Mlimani Park Orchestre - Mnanionyesha Njia Ya Kwetu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2013
  • Old is Gold!

КОМЕНТАРІ • 110

  • @pascalkazungu8798
    @pascalkazungu8798 4 роки тому +9

    Hizo tungo ni kweli haziwezi chuja mpaka kesho. Mpangilio wa sauti, ala, ujumbe n.k. ama kweli muziki ulikuwa wa zamani. Hakika mimi naikubali Sikinde. R.I.P wote walio tangulia Kinyasi, Mlenga, Teacher, Abel Baltazari,Gulumo na wengine.

  • @josephzaganzwa4475
    @josephzaganzwa4475 4 роки тому +7

    kama ni mila tuache tuache kwa sababu madhara yake nimakubwa,wengine mlikuwa mnaniita mke wengine shemeji , wengine wifi lakini hayo yote mmeyasahau kama msiba niwakwetu sote, bonge la ujumbe hii ndio miziki yenye maisha marefu.

  • @ramadhanimadoweka6458
    @ramadhanimadoweka6458 7 років тому +10

    Haya mambo yalikuwepo, yapo na yataendelea kutokea. Jamaa walitunga everlasting song.

  • @juliethndomba639
    @juliethndomba639 2 місяці тому +1

    Enzi hizo nilikuwa kibinti kibichi 👌 sasa nimekuwa jishangazi

  • @frankmakwahiya5202
    @frankmakwahiya5202 10 місяців тому +1

    hatareeeee sana, machozi yananitoka. nakumbuka d.d.c magomeni kondoa near makulumra shule ya msingi 1982.

  • @jumbempalasinge3528
    @jumbempalasinge3528 7 років тому +13

    Siku izi wanabana sauti na kusifia madem na matusi kibao yaani huwezi kusikiliza nyimbo mbele ya wakwe zako.

  • @allisaidndunyage7133
    @allisaidndunyage7133 7 років тому +15

    Zamani nyimbo zote zilikuwa zina rekodiwa RTD,kabla ya kurekodiwa zilikuwa zinasikilizwa na watalaam wa lugha na maadili ya Kitanzania. Nyimbo zote zilizokuwa hazifai, zilikuwa hazirekodiwi na hazipigwi katika kituo chochote cha redio, labda katka kumbi za starehe. Hivyo nyimbo zote za zamani mpaka leo zina maana na ujumbe unaoeleweka mpaka kesho.

    • @gilbertmasaki795
      @gilbertmasaki795 7 років тому +1

      Alli Said Ndunyage .Nyimbo za Ujumbe .Kweli.

    • @aishamahundi813
      @aishamahundi813 6 років тому

      Alli Said Ndunyage kwel

    • @julianpeter7165
      @julianpeter7165 6 років тому

      siku hizi kuna basata kila kitu kinaendeshwa kisiasa tu

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 6 років тому

      Alli Said Ndunyage kwanza hakukuwa na kituo kingine cha RADIO zaidi ya RTD na Sauti ya Zanzibar, kwahiyo hakukuwa na mahali pengine pa wimbo kusikika zaidi ya kwenye kumbi za dansi

    • @lusajomwakalinga1374
      @lusajomwakalinga1374 5 років тому

      Alli Said Ndunyage we acha tuu

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 роки тому +2

    Ukishasikia nyimbo za kisasa huzielewi unatafuta MB zako unakuja kusikiliza music unakufariji na kukuliwaza kisha tunapambana tena jmn hawa wakubwa wakijua mnoo

  • @charlesmjomba8664
    @charlesmjomba8664 6 років тому +9

    Nyimbo ni mafunzo kwa family's nazipongeza waliozimba ,,,

  • @moshyjanga5181
    @moshyjanga5181 8 років тому +12

    Hats tanga bado halijaishaaa a munaanza kugawana Mali ya marehemu mume wangu eheheheeee........acheni bwana ujumbe usiopitwa na wakati

    • @godfreymagomba7865
      @godfreymagomba7865 5 років тому

      Bichuka siyo mchezo huyu mzee sauti yake bado mpaka leo hii ni stereo.

  • @iddachikando9304
    @iddachikando9304 3 роки тому +2

    Hizi ndio nyimbo yaani unaisikiliza na inakupa funzo sio za kizazi kipya

  • @walterkudoyi7151
    @walterkudoyi7151 Рік тому +2

    Great music by Cosmas Tobias Chidumule , Hassan Bichuka and the legendary DDC Mlimani Park.

