Hussein Jumbe-Nachechemea

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 сер 2014
  • Please watch: "Ningekuwa Kwetu-Wamanyema"
    • Ningekuwa Kwetu-Wamanyema -~-
    The song belongs to Hussein Jumbe from Tanzania. All rights are also reserved to the owner of the audio file.

КОМЕНТАРІ • 242

  • @Omarysadick1990
    @Omarysadick1990 Рік тому +11

    R.I.P Mzee Hussein Jumbe. Asante kwa nyimbo nzuri inayoishi milele.

    • @petermgogosi20
      @petermgogosi20 Рік тому

      R.IP Baba

    • @kulfatyadamu8270
      @kulfatyadamu8270 Рік тому

      Tutakukumbua baba daa siamini malaya mwisho nimekuona daa mbele yako nyuma yetu kumbe kifo chako ulikuwa unakiona daa mungu akuweke mahli pema peponi baba

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 6 років тому +29

    Jumbe alipiga nyimbo hii early 2000 baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi watu wakamzushia kifo. Baada ya kupona aliuimba huu wimbo kwa hisia sana huku akiwatawaja wabaya wake. Kama maden semeni niwalipee.......Nachechemeaa

  • @johnedwardkassawa2952
    @johnedwardkassawa2952 4 роки тому +32

    Ndiomaana nimerud kwa Jumbe. Kama ulikuwepo kipindi hicho unasoma shule ya msingi ukirudi saa sita unatumwa dagaa harafu unaenda ukiendesha ringi la baiskeli gonga like kwa wingi twende pamoja

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 роки тому +1

      Yale maisha huyatamani hivi. Hivi sasa maisha yana raha zaidi kuliko wakati ule lakini na kero zimekuwa nyingi zaidi. Yale yalikuwa maisha bila stress.

    • @hamadyzuberi7778
      @hamadyzuberi7778 3 роки тому +2

      Nimekumbuka mbali sana brother john minilikua naendesha gari ya mabua Leo ni mi nidereva Truck driver

    • @johnedwardkassawa2952
      @johnedwardkassawa2952 2 роки тому +1

      @@hamadyzuberi7778 Dah umeishi kwenye ndoto zako
      Kama mimi nilikuwa napenda kutengeneza magari ya waya
      Mabua
      Leo mi Mechanical engineering technician

    • @johnedwardkassawa2952
      @johnedwardkassawa2952 2 роки тому +2

      @@hajihassan5433 aise Yale maisha
      Malezi yalikuwa ya aina moja karibu nchi nzima
      Familia nzima mnasafiri mnaenda kuwatembelea ndugu
      Harafu mnafunga mlango hakuna wizi

    • @winnijames7330
      @winnijames7330 Рік тому +2

      kweli ndo irikuwa na kipindi cha mchana mwema redio Tanzanian

  • @neemamutembei2267
    @neemamutembei2267 Рік тому +7

    Rip Hussein Jumbe uliimba huu wimbo waliposema umekufa now umeondoka kweli

  • @elizabethmboya3925
    @elizabethmboya3925 27 днів тому

    Hakika there's a time hatutakuwepo nasisi hapa duniani. RIP legendary Jumbe

  • @restutangonyani232
    @restutangonyani232 Рік тому +4

    R.I.P Hussein Jumbe hakika nyimbo zako zilikuwa Zinanikosha Sana Sababu zilikuwa na uhalisia wa maisha yetu katika jamii

  • @gavanankanabo8358
    @gavanankanabo8358 9 років тому +34

    Miziki hii ya zamani kiukweli ilipigwa kiustadi sana na hawa wazee wetu walifanya vitu vikubwa na ndo maana bado kabisa iko vizuri hadi leo hii..OLD IS GOLD

  • @zennakaboyonga4525
    @zennakaboyonga4525 Рік тому +3

    Nasikia kifo chako Sasa hv imebidi niisikilize nyimbo hii😢😢 hakika kila nafsi itaonja mauti😢😢😢

  • @Dantaata
    @Dantaata Рік тому +2

    RIP mzee hii nyimbo ni miaka sasa kila siku lazima nisikilize kwenye gari au ofisin

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 3 роки тому +4

    Hussein Jumbe, mwamba, mwimbaji mahiri mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Napenda sana nyimbo zako!

