Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

NIKO KASI_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Nzihi Kidamali - Iringa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 чер 2018
  • NIKO KASI ni wimbo ulioimbwa na kwa ya ya Mt.Joseph Mfanyakazi iliyopo Nzihi - Kidamali Iringa. Tuungane nao katika kumtukuza Mungu. Wimbo huu upo ndani ya Album yao iitwayo wema wa Mungu.
    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0752 721 316 / 0752 243 201 au 0755 849 190
    #kwayakatoliki

КОМЕНТАРІ • 437

  • @user-vt2ls4ll3g
    @user-vt2ls4ll3g День тому +1

    Mungu anatukuzwa ndani yangu kila ninaposikiliza hii nyimbo naona kiu ya Mungu wangu aliye hai🙏 nakutafuta Bwana wangu

  • @leoodongo690
    @leoodongo690 4 місяці тому +3

    Who is still watching this wonderful song with me in 2024

  • @briankaruku1816
    @briankaruku1816 3 місяці тому +3

    Oohh iwish ningemjua yesu mapema mimechelewa llakini naweka full effort ya recovering

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 4 роки тому +22

    Yesu wangu, najua sijakamilika
    Naomba uchunguze moyo wangu
    Niondolee mapungufu yangu
    Nifanye utakavyo
    Nataka upendezwe na Mimi
    Usiruhusu kifo changu
    Kabla sijapata kibali Cha mbinguni
    Hamu yangu ni kufurahi pamoja na wewe mbinguni
    Ameen🙏🙏🙏🙏

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 3 місяці тому +1

    Mungu awabariki kwa kazi nzuri wimbo huu nayimbeda sana and najivunia kuwa mu catholic 🙏🙏🙏💃💃🇺🇬🇺🇬 04 05 2024 time 07:15am ni juumamosi be blessed amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏

  • @sixbert963
    @sixbert963 Рік тому +2

    Mungu awabariki nimejiskia amanitele baada yakusikia wimbo mzuri kamahuu💯

  • @angelmwamlima3276
    @angelmwamlima3276 7 місяців тому +1

    Mungu awape baraka zake mmeimba kwa hisia Sana napenda niskilize kila wakati moyo unajawa amani Sana🙏🙏🙏

  • @user-zo2nv8nt7k
    @user-zo2nv8nt7k 10 місяців тому +1

    Hongereni sana sauti mulua mungu anapenda kupanza sauti kwa vinywa venu wenye ,Nakutama kama nchi kame isiyokuwa na maji hakika 🙏🙏🙏🙏🙏⛪⛪⛪⛪⛪

  • @vinnywams6690
    @vinnywams6690 3 роки тому +3

    Usanii wa daraja la juu sana! Siwezi lala kila siku kabla ya kubarikiwa na uimbaji huu.

  • @deodatusmwaipopo7284
    @deodatusmwaipopo7284 3 роки тому +1

    Hongeleni taifa la mungu, Kwan wimbohuu ukweli umeimbwa kwahisia .asanteni sana naming awabaliki ninth nyie amina

  • @yohanewinnie5191
    @yohanewinnie5191 5 років тому +2

    Yaan huu wimbo jamani jamani unanipa tumaini la kuendelea mbele asante yesu kristo

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 4 роки тому +8

    Wapi likes za Ray ...kinanda chatii

    • @catherinemuthini6916
      @catherinemuthini6916 3 роки тому

      I like the way he enjoys the music

    • @vinnywams6690
      @vinnywams6690 3 роки тому

      Oooh! Ray Ufunguo! Kazi yake inapendeza kweli, and everything he outs his hands on flourishes.

  • @poyopitalisi7999
    @poyopitalisi7999 5 років тому +3

    Wimbo huu unanibariki sana, hongera mtunzi, wanakwaya na mpiga kinanda

  • @rosembilinyi6211
    @rosembilinyi6211 3 роки тому +1

    Hongereni saana mpo vizuri

  • @merryngowi6607
    @merryngowi6607 3 роки тому +1

    Mbarikiwe kwa kumtangaza Kristi Amina

  • @edmondkalinde4251
    @edmondkalinde4251 3 роки тому +1

    Nyimbo nzuri kabosa

  • @nestersanga7466
    @nestersanga7466 3 роки тому +1

    Najivunia kuwa mkatoriki amina

  • @marckmark2738
    @marckmark2738 Рік тому +1

    Njiani naja niko kasi 😘😘😘

  • @deomunishi775
    @deomunishi775 3 роки тому +1

    Hongeren sana mungu awbariki

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 роки тому +1

    Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huuu

  • @lukakivamba7245
    @lukakivamba7245 2 роки тому +1

    Mhh tamu balaa

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 9 місяців тому

    Nimefarijika sn kwa wimbo huu, Mungu awabariki sn

  • @joseph.hapadgaraproduction9329
    @joseph.hapadgaraproduction9329 3 роки тому +1