  • @swalehkoja7868
    @swalehkoja7868 8 років тому +9

    Nyimbo zilizokuwa zinaenda sawa na maisha ya kila siku. Mawaidha tosha.

  • @unclesaleh3257
    @unclesaleh3257 3 роки тому +2

    Hakika ndugu yangu, muziki ulikuwepo zamani ujumbe mzuri Sana.

  • @jipememanoni723
    @jipememanoni723 6 років тому +4

    Hakika nyimbo hizi zilikuwa na ujumbe mzitoo sana ndo maana hszichuji mpaka Leo znaonekana mpy

  • @togolaimbilu8261
    @togolaimbilu8261 4 роки тому +4

    Hii miziki iko poa sana. Kweli Old is Good, hata nyakati hizi za COVID 19 wakati tunatekeleza maagizo na maelekezo ya wizara ya afya tusisahau dawa zetu za asilia

  • @jumbempalasinge3528
    @jumbempalasinge3528 7 років тому +6

    Wewe unaotafuta wimbo wa msondo ngoma kauka nikuvae muimbaji bichuka andika iyo nyimbo humu kisha itatafuta cm

  • @josephmallya1720
    @josephmallya1720 8 років тому +16

    yakuwa Mali hiyo haswa ni ya watoto NA msimamizi ni mama ambaye Leo mnanikana dah bonge la ujumbe jamani Mali zinatutoa kwenye utuu tuache unyanyasaji tutafute Za kwetu

  • @asteriawilson4376
    @asteriawilson4376 8 років тому +3

    zilpendwa hazitakaa zisahaulike kamwe hata mwanamziki wa namuna gani nyimbo zilikuwa gold na zitaendelea kuwa gold

  • @gilbertmasaki795
    @gilbertmasaki795 7 років тому +8

    Kweli hawa walikuwa wanafanya utafiti kabila ya kutungu wimbo.Mambo haya ufanyika Katika familia vile wanapoimba Sikinde.Wimbo wakutafakali.

  • @augustinemhanga5530
    @augustinemhanga5530 6 років тому +12

    No words "Super lyrics and instruments".... Muziki ulikuwepo zamani, maish yalikuwa zamani, Old is Gold

  • @sospetermkangi722
    @sospetermkangi722 3 місяці тому

    Nyimbo zilizotungwa kwa ajili ya kuelimisha, kuburudisha, kukanya etc.

  • @abdimassawe2487
    @abdimassawe2487 6 років тому +6

    hawa ndiyo baba ya muziki.

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 роки тому +2

    Dah,! Chozi limenitililika nimekumbuka mbali sana

  • @zakiadaudi2401
    @zakiadaudi2401 6 років тому +3

    Hii nyimbo nikisikiliza najikuta na😭😭😭

  • @meleniafrancis9462
    @meleniafrancis9462 4 роки тому +2

    Nyimbo za zamani hakika zinatukumbusha mbali sana aiseeee

  • @kamwelaedwin577
    @kamwelaedwin577 Рік тому +1

    Ddc hao bhana

  • @tinershayo5397
    @tinershayo5397 3 роки тому +2

    hizi nyimbo za zamani zina madili mazuri sana na zina maono

  • @japharyabdul7656
    @japharyabdul7656 4 роки тому +1

    Haswa hizi ndizo nyimbo za kusikiliza hata mbele ya wake na si "NIKIKUONA NA BANWA NA HAJA" wana cha kijifunza

  • @HappyBirdNest-kz1cb
    @HappyBirdNest-kz1cb 6 місяців тому

    Old is gord

  • @user-md7yn9co5j
    @user-md7yn9co5j 9 місяців тому

    Makamba wa mbezi kwa yusuph

  • @dolophinamwakapalila7503
    @dolophinamwakapalila7503 Рік тому

    Dorophina D. Mwakapalila Nikisikiliza huu wimbo huwa machozi yananitoka huwa nakumbuka mbali sana

  • @makamevuai6132
    @makamevuai6132 4 роки тому +1

    SIKU HIZI HAKUNA NYIMBO ETI UTASIKIA NYEGE NYEGEZI UJINGA MTUPU MAMBO YALIKUWA ZAMANI.

  • @madarakakitambi2546
    @madarakakitambi2546 5 років тому +2

    Maneno kweli haswa tungo sahihi mashaili yaliyo kamilika.

