Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
NIKO KASI_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Nzihi Kidamali - Iringa
Вставка
- Опубліковано 2 чер 2018
- NIKO KASI ni wimbo ulioimbwa na kwa ya ya Mt.Joseph Mfanyakazi iliyopo Nzihi - Kidamali Iringa. Tuungane nao katika kumtukuza Mungu. Wimbo huu upo ndani ya Album yao iitwayo wema wa Mungu.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0752 721 316 / 0752 243 201 au 0755 849 190
#kwayakatoliki
Mungu anatukuzwa ndani yangu kila ninaposikiliza hii nyimbo naona kiu ya Mungu wangu aliye hai🙏 nakutafuta Bwana wangu
Who is still watching this wonderful song with me in 2024
Oohh iwish ningemjua yesu mapema mimechelewa llakini naweka full effort ya recovering
Yesu wangu, najua sijakamilika
Naomba uchunguze moyo wangu
Niondolee mapungufu yangu
Nifanye utakavyo
Nataka upendezwe na Mimi
Usiruhusu kifo changu
Kabla sijapata kibali Cha mbinguni
Hamu yangu ni kufurahi pamoja na wewe mbinguni
Ameen🙏🙏🙏🙏
Amen
Mungu awabariki kwa kazi nzuri wimbo huu nayimbeda sana and najivunia kuwa mu catholic 🙏🙏🙏💃💃🇺🇬🇺🇬 04 05 2024 time 07:15am ni juumamosi be blessed amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏
Mungu awabariki nimejiskia amanitele baada yakusikia wimbo mzuri kamahuu💯
Mungu awape baraka zake mmeimba kwa hisia Sana napenda niskilize kila wakati moyo unajawa amani Sana🙏🙏🙏
Hongereni sana sauti mulua mungu anapenda kupanza sauti kwa vinywa venu wenye ,Nakutama kama nchi kame isiyokuwa na maji hakika 🙏🙏🙏🙏🙏⛪⛪⛪⛪⛪
Usanii wa daraja la juu sana! Siwezi lala kila siku kabla ya kubarikiwa na uimbaji huu.
Hongeleni taifa la mungu, Kwan wimbohuu ukweli umeimbwa kwahisia .asanteni sana naming awabaliki ninth nyie amina
Yaan huu wimbo jamani jamani unanipa tumaini la kuendelea mbele asante yesu kristo
Wapi likes za Ray ...kinanda chatii
I like the way he enjoys the music
Oooh! Ray Ufunguo! Kazi yake inapendeza kweli, and everything he outs his hands on flourishes.
Wimbo huu unanibariki sana, hongera mtunzi, wanakwaya na mpiga kinanda
Karibu
Hongereni saana mpo vizuri
Mbarikiwe kwa kumtangaza Kristi Amina
Nyimbo nzuri kabosa
Najivunia kuwa mkatoriki amina
Njiani naja niko kasi 😘😘😘
Hongeren sana mungu awbariki
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huuu
Mhh tamu balaa
Nimefarijika sn kwa wimbo huu, Mungu awabariki sn
Nice song & vedio music
Swahili Tanzanian Catholic Songs are so Amaizing
sichoki kuangalia wimbo huu. jaman mbarikiwe
Hunifikii mm 😘😘😘
Wooow,nafurah sana kuwaona watu wa nyumbani wakilitukuza jina lá bwana,
Watumishi wa MUNGU mbarikiwesana kaziyenu nimzuri inabariki
Mungu awabariki na kuwalinda hongereni kwa kaz nzur lini vol 2
Nabarikiwa sana na huu wimbo congratulations sana kwa mtunzi
Nawapenda saaaaana Mungu azidi kuwabariki na kuwakirimia hitaji la mioyo yenu
Nawakubaki wana iringa😍😍😍
i cant get enough of this song...... my heart is blessed and is at peace whenever i listen to this song.... the keyboardist wow ..... be blessed the whole team
Tumwimbie Mungu wetu nyimbo za sifa na utukufu. Hakika wimbo murua sana, miondoko na mapigo yanatia fora. Mungu Mwenyezi aendelee kutukuzwa daima. Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri ambayo naamini imegusa na kufariki nyoyo za watu wengi...
Daaahh nimekumbuka kidamali sec hasa nilipoona sura ya Tito well done
mumetisha kwenye wimbo huu utume mwemah jaman
Mungu awabalikj
Wimbo mzuri hongereni sana waimbaji na mtunzi
Mmetisha sana vanyalukolo hongereni sana nyimbo inaturudisha kwenye njia mimi niko kasi nakuja
Nafsi yangu yakuonea kiu We Mungu😘😘😘
Wimbo mtamu na mazingira mazuri sana
I am not a Catholic but huu wimbo umenifurahisha sana
Kazi ni nzuri, mnastahili pongezi ni mwanzo mzuri. Keep it up, hongera kwa Mtunzi
Kazi nzuri, Mwenyezi Mungu awajaze wingi wa Baraka zake
Nimebarikiwa na wimbo huu, mpiga kinanda Mungu alinde kipaji chako
Mnaimba vizurii hadi nimewatamani wana nzihi
HABARI NIMEUPENDA SANA WIMBO HU, NI KAZI NZURI SANA YA UINJILISHAJI NAOMBA ALBUM YAKE YOTE
St. Joseph, 'MUNGU abariki kazi ya mikono yenu'. Wimbo mzuri wenye kuinjilisha, kutafakarisha na kugusa roho ya yeyote anayeutafuta umilele. Hakika kazi yote hii kwa ajili ya ufalme wa mbingu si bure. Sifa na utukufu tunamrudishia yeye anayetuneemesha yote haya.
