Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Tuongezee Imani Bwana - Dkt. D. Kacholi
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 17 сер 2024
- Kwaya ya Mt. Fransisko Ksaveri, Chang'ombe DSM
КОМЕНТАРІ • 645
Наступне
Автоматичне відтворення
BWANA AMENITUMA B S Mpepo Maandamano Uaskofu Jimbo Kuu la Mbeya.KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Переглядів 2 млн
#Mix: Mkusanyiko Nyimbo Katoliki za Roho Mtakatifu -1 Hour | Non-Stop | 2024Imani Kuu
Переглядів 170 тис.
Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba ParishKAPOTIVE
Переглядів 988 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q3 | 13.08.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 332 тис.
👊ЧЕРНИК: Все! Під Курськом НОВИЙ ПРОРИВ. Підходимо до АЕС? Путіна ПРИТИСЛИ. Готують ТРАНЗИТ ВЛАДИ?Сейчас
Переглядів 459 тис.
Яшин - интервью после тюрьмы / вДудьвДудь
Переглядів 8 млн
⚡️ "Пятки сверкали" аж до КУРСКА! "Кадыровцы" БЕЖАЛИ, оголив фронт!FREEДOM. LIVE
Переглядів 1 млн
EWE MAMA MARIA- P.F Mwarabu by Sr Emily Jeptoo FT Lawrence KamejaSr Emily Jeptoo
Переглядів 755 тис.
Mapenzi yako yatimizwe | Sio kwamba tunalalamika | Kwaya ya Mt. John Bosco | Upina NairobiAllan.C
Переглядів 165 тис.
NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm TzAloyce Goden Kipangula
Переглядів 2 млн
''TAZAMA ANAKUJA KUHANI''BALOZI WA BABA MTAKATIFU ALIVYOWASILI ABASIA YA ROHO MTAKATIFU MVIMWA..KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Переглядів 308 тис.
Nimekosa Nihurumie Chang'ombe Catholic Singers Dsm-Mtunzi/ Mratibu-Aloyce Goden Nyimbo za KwaresmaAloyce Goden Kipangula
Переглядів 3,4 млн
Kwaya Katoliki - Nitume Mimi Bwana (Na Frt. Godfrey Masokola)ZILIPENDWA TANZANIA
Переглядів 235 тис.
NJOONI SASA_ KWAYA KUU MWIMBIENI BWANA.ELCT Cathedral Dodoma TV
Переглядів 90 тис.
NYIMBO ZOTE ZA KWARESMA ZILIZOIMBWA NA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.Mratibu- Aloyce KipangulaAloyce Goden Kipangula
Переглядів 618 тис.
Bernard Mukasa - Mwanzi Uliopondeka (Official Video)Bernard Mukasa
Переглядів 6 млн
😭ЛЮДИ ВОВКАМИ СТАЮТЬ....5 канал
Переглядів 2,9 млн
🤯 ЗДУРІТИ!🔺КУРСЬК: куди дійшли ЗСУ? 🦾 Наступ на Росію ЗВІЛЬНИТЬ Донбас? Новини від ЯніниYanina Sokolova
Переглядів 595 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Детальний огляд матчу. ЛІГА ЧЕМПІОНІВFootball Hub
Переглядів 315 тис.
КУДА ДАЛЬШЕ ДВИНУТСЯ ВСУ? БЕСЕДА С ЮРИЙ ФЕДОРОВФЕЙГИН LIVE
Переглядів 548 тис.
Курянка: «Я не украинка, но разговариваю на украинском языке» #shorts #курскаяобластьАпостроф TV
Переглядів 591 тис.
Знищені колони та десятки полонених: останнє про Курський прорив. Донбас, удари, бої | Свобода LiveРадіо Свобода
Переглядів 407 тис.
Кадиров пішов НА ПЕРЕГОВОРИ із ЗСУ? АХМАТівці ТІКАЮТЬ! Київ захоплює НОВІ МІСТА РФ | НОВИНИ СЬОГОДНІУКРАЇНА СЬОГОДНІ
Переглядів 519 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Ліга чемпіонів. ПРЯМА ТРАНСЛЯЦІЯFootball Hub
Переглядів 457 тис.
Kama unapenda dini catholic gonga like 😘
Naipenda kutoka moyon❤❤❤❤
Wimbo wa NIONGEZEE IMANI BWANA kweli unaniburudisha na kuniongezea imani juu ya UKATOLIKI WANGU.