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 2 роки тому +3

    Hiyo ndio imekuwa the best of Hussein Jumbe brilliant song

  • @LazaroFrank
    @LazaroFrank 7 місяців тому +1

    Naupenda sana huu wimbo japo sjui umetoka mwaka gani 😢😢

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому +1

    DUHHHHH WAPI MZIKI MZURI KAMA HUU.

  • @mkuundembe5464
    @mkuundembe5464 4 роки тому +4

    Nimekumbuka mbalii Sanaa Hussein Jumbe have a long live R.I.P Mpakanjia

  • @aminamunda1499
    @aminamunda1499 Рік тому +1

    Wimbo naupenda Sana. Ulikuwa ukipigwa nikiwa jikoni mdogo Rajabu Nanana Mpimbi lazima aje kuniita.nice song

  • @kapamimayala2632
    @kapamimayala2632 Рік тому +3

    umetuachia simazi watanzania

  • @abyomy4485
    @abyomy4485 Рік тому +7

    Rest in Peace legend, Mola akupunguzie adhabu ya kaburi Hussein Jumbe

  • @nyabisemaro5574
    @nyabisemaro5574 4 роки тому +2

    Wimbo Umetuliaa Sanaaa Mungu Akubariki Mzee Hussein Jumbeee Maneno mengi yalisemwa Juu yangu Mimi Kama kipaji kanipa Mungu

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Рік тому

    Poleni sana familia ya Hussein Jumbe tulimpenda sana kumbe wimbo wake "Nachechemea" alijitabiria kifo chake, japo mala ya Kwanza Mwenyezi Mungu alimnusuru.Pumzika kwa Amani sote tunakuombea tahfifu kwa Mwenyezi Mungu.

  • @mosesmulashani5124
    @mosesmulashani5124 Рік тому

    Niliwahi hudhuria onesho lako. Tukazungumza ukaniambia mengi. Mpenzi yeyote wa mziki, Sanaa, mashairi asingechoka kukusikiliza. Upumzike kwa amani kaka Hussein Jumbe!

  • @marthamfumbi8946
    @marthamfumbi8946 7 років тому +8

    nilianguka ukaninyanyua.....asante kwa ujumbe huu

  • @menaskilibika534
    @menaskilibika534 5 років тому +2

    mbona mnisakama na maneno mieeee!! nachechemeaaaaaa!! Jumbe Hussein NDANI ya mjengo!!

  • @tanokamota1565
    @tanokamota1565 6 років тому +2

    Namkumbuka sana rafiki yangu Hassani Haji Huyu.....tulkua tukiuimba huu kwa pamoja daaaaah an incredible song for shoo!!

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 місяців тому

    Wanadamu tatizo kubwa. Yao kusema mabaya. Mungu mkuu atusaidie sote. Amen.

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 8 років тому +4

    nongera husein jumbe, nakukumbuka wakati tupo shule ya msingi yombo 1974 darasa la kwanza

  • @Pandumasoftware
    @Pandumasoftware 3 роки тому +21

    2020 wanaongalia tujuane kwa like hapa

  • @evakisoka2416
    @evakisoka2416 Рік тому +1

    Pumzika kwa amani baba Hussein Jumbe

  • @fatmaismail1362
    @fatmaismail1362 6 років тому +18

    Old is gold.. Penda sana hii nyimbo mpaka now 2018

  • @mussasaid1677
    @mussasaid1677 6 років тому +1

    HII NGOMA INANIKUMBUSHA MBALI SAANA AISEE....NICE SONG KWA MZEE JUMBE

  • @zuberijuma6700
    @zuberijuma6700 5 років тому +1

    japo mm ni mdogo kiukweli miziki ya zamani ni mizuli sana ukiisikiliza hata kama ulikua na mawazo yanapungua make inafundisha sana maisha ya hapa duniani