    Nice song & vedio music

  • @allanmsemwa5065
    @allanmsemwa5065 4 роки тому +4

    Swahili Tanzanian Catholic Songs are so Amaizing

  • @berthakarungi6187
    @berthakarungi6187 5 років тому +9

    sichoki kuangalia wimbo huu. jaman mbarikiwe

  • @desminachavala8118
    @desminachavala8118 4 роки тому +2

    Wooow,nafurah sana kuwaona watu wa nyumbani wakilitukuza jina lá bwana,

  • @godysamwel1117
    @godysamwel1117 5 років тому +2

    Watumishi wa MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki

  • @luwonekaandrea1547
    @luwonekaandrea1547 4 роки тому +2

    Mungu awabariki na kuwalinda hongereni kwa kaz nzur lini vol 2

  • @user-wu2to6tw6m
    @user-wu2to6tw6m 9 місяців тому

    Nabarikiwa sana na huu wimbo congratulations sana kwa mtunzi

  • @olivacosmaskipingi1566
    @olivacosmaskipingi1566 2 роки тому

    Nawapenda saaaaana Mungu azidi kuwabariki na kuwakirimia hitaji la mioyo yenu

  • @angelmakotina2180
    @angelmakotina2180 3 роки тому +3

    Nawakubaki wana iringa😍😍😍

  • @mercyokumu1413
    @mercyokumu1413 3 роки тому +9

    i cant get enough of this song...... my heart is blessed and is at peace whenever i listen to this song.... the keyboardist wow ..... be blessed the whole team

  • @pamphilimumwi1863
    @pamphilimumwi1863 4 роки тому +2

    Tumwimbie Mungu wetu nyimbo za sifa na utukufu. Hakika wimbo murua sana, miondoko na mapigo yanatia fora. Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa daima. Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri ambayo naamini imegusa na kufariki nyoyo za watu wengi...

  • @kassiankuche3961
    @kassiankuche3961 4 роки тому +1

    Daaahh nimekumbuka kidamali sec hasa nilipoona sura ya Tito well done

  • @user-il9vm1sx7x
    @user-il9vm1sx7x 8 місяців тому

    mumetisha kwenye wimbo huu utume mwemah jaman

  • @eddamkwawa6772
    @eddamkwawa6772 3 роки тому +1

    Mungu awabalikj

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove
    @fr.Josephat-SharingGodsLove 2 роки тому

    Wimbo mzuri hongereni sana waimbaji na mtunzi

  • @velejilyonatalis1787
    @velejilyonatalis1787 5 років тому +1

    Mmetisha sana vanyalukolo hongereni sana nyimbo inaturudisha kwenye njia mimi niko kasi nakuja

  • @frolencinahenry2407
    @frolencinahenry2407 4 роки тому +3

    Nafsi yangu yakuonea kiu We Mungu😘😘😘

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 роки тому +1

    Wimbo mtamu na mazingira mazuri sana

  • @joshuaokiri5597
    @joshuaokiri5597 6 років тому +1

    I am not a Catholic but huu wimbo umenifurahisha sana

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 3 роки тому +2

    Kazi ni nzuri, mnastahili pongezi ni mwanzo mzuri. Keep it up, hongera kwa Mtunzi

  • @maribasimon801
    @maribasimon801 6 років тому +2

    Kazi nzuri, Mwenyezi Mungu awajaze wingi wa Baraka zake

  • @inessboniface6293
    @inessboniface6293 5 років тому +2

    Nimebarikiwa na wimbo huu, mpiga kinanda Mungu alinde kipaji chako

  • @charitysamwel3823
    @charitysamwel3823 5 років тому

    Mnaimba vizurii hadi nimewatamani wana nzihi

  • @avonymaya832
    @avonymaya832 5 років тому +7

    HABARI NIMEUPENDA SANA WIMBO HU, NI KAZI NZURI SANA YA UINJILISHAJI NAOMBA ALBUM YAKE YOTE

  • @octaviuskisinda9090
    @octaviuskisinda9090 6 років тому +1

    St. Joseph, 'MUNGU abariki kazi ya mikono yenu'. Wimbo mzuri wenye kuinjilisha, kutafakarisha na kugusa roho ya yeyote anayeutafuta umilele. Hakika kazi yote hii kwa ajili ya ufalme wa mbingu si bure. Sifa na utukufu tunamrudishia yeye anayetuneemesha yote haya.

  • @elizabethjoseph7292
    @elizabethjoseph7292 5 років тому +2

    Wimbo mzuri mnooo Mungu kwaya zote ziweze imba ktk roho na kweli

  • @edgarmadeje5298
    @edgarmadeje5298 6 років тому +12

    Tunasubiri kwa Hamu kubwa Wema wa Mungu

  • @mchumi_thecatalystofeconom7889
    @mchumi_thecatalystofeconom7889 5 років тому

    nzuri. inanibariki. so consoling.