@@NonosiusMapunda asante sana familia ya saasita tumefurahi kusikia hivo
Mtunzi kutoka chang'ombe primary school to st Anthony mbagala up to sokoine agricultural alafu akaingia mlimani ud mbali na kupea pipa to Germany ndani ya PHD Mwenyezi Mungu akubariki sana my best brother DS Kacholi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mungu awajalie nguvu ya wimbaji
There was a time i was crying for faith in 2018,i was reciting holy rosary for Jesus to see me through 3times per day,i was very low in faith,february 2nd 2019 the day i will never forget in my life mother mary came on my dream and stayed with me and she was crying holding my hands,from that day i started believing and praying so hard.
This is encouraging. Ain't a catholic but love the singing and messages therein
Oooh wow praise the Lord 🙏🙏🙏🙏
And pray daily you will a lot of miracles from heaven through the hand Mary mother of Jesus Christ our Lord
Mama Maria tuombee...nakupenda Mama
Ave Maria Ave Maria
naipenda sana catholic wimbo ambao kila nikiusikiliza lmani inazidi kuwa kubwa kwangu
Asante tunafurahi sana tuzidi kuimarika katika imani 🙏
@@FortunataMakula amina sana tumefurahi pia endelea kuimarika kiimani🙏
My prayer in 2024, Lord increase my Faith
❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🤝
Huu wimbo unanifanya niwena amani sana ❤🎉kama umegundua mapadre weng wana penda huu wimbo like hapo😊
I enjoy this song so much. Even though I don’t understand what they’re singing..Greetings from Cameroon
Ee tunamuomba mungu atuongezee Imani ili tuweze kumkimbilia
Kwakweli Mungu niongee lmani Bwana
Eeeh mungu niongezee Imani juu ya uumbaji wako
Tuongezee Imani bwana tuwe Askari hodari kweli wa yesu Kristi 2019_2020 tuwe na Imani na dini yetu🎹🎤🎸🎵⚓🙏🙏🙏🙏🙏
Ninaupenda sana wimbo huu.
Sifa na utukufu una yeye
Nimebarikiwa sana kwani tunahitaji kuongezewa imani ya kumuamini Mungu na kumtegemea eye tu hasa kwa kipindi hiki mbarikiwe
Tuongezee imani Bwana,nabarikiwa sana
Ee Bwana tunaomba utuongezee imani ss wana wako, maana tunakutana na mengi
Nilianza kunywa nilipokuwa na umri wa miaka 16. Nilikunywa kwenye karamu, lakini pia nilianza kunywa peke yangu kwa sababu sikuwa na raha, na nilikuwa kwenye maumivu mengi ya kihemko wakati wote. Mama yangu alikuwa mkali sana nilipokuwa mchanga, na kaka yangu alimuumiza na hivyo mimi. Alianza kunyongwa na watu wenye kivuli, alianza kutofaulu masomo yake yote, hakuwahi nyumbani, na wazazi wangu walipambana wakati wote. Nilikimbia pia mara kadhaa. Siku zote nilikuwa nikijaribu kujua sababu ya kwanini nilikuwa hapa au kusudi la maisha lilikuwa nini. Kwa hivyo, nilianza kutazama falsafa tofauti, dini, na imani. Wakati nilikuwa na miaka 18 baada ya kunung'unika, niliinama na nikazungumza kwa mara ya kwanza. Niliuliza ikiwa Mungu ni kweli atanionyeshea ni kweli kwa sababu ni lazima nichukue tena. Nilikuwa nikilia wakati niliongea hii. Wakati huo nilihisi uwepo ukinipanda kama upepo. Haikuonekana kabisa, lakini haikuwa tofauti na kitu chochote maishani mwangu ambacho nilikuwa nimeona hadi wakati huo. Nilishangaa niliposikia na nakumbuka nikisema "ilikuwa nini hiyo?" Baada ya uzoefu huo mimi sana nilisahau kilichotokea na kuendelea kuaga, hadi mwaka wangu wa juu nilipokamatwa. Baada ya kukamatwa, wazazi wangu walipoteza