Daah nakumbuka 2000 kipindi nipo Drs la sita, natoka upanga mtaa wa maweni naenda shule. Magomeni mwembechai shule ya msingi makurumla sasa mwalimu Nyerere. Nilikua nawakuta t.o.t wanampimgia kampeni raisi mstaafu mh. Benjamin mkapa sio Siri nilikua nachelewa sana shule sababu ya banza stone, mungu ampe kauli thabiti huko haliko love brh nyimbo zake mpaka Leo zinaishi.
R.I.P Banza hakika unanikumbusha mbali sana nikiwa darasa la 4. Mlikuwa mnatoa nyimbo zakuelimisha sio saizi wanamzuki wa kizazi kipya wamekuwa wehu na mavazi yao ya ukichaa2024
Sa hivi tuko haniiiiii hani haniiiiiii hani...Rest in eternal bliss Banza. I now understand why God took you for himself. I am told he likes songs. Hope you have an eternal opportunity to sing for him and , no offense you can even sing this one to him.
Wimbo ni mzuri lakini siyo kweli ukose Mali upate akiri, wakati pesa inaweza nunua wenye elimu wakakutumikia mwenye Mali, wakati msomi hawezi ajiri tajiri hivyo pesa ndio Kila kitu au mnaonaje wadau
Kila nikisikia sauti ya Banza huwa najikuta naghadhibika mara dufu kuhusu unga. Hii kitu imetuchukulia watu wengi wa maana sana. Alikiwa kijana aliyejaaliwa sauti haswaa na nyimbo zake zilikuwa za kusikilizwa na yeyote, mbele ya yeyote. Hakika sotetuna dhamana ya kupinga hii biashara kwa nguvu zetu zote. May his soul rest in peace
Listening in 2024 much respect 🫡 Banza and Twanga Pepeta ya Asha Baraka’s
Ilikua ni TOT Achimenengule.. Banza Stone alitransform TOT Band toka kwenye kienyeji kuwa TOT Plus..😅😅😅 alikimbiza sana Ali choki na twanga yao..
Jaman mara ya kwanza kuutia masikioni huu wimbo nilikuwa darasa la 5 mwaka 2004 miaka inaenda sana jamn na leo may 20 2024
Huu wimbo umetokaaa 2006
Daaah jamani enzi zetu izo, dongo kwa ally choki ilo mzee wa farasi🤣🤣🤣
ngoma kama hizi tulikuwa tunazisikiliza kijijini tunatamani kufika Dar
Kabsaa enzi izo ujui utafkaje dr
2024 listening good music
Mwenyezi mungu akusamehe makosa yako upumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 zamani mlikuwa kiboko Ila siku hizi hovyo kabisa old is gold
Ni kweli kabisa,yaani saizi nyimbo sizipendi kabisa
Siku hizi ni hovyo very hoples kabis😢😢😢
Daah nakumbuka 2000 kipindi nipo Drs la sita, natoka upanga mtaa wa maweni naenda shule. Magomeni mwembechai shule ya msingi makurumla sasa mwalimu Nyerere. Nilikua nawakuta t.o.t wanampimgia kampeni raisi mstaafu mh. Benjamin mkapa sio Siri nilikua nachelewa sana shule sababu ya banza stone, mungu ampe kauli thabiti huko haliko love brh nyimbo zake mpaka Leo zinaishi.
Bado hamjasema watoa comment mtasema yote leoo 😂😂😂
Kusema nini?
😂😂😂😂😂
daaaa sijui huu mziki ulipotelea wapi aisee tungekuwa mbali sana kwa mziki huu sasa ona tuko kwa bongo fleva mara Amapiano
R. I. P Banza Stone, tungo zako bado tunazienzi
Damn🔥 Banza alikua mbele ya muda sana🙌🏻 Allah Marehemu
R.I.P Banza hakika unanikumbusha mbali sana nikiwa darasa la 4. Mlikuwa mnatoa nyimbo zakuelimisha sio saizi wanamzuki wa kizazi kipya wamekuwa wehu na mavazi yao ya ukichaa2024
Ulikuwa mwaka gani ndugu maana me mwenyewe nilikuwa la tano mwaka 2004
Mwenyez Mungu akuondolee adhabu ya kabur, akupe pumziko la milele banza
Yes Mi Napenda kumuita The shoka banza stone Mungu akupungizie hazabu za kabuli 😭
Nakubali sana aisee Miaka ya elf 3 ikiimba redio mtu atoe ni noma hatar
Hii nyimbo ni nzuri sana napenda kuisikiliza everytime
Kitambo Sana jaman mmmmhhh naupenda huu wimbo atali
Daha mm nilikuwa darasa la 4 aisee
Ardhi imehifafhi wamba wengi sana... R.I.P BANZA ,BAMDOGO WANGU. MAREHEMU PIA ALIKUA RAFIKI YAKO FIDELIS FELICIAN,
Moja ya kipaji kiliniuma kusikia banza stone amefariki
15/01/2024 like pls
Dah! RIP jenerali Banza Jiwe, mzee wa supu ya kuku wa kienyeji. Vocal ya pesa nyingi.