    • @majaliwataidin6921
      @majaliwataidin6921 5 років тому

      Zuberi Juma Mpaka uwe timamu lakin ndio utajua kuwa ina maana sana

    • @mwanaidijumanne4146
      @mwanaidijumanne4146 3 роки тому

      Yaan we acha tuu kuna vitu tunajifunza kupitia wakati tulio nao😭

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 Рік тому +2

    Great song!
    Well composed
    Well arranged
    Well synchronized
    Well sound engineered!
    Plus soothing vocals from multi VOCALIST Hussein Jumbe! RIP!
    Producer ni HENRICO FIGUIROA
    STUDIO SOUND CRAFTERS
    TEMEKE , DAR ES SALAAM, TANZANIA

  • @khassanpandu3370
    @khassanpandu3370 4 роки тому +1

    Kassid alli
    Huu wimbo sauti ya jumbe is fantastic sichoki kuisikiliza kwa kweli

  • @KIZOB
    @KIZOB 7 років тому +18

    marehem baba yangu aliupenda wimbo huu unanikumbusha mbali sana kweli miaka inasonga

    • @jgdghcvjvvjvbcv8032
      @jgdghcvjvvjvbcv8032 4 роки тому

      Hata mm marehemu babayangu alikua anaupenda sana, yani hapa nataka machoz tu

    • @mamausilamy1360
      @mamausilamy1360 3 роки тому

      @@jgdghcvjvvjvbcv8032 Hata mm marehem babayangu alikua anampenda Sana jumbe

    • @mwanaidijumanne4146
      @mwanaidijumanne4146 3 роки тому

      Yakale zahabu❤️

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 Рік тому +1

    Pumzika kwa Amani Mwamba tutakukumbuka Daima na Sauti yako itabaki kama kumbukumbu Kwetu.

  • @felicianmapunda856
    @felicianmapunda856 Рік тому +6

    Rest in peace legend we shall meet in paradise!!!!!

  • @willyelly926
    @willyelly926 6 років тому +4

    Kusema ukweli nyimbo nyingi za zamani ni nzuri sana Jumbe mimi na mkubali sana

  • @josephatfikiri7022
    @josephatfikiri7022 7 років тому +4

    watu wengine walisema Maneno mabaya,na wengine wakatangaza nimeaga dunia,nachechemeaa!!!!!!

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 Рік тому +1

    Inna ilahi wainalillah rajuun Jumbe

  • @mussaisaac
    @mussaisaac Рік тому

    Walikuzushia sana kifo mpaka ukatunga wimbo nachechemea,watu sio wazuri. Pole kwa familia na Tasnia ya mziki wa dansi hakika kila nafsi itaonja mauti.

  • @gwamakamwamasage1098
    @gwamakamwamasage1098 8 років тому +4

    Na sanduku gharama wakanichongea....kwa mapenzi ya jalali leoo nachechemeaaaaa...
    Hussein alitulia sana hapa

    • @mohamedabdulkadir2634
      @mohamedabdulkadir2634 5 років тому

      Hussein Jumbe katulia sana one of his best songs halafu vyombo pia vimetulia trumpets, solo guitar sasa uwe kwenye Hall live ndio utapenda hapo umekatishwa just for recording purposes balaa hiyo nyimbo

  • @princessaidal1130
    @princessaidal1130 4 роки тому +10

    2019 naangalia bado,,, songs za zamani ja Mani zinatia raha

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 6 років тому +4

    Nazipenda nyimbo za zamani namkumbuka marehemu mama yangu mdogo alikuwa anapenda sana kuimba jmn 😢😢😢😢😢

  • @user-hk9jl7tm6b
    @user-hk9jl7tm6b 2 місяці тому

    R.I.P mzee hussein jumbe nyimbo zako zitaishi milele pumzika kwa Amani

  • @haulesamson2265
    @haulesamson2265 6 років тому +4

    hii miziki ya zamani nimitamu kuisikiliza maana kila chombo unakisikia vizuri kinavyofanya kaziyake na sauti zinazosikika vizuri kwa ujumbe usioisha miaka na miaka.