imani yao yote kwangu na nilifukuzwa shule ya upili. Sikuwahi kuambiwa nirudi. Wakati huo, nilihisi hofu na kutokuwa na tumaini. Nilipoanza kumtafuta Mungu, na nilidhani atajifunua katika maisha yangu na kwamba atanipa ishara. Maombi yangu yakaanza kujibiwa kila wakati hadi sikuweza kukataa kuwa Mungu alikuwa akifanya kitu. Ilikuwa ya kushangaza na ya kulazimisha. Niliishia Kanisani na kuanza kusoma masaa ya bibilia kwa siku. Niliacha kunyongwa na marafiki wangu wengine kwa sababu walikuwa wakikamatwa kila wakati. Niliweza kusamehe familia yangu na mimi mwenyewe na kuomba kusamehewa. Niligundua jinsi watu wa Kanisa walivyohukumu na jinsi wanaunda vikundi lakini waliogopa kuwa karibu na mtu mwingine yeyote tofauti nao. Iliongezeka imani yangu kwa sababu niligundua Yesu hakuwa kama hiyo na tangu nilipokuwa mchanga, niliona watu kama watu bila kujali wao ni nani. Baada ya muda mfupi, ni kama ningeona uwepo wa Mungu ulikuwa katika maisha yangu na ndipo ikahisi kama hakuwa, na hapo ndipo alipokuwa, na sivyo sivyo. Siku moja niliamka na nilihisi mnyonge zaidi kuliko vile nilivyowahi kufanya katika maisha yangu yote. Nilihisi kama nilikuwa nikifaa ndani. Usiku huo niliomba, nikasema, Mungu, sioni maisha yangu miaka mitano kuanzia sasa nitakufa Yesu niokoe Bwana, tafadhali niokoe. Nilikuwa nikilia wakati niliposema na nilipomwomba kuniokoa, nilihisi uwepo ndani mwangu kama moyo, na nilihisi mara moja kama dimbwi, na nikasema Bwana tafadhali niokoe na nilihisi tena nguvu zaidi . Ilikuwa kama mionzi. Nilipoamka asubuhi iliyofuata, nilikuwa nimebadilisha kila kitu kiliona kipya kama nilikuwa mtoto tena. Hofu yangu yote na mawazo yangu yote ya mbio mbio kila kitu kilikuwa kimeenda. Niliangalia mikono yangu, na nikasema hii haiwezi kuwa kweli haiwezekani. Nilijiangalia kwenye kioo, nikaona mtu mwingine. Nilianza kuomba, na roho takatifu ikawa kweli kwangu ilikuwa ikiniosha na ndani yangu. Ilikuwa upendo kamili na amani, na nikasikia sauti lakini sio inayosikika, ilikuwa sauti ya ndani. Ilisema niko nawe; Nakupenda, sitakuacha kamwe, imekamilika. Hiyo ilikuwa Mei 3, 2009, na tangu wakati huo nimemfuata Mungu, nimeona mambo mengi yakibadilika na mambo mengi najua hayangebadilika bila imani na imani. Ninajua ni nini kupotea ili kuhisi hauna tumaini. Usiwahi kufikiria kuwa umekwama, au maisha hayawezi kubadilika kwa sababu inaweza. Mama yangu ni Mkristo sasa, Usiku wake na mchana. Baadhi ya mambo ambayo yalikwenda katika kipindi hicho yalikuwa wasiwasi mkubwa na ulevi wangu wa pombe. Nimeona na kuona mambo mengi ambayo ni ya miujiza na nimeona jinsi Mungu amefanya kazi maishani mwangu. Tunapomwomba Mungu atusamehe kwa kile tumefanya na kuachana na dhambi zetu na makosa yetu na tunaamini katika dhabihu ya Kristo kila kitu kinabadilika. Neno lake linasema ikiwa tunakiri kwa vinywa vyetu kuwa Yesu ni Bwana na tunaamini mioyoni mwetu kwamba alikufa na kufufuka tutapata uzima wa milele lakini sio maisha tu baada ya kifo bali maisha tele kwa sasa. Dhambi zetu zinafutwa sio tu za zamani, za sasa, na za siku zijazo lakini mizigo yetu na woga pia huondolewa. Mawazo yetu, akili zetu, mioyo yetu, roho zetu hubadilishwa na kuunganishwa na Mungu na tunajua roho yake inakaa ndani yetu. Ukitafuta, omba, na kubisha utajua YESU NI MFALME !!! ANAISHI!
