Jumbe kama jumbe. Hussein . mwamba WA MUZIKI WA DANSI. Mfia dansi la Tanzania Yetu.apewe tuzo jamani BASATA CHONDE CHONDE...HATA FAMILIA YAKE ITAFARIJIKA KWA NIABA YAKE. JAPOKUWA AMEITWA TAYARI NA MUNGU.
Nimeutafuta huu wimbo leo hii kuelekea siku ya mama duniani kesho .. huwa naona maneno yako kuhusu mama ni kama umeniimbia mimi..Mama yangu amenitoka mapema sana sana muda ambao nilikuwa namuwazia mema na kumtunza zaidi lkn Mungu ndiye alimpenda zaidi na kumchukua. Ulale salama mama yangu bado nakulilia na nakushuru sana sana. Rest in Peace Jumbe🙏
😭😭, dah! Hata ww leo haupo juu ya huu mgongo wa ardhi. Allahuma ghafirlahu yaa rabbil-alamiin, machoz yamenitiririka hata mm kwakua sikujui niendako na mm nasikia hivohivo kua panagiza matendo yako mema ndo mwanga wako.
Mara ya kwnz nauckia uu mwimbo ulikua mwez km wa6hv yn ilikua mda wt nauckilza kumbe naenda kupata majib kwnn niliupenda nenda Mama watoto wang😂😂😂 cku mj tutakutana tn Aziza upo wap mama angu b Abiba upo wap nalia mm nalia ❤❤❤❤
Watanzania tumerogwa! Htuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
Watanzania tumerogwa! Hatuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
Pole 😢 Hussein jumbe. Hukupata nafasi ya kumlea mamako mzazi. Pole Sana ndugu yangu na mungu akujaalie pepo na akusamehe madhambi Yako.
Jumbe kaka yangu. 2024. Nakuita kaka uko wapiiiiiii!!!!!
😢😢😢
Jumbe kama jumbe. Hussein . mwamba WA MUZIKI WA DANSI. Mfia dansi la Tanzania Yetu.apewe tuzo jamani BASATA CHONDE CHONDE...HATA FAMILIA YAKE ITAFARIJIKA KWA NIABA YAKE. JAPOKUWA AMEITWA TAYARI NA MUNGU.
Pumzika kwa Amani Mzee wetu Jumbe...Jabali la Rhumba Music 🙏
Daaah nakumbuka tulikua tunaoshi pamoja temeke mtaa wa TP jamaa alikua mstaarabu sana daaah
R.I.P nguli wa muziki wa rhumba muda mwingi nimekuwa nikiskiliza nyimbo zako wakati nikiwa na mawazo sana na zilinifariji sana
Nmelia karibu lisaaa limoja nilikuw a cjawah uskia huuu wimbo R.l.p mamayangu 2020
Pole sana
So sad 😢! Kifo kimemchukua Tena rais wetu Jembe,mwamba JPM maskini!Asante Hussein Jumbe kwa burudani yenye huzuni. Napenda sana nyimbo zako
Thank u
Mapenzi ya Mungu yatimizwe.....haumbi tena JUMBE Umelala moja kwa moja ,,,tuendako hatupajui.
Nimeutafuta huu wimbo leo hii kuelekea siku ya mama duniani kesho .. huwa naona maneno yako kuhusu mama ni kama umeniimbia mimi..Mama yangu amenitoka mapema sana sana muda ambao nilikuwa namuwazia mema na kumtunza zaidi lkn Mungu ndiye alimpenda zaidi na kumchukua. Ulale salama mama yangu bado nakulilia na nakushuru sana sana. Rest in Peace Jumbe🙏
😭😭, dah! Hata ww leo haupo juu ya huu mgongo wa ardhi. Allahuma ghafirlahu yaa rabbil-alamiin, machoz yamenitiririka hata mm kwakua sikujui niendako na mm nasikia hivohivo kua panagiza matendo yako mema ndo mwanga wako.
Kama ulikua unajua. Nahuu wimbo utadumu sana ujumbe mzuri sana. Mungu ailaze roho Yako peponi
Pumzika Jumbe!!!,No way.
Rest in peace legend Hussein. Heads up from Nairobi Kenya umoja peackock.
Punzika kwa amani mzee wetu Jumbe
Mungu ailaze roho ya marehemu hussein jumbe
Mwamba mwingne wa dansi amelala..dah jumbe r.i.p bingwa
Pole baba kwel una simanzi ila kazi ya Mungu haina mokosa wimbo mzr hakika mdondo mlikua hamna mpinzan
Hongera hussein jumbe kuwakumbuka wanamuziki wenzio walio.twawafu
Dah! Kweli Kifo ni chetu Yani uliipa kifo leo unakufa wewe dah😭😭
Ulilia maswahiba zako leo umewafwata R I P hakika ulikijua kifo chako
Huu wimbo una majonz sana
Ni mfano mzuri wa wanamuziki waliokuwa wanatumia kipaji, utaalamu na umakini katika tungo zao. Mungu Aluweke mahala Pema Peponi. Amina
Pumzika kwa amani mzee jumbe
❤ napenda sauti
pumzika kwaamani, baba, yangu, mzazi 😭😭😭😭😭
Pole sana mkuu, I feel your pain......
