO MUHIMU ALIPOISHI KIPINDI CHA UHAI WAKEKatoliki Moshi Online Tv
Переглядів 748 тис.
RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTIIkulu Tanzania
Переглядів 2,7 млн
Атака ВСУ на Курскую область: что происходит?BBC News - Русская служба
Переглядів 2 млн
ДИНАМО - РЕЙНДЖЕРС | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q3 | 06.08.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 337 тис.
Прийшов додому на 5 хвилин, щоб попрощатися з батьками #shorts #війна #полонені #зниклібезвістиСуспільне Суми
Переглядів 347 тис.
Чистка пляжа от мусора и находокFD Vasya
Переглядів 6 млн
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 460 тис.
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
Переглядів 39 млн
ЛЕБЕДЕВ у ДУДЯ: муху не обманешь 😁 [Пародия]Юрий ВЕЛИКИЙ
Переглядів 1,3 млн
Mheshimiwa Mabeyo ni mtulivu sana, nakupenda sana kwa uongozi wako Mungu akubariki sana akupatie afya njema!!
Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
Asante
Uhakika anafaa sana Rais we2
Mungu mrehemu mpendwa wetu
Safi sana
mungu aisaidie famlly yake amina
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
Bas kama VP tumpe nch mabeho
Huyu jamaa anakili sana
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
Baba pole sana hulipoteza mtuwamahana sana Rais wenu najuwa hulistafu kufatana nayeye kuhanga Dunia
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
Ni kiongozi wa pili afrika
Samia yeye hakuwa❤
Tumekumis magufuli tunakuombea mungu akupokee
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
Goody xong
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
Ndio sababu rais mpya anateuwa wasimamizi wake wapya ana hiari kubaki na wal3 au kutueuwa wengn Kwan wwe tangu afe magufuli umewah kumuona yule alokuwa akikaa nyuma ya magufuli yule mlinzi wake si mama Samia kateuwa wake yy anayemhitaj
Pumzika kwa aman magufuli
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?
Tunaumia sana
😢😢😢
Unacheka mazuri
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
😭😭😭
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo.
Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
Hawa wakina kikwete joo waliyo muhuwa Makufuli pamoja na mchezi wa chadema uyo wenu Tundu Lissu.
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
.
. No❤
Nikweli Tanzania inashirikiana.
Huyu baba ndo alihakikisha Samia akawa RAISI. Sasa ilikuwaje Samia akamtoa, sijaelewa kwanini mpaka leo.
Aliomba yeye mwenyewe kustaafu sababu mda wake uliisha wa utumishi wa jeshi
@@MustymediaTv Asante.
Maana nilishangaaga sana sababu najua huyu baba, ndo alikomaa katiba ifuatwe na Samia aapishwe. Wengi ndani ya chama walipinga sana ila alikomaa.
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
Kweli milipoteza kambisa jembe kweli kweli
Moyo wa kizarendo
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
Hana lolote ni msakiti
Ukitaka kujiunga unafanyaje
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
Apewe
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
Huyu mwamba alinyoosha 😂
Uyu mwamba kanyooka
😂tuna kukunbuka sana
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
😂hela
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
Natak kuchat na pendo
Hicho kicheko tu !!
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.