NITAKUTUKUZA MUNGU_by Kwaya ya Mt.Gregory Mkuu, St. John University DODOMA TZ
Вставка
- Опубліковано 2 лип 2017
- Huu ni wimbo mmojawapo kati ya nyimbo kumi na mbili zinazounda album inayoitwa NITAKUTUKUZA MUNGU kutoka kwaya ya Mt.Gregory Mkuu ya St.John University - Dodoma Tanzania.
Ni album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
Jipatie nakala yako ya DVD uweze kupata kusikia nyimbo nyingine zilizomo ndani ya Album hii.
Wasiliana nao leo kwa simu namba +244 652 060 267 au +255 763 021 020
Tumsifu Mungu kwa pamoja, Tumtukuze Mungu kwa pamoja.
Mungu tunakuomba uendekee kutubariki, Tuyasikie Maneno matamu ya waimbaji hawa, Kisha Mimina Neema zako kwetu, Tulishike neno lako, tufuate mafundisho ya Mwana wako Yesu Kristo, tuzijue Habari za Yesu.
#kwayakatoliki
Asante kwaujumbe mzuri tunaoupata kupitia nyimbo za injili
Uhimidiwe daima Mungu wetu. Hakika mmeimba vizuri sana...taratibu kabisa kumtukuza Mungu wetu. Nawaombea baraka tele katika uimbaji wetu na Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa milele. Vyombo katika nyimbo hii vimetia fora sana...hakika mmevitendea haki...blessed!
RAJO PRODUCTIONS MUNGU ANAWAONAAAAAAAAAAAAAA.....SI KWA U-HD HUU...SAUTI NA MWONEKANO NDO HATA SISEMI.. UHIMIDIWE BABA YETU, MUNGU UPEWE SIFA. ZACHARIA WEWE NA RAY UFUNGUO MIMI SIWAWEZIIIIIIIIIIIII..
Credo Kanyabuhura i love your songs and your choir
I’ld like the words of that song pleasecon npiero2012@gmail.com
Thank youuuu
impo vizuri mungu awabariki katika uimbaji wenu shida zenu zijibiwe ktk uimbaji nikimaaanisha mungu awasikie ktk zauti zenu za uimbaji.zingatia mtumikie bwana ungali bado kijana
Uhimidiwe baba yetu uhimidiwe, uhimidiwe Mungu upewe sifa asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Ndugu waimbaji,uimbaji huu ni wa haiba yake!Unakosha moyo na kutoa mwito mahsusi-kumtukuza Mungu.Heko.Maulana awajalieni umoja zaidi,afya njema na moyo wa kuhubiri kupitia kipaji hiki adimu cha uimbaji.Heko mara.
Who is with me watching 2019?let me see likes hapo Chini na bwana wetu mungu awabariki Tu Sana...
Dk 3.40 to Dk 4.00 "Bwana nikiyatazama matendo yako kwangu, ninakutukuza kwa haki, ninakutukuza eeh Mungu, ninakosa la kusema ni mengi mno kwangu, ninakushukuru eeh Yesu, Ninakushukuru Sana"' AMEN
Nisipotoa hongera kwa uimbaji mzuri Basi ntakua mbinafisi. Mmefanya kazi nzuri na imeturia sana. uhimidiwe Mungu nami naungana na wanakwaya nasema Uhimidiwe Mungu wa vyote.
sichoki kuuangalia huu wimbo.asanten sana na mungu mwenyez azidi kuwabariki
Wimbo huu ni mzuri mungu awabaliki xaana
May the good Lord continue to bless all al you (choir) its my strength all the time. may the name of the Lord be Praised
Amen Amen Amen. Mbarikiwe kwa uinjirishaji na ujumbe mzuri St. Gregory.
Bila shaka uimbaji wenu ni wa kutukuka...Baba Yetu aliye Mbinguni awazidishie karama na neema katika uimbaji wenu!!
Asante Dodoma kwa nyimbo nzuri ya kumtukuza mwenyezi MUNGU. AHIMILIWE BWANA APEWE SIFA. HALELUYA. 🙏🙏
Mfalme Daudi alikuchezea...... What a blessing
napenda maneno ya wimbo huu sana. Baba yetu uhimidiwe na upewe sifa!