Hatimae kifo kimekuchukua Allah akupe mwisho mwema
Ubarikiwe Mzee Jumbe,ujumbe ni mujarabu hauwezi kufutika....Kunta...Kinte.
Mzee wa KIVINDO...kazi nzuri sana.
Wooote wenye vipaji wametangulia, umebaki wewe na mzee bitchuka ooh!! Vipaji vingi vimetàngulia
Hiyo kunta kinte Sina mbavu uwiiiiiii😂😂😂😂😂
Dha hii nyimbo inanikumbusha kifo cha pacha wangu ..R.I.P PACHA WANGU ERICK ...NA R.I.P JUMBE
Pole sana kazi ya Mungu haina makosa Mungu awasamehe ndugu zetu vipenzi vyetu walitangulia mbele ya haki
Jumbe uko wapi
Sichoki kuusikiliza huu ujumbe masikio mwangu maana kifo ni jambo letu sote halina ubaguzi hata kidogo....Kunta...Kinte.
Mwendo umeumaliza kapumzike kwa amani
Bonge ya rhumba, Jumbe nakukubali sana
Upo wapi? MAMA na BABA yangu 😭😭😭 kifo cha sasa kama Upepo😭😭😭 R I.P Jumbe
Pole sana ndugu kazi ya Mungu haina makosa Mungu awasamehe ndugu zetu vipenzi vyetu walitangulia mbele ya haki
HUSENI MM NAOMBA RIDI HIYO UIRUDIE USHIRIKISHE WENZIO NANGIAA RIKO SIOO
Hussein jumbe mungu akusamehe dhambi zako bado tunakukumbuka sana👏
Old is gord
Pumzika kwa aman jumbe tutakukumbuka Daima
rest in piece legend
Daa jamani R, I, P
Sisi ni wa Allah na kwake tutarejea.....
Mungu akuondolee adhabu ya kaburi nimekukumbuka sana shemeji❤
Dah ama kweli kifo hakina huruma tuwaombee ndug zetu walitangulia
Mara ya kwnz nauckia uu mwimbo ulikua mwez km wa6hv yn ilikua mda wt nauckilza kumbe naenda kupata majib kwnn niliupenda nenda Mama watoto wang😂😂😂 cku mj tutakutana tn Aziza upo wap mama angu b Abiba upo wap nalia mm nalia ❤❤❤❤
Pumzika kwa amani hussein jumbe😢😢
Dunia njia tuuuu ap tusijisahau
Rip jumbe
Mwamba alikuwa anajua hatari R.I.P
Mungu akuweke mahari pema Pepon mwamba
Du Kweli duniani tunapita
Daaaah pumzika Kwa amani mwamba
Nimeiangalia nyimbo ya Ajali ukiwa na Msondo.Nimejua kwanini Msondo walikukodi
Kweli ardhi imekula watu😰😰😰
Na bado inaendelea kutula
RIP Jumbe
Inna lilahi wainna ilahi rajiun
R.I.P Hussein Jumbe
Rest in peace mzee wetu😭😭
Pumzika kwa amani jumbe
y
ooo
R.I.P 🙏
Watanzania wanafiki wakubwa alipo kuwa hai mlikuwa hamusapot kaz zake kafa ndo mnajifanya mnafutilia
Ni kawaidaa hata adui yako akifa utajikuta unampenda ghafla kifo ni kifo
Duh Jamani H. Jumbe tutamkumbuka Daima..
Watanzania tumerogwa! Htuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
we msenge kweli rhumba la kicongo ndo lipo ivo ebu tuache
Buni wewe umekalisha komwe lako tu juani kulalamikaa
Huseni jumbe
Pumzika jumbee
Pumzika kwa amani Hussein Jumbe 😭😭😭
2024
Pumzika kamanda,hakika sauti yako tutaikumbuka sana, mbele yetu tuko nyuma yako tangulia kamanda.
Y
Bhai
H
😢
Rip
😢😢😢😢😢😢
👋👋👋
😭😭😭
Watanzania tumerogwa! Hatuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
Mmmmmmh
Hata kongo lumba na sukusi ni miziki ya cuba huko amerika ya kusini uliza utaambiwa
Rip legend
Rip
Rip
Pumzika Jumbe!!!!,No way!