  • @PeterDaniel-yf6qi
    @PeterDaniel-yf6qi Рік тому

    Niliganda niliduwaaa nimlilia sana mwanangu sana Mzee Dodo hatunaye Tena. ..R.I.P. Hussein Jumbe

  • @allyabdallahmsusa
    @allyabdallahmsusa Рік тому +1

    R.I.P Mzee Hussein Jumbe....❤❤🎉

  • @malikihamski4265
    @malikihamski4265 Рік тому +1

    Nakumbuka mwaka 2002 kipindi hicho buguruni kidarajani I missed my childhood

  • @omaryaltezza169
    @omaryaltezza169 11 місяців тому

    Kama kipaji kanipa mungu Altezza mtaniuwa bure...

  • @hajikalanje5439
    @hajikalanje5439 2 роки тому +1

    Kumbukumbu ya mzee dobi

  • @rsoo0099
    @rsoo0099 Рік тому +3

    Rest in peace mzee wetu.. msalimie mpakanjia

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 роки тому +1

    Huseni jumbe na Fresh.jumbe je ni ndugu.

  • @RozinaMassawe
    @RozinaMassawe 29 днів тому

    Mm nakumbuka baba alikuwa anaredio flni ukikutwa umeishika jani kichopo utakachopewa 😂 , Leo nazikiliza na furahi 2024

  • @georgemasima8452
    @georgemasima8452 2 роки тому +1

    nachechemea nyimbo za zamani zilitungwa kiustadi mkubwa sana

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Рік тому +1

    Waooo kitu kitamu jameni rest in peace 🎉 mzee

  • @kapamimayala2632
    @kapamimayala2632 Рік тому +1

    wimbo wako wa nachechemea
    hatimae imekuwa daaa

  • @iddymohamed1699
    @iddymohamed1699 5 років тому +1

    The old music Hussein jumbe baba mzaz mlifanya kaz kubwa sana

  • @josephyegella4816
    @josephyegella4816 Рік тому +1

    Pumzika kwa amani shujaa wetu wa muziki.

  • @lensonmbilinyi4721
    @lensonmbilinyi4721 6 років тому +2

    Nyimbo zenye kukonga ngoma ya masikio yangu na kila nsikiapo hupata faraja ya moyo wangu

  • @ayubumvungi70
    @ayubumvungi70 7 років тому +1

    kuna wimbo wakee unaitwa POMBEEE NIWEKEENIII JAMANIIIIII

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 6 років тому +6

    mbona mnasakama na maneno mie? lipi nililowakosea? .......kama ni deni semeni niwalipe mimi ......nachechemea mnama uko wapi ? nachechemea mbacho classic nishike mkono, nachechemea mzee wa Kimara classic wear. .......!

  • @shaninjarangi722
    @shaninjarangi722 Рік тому

    Sote wa m/mungu na kwake tutarejea pumzika Kwa Amani

  • @mariocostantino1312
    @mariocostantino1312 5 років тому

    miziki ilikuwa na jumbe za maisha ya kizazi chao hadi cha baadayee

  • @alialik7693
    @alialik7693 3 роки тому

    Dah yaan nyimbo nzur yenye maadili hongera sana jumbe

  • @user-of4ip3nk5n
    @user-of4ip3nk5n 13 днів тому

    Napenda sana nyimbo hii

  • @martinsamatajr7972
    @martinsamatajr7972 Рік тому +1

    tuliokuja baada ya kusikia jumbe amefarika tujuane

  • @frankysteven978
    @frankysteven978 Рік тому +1

    R.I.P

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 4 роки тому +2

    2020 February twende sawa
    👇👇

  • @AbdulMtausi-qi3en
    @AbdulMtausi-qi3en 4 місяці тому

    Heart touching 😢😢

  • @daudijohn5650
    @daudijohn5650 4 роки тому +1

    Mm nikijana wa kizazi hiki lakin napenda sana kusikiliza nyimbo za zamani 2019 kutoka simiyu

  • @jamirajuma4122
    @jamirajuma4122 Рік тому

    Mungu ailaze roho yake Mahalia pema😢

  • @rehemashabani8750
    @rehemashabani8750 4 роки тому

    Nmemkumbuka marehemu mamaangu alikuwa anaipenda mno hii nyimbo mungu akuremu mamaangu

  • @misalabazamu7965
    @misalabazamu7965 6 років тому +2

    huseni jumbe ni nyimbo ambayo naipenda sana

  • @egnokinunda6959
    @egnokinunda6959 5 років тому +1

    Nachechemea naja taratibu..... So nice

  • @frankkinyaiya.8217
    @frankkinyaiya.8217 Рік тому +1

    Rip hussein Jumbe

  • @carolmagessa314
    @carolmagessa314 8 років тому +8

    Bonge la wimbo!