Mungu,uzid,outup,iman😊😊
Ee Yesu utuongezee Imani tunakuomba
Nyimbo za tz za Catholic so nice
Niongezee Imani Bwana Yesu
Naipenda sana dini yangu ya roman catho
Kazi nzuri mtunzi, ara za kirumi na nidhamu ya nyimbo za katoliki imejidhihirisha katika wimbo huu, marvelous!.
Congrats. Appreciate . Pernament in FAITH. PAOLO attempts in evangelicalism. amen.
Hakika wanafunzi walimwambia yesu kristo"Tuongezee imani bwana"God bless you people, i really love this song
G.Hyde get tvred
There’s something sacred about Catholic music, nobody can adapt it to common music.
This particular one is melodious and reverent. Even the deportment of the singers tells you that they are truly addressing, in song, a prayer to God.
However, there are other catchy, rythymic trendy songs which, although they utter religious words, they only serve to gratify the senses as they seem designed to please and entertain....
@@jamesndirangu1197 true sir
Tuongezee imani Bwana Amen. Asanteni sana waimbaji kwa wimbo huu
Senza ABBA PADRE L'uomo e nulla
Wimbo huu unanibariki sana. Mungu awaongezee moyo wa kujitolea kueneza Injili kwa njia ya kuimba.
Nmebarikiwa sana na wimbo huu
Mbarikiwe xn nice song❤️❤️
Mungu,uzid,kutupa,iman
Naomba niongeze Imani Bwana
Uuhh wimbo unanipa matumaini Sana na sitoikana Wala kuipinga imani yangu proud to be Catholic
Amedeus Lyimo
Amina Amina
Sana wimbo mtamu sana. Mungu aendelee kuwatunza wanakwaya hawa.
Amaina
Mkojuu mnapendeza!
Kuwa mkatholiki ni baraka...ningependa watu wote ulimwenguni tuwe kanisa moja ambalo ni katholiki...am very proud to be a Roman Catholic
Hope academy training south africa
Really and me am proud to be
Niogezee imani bwana Mimi na familia yangu
huu wimbo kila nikisikiliza cwez kuzuia machozi !!! eeh Bwana tuonhezee Imani
Mko vzr wapendwa ktk kristu
Wow wimbo huu unipa Imani Sana
Bwana hakika nahitaji Imani yako
Tuongezee imani Bwana🙏🙏❤
Niongezee imani bwana .maisha yahitaji imani na in kwako naeza pokea imani.nashukuru kwa nyimbo hii nzuri ya kufariji roho
Asate sana yesu kwa kutowa mwiri wako kuwa mkate na damu yako kuwa divai emungu nipe moyo wa kushiriki mpaka kufa kwangu
Jaman huu wimbo nikidanlod mbn siwezi
hakika Mungu ni mwema tunaongeza imani kupitia nyimbo kama huu amen
Increase my faith Lord
Wimbo mzur xana Bwana uzd kutuongezea iman
Hakika najivunia ukatoliki wangu daaaah!!! Nyimbo nzuri
Mubarike Niko Rwanda
Nyimbo za kiswahili ni tamu sana
Machozi tu ndio imenitiririka mungu ni samehe
Tuongezee imani bwana,palipopungua imani
Bwana,Tunakuomba utuongezee Imani Bwana. Amina.
Tanzania muko mbele sana Duniani kote
Bwana tuongezee Imani katika maisha yetu ili tuweze kulitangaza neno lako vyema
Kwa kweli Mungu niongezee Imani, bila imani mimi ni bure kabisa...naomba uniongezee imani.
Mungu atuogezee imani 2020
L'Éternel seul est Dieu ! À lui seul toute la gloire que tous le craignent et connaissent que L'Éternel seul est Dieu au Nom de JÉSUS CHRIST AMEN
Hakika mbarikiwe nakamwe sitosubutu kuliacha kanisa katoliki Mwenyezi Mungu nipiganie mtumishi wako mkosefu
Am proud to be a catholic ❤🙏
I LOVE MY CATHOLIC FAITH 🙏🙏🙏
Me to
Indeed the real meaning of life to worship and grorify him who created us for this purpose even angles in heaven join us whenever such beautiful songs are sung by the faithful here on earth. Praise be to God!!!! 🙏🇰🇪
Amina kwa wimbo mzuri
Tuongezee Imani BWANA, wimbo unahisia kali na ni mzuri
Hakika wimb huu upon kweny ubora ,waimbaj hongeren sana!