  • @christinaoumah9023
    @christinaoumah9023 3 роки тому +2

    Nabarikiwa Sana na wimbo huu hakika atukuzwe Mungu mkuu siku zote daima,🥰🥰🙏

  • @agatokalisti8594
    @agatokalisti8594 5 років тому +1

    Asanteni sana wanakwaya wa Mt.Joseph Mfanyakazi Nzihi - Kidamali Iringa kwa wimbo huu mzuri uliobeba ujumbe mzuri na wenye kuburudisha, huwa narudia kutazama video, "kuimba ni kusali mara mbili". Mungu awabariki sana.

  • @catherinegerald1620
    @catherinegerald1620 6 років тому +14

    wow wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hongereni sanaa

  • @mercymacline658
    @mercymacline658 5 років тому +5

    Hii wimbo nzuri Sana, hongeren Sana kwa kaz nzuri

  • @vestinaneema5008
    @vestinaneema5008 5 років тому +2

    Niko kasi kukutafuta Mungu wangu.
    kila siku lazima ni usikilize huu wimbo

  • @charlesjmartin1935
    @charlesjmartin1935 5 років тому +8

    Hongerani sana

  • @vinnywams6690
    @vinnywams6690 3 роки тому +1

    Mimi hapa naendelea kubarikiwa tu! Fungulieni nyingine zitiririke!

  • @carolinegichuki702
    @carolinegichuki702 2 роки тому +2

    Such a blessing...love from Nyeri KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @adelinasanga6710
    @adelinasanga6710 3 роки тому +1

    Hongereni sanaaa!

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 3 місяці тому

    Congratulations for a job well done ✅

  • @consolatazachalia5442
    @consolatazachalia5442 5 років тому +10

    Hongereni sana mt. Joseph wimbo mzuri kweli! Mubarikiwe sana waimbaji na mtunzi.

    • @florencenthenya6391
      @florencenthenya6391 4 роки тому

      Nice one yu bless me so much am lm in saudi Arabia watching yr music yu look nice 😍😍

  • @magrethphillipo2626
    @magrethphillipo2626 5 років тому +1

    Mwimbo mzur Sana sauti nzuri adi rahaaa

  • @petrojoseph5970
    @petrojoseph5970 5 років тому

    hi kidamali nawasifu kwa ujumbe mzuri kwa Mungu wetu na Rajo pia wazuri ,safii sana wimbo huu unanitafakarisha sana nawapendeni kwa kazi nzuri,Mungu atukuzwe...

  • @eunicejoseph2262
    @eunicejoseph2262 6 років тому

    Mko juu nimewapenda sana, wimbo unatafakarisha unanibariki kabisa

  • @cayusoginga
    @cayusoginga 3 місяці тому

    Watching from manga girls high school kenya

  • @yudakitengesondanu808
    @yudakitengesondanu808 4 роки тому +1

    naipenda sana hii Cd sasa nitaipataje niko Arusha

  • @barakamhagama5586
    @barakamhagama5586 6 років тому +10

    Hongereni.....Mapendo Daima*****

  • @dismasvalentine9633
    @dismasvalentine9633 5 років тому

    Nyimbo imetulia sana.

  • @abelsanga7361
    @abelsanga7361 6 років тому +6

    hatimae parokia yangu imenikosha kwa wimbo mtamu

  • @cleivanschalamila7085
    @cleivanschalamila7085 6 років тому +4

    wawoo kwaya ya nyumban 😍😍😍

  • @shikokings
    @shikokings 2 роки тому +1

    Awesome

  • @franciscakitundu4163
    @franciscakitundu4163 6 років тому

    wimbo mzuri sana ....Sauti zote zimeimba vizuri pia mashairi mazuri

  • @melapshivachi8209
    @melapshivachi8209 4 роки тому +5

    I just can't get enough of this song
    The tall guy spices up the video... I love his moves

  • @theresialfredybugalama5850
    @theresialfredybugalama5850 6 років тому +6

    Nakuona Shem tem hii hadi unaachia kinanda duh mungu akuongezee uzidi hapo ulipo

  • @mrgooner62
    @mrgooner62 3 роки тому +2

    Munaimba Kabisa! May God bless you

  • @geofreymaranga5699
    @geofreymaranga5699 6 років тому +1

    Asante Kwa kazi yenyu mufti kabisa,naomba niweze kupata nota za wimbo huu.

  • @redemptamweu6243
    @redemptamweu6243 Рік тому +2

    Well sang song, so melodious, May God bless the singers for spreading the gospel musically.

