Please watch: "Ningekuwa Kwetu-Wamanyema" • Ningekuwa Kwetu-Wamanyema -~- The song belongs to Hussein Jumbe from Tanzania. All rights are also reserved to the owner of the audio file.
Tutakukumbua baba daa siamini malaya mwisho nimekuona daa mbele yako nyuma yetu kumbe kifo chako ulikuwa unakiona daa mungu akuweke mahli pema peponi baba
Jumbe alipiga nyimbo hii early 2000 baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi watu wakamzushia kifo. Baada ya kupona aliuimba huu wimbo kwa hisia sana huku akiwatawaja wabaya wake. Kama maden semeni niwalipee.......Nachechemeaa
Ndiomaana nimerud kwa Jumbe. Kama ulikuwepo kipindi hicho unasoma shule ya msingi ukirudi saa sita unatumwa dagaa harafu unaenda ukiendesha ringi la baiskeli gonga like kwa wingi twende pamoja
Yale maisha huyatamani hivi. Hivi sasa maisha yana raha zaidi kuliko wakati ule lakini na kero zimekuwa nyingi zaidi. Yale yalikuwa maisha bila stress.
@@hajihassan5433 aise Yale maisha Malezi yalikuwa ya aina moja karibu nchi nzima Familia nzima mnasafiri mnaenda kuwatembelea ndugu Harafu mnafunga mlango hakuna wizi
Miziki hii ya zamani kiukweli ilipigwa kiustadi sana na hawa wazee wetu walifanya vitu vikubwa na ndo maana bado kabisa iko vizuri hadi leo hii..OLD IS GOLD
Poleni sana familia ya Hussein Jumbe tulimpenda sana kumbe wimbo wake "Nachechemea" alijitabiria kifo chake, japo mala ya Kwanza Mwenyezi Mungu alimnusuru.Pumzika kwa Amani sote tunakuombea tahfifu kwa Mwenyezi Mungu.
japo mm ni mdogo kiukweli miziki ya zamani ni mizuli sana ukiisikiliza hata kama ulikua na mawazo yanapungua make inafundisha sana maisha ya hapa duniani
Great song! Well composed Well arranged Well synchronized Well sound engineered! Plus soothing vocals from multi VOCALIST Hussein Jumbe! RIP! Producer ni HENRICO FIGUIROA STUDIO SOUND CRAFTERS TEMEKE , DAR ES SALAAM, TANZANIA
Hussein Jumbe katulia sana one of his best songs halafu vyombo pia vimetulia trumpets, solo guitar sasa uwe kwenye Hall live ndio utapenda hapo umekatishwa just for recording purposes balaa hiyo nyimbo
hii miziki ya zamani nimitamu kuisikiliza maana kila chombo unakisikia vizuri kinavyofanya kaziyake na sauti zinazosikika vizuri kwa ujumbe usioisha miaka na miaka.
R.I.P Mzee Hussein Jumbe. Asante kwa nyimbo nzuri inayoishi milele.
R.IP Baba
Tutakukumbua baba daa siamini malaya mwisho nimekuona daa mbele yako nyuma yetu kumbe kifo chako ulikuwa unakiona daa mungu akuweke mahli pema peponi baba
Jumbe alipiga nyimbo hii early 2000 baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi watu wakamzushia kifo. Baada ya kupona aliuimba huu wimbo kwa hisia sana huku akiwatawaja wabaya wake. Kama maden semeni niwalipee.......Nachechemeaa
Mbona hueleweki 'nyimbo' au 'wimbo'?!
Kumbeee🤔ndo najua leo, Mungu azid kumtunza
Sasa hawa anaowataja wabaya wake au wema wake?
@@hajihassan5433 wema wake mabest
Ndiomaana nimerud kwa Jumbe. Kama ulikuwepo kipindi hicho unasoma shule ya msingi ukirudi saa sita unatumwa dagaa harafu unaenda ukiendesha ringi la baiskeli gonga like kwa wingi twende pamoja
Yale maisha huyatamani hivi. Hivi sasa maisha yana raha zaidi kuliko wakati ule lakini na kero zimekuwa nyingi zaidi. Yale yalikuwa maisha bila stress.
Nimekumbuka mbali sana brother john minilikua naendesha gari ya mabua Leo ni mi nidereva Truck driver
@@hamadyzuberi7778 Dah umeishi kwenye ndoto zako
Kama mimi nilikuwa napenda kutengeneza magari ya waya
Mabua
Leo mi Mechanical engineering technician
@@hajihassan5433 aise Yale maisha
Malezi yalikuwa ya aina moja karibu nchi nzima
Familia nzima mnasafiri mnaenda kuwatembelea ndugu
Harafu mnafunga mlango hakuna wizi
kweli ndo irikuwa na kipindi cha mchana mwema redio Tanzanian
Rip Hussein Jumbe uliimba huu wimbo waliposema umekufa now umeondoka kweli
Hakika there's a time hatutakuwepo nasisi hapa duniani. RIP legendary Jumbe
R.I.P Hussein Jumbe hakika nyimbo zako zilikuwa Zinanikosha Sana Sababu zilikuwa na uhalisia wa maisha yetu katika jamii
Miziki hii ya zamani kiukweli ilipigwa kiustadi sana na hawa wazee wetu walifanya vitu vikubwa na ndo maana bado kabisa iko vizuri hadi leo hii..OLD IS GOLD
Nasikia kifo chako Sasa hv imebidi niisikilize nyimbo hii😢😢 hakika kila nafsi itaonja mauti😢😢😢
Nasikia kafariki jamani daa RIP Jummbe
RIP mzee hii nyimbo ni miaka sasa kila siku lazima nisikilize kwenye gari au ofisin
Hussein Jumbe, mwamba, mwimbaji mahiri mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Napenda sana nyimbo zako!