Wimbo mzuri mnooo Mungu kwaya zote ziweze imba ktk roho na kweli
Tunasubiri kwa Hamu kubwa Wema wa Mungu
Coming soon
nzuri. inanibariki. so consoling.
Nabarikiwa Sana na wimbo huu hakika atukuzwe Mungu mkuu siku zote daima,🥰🥰🙏
Asanteni sana wanakwaya wa Mt.Joseph Mfanyakazi Nzihi - Kidamali Iringa kwa wimbo huu mzuri uliobeba ujumbe mzuri na wenye kuburudisha, huwa narudia kutazama video, "kuimba ni kusali mara mbili". Mungu awabariki sana.
wow wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hongereni sanaa
asante
Mko vizuri, hongereni sana
Hii wimbo nzuri Sana, hongeren Sana kwa kaz nzuri
Mercy Macline. Dm
Niko kasi kukutafuta Mungu wangu.
kila siku lazima ni usikilize huu wimbo
Hongerani sana
Mimi hapa naendelea kubarikiwa tu! Fungulieni nyingine zitiririke!
Such a blessing...love from Nyeri KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongereni sanaaa!
Congratulations for a job well done ✅
Hongereni sana mt. Joseph wimbo mzuri kweli! Mubarikiwe sana waimbaji na mtunzi.
Nice one yu bless me so much am lm in saudi Arabia watching yr music yu look nice 😍😍
Mwimbo mzur Sana sauti nzuri adi rahaaa
hi kidamali nawasifu kwa ujumbe mzuri kwa Mungu wetu na Rajo pia wazuri ,safii sana wimbo huu unanitafakarisha sana nawapendeni kwa kazi nzuri,Mungu atukuzwe...
Mko juu nimewapenda sana, wimbo unatafakarisha unanibariki kabisa
Watching from manga girls high school kenya
naipenda sana hii Cd sasa nitaipataje niko Arusha
Hongereni.....Mapendo Daima*****
Nyimbo imetulia sana.
hatimae parokia yangu imenikosha kwa wimbo mtamu
wawoo kwaya ya nyumban 😍😍😍
Awesome
wimbo mzuri sana ....Sauti zote zimeimba vizuri pia mashairi mazuri
I just can't get enough of this song
The tall guy spices up the video... I love his moves
Nakuona Shem tem hii hadi unaachia kinanda duh mungu akuongezee uzidi hapo ulipo
Munaimba Kabisa! May God bless you
Asante Kwa kazi yenyu mufti kabisa,naomba niweze kupata nota za wimbo huu.
Well sang song, so melodious, May God bless the singers for spreading the gospel musically.
Mko vzr sana wapendwa kwa myimbo zenu na stail zimetulia
Mungu awabariki sana na wimbo mzuri Niko kasi
wimbo huu unaiingia sana naupenda unabariki sana
Hongoreni wana iringa
Tarumbeta ni ala mojawapo za kimziki ndugu zangu. Na ili mziki unoge vizuri inakubidi umix ala tofautitofauti. Ili mradi usitoke nje ya liturujia. Na pia ni kuendana na dunia pamoja na kizazi chake. Zamani kanisani ulikuwa ukiimba hakuna kucheza but now watu wanacheza na makasisi pia wakinogewa na mziki mtakatifu unakuta wanatamani hata kuruka. So mziki ni mzuri una maudhui sahihi mwisho unatafakarisha na alishoot kafanya vizuri kabisa.
Oh God don't I just love the harmony introduced by Altos at 5.11. How many times have I rewound to that point? I cant even remember.
Hongereni sanaa
Ohh my goodness. This is very beautiful 😍❣️🙏🙏. Greetings from Bahrain 🇧🇭
Kazi nzr sanaaaaaa, Tuzidi kumtafta Bwana wetu Yesu Kristu
God is only good
raga tupu 'utamadunisho' murua ambao haukupotosha maadili CATHOLlC. hongera sana na Mungu awabariki sana. AMEN
Safi sanaaaaa aisee
I cant get enough of this song...how wonderful this song is, " Nafsi yangu yakuonea kiu mungu wangu na mwili wangu wakuonea shauku mungu wangu............."
Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri lakini pia hongera sana Mr Ray rufunguro kwa kazi nzuri
Naisubiri Hii Kaz Kwa Hamu sana,Naamini Kuna Manguli wa Muziki wamo pia kama Bernard Mukasa, Musa C Mabogo, Dionizi Kipanya,Zackaria Gerald,Na Wengine Wengine,.Tupatieni Kaz Iyooooooo
Niko kasiiiiiii ninapenda staili yenuuu
Huu wimbo ulinivusha sana kuna kipindi niliusikiliza kila siku mara nyingi sana, Mungu awabariki kwa kazi hii nzuri
Hakuna rahisi ktk mafanikio
Daaah wimbo mzuri maneno mazuri ya kutafakarisha.
Safi sana mmeimba wimbo mzuri sana good
My ever prayerful song.... Nafika lini Mungu wangu niuone uso wako?
Nzur
Hii record companyinayojiita Holy Trinity Studio waache kuweka introduction ya nyimbo yao katika kila nyimbo walizo record, yaani inaudhi unapo taka kusikiliza nyimbo lazima kwanza usikize introduction ya sauti yao kitu ambacho kinaboa.
Tunajua mmerekodi hii nyimbo sasa hakuna sababu ya kutufanya tuwasikilize nyinyi kabla ya nyimbo. Roja na Tanganyika production hawaweki signature sound yao, unakwenda straight kwenye music.
Makampuni makubwa ya kurekodi wahaweki introduction ya nyimbo kwenye musiki walio record
Mnasound mpo patronize and hungry to be known and recognized
Nabarikiwa Sana kupitia wimbo wenu,hongeren kwa utume wenu