Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
JEMEDARI WA MBINGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha
Вставка
- Опубліковано 18 лют 2019
- Jemedari wa Mbingu, ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu Mungu.
Album hii ipo sokoni sasa na inapatikana mikoa yote.
Wasiliana nao leo kupitia namba +255 754 886 290 au +255 754 962 559
#kwayakatoliki
Ee mwenyeI nakushukuru kwa baraka zako,na uhai wa maisha naomba nilinde nafsi yangu Amina
Mungu awabariki kwa ujumbe wenu mkuu,shukrani
It so latest song
Congratulations parokia ya kijenge mpo vizuri
Aiseee hii kwaya inanikosha sana mko vizyri Mungu awabariki na kuwatia nguvu katika utume.Tumsifu Yesu Kristo
nakushukuru kwa moyo asanteeeeee ni wimbo unaotubariki saana
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Huwa nausikiliza kila asubuhi,kusema asante tu.
Amen,❤ nimebarikiwa listening from Abu Dhabi
Wimbo mzuri Sana. Mbarikiwe wanakwaya
How I love this song❤
mungu awabariki sana kwa ujumbe mzr mmeukonga moyo wangu jaman nafarijika nisikiapo wimbo huu nakushuku kwa moyo
kweli bwana amenisikia na amenihinua amejibu maombi yangu
hakika ni neema kubwa Sana kuupata wimbo huu mbarikiwe sana
Ubarikiwe pia
Barikiwa nyote watumishi wa mungu.
Rajo production choir inanifariji nafsi na hata kwa familia yangu
Who's listening this yr 1st day of March, wimbo mtamu kweli.... nausikiza kila hata sisikii kulala❤❤❤❤
Thaaaaanks
Wimbo unaoiburudisha nafsi.. Barikiwa mno Jalali Jalia awajalie neema kedekede mzidi kumtumikia siku zote.
Nabarikiwa sana nikiskiliza wimbo huu. Jaman mbarikiwe sana mzidi kumtumikia mungu kwauimbji wenu
Swai bwana
Wimbo mzuri mno..."Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo"
Hata ingawa mwili u mnyonge nitainuka nimshukuru Mola maana ndiye mtumishi wangu maishani.Hongera.
Wimbo mzr sana namani niinqie humo nami niimbe pamoja nanyie unanibariki sana honqereni sana mmeimba vzr sana mbaikiwe
Amen
Tumaini Swai ni mmojawapo wa wachezakinanda bora zaidi katika eneo nzima la Afrika Mashariki na Kati. Tungo nzuri sana
How can I like this song 1million Times!!!
Maishani mwangu nakushukuru kwa moyo asnteee
Nice song waaau adi najiskia nko mbinguni
Nawapongeza wanakwaya wote mnaohubiri kwa nyimbo nzuri mbarikiwe sana,amina.
Huu wimbo Huwa unanibariki sana.Utadhani mlijua maisha yangu yalivyo.
Ntakushukuru kwa moyo wangu wote,asante
This has been a song that reminds me alot....🎉🎉I remember when I first heard it like yesterday
Nashukuru kwa yote yesu,mbarikiwe sana
Na tazama sasa nakuja,eeh mungu wangu kwa unyenyekevu,nikushukuru niseme Ahsante....this song blesses me,it inspires me
It reminds me of my blessings no matter how small
I thank God
Eeeh mwenyezi mungu ,nakushukuru kwa moyo .Ahsante
Mungu Apate Sifa Milele.
Wimbo huu umenitia nguvu mpya, mbarikiwe sana
This song never Gets old, I really Love it.
Ninakushukuru Jemedari wa mbingu hongeren sana huu wimbo huwa unanibari sana. Amejibu maombi yangu.
Hata malaika na Mungu mbinguni wakisikiliza huu wimbo wanatabasamu
Hahaha
Asante kwa utunzi na uimbaji mzuri. Mbarikiwe
asanten sana wimbo huu naupenda saana Mara ya kwanza niliusikia kanisan nikawautafta kwa juhudi hatimay nimeupata nafarijika sana na kubarikiwa mbarikiwe saana wapendwa
Kasinge owaishe
Hongereni sana wanakwaya kutoka Kijenge Jimbo kuu Katoliki Arusha Tanzania
Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa Moyo, Ahsateee🎶❣️
Balikiw watumishi kazi nzuli San
Asante mtunzi,waimbaji na wote waliofanikisha kutolewa kwa wimbo huu.Mungu awabariki
"Kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana (Mungu), ashuke kwangu anitazame", wimbo nzuri
Nashukuru kwa yote Unayonitendea Mungu wangu
Ee Mungu Nakushukuru kwa Moyo. ... Bwana Awabariki na Kuwalinda Wapendwa. Endeleeni kumwimbia kwa Moyo JEMEDARI WETU.
What a nice song, Ewe Mungu wangu nakushukuru kwa moyo wangu wote, Asante
Ee we Mungu nakushukuru kwa moyo Asanteee, asanteni wanakwaya kwa wimb mzuri
Asante
Napenda pale anapoanzisha mwl
Nimeipenda.