Mungu mwenyewe atuongezeee iman....tuwe imara na imani yetu...Mungu ni mmoja jana, leo , kesho daima na hata milele....Mungu abariki nia zenu njema.
Mtunzi wa hi nyimbo sasita.. tutakukumbuka daima.. najua upo patakatifu kwa Mungu
Pumzika kwa amani baba yangu tutakukumbuka kwa mazuli yako kwan kwake tulitoka kwake tutaludi Mt maria Bunda tulibaki na pengo kubwa lisilo zibika
I love this song tena xana yaniogezea matumaini yangu katika kila jambo ninalolifanya
Asanteni sana kwa utume
Bwana tuongezee Imani
Nimebalikiwa na wimbo wa tuongeze iman nawaomba nawale wenye vipaji nyakuimba muimbe
OGod strengthen your people o lord.
Ee Mungu zidi kuniongezea Imani ktk tabu na raha 🙏🏼🙏🏼
Tuna kila sababu ya kuendelea kumwomba Mungu atuonzee IMANI hasa katika kipindi hiki cha Corona. Kazi nzuri sana kwa mtunzi Dkt David Kacholi na wanakwaya kwa ujumla. Apumzike kwa Amani Mwl.na mpiga kinanda Charles Saasita.
Truely you are the best singers
Kazi nzuri sana kwa watunzi wema kwa wito wakuenza injili kupitia nyimbo zetu za katoliki
Tuongezee imani baba Sisi wakosefu
Nabarikiwa Sana na huu wimbo,," kwa kipind hiki kigumu Nachopitia,,Amina🙏
Baba tuongezee Imani
Nabarikiwa sana kwa kusikiza wimbo huu hongereni sana changombe
Amen
Ukubali kunijalia Imani iweze kunisaidia katika wokovu wangu
proud to be a cathlician
Ee Mungu, usituache hvhv tuongezee imani Bwana Amen.
Wow, very good song
Bwana utuongezee imani ck zote za maisha yetu hapa duniani
Stefano Naman
.
NIONGEZEE IMANI BWANA NINAKUOMBA BABA
Tuongezee imani katika mioyo yetu Bwana
Tuongezee Imani Bwana Yesu Tudumu daima tukikutumikia,Tusiwe na imani Haba
Niongezee imani mungu muumba mbingu na dunia wakati huu mungu wewe tu ndie unanjua kenye na pitia niongezee imani yesu mungu ni ongezee imani🙏🙏🙏
Wimbo mzuri naipenda.Imani ya bwana ikae nasi daima.Salamu nyingi kutoka Nairobi
Michael Mutuku kwa hakika imani ndio mwanga wa kikristo...keep it up choir master with your choir members for performing tha melody of sympathy..
Bwana Yesu aliuliza kama atakaporudi ataikuta imani. Hakika tunapasika kuendelea kuomba Bwana Yesu atuongezee Imani. Nasi tuendelee kutenda law kadi ya maamlisho yake.
tuongezee iman bwana wimbo mzur sana unanifanya nitafakar ukuu was Mungu mbarikiwe waimbaji
Mungu amlaze mahala pema peponi Mr. Charles Saasita , ananibariki mno na nyimbo zake hasa huu wa tuongezee imani Bwana
This song is power to all cells of my body and "soul"..... Increase faith in us Lord!
This song is very powerful, it is very deep, thanks Catholic singers, and today it was a part of leading during the mass. Kwakweli Mungu naomba uniongezee Imani
It's True my sister
Eye. Yesu. Tuongezee. Imanl ktk maisha yetu ya kiroho na imani katika maisha yetu hasa pale tunapokumbana na mazingira yenye changamoto
Ubarikiwe❤❤🎉🎉❤❤🎉
Pumzika kwa amani Charles Saasita. Ulitumia kipaji chako kumwabudu Mungu kwa nyimbo.
Love from indonesia
Hakika tumepungukiwa haswa nyakati hizi za kigugumizi....tuongezee imani Bwana
Proud to be Catholic!!!
God bless you all amen
Amen
Asanteni sana ndugu zangu wapendwa hasa hasa waimbaji wa wimbo Tuongezee Imani Bwana, ni nzuri sana kwangu kusikiliza na kuangalia. Hasa hasa kama niko kwenye ofisini, napenda kusikiliza na kuangalia wimbo hiyo. Asanteni kabisa mara ngine.