Nimebarikiwa mnooo, Mtunzi Mungu azidi kukupaka mafuta, Waimbaji nanyi Mungu aendelee kuwatumia kuwa vyombo vya sifa, Wapiga vyombo nanyi mbarikiwe sana kazi yenu ni njema, yaani kila kitu katika huu wimbo kwangu kiko vizuri, naamini sifa hizi mlizomuimbia Mungu wa mbinguni zimevuma hata mawinguni .
Mapigo halisi ya Kikatoliki na uchezaji unaomtukuza Mungu wa Kikatoliki. Kwaya nyingine tuna mengi ya kujifunza kutoka Kwaya hii. Huwezi kuleta uchezaji wa Disco kanisa la Kikatoliki.
Is like the day has come 4the. Church of C -JESUS 2 GO HIGHER
Sauti tulivu inapenya mpaka rohoni hongeren sana mungu awazidishie nguvu mzidi kumtumikia bila kuchoka wa kukata tama. Uimidiwe mungu wangu
Uhimiliwe yawe ,ni wimbo mzuri sana
Uhimidiwe Mungu upewe sifa. Catholic melodies zitakubaki juu Kileleni
Wimbo huu naupenda sana. Baraka tele kwa wanakwaya kutoka Ujerumani na Kenya
Wonderful and shining God is always
Hongera sana. Mna sauti taamu tena tulivu. Rabana awabariki.
Ahsante Mungu kwa hii kazi yetu nzuri🙏
Aki siluamini macho yangu kuwa nimeona na kucgukua icha na Zacharia Gerald, Mungu akubariki sana, karibu tena Kenya
Judy Onserio wimbo mzuri sanaw
Mmeimba vizuri sana, Roho Mtakatifu awatangulie kwenye utume wenu. Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Zab 150:6
Nawapenda bule mimi"Mungu awabariki daima
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡♡
♡♡♡♡♡♡♡"Amani ya Mungu iwe kwenu daima
Veronica Woisso
Am very very much proud of my church,Roman Catholic church.
Amina huu wimbo naupenda Sana mbalikiwe
very nice songs
kazi ya mungu pia ina ugumu wake so we have workhard to achieve
hakika viumbe vya kutukuza mungu,ee mungu wabariki wanao wazidi endelea kutangaza na kukutukuza daima popote pale.
Nyimbo tamu ajabu.Mungu azidi kuwabariki kwa vipaji alivyowajalia.Nina furaha moyoni
heko vijana
be in Jesus Christ is happyness
Msichoke kumtukuza Mungu.Endeleeni kubarikiwa nasi tunamuhimidi na kumuenzi Mungu.Ahimidiwe siku zote
Great song ,,hongera waimbaji
na Uhimidiwe Mungu uliluwako, uliepo na utakae kuwapo milele na milele. Safi Sana waimbaji mbarikiwe
Nitakusifu ningali hai uhimidiwe milele Mungu
Na Uhimidiwe Mungu uliekuwako, uliepo na utakae kuwapo milele yote. Safi Sana waimbaji mbarikiwe
Kitu kimetulia sana naomba NOTA tafadhali niweze Kumtukuza Mungu na Waimbaji wangu.
Mko juu Gregory the Great nimewamiss sana, na mmefanya nyimbo nzuri sana
hongereni wana Gregory kwa Kazi nzuri mmefanya wonders.......nimebarikiwa saaana
hongeren wana Gregily kwa kz zur ya uimbaji na MUNGU awabariki
Happy Rocky hongera na kwako pia maaana so kwa vocal hizo dear
Nabarikiwa Sana nikiwa Saudia God bless you all Amen
A very good song Hongereni St.John.Full mabaraka hapa nilipo...Ahimidiwe MUNGU WETU NA APEWE SIFA
uhimidiwe baba yetu barikiwa sana wanakwaya wote mlioshiriki kuimba
Hongereni mmeimba vzr.
mungu awabariki
Wimbo mzuri na Mungu awatangulie katka kazi yenu ya uinjilishaji.
Ahsant kwa baraka zanu😘😘😘😘
Kwa kwel mmeimba vizur tena kwa mahadhi ya kikatoliki kabisa. Kuimba ni furaha hongeren sana
Kazi nzuri sana. Hongereni wanakwaya wote, Mungu azidi kuwatia nguvu n ktk masomo yenu
nmewaelewa sana vjana. nakuona mushoboz kijana mchapa kaz. uhimidiwe mungu upewesi haswa. hzo voko vibrato flan HV sio za nchi hii. Mungu wainuie had mshangae.