Hiyo ndio imekuwa the best of Hussein Jumbe brilliant song
Naupenda sana huu wimbo japo sjui umetoka mwaka gani 😢😢
DUHHHHH WAPI MZIKI MZURI KAMA HUU.
Nimekumbuka mbalii Sanaa Hussein Jumbe have a long live R.I.P Mpakanjia
Wimbo naupenda Sana. Ulikuwa ukipigwa nikiwa jikoni mdogo Rajabu Nanana Mpimbi lazima aje kuniita.nice song
Amina Munda naomba unitafte
umetuachia simazi watanzania
Rest in Peace legend, Mola akupunguzie adhabu ya kaburi Hussein Jumbe
Wimbo Umetuliaa Sanaaa Mungu Akubariki Mzee Hussein Jumbeee Maneno mengi yalisemwa Juu yangu Mimi Kama kipaji kanipa Mungu
Poleni sana familia ya Hussein Jumbe tulimpenda sana kumbe wimbo wake "Nachechemea" alijitabiria kifo chake, japo mala ya Kwanza Mwenyezi Mungu alimnusuru.Pumzika kwa Amani sote tunakuombea tahfifu kwa Mwenyezi Mungu.
Niliwahi hudhuria onesho lako. Tukazungumza ukaniambia mengi. Mpenzi yeyote wa mziki, Sanaa, mashairi asingechoka kukusikiliza. Upumzike kwa amani kaka Hussein Jumbe!
nilianguka ukaninyanyua.....asante kwa ujumbe huu
mbona mnisakama na maneno mieeee!! nachechemeaaaaaa!! Jumbe Hussein NDANI ya mjengo!!
Namkumbuka sana rafiki yangu Hassani Haji Huyu.....tulkua tukiuimba huu kwa pamoja daaaaah an incredible song for shoo!!
Wanadamu tatizo kubwa. Yao kusema mabaya. Mungu mkuu atusaidie sote. Amen.
nongera husein jumbe, nakukumbuka wakati tupo shule ya msingi yombo 1974 darasa la kwanza
Aiseeh miaka mingi sana
2020 wanaongalia tujuane kwa like hapa
Pumzika kwa amani baba Hussein Jumbe
Old is gold.. Penda sana hii nyimbo mpaka now 2018
Fatma Ismail pamoja sana
wimbo mzuri sana penda sana
2021 bado inatambaa
HII NGOMA INANIKUMBUSHA MBALI SAANA AISEE....NICE SONG KWA MZEE JUMBE
japo mm ni mdogo kiukweli miziki ya zamani ni mizuli sana ukiisikiliza hata kama ulikua na mawazo yanapungua make inafundisha sana maisha ya hapa duniani
Zuberi Juma Mpaka uwe timamu lakin ndio utajua kuwa ina maana sana
Yaan we acha tuu kuna vitu tunajifunza kupitia wakati tulio nao😭
Great song!
Well composed
Well arranged
Well synchronized
Well sound engineered!
Plus soothing vocals from multi VOCALIST Hussein Jumbe! RIP!
Producer ni HENRICO FIGUIROA
STUDIO SOUND CRAFTERS
TEMEKE , DAR ES SALAAM, TANZANIA
Kassid alli
Huu wimbo sauti ya jumbe is fantastic sichoki kuisikiliza kwa kweli
marehem baba yangu aliupenda wimbo huu unanikumbusha mbali sana kweli miaka inasonga
Hata mm marehemu babayangu alikua anaupenda sana, yani hapa nataka machoz tu
@@jgdghcvjvvjvbcv8032 Hata mm marehem babayangu alikua anampenda Sana jumbe
Yakale zahabu❤️
Pumzika kwa Amani Mwamba tutakukumbuka Daima na Sauti yako itabaki kama kumbukumbu Kwetu.
Rest in peace legend we shall meet in paradise!!!!!
😮😢😢
Kusema ukweli nyimbo nyingi za zamani ni nzuri sana Jumbe mimi na mkubali sana
watu wengine walisema Maneno mabaya,na wengine wakatangaza nimeaga dunia,nachechemeaa!!!!!!
Inna ilahi wainalillah rajuun Jumbe
Walikuzushia sana kifo mpaka ukatunga wimbo nachechemea,watu sio wazuri. Pole kwa familia na Tasnia ya mziki wa dansi hakika kila nafsi itaonja mauti.
Na sanduku gharama wakanichongea....kwa mapenzi ya jalali leoo nachechemeaaaaa...