This songs never gets old 😢😢😢❤❤❤❤❤
Nyimbo ambazo zinaishi.....sahv tunafokewa sana
😂😂😂😂😂😂😂😂much respect mkuu
Real old is gold,Rest in peace our brother Banza Stone
Hakika namuombea kwa MWENYEZI MUNGU KAMA ADHABU ITOKE KAMA YAWEZEKANA HAKIKA ALIKUWA BURUDANI KWETU ..Amiiin
Mungu hapangiwi lakini twakuomba waja wako mpokee kiumbe huyu ktk Pepo yako
Zilikuwa na ujumbe mzuri sana
Du hatuna namna mungu anavuna vyake
Mungu Akuwekee Mahali Pema peponi AMINA 🤲
Pumzka kwa amani banza stone ❤❤🎉🎉
Ujumbe mzur 👉🙏🙏
Sizani kama itakaa itokee kichwa kama banza,I .R. P jembe😭😭😭tutakuenzi daima
Mm nilikua ata cjazaliwa jmn lakini nimekua nausikiaa
mwanga wa milele ukuangazie Banza,( masanja)
R.I.P banza hakika tungo zako zitaendelea kusikika kila iitwapo leo
Mwamba umetangulia,ulikuwa mwimbaji haswaaa,nakumbuka sana hii ngoma 2000 class six
Ni wimbo wenye ujumbe mzito. RIP Banza Stone
Asante kwa ujumbe mzuri wenye mafundisho mazuri yasiyochuja. Pumzika kwa amani. Mungu ailaze mahali pema peponi. Amina
RIP BANZA SITOKUSAHAU SIKU ULOKUJA MGAHANI KWANGU BABATI UKIWA NA HADIJA KOPA ALLY STAR MWANAAMIRI MTAMA MKIWA NA TOT PALE BABATI
Pumzika kwa amani kaka
Sawa kaka ukovizuri sana nirijuwa mm nikopekeyangu ninayoyaonahuku sawa tajiri bamboo kamabamboo
Nice music of my child wood I was 12years old at that time
Your child what?????
I was seven. Shikamoo. 😂😂
Endelea kupumzika kwa amani Ramadhan Masanja ( Banza Stone)
Namuomba M/Mungu amuondoshee adhabu za kaburini Banza Stone na amlaze pema peponi. Amin
Ameeeeen
Ameen
Ameen
Amina
Amiin
Pumzika kwa usalama Mr banza MUNGU WETU akuondolee maumivu ya kaburi
2002 was released this song, from Banza stone 🇹🇿🎧🎧👍🔥👊.
Working on an interview on this guy, had to Google and listen to his music and my oh my! He's got a really good voice. It's sad that he's no more.
Hellow
R i p banza
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊
Rest IN PEACE 🎉 THE GOLDEN VOICE
Nakubaliana na we S. Huyu Banza alifundisha kweli kweli
Jamani Sina Cha kusema maana njia ni moja
Rest in peace banza stone, one of your great ever song.
Sa hivi tuko haniiiiii hani haniiiiiii hani...Rest in eternal bliss Banza. I now understand why God took you for himself. I am told he likes songs. Hope you have an eternal opportunity to sing for him and , no offense you can even sing this one to him.
hahahaha
General. R.i.p
Hakika kabisa
🎉🎉🎉
Banza Stone 🙌🙌🙌
ToT plus upande huu na Mchinga sounds upande ule!,Palikuwa hapatoshi!
2023
Banza stoni tutakukumbukka milele mungu adhabu ya milele akupushe Kwa amani
Bora kukosa mali upate akili kwakweli .
Allahumma ufilahu warhamahuu wamaskanahu filjannaa 🤲🤲
Tutawakumbuka daima
Kweli wema awaishi
Da!!! Sina usemi
Daah ulitembea na gepu
Mauti yanatugawanyisha
Much respect banza stone rest in peace
Respect Banza Stone Rip mwamba
Leo novemba 2023 naangalia video asee❤❤❤❤
Rest in peace Banza Stone , you will always be Remembered and Celebrated💕💕
Hani Hani Hani ndo saizi sisi tuliinjoe
R.i.p mwamba nyimbo zako zinaishi
Wimbo ni mzuri lakini siyo kweli ukose Mali upate akiri, wakati pesa inaweza nunua wenye elimu wakakutumikia mwenye Mali, wakati msomi hawezi ajiri tajiri hivyo pesa ndio Kila kitu au mnaonaje wadau
usomi sio akili.
Sio kweli bro!
Ukishapata Mali hiyo akili utatoa wapi ya kuajiri watu mi naona wapo sawa
Hiyo Mali utaipataje bila akili, vinginevyo hata Ng"ombe angekuwa na mali!
Lakini alishaimba MWENYE PESA SIYO MWENZIO
naomba utuweke video ya chozi la mnyonge na binadamu kidedea kutoka kwa fm academia ndanda cosovo
Sihitaj😅
Boraukosemari upatehlakiriiii bambokamabambooo
Wajingawengi kwe sanakweduniahiiiii,
R.l.p Mungu akupunguzie adhabu za kaburi
Kila nikisikia sauti ya Banza huwa najikuta naghadhibika mara dufu kuhusu unga. Hii kitu imetuchukulia watu wengi wa maana sana. Alikiwa kijana aliyejaaliwa sauti haswaa na nyimbo zake zilikuwa za kusikilizwa na yeyote, mbele ya yeyote. Hakika sotetuna dhamana ya kupinga hii biashara kwa nguvu zetu zote. May his soul rest in peace
Lakini si aliacha kitambo
Pumzika kwa amani Banza Stone ng'wana masanja
Mganda mbinga
Zilepedwa 👏👍🏾
Nilikubali.sana
pumzka kwa aman mung akupunguze adhabu ya kaburi pacha wa baba angu
TOT Plus Enzi hiyo 2000's 🤌
Asanté wa himbizi ... Y..
Rest in peace
Allah ampe kaull dhabit
jamaa alikufa na kipaji chake
Jamani mungu mkali
Keep resting in eternal peace Banza stone
R,i,p,banza,,stone
R .I.P banza stone
Wwweee
elimu bora
Nice🎶🎵🎼
R.i.p mwamba
Unga 😢😢😢
Ys
😂😂😂😂