Mungu Roho mtakatifu na awatie nguvu wadogo wa Makuburi choir, hakika MUNGU atukuzwe kwa ajili yenu daima.
bernard aquila amina
Mungu atukuzwe milele na milele amina....
nafarijika sana ninavyosikiliza hizi kwaya zinanibariki sana waimbaji mbarikiwe
Kazi nzuri mbarikiwe
Mmedhihirisha kuwa ni kwaya ya wasomi. Hongera sana mpiga kinanda
Safi sana
so fantastic.
Kazi nzuri wapendwa Mungu aendelee kuwatumia.
Naupenda sana wimbo huu. Na aliyepiga kinanda jamani Kongole!!!
Yan nauona uwepo wa bwana mbarikiwe waimbaji wote
Thank you Dodoma Mungu uhimidiwe Mungu wetu Amina mbarikiwe
Wimbo mzuri sana, hakika Mungu atukuzwe nasi tutakatifuzwe
Wimbo mzuri sana nimeupenda....nakuona sana mtalaam wangu wa piano justine from same boys hakika ahimidiwe mungu nawapenda woteee udom
Hiyo staili ya kurudisha mikono nyuma ni kali mno
Pongezi kwa kazi ya kutangaza enjili
Kaz nzur Sana mungu awatangulie katika safari yenu ya kutangaza neno lake kwa njia ya uimbaji,dada umeitendea talumbeta haki hongera
Mmefanya wonders! Hongereni sana!Mungu uhimidiwe.....
Hakika kazi hii nzuri ajabu.Nakupongezeni sana sana.RAJO PRODUCTION hakika mko njema.
2023 na bado sichoki kuitazama
One of the best hymns of the year and millenium. God bless you all for playing your evangelica role in the church of God. Bravoo
Can't get enough of listening to this song.. praise be to Jesus Christ our lord...
Mungu awabariki mko vizuri
Finally nimeupata wimbo wangu.
Kusoma na kumtukuza mungu inawezekana, nawaombea sup isiwe upande wenu
SAFI KABISA
Atukuzwe.mungu.milele.na.milele
Kwaya bora sana hii baada ya chang’ombe... nice guys
Hakika Kazi nzuri sana Mungu azidi kupewa sifa na utukufu
ONESMO STEPHANO
waooh nabarikiwa sana
nice work
saut ya tatu nimewakubali
Hongela ninyimbo nzuri sana zimenigusa mngu awabariki .ni january .toka canada
Amina uhimidiwe kwa yote unitendeayo maishani
Mko tu juu Sana awabariki nyimbo nzuri kweli
Hongereni sana watumishi Wa mungu hakika mungu ni mkuu.
Yaani wimbo mliutendea haki. Mungu awabariki mno
I'm real blessed by these wonderful songs. Spiritual nourishment is taking place in me... Amen.
IAM happy to get good songs lam be blessed
Nice song. Mbarikiwe sana
Mubarikiwe sana kwa kazi nzuri na majitoleo yenu kuinjilisha
napendaga unono wa sauti na kinanda. Mungu awafunulie maisha mema
Mko juu, Mungu aendelee kuwabariki katika utume wenu.
Very nice and good song to prepare us to heaven
Turun dari sorga dari ALLAH upah gitit dari asaf sepatutnya
Rajo production mko vzr
Mungu awabariki kwa kusifu na kuabudu Mungu on mwema
Am blessed na kaz nzuri mnazofanya..Bravoo.
Dah! Rajo Production...you're de great.......congrats
Still here in 2021, despite the challenges praise and honour to God, nice song
Hongera sanaaaa, may God bless you for this wonderful message, keep it up
Kwa kweli Mungu ahimidiwe milele na milele,,,
am in heaven ,such nice voices .blessings like millions to this choir
Kazi nziri sana mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha.
Uhimidiwe mungu !!!!!!!!!mungu awabariki sna
Uhimidiwe Baba yetu upewe sifa 🙏🙏
Hongereni sana kwa kazi ya uinjirishaji.
Mbarikiwe kwa uimbaji wenu.
Brilliant! Bwana asifiwe! Really touches my heart.