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Рік тому

    I'm speechless😭😭 RIP hussein jumbe

  • @kararaera1758
    @kararaera1758 2 роки тому +1

    Naishi Rwanda ila uyumwimbo siuchoki kwasiku nausikia mara4

  • @salminswaggz8649
    @salminswaggz8649 5 років тому +2

    Da naipenda sana sauti ya jumbe

  • @yahayalwinde1176
    @yahayalwinde1176 Рік тому +1

    Rip legendary

  • @ignaskawonga7119
    @ignaskawonga7119 7 років тому

    binge la wimboo sharauti kwako Hussein jumbe sauti ya dhahabu

  • @fundisayore201
    @fundisayore201 Рік тому +1

    RIP Legend. One of the best katika Muziki wa Dansi.

  • @deodatuskipepemsalila7896
    @deodatuskipepemsalila7896 6 років тому +1

    binafsi huu wimbo nakumbuka cku ya kwanza kuuckia marehem babu yangu alikuwa amepatwa na ugonjwa wa kupooxa mwili nxima ivyo

  • @godlivingkimaro4937
    @godlivingkimaro4937 7 років тому +3

    NAIPENDA XANA HUU WIMBO UNANIKUMBUSHA MENGI...

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому +2

    Duh! Nilikuwa kadogo hii nyimbo

  • @salambafrancis6840
    @salambafrancis6840 6 місяців тому

    Wimbo kiboko Sana hiki mungu akulaze mahala pema

  • @pullah968
    @pullah968 Рік тому +1

    RIP jumbe

  • @hafsakhamisi1180
    @hafsakhamisi1180 8 років тому +1

    wimbo mzuri sanaa kwa kweli napenda nyimbo zake

  • @hilarychanga9765
    @hilarychanga9765 5 років тому +1

    nachechemea wimbo safi sana unamaana kubwa

  • @allyhassan8131
    @allyhassan8131 4 роки тому

    Rest in peace my dad kipndi hich alinitoka baba yng kpenzi nkickia nyimbo hii namkumbuka sana

  • @FatuThabiti-td2wg
    @FatuThabiti-td2wg Рік тому

    Pumzika kwà aman mwamba

  • @amonsecha5753
    @amonsecha5753 Рік тому

    Mungu amlaze Mahali pema peponi

  • @louisabadakalopogo6365
    @louisabadakalopogo6365 7 років тому +5

    kwa mapenzi yake jamani nachechemea - kama ni deni semeni niwalipe mizengwe iishe.

  • @user-fr1xu7jr3b
    @user-fr1xu7jr3b Рік тому

    lala salama mwamba,mziki unaishi kweli kweli

  • @kapongotv1463
    @kapongotv1463 Рік тому

    Pumzika salama

  • @karangainaiman2042
    @karangainaiman2042 6 років тому +1

    Nakumbukabali Sana'a big up

  • @yonahgangallen6332
    @yonahgangallen6332 6 років тому +3

    Kwamapenzi yake jalali Leo nachechemea..........

  • @nsajigwafrank6251
    @nsajigwafrank6251 7 років тому +2

    twangapepeta mwana dar es salama

  • @maliyaoibrahim560
    @maliyaoibrahim560 3 роки тому

    Kama kipaji kanipa mungu.sio maneno yangu niyajumbe

  • @aashamatondo63
    @aashamatondo63 8 років тому +2

    nazikubaligi sana

  • @marryriwa2435
    @marryriwa2435 4 роки тому +1

    Mziki mtamu utafikiri wa jana