Hussein alitulia sana hapa
Hussein Jumbe katulia sana one of his best songs halafu vyombo pia vimetulia trumpets, solo guitar sasa uwe kwenye Hall live ndio utapenda hapo umekatishwa just for recording purposes balaa hiyo nyimbo
2019 naangalia bado,,, songs za zamani ja Mani zinatia raha
Nazipenda nyimbo za zamani namkumbuka marehemu mama yangu mdogo alikuwa anapenda sana kuimba jmn 😢😢😢😢😢
Thanks
Pole dd
R.I.P mzee hussein jumbe nyimbo zako zitaishi milele pumzika kwa Amani
hii miziki ya zamani nimitamu kuisikiliza maana kila chombo unakisikia vizuri kinavyofanya kaziyake na sauti zinazosikika vizuri kwa ujumbe usioisha miaka na miaka.
Niliganda niliduwaaa nimlilia sana mwanangu sana Mzee Dodo hatunaye Tena. ..R.I.P. Hussein Jumbe
R.I.P Mzee Hussein Jumbe....❤❤🎉
Nakumbuka mwaka 2002 kipindi hicho buguruni kidarajani I missed my childhood
KENA PUB
Kama kipaji kanipa mungu Altezza mtaniuwa bure...
Kumbukumbu ya mzee dobi
Rest in peace mzee wetu.. msalimie mpakanjia
Huseni jumbe na Fresh.jumbe je ni ndugu.
Mm nakumbuka baba alikuwa anaredio flni ukikutwa umeishika jani kichopo utakachopewa 😂 , Leo nazikiliza na furahi 2024
nachechemea nyimbo za zamani zilitungwa kiustadi mkubwa sana
Waooo kitu kitamu jameni rest in peace 🎉 mzee
wimbo wako wa nachechemea
hatimae imekuwa daaa
The old music Hussein jumbe baba mzaz mlifanya kaz kubwa sana
Pumzika kwa amani shujaa wetu wa muziki.
Nyimbo zenye kukonga ngoma ya masikio yangu na kila nsikiapo hupata faraja ya moyo wangu
kuna wimbo wakee unaitwa POMBEEE NIWEKEENIII JAMANIIIIII
mbona mnasakama na maneno mie? lipi nililowakosea? .......kama ni deni semeni niwalipe mimi ......nachechemea mnama uko wapi ? nachechemea mbacho classic nishike mkono, nachechemea mzee wa Kimara classic wear. .......!
Sote wa m/mungu na kwake tutarejea pumzika Kwa Amani
miziki ilikuwa na jumbe za maisha ya kizazi chao hadi cha baadayee
Dah yaan nyimbo nzur yenye maadili hongera sana jumbe
Napenda sana nyimbo hii
tuliokuja baada ya kusikia jumbe amefarika tujuane
R.I.P
2020 February twende sawa
👇👇
P1
Heart touching 😢😢
Mm nikijana wa kizazi hiki lakin napenda sana kusikiliza nyimbo za zamani 2019 kutoka simiyu
Mungu ailaze roho yake Mahalia pema😢
Nmemkumbuka marehemu mamaangu alikuwa anaipenda mno hii nyimbo mungu akuremu mamaangu
Pole sana
Ni Mungu na sio mungu.
Ila pole sana ndugu.
huseni jumbe ni nyimbo ambayo naipenda sana
nachechemea
Huu wimbo namkumbuka sana marehemu mama yangu alikuwa anaupenda sana
Nachechemea naja taratibu..... So nice
Rip hussein Jumbe
Bonge la wimbo!
I'm speechless😭😭 RIP hussein jumbe
Naishi Rwanda ila uyumwimbo siuchoki kwasiku nausikia mara4
Da naipenda sana sauti ya jumbe
Rip legendary
binge la wimboo sharauti kwako Hussein jumbe sauti ya dhahabu
RIP Legend. One of the best katika Muziki wa Dansi.
binafsi huu wimbo nakumbuka cku ya kwanza kuuckia marehem babu yangu alikuwa amepatwa na ugonjwa wa kupooxa mwili nxima ivyo
NAIPENDA XANA HUU WIMBO UNANIKUMBUSHA MENGI...
Duh! Nilikuwa kadogo hii nyimbo
Wimbo kiboko Sana hiki mungu akulaze mahala pema
RIP jumbe
wimbo mzuri sanaa kwa kweli napenda nyimbo zake
nachechemea wimbo safi sana unamaana kubwa
Rest in peace my dad kipndi hich alinitoka baba yng kpenzi nkickia nyimbo hii namkumbuka sana
Pole ndugu
Pumzika kwà aman mwamba
Mungu amlaze Mahali pema peponi
kwa mapenzi yake jamani nachechemea - kama ni deni semeni niwalipe mizengwe iishe.
lala salama mwamba,mziki unaishi kweli kweli
Pumzika salama
Nakumbukabali Sana'a big up
Kwamapenzi yake jalali Leo nachechemea..........
twangapepeta mwana dar es salama
Kama kipaji kanipa mungu.sio maneno yangu niyajumbe
nazikubaligi sana
Mziki mtamu utafikiri wa jana