NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa UA-cam aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Nimesikiliza historia mwanzo mpaka mwisho ila dah kuna mambo mengi sana yamejificha kuhusu Uhuru wetu! Kuna mambo mengi sana yamejificha kuhusu harakati za kudai Uhuru! Naomba cku moja umuelezee Abdul Sykes ambae ndo aliyekuwa kinara wa harakati za kudai Uhuru! Bila ya huyu nyerere si lolote si chochote! Historia iliyoandikwa imewapotezea hawa watu muhimu!
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
tumshukuru huyo mzee alie mshauri baba ake mwalim julias kumpeleka shule maana tungekua bado watumwa na hii korona tungetumika kama sample za chanjo ya corona
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
Mdigo Khan 🤣🤣🤣🤣🤣
angalia hapo mm n ww nan frst
Mdigo Khan like zingekuwa msoso..!!!
😂
😂
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
dah inaumiza sana mungu mpokee magufuli
Mungu ampe makazi yaliyomema
😭😭😭
Tuko wengi
2po wengi
jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa
wabongp bwana...
like mnafanyiaga nn...?
Like ni za kutangaza bei
Masenge sana
Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna
zinaogeza hamu yakuingia yutube
Selemani Hamudu:
Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,,
SMS SENT.
Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV
Niatali cn
Anaitwa mtigah abdalah
Ni mtiga abdallah
Ima BoyLTz r
Mtiga
Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.
Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like.
How come???
R.I.P BABA WA TAIFA
R i p father see you Again
Wanapenda like cjui Zina Radha gani
@@felistambwale2687 🤣🤣 wakat haziwafkish kilelen😀
R. I. P Mwl nyerere
@@lucasmanyama2892 r l p baba wet
kama unamkubali mtiga naomba like 50 apo chin
Likes tumeshampa yeye mwenyewe
Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa
Mtiga abdalla ukosei story nakukubali sana from songea msamala
Karim Abdallah 👍👍👍🇹🇿
Dahhhhhh
Karim Abdallah vp mtig
Problum
Kama unaangalia hotuba hii baada ya kifo Cha magufuli tujuane 😭😭
ndio
Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo
Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake
Una maanisha nini kufuja mali?
Nani aliyefuja mali za nchi yake?
Utoe na uthibitishe
Nakumbuka nilikuwa chekechea..
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa
Very true brother!😭😭😭
lL
mtiga Abdallah 😘😘😘😘😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😗😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!
Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever
Welcome brother 👊
Elfu tatu hadi milioni miatatu na hamsin kweli uchumi was kikoloni unakuwa
big up brother
Nakupenda sana mwalimu
🙏🙏❤️
R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.
Amina!
Ameen
Amen
Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣
Nawashangaa
official Mao , ni wajinga tu
Me mwenyewe huwa nawashangaa cjui huwa wanafaidika nn
Hawajielewi
Unaweza kusimulia kama unampenda jamaa huyu
👇
aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋
W
A
140
Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu
Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###
R.i.p.baba wa taifa
I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪
Rule number 1: Put God first
@@freedriwa7050getting we
Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...
Asante! Mungu akubariki
@@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew
Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
Kama ulikuwa unaisubili story hii kwa hamu ...tujuane
Nimeisubirisana ya leo
Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama
Tulio zaliwa April pita APA👍
April lengenders
26/4/1987
Oyoooo
12.4. ......
Tutakukumbuka baba wetu wataifa mwenye huruma
Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say
Kwan? Baba yake mzee
Nyerere alikuw muislam?
Nijbu mtangazaj
Kwn hujaelewa au hujackia???
Alikua na dini asili Kwan uislam uliletwa na waarabu na ukristo uliletwa na wazungu na kabla ya hao wote waafrica tulikua na dini zetu
@@jotamhamis8625 nikweli lakini ww kupitia dini hizi umejifunza nn?
Alikuwa hana dini
@@hajjiqasim5977 nimejifunza kuwa asili ndo muhimu kuliki kurithi
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma
Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa
Like zenu😥
Axa nyie mmeambiwa muombe like au mtoe maoni ya kipindi aah mnafeli😈😈
Majira yetu haya yangekua wap sasa utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha.Kama nko sawa nakukumbuka mtetez wa taifa langu
Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like
Nilimlilia Rais wangu mwaka ule nilihisi km.Tanzania yooote tumekwisha ila nikakumbuka Yesu hajatuacha Watanzania.
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa
@@keyakeya8911 🙏🙏
keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari
Wacha uongo wew
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
Mbona hata usipoomba like Kama comment yako ni nzur wata like tu
Nice san
Ttuuiio
Revolution hii imetuweka huru kwa tulioenda nchi jiran kama umeshawah fika Zambia utagundua kitu kikubwa
Hahahahahahahah
Mwl.Nyerere Lala Pema Peponi Daima Unakumbukwa Na Tunakuenzi .
R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭
R I P
Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭
mtiga elim yako kidato cha ngapi?
Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
Hivi Likes zinatumika kukopea bank maana kila mtu naomba like utahira unaanzaga taratibu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂kha nimekuelewa sana mi Mwenyewe najiulizga xna.
Anayeomba likes we mpe dislike
@@agathathobias8690 😂😂😂 iko poa sana hyo
Umenen hap
Wanao homba like washamba sana
Francis Komba:
Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.
Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu
I miss you magu mukapa and nyelele
Nakumbuka
Ule mwaka
Nikitaka kwenda jando
Wazee wangu
wakagailisha
year 1999
Amen
AVATA Ndo ikawa bas au !
🎉🎉🎉
Oyoooooo
One million
Ambae ameshuhudia pls gonga like
Jeremiah.majura
Saiz mnazngua sana
Anazingua nini
Nenda kaalishe huko
Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa
Kwani ujui kama zinageuka pesa
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa UA-cam aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Bro kumbuka kuna uandaaji wa story
Ila we jamaa sauti yako n tulivu haswaa hongerah kwa hlo.
@Akdj Jajaj mmh🙄
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Uwe unatoa kila cku story bado ya diamondplatnumz
Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍
Good afternoon
🤩😍🤣😅😎
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
Mtiga njoo uone tatoo kwa paja langu nakupendaga bure
Hi
Jna lake au ndo vilee?
Sauti nzuri katika mtindo wa documentary.
Sehemu ya simulizi ipo sawa.
Lakini inamapungufu mengi sana.
R I P comrade. J K Nyerere.
Kama yapi kaka
@@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia
R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind
Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu
😁😁😁😁😁
Nice
J.K WAKWANZA AKILI NYINGI SANA HUYU JAMAA, MIMI NAAMINI IVYO
Mh ujumbe mzurii kwakwer uishi ktk mioyo ya watanzania
Nyie bana haya matangazo yenu yanaleta kero bana, si muwe mnayatoa bana aaaaaaaaah....!!!!!
We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍
Wana musoma tujuane hapa kwa like zenu
Niaje
Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli
Benjamin William mkapa
Duuuh tanganyika nzima kumbe nae alikua (TO) Tanzania one basi tunamwita Tanganyika one oyooooo
Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere....
Asante wasafi
Pw
Nimesikiliza historia mwanzo mpaka mwisho ila dah kuna mambo mengi sana yamejificha kuhusu Uhuru wetu! Kuna mambo mengi sana yamejificha kuhusu harakati za kudai Uhuru! Naomba cku moja umuelezee Abdul Sykes ambae ndo aliyekuwa kinara wa harakati za kudai Uhuru! Bila ya huyu nyerere si lolote si chochote! Historia iliyoandikwa imewapotezea hawa watu muhimu!
Uko sahihi, kuna wengi wamefichwa katka harakati za kudai uhuru
Rest in peace jembe mwali nyerere
kwa wema wako hautokawia kuwa mtakatif baba yetu upumzike kwa aman
Hakuna kama mwl nyerere
Hafanani na Rais yeyote
Wakwanza leo
12 minutes naombeni like zangu
Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
aiko juu ipo chini alie juu milele ni mwenyezi mungu
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
Hao ndugu wengine wa wake 23 wako wapi
mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee
Mm nililia jmn acheni na nikawaliza wengine
Gonga like kama umependa
Wasafii nawakubali sana
Kwan like zinasaidia nn waomba like nataka kufahamu
Ogopa sana watu wenye vimwili vidgo, nyerere na mange kimambii😁😁🙌
Hhhhhh hhhh umeongea
Nashauri hii stori ihakikiwe,inavitu vingi vinaleta ???? .Hii inamhusu baba wa taifa so ingefaa ihakikiwe maana itasikilizwa na watu miaka yote ijayo
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo
Ndo maana imechelewa kumbe ya baba wa Taifa
Nice dear. 0758 979747
Sasa km nyerere alikua wazil mkuu wa kwanza Raisi alikua nan?
Malkia wa Uingereza
Sasa uwo ni uhuru au bado utumwa?
@@kagileman5798 @ umenichekesha sana
BAB ULIE JUU WEWE NDIO BABA WA TAIFA.. HUYU ULIETUACHIA HANA LOLOTE NI SIFA......
Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.
Jemedarinyerere..tutakukumbuka.daimanadaima
munguakupumzishe.kwaamani
MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌
MUNGU DIYE AJUAYE LEO NA KESHO .
Mtiga leta story ya jengo la Taj mahal
Nyota njema huonekana asubuhi, pumzika kwa Amani baba yetu mpendwa.
Hyjm
ASANTE BABA UMENIKUTANISHA NA BABA YANGU MAKONGORO JULIASI KAMBARAGE NYERERE
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
Hemedi b abdallah wtghkgg
Akumbukwe Baba wa taifa mwl JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞
tumshukuru huyo mzee alie mshauri baba ake mwalim julias kumpeleka shule maana tungekua bado watumwa na hii korona tungetumika kama sample za chanjo ya corona
Daaah hamna ktu nachopenda kama hch kipindi naomba hata kwa weak kiwepo mara5 au 4
I love it
Mwitongo siyo mwitogo
Waleli
Kama unampenda baba Wa taifa gonga like
Daah kumbe nyerere alikuwa muislamu wazungu nyie
Kwel ww chiz baba yak alikua ana din jinga ww
Msomi wa kizazi hiki anaechanganya simenti ajenge anyooshe mkono juu
Hahaha yan wewe
WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN
,,
Of course, It's so painful
Yes