  • @user-md7yn9co5j
    @user-md7yn9co5j 9 місяців тому

    Muziki wa zamani hua unanikumbusha maisha niliokua napitia naona mchozi yakinitoka

  • @mamahajrah4746
    @mamahajrah4746 7 років тому +5

    napenda sana hizi nyimbo jamani dahhh sijui nitende zeze ushe

  • @omarbadru206
    @omarbadru206 8 років тому +4

    kila leo yanatokea. muogopeni mungu.

  • @amonijustini119
    @amonijustini119 6 років тому +2

    Ama kweli nyimbo za zamani zilikuwa na fundisho na maadili. Nyimbo za sasa ni visa vya mapenzi tu na sioni fundisho mimi.

  • @user-ow1mt8qw6u
    @user-ow1mt8qw6u 5 місяців тому

    Bonge ya
    Wimbo

  • @maglansangenoi
    @maglansangenoi 4 роки тому +1

    jamani kama ni uimbaji na ujumbe zamani waliimba na kufundisha sana.

  • @restustakapinga1928
    @restustakapinga1928 4 роки тому +2

    Hizi zilikuwa nyimbo zenye ujumbe

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 2 роки тому

    Huu wimbo hautakuja kuchuja, Haya mashairi yanaigusa jamii moja kwa moja

  • @chumamihambo3480
    @chumamihambo3480 6 років тому +2

    in nzuri sana mafndisho kibao family chakavu

  • @princelausnicholaus5404
    @princelausnicholaus5404 8 років тому +4

    Mnanionyesha njia. sikiliza hio solo sasa ni balaa babaake haina mfano

  • @flowila82
    @flowila82 9 років тому +4

    Aibu sana kwa wana family kama hiii, tatizo mali

  • @alawihalidi5261
    @alawihalidi5261 3 роки тому +1

    Unanikumbusha marehemu mume jamani!!

  • @judithmcharo132
    @judithmcharo132 6 років тому +3

    Mbona mumesahauuu,yakua Mali hiyo haswaa,niyawatoto na msimamizi ni Mimi mamayao,ambaye Leo mnanikanaaa......daah

    • @jangamagili2601
      @jangamagili2601 6 років тому

      Judith Mcharo usiombe.....hata Tanga bado hilaishaa muna anza kugawana mali ya marehemu mume wangu hehee ninapouliza yamekuwaje.......... dah

    • @judithmcharo132
      @judithmcharo132 6 років тому

      Yaani...acha tuu

    • @mwakalingalusajo8054
      @mwakalingalusajo8054 5 років тому

      Janga Magili mnanionyesha njia

  • @Balingilaki
    @Balingilaki 4 роки тому +1

    Hizi ndio nyimbo.......nimekumbuka DDC KARIAKOO

  • @patrickkasonso3513
    @patrickkasonso3513 Рік тому

    Yakale ni dhahabu

  • @mbarakakhalid7588
    @mbarakakhalid7588 Рік тому

    kuna kitu cha mlimani park kinahitwa chatu mkali

  • @hamadymwasangala907
    @hamadymwasangala907 7 років тому +5

    jamani natafuta nyimbo ya msondo inayoitwa kauka nikuvae, katafute Kazi kwajuudi Na maarifa

    • @allymnzava3818
      @allymnzava3818 5 років тому

      Sio nyimbo ya msondo bali wimbo wa msondo

    • @aidannzowa5502
      @aidannzowa5502 5 років тому +1

      Mbona cm yako inamaliza shida yako!?

  • @najmasaleh9231
    @najmasaleh9231 8 років тому +5

    Hivi wadau huwa sina majibu na celewi zamani tulikuwa na mabendi mengi na yalikuwa yakijaza watu mfano, marquiz, juwata, Bima,Mk group nk yote yalikuwa yakijaza watu leo hii Vibendi vinapiga watu unahesabu . Za kale zipo wazee wenzangu zama hizi watarukaruka tu

    • @omand1761
      @omand1761 7 років тому +1

      sawasawa,hizi nyimbo wamecheza baba zangu kipindi hicho hata darasa la kwanza sijaanza lkn nnavyopenda utafkiri zimepigwa wakati huu wa bongo fleva.Hizi nyimbo za karne;hapan chezea kabisa

    • @ayoubkomba4218
      @ayoubkomba4218 5 років тому

      Kulikua akuna uzazi wa mpango

    • @mariamabdullah489
      @mariamabdullah489 4 роки тому

      @@ayoubkomba4218 Unajisifu na uzazi wa mpango mzungu kuweza kukuzibiti, we kweli bwege kaka

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 2 роки тому

    Mbona mmesahau ya kua Mali hiyo haswa ni ya watoto na msimamizi ni mm mama yao ambaye leo mnanikana dah....

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Рік тому

    Tuweni na hofu ya Mungu haya mambo tuyaache haki ifatwe jamani

  • @evanslanogwa6318
    @evanslanogwa6318 Рік тому

    Zilizovuma. Old is Gold.

  • @sunriseradiotz
    @sunriseradiotz 3 роки тому +1

    POWER NGUZO!

  • @venancemwahimba4214
    @venancemwahimba4214 Рік тому

    Sikinde wababe wa muziki wapinzani halisi wa msondo

  • @betriceissaya6168
    @betriceissaya6168 2 роки тому

    hizi ndyo nyimbo zenye mafundisho

  • @sangomamourice3251
    @sangomamourice3251 5 років тому

    ujumbe ueleweke bhana huu ndio muziki

  • @sambuomichael2881
    @sambuomichael2881 5 років тому +1

    Maneno yanayo hishi milele

  • @rajabuyasin5034
    @rajabuyasin5034 4 роки тому

    Nginde au Sikinde Cosmas Thobias Chidumure maisha yanakimbia kwa kasi mno

  • @jerolinemwangamba4550
    @jerolinemwangamba4550 3 роки тому

    Vyakale kweli dhahabu wimbo hauchoshi

  • @jastinbenjamin1132
    @jastinbenjamin1132 6 років тому +1

    yani ujumbe unafika kabisa

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 2 роки тому

    Mziki mtamu...hauna kelele.

  • @justnebagyemu1587
    @justnebagyemu1587 5 років тому

    Madhara yake ni makubwa kwa watoto

  • @isaackhakula5488
    @isaackhakula5488 2 роки тому

    That intro!

  • @zarokiwhittenburg7344
    @zarokiwhittenburg7344 2 роки тому

    Enzi zetu

  • @user-km4pb1bf1x
    @user-km4pb1bf1x 9 місяців тому

    Hakika

  • @saidahmadi8710
    @saidahmadi8710 7 років тому +3

    sikia solo ilo

    • @nauridhussen3958
      @nauridhussen3958 5 років тому

      Said Ahmadi87 sikuizi akuna watuzi kuna big jii tu oo nyege.nyege amna kitu

  • @greyshayo965
    @greyshayo965 5 років тому +1

    vijana jazz

  • @nicodemusngwala2079
    @nicodemusngwala2079 3 роки тому

    Muziki ulipokuwa muziki ....siyo uhuni wa siku hizi ambapo hawajui kuimba kupiga vyombo hawana ujumbe ...Basi Ni uhuni na kuashiria ngono ....TU

  • @nissanmarch656
    @nissanmarch656 3 роки тому

    Zilipwndwa dah

  • @paulositoya806
    @paulositoya806 4 роки тому

    Wapi obachi machoka weweee utamu tupu wandugu

  • @user-qc4uk1bf6c
    @user-qc4uk1bf6c 7 місяців тому

    A

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 2 роки тому

    Hii Nyimbo ilipigwa kitambo’ lakini ujumbe Mkubwa ni pale Mke anapofiwa na Mumewe, ndugu huja juu” Kipindi hicho hata watu kujua Sheria na haki zao ilikuwa ngumu, hapo anaposema Hata Mila tuache Madhara yake makubwa” Je mpango wake ni kwenda kuwashitaki Mahakamani au Anawaendea kinyume Yaani kwa Waganga Maarufu ili kupata haki yake? Embu nijuzeni “

  • @immarefu2012
    @immarefu2012 7 років тому +2

    d

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 років тому

      Tungo ambazo zinaendelea kudumu vizazi hadi vizazi, Hakika wanamuziki wa zamani walikuwa wanatoa vitu vya uhakika.

  • @aidannzowa5502
    @aidannzowa5502 5 років тому +1

    Pole huna chako tena! Sasa watoto ni wa nani!?

    • @allymaseka5322
      @allymaseka5322 4 роки тому

      Kiukweli inauma Sana

    • @majutoabdallah646
      @majutoabdallah646 4 роки тому

      Majuto Abdallah wa Moro Duuh nimemkumbuka saana marehem baba yangu kipindi Icho tulikua na redio yetu Rasonic

  • @aloycempanduji9514
    @aloycempanduji9514 5 років тому

    Hatari hata matanga hayajaisha