Kwaya hii imenibariki sana
Wimbo mzuuuri sana na mtaaamu sana jamani. Hongereni sana wote. Kwako ewe Tumaini Swai big up yourself sana kwa ustadi wako kaka.
Mungu Ana jibu Maombi yangu kila siku
hongeren kwa kazi nzuri wanakwaya na wote mliofanikisha kazi hii, pia mtunzi amenibariki kwa tungo nzuri.
Asante sana kaka
ukweli ni kazi nzuri mnoo. kristo tumaini letu hakika.
Hongereni sana wimbo ulio na mguso na mvuto kuusikiliza asante
Ninakushukuru jemedari wa Mbingu Bwana Mungu wa majeshi
I really blessed abt dat songs much my lovely friend,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Kazi nzuri wapendwa
From Kenya with Love... Wimbo mzuri sana wa shukrani... Kila wakati ninaposikia wimbo huu I just find myself praying and giving thanks.
Thanks Cleophas, be blessed
asanten sana nawapenda sana RAJO production
pia naomb msikate tamaa
na classmet wangu ambaye ni mwalim wangu wa kwaya kutoka chuo cha ufundi Nangwa namuona hongera zenu
Asantel sana Victor
T.Swai kazini..imependeza sana!
#skia utamu wa kinanda nanii!
A blessing song
Kweli RAJO upo vizuri wanaokucopy hawakuwezi
Big up kwa organists Fulgence Swai n Henry Kimario matunda ya Uru Seminary
francis silayo.
wacthing a million times!!!!!!!
Nawapenda bure
Gonga like twende pamoja
Qqàqa
aisee kuwa ndan ya yesu ni raha hakuna mfano
I LOVE THIS SONG
Ujumbe mzito kweli mungu aendelee kuwabariki
Nakushukuru kwa moyo asante
Nakushukuru MUNGU wangu kwa MOYO
Wimbo wangu wa mwaka 2018 nlikuwa nausubiria kwa shauku kubwa mnoo
Wow nawaona wa nyumbn Mungu azid kuwabarik
Hii haitozeeka
Wimbo mzuri kweli na umenifanya niwe na siku nzuli
Wimbo mzri mungu azidi kuwatia nguvu na kuendeleza kipaji mlichopewa na mwenyez mung🙏🙏🙏
Wimbo Wa mwaka...2019 I.e......I like its calmness...... and tha context
Thanks
Ahimidiwe Bwana milele yote, Asanteni kwa wimbo mzuri wapendwa
Amen
Hongereni kwa kazi nzuri. Bravo RAJO
Wimbo mzuri sana nimeupenda hongereni sana edelen kutumia karama zenu na mungu awabariki sana
Mungu awabariki kwa utume
Kwa hakika 🎶kitambo kidogo nilimuomba nikimsihi Bwana ashuke kwangu anitazame agange shida zangu🎶 it's a testimony i prayed to be where i am today and im very grateful my God answered prayers 🙌
Nitumie Whatsapp naomba
Hongereni sana wapendwa
Asante jemedari wa mbingu unayenitegemeza
Wimbo wangu Bora wa shukrani kwa Mungu.Hongera kwa waimbaji na mtunzi.
Ata kwa unyonge wangu, ninakushukuru jemedari wa mbingu
Bonne cbanson mercie
NAKUSHUKURU KWA MOYO.NICE SONG
Nakushukuru Kwa moyo Ee Mungu! Thank you God.
"Amenisikia ameinua amejibu maombi yangu"🙏🙏🙏🙏what a nc song mbarikiwe sana
Wimbo mzuri sana, mmeimba kwa hisia kubwa na mmewasilisha ujumbe murua. Mungu awabariki.
Wimbo umenikatisha usingizi. Ukanifanya nitafakari kwa kina makuu aliyonikirimia Mungu wangu. Asante Rajo kwakutupatia clip ya hawa wanakwaya
Tcha, huu wimbo umenifanya Nitaman siku zingkua znarudishwa nyuma tuuweke kweny albam yetu bagamoyo
Mbalikiwe katika bwana!!!
i cant stop listening to this song. Mungu awajalie ili na hongera kwa mtunzi na waimbaji pia....
Pamoja sana
Í have to play this every morning n night before bed.siwezi chochote Mimi bila nguvu zako
Yesu
Kazi nzuriiii
Wawoooo
Na tazama Sasa nakuja kwako jamani huu wimbo naupenda sana hongereni Kwa uimbaji mzuri
Very good job wanakwaya wenzangu. Namshukuru MUNGU kwa namna ya pekee kwaajili yenu maana naoana huu wimbo umetungwa kwaajili yangu. Nimepita ktk kipindi kigumu sana ila MUNGU mwenye nguvu akaniokoa na sasa utukufu wake unaonekana, Kutoka ndani ya moyo wangu NINAMSHUKURU kwa moyo. Mbarikiwe sana ndugu zangu
Uzidi kubarikiwa ndugu.
Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu awabariki zaidi!
Rede na prica katika obora wao
Nakushukuru kwa moyo. Asante! Mwakora!
Nimekuelewa Ansbert MWAKORA
Kasinge owaishe. Ntukumiss muno