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 роки тому +1

    Mko vzr sana wapendwa kwa myimbo zenu na stail zimetulia

  • @marianyalusi1830
    @marianyalusi1830 4 роки тому +1

    Mungu awabariki sana na wimbo mzuri Niko kasi

  • @isabellakililo9506
    @isabellakililo9506 5 років тому +1

    wimbo huu unaiingia sana naupenda unabariki sana

  • @josephjila957
    @josephjila957 5 років тому

    Hongoreni wana iringa

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 років тому

    Tarumbeta ni ala mojawapo za kimziki ndugu zangu. Na ili mziki unoge vizuri inakubidi umix ala tofautitofauti. Ili mradi usitoke nje ya liturujia. Na pia ni kuendana na dunia pamoja na kizazi chake. Zamani kanisani ulikuwa ukiimba hakuna kucheza but now watu wanacheza na makasisi pia wakinogewa na mziki mtakatifu unakuta wanatamani hata kuruka. So mziki ni mzuri una maudhui sahihi mwisho unatafakarisha na alishoot kafanya vizuri kabisa.

  • @mutigamcanthony1755
    @mutigamcanthony1755 6 років тому +7

    Oh God don't I just love the harmony introduced by Altos at 5.11. How many times have I rewound to that point? I cant even remember.

  • @user-co3ul1ln6f
    @user-co3ul1ln6f Рік тому

    Hongereni sanaa

  • @susanldohlchodo4589
    @susanldohlchodo4589 5 років тому +6

    Ohh my goodness. This is very beautiful 😍❣️🙏🙏. Greetings from Bahrain 🇧🇭

  • @kaijagethomas2175
    @kaijagethomas2175 6 років тому +2

    Kazi nzr sanaaaaaa, Tuzidi kumtafta Bwana wetu Yesu Kristu

  • @johnmbogo5462
    @johnmbogo5462 4 роки тому +1

    God is only good

  • @gabrielmikindo3756
    @gabrielmikindo3756 6 років тому

    raga tupu 'utamadunisho' murua ambao haukupotosha maadili CATHOLlC. hongera sana na Mungu awabariki sana. AMEN

  • @gertrudeolisa3392
    @gertrudeolisa3392 2 роки тому

    Safi sanaaaaa aisee

  • @redemtamutinda2152
    @redemtamutinda2152 6 років тому +1

    I cant get enough of this song...how wonderful this song is, " Nafsi yangu yakuonea kiu mungu wangu na mwili wangu wakuonea shauku mungu wangu............."

    • @bongoclaudio7877
      @bongoclaudio7877 5 років тому

      Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri lakini pia hongera sana Mr Ray rufunguro kwa kazi nzuri

  • @josephinnocent2431
    @josephinnocent2431 6 років тому +2

    Naisubiri Hii Kaz Kwa Hamu sana,Naamini Kuna Manguli wa Muziki wamo pia kama Bernard Mukasa, Musa C Mabogo, Dionizi Kipanya,Zackaria Gerald,Na Wengine Wengine,.Tupatieni Kaz Iyooooooo

  • @sheddyrobby5874
    @sheddyrobby5874 3 роки тому +1

    Niko kasiiiiiii ninapenda staili yenuuu

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 Рік тому

    Huu wimbo ulinivusha sana kuna kipindi niliusikiliza kila siku mara nyingi sana, Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 5 років тому +1

    Hakuna rahisi ktk mafanikio

  • @teresiaofficial3849
    @teresiaofficial3849 5 років тому

    Daaah wimbo mzuri maneno mazuri ya kutafakarisha.

  • @seuzebiusaugustino9464
    @seuzebiusaugustino9464 4 роки тому +1

    Safi sana mmeimba wimbo mzuri sana good

  • @petermulwa7121
    @petermulwa7121 2 роки тому

    My ever prayerful song.... Nafika lini Mungu wangu niuone uso wako?

  • @elizafrank170
    @elizafrank170 3 роки тому +1

    Nzur

  • @luvisa2472
    @luvisa2472 4 роки тому +1

    Hii record companyinayojiita Holy Trinity Studio waache kuweka introduction ya nyimbo yao katika kila nyimbo walizo record, yaani inaudhi unapo taka kusikiliza nyimbo lazima kwanza usikize introduction ya sauti yao kitu ambacho kinaboa.
    Tunajua mmerekodi hii nyimbo sasa hakuna sababu ya kutufanya tuwasikilize nyinyi kabla ya nyimbo. Roja na Tanganyika production hawaweki signature sound yao, unakwenda straight kwenye music.
    Makampuni makubwa ya kurekodi wahaweki introduction ya nyimbo kwenye musiki walio record
    Mnasound mpo patronize and hungry to be known and recognized

  • @fidiaoscar8440
    @fidiaoscar8440 4 роки тому +1

    Nabarikiwa Sana kupitia wimbo wenu,hongeren kwa utume wenu