Pumzika Kwa Amani Hussein Jumbe, sauti yako bado itaendelea kuishi masikioni mwetu, MUNGU alikupa kipaji Cha kuimba na kukosha nyoyo za mashabiki wako.
Nyie mnaosema wasafi hawana jipya MNA uhakika??? Kuna wengne tulikuwa hata hatumjui huyu mhenga BT kupitia rayvanny kuirudia nyimbo yake tumemfaham na najua hata nyimbo zake zingine zitauzika cz kashajulikana thanx WCB mungu anawainua watu kupitia njia tofauti yawezekana hapo alipo jumbe alikuwa ashajikatia tamaa BT anapata moyo through that
Hussein Jumbe ni mwanamziki mkongwe kama ulikuwa humjui ni wewe tu. Hawa wanaorudia miziki ya zamani wanapoteza uhalisia wa nyimbo hizi na ni ukosefu wa ubunifu.
Nani bado anaitazama hii kazi
Huu wimbo umebeba historia angu ya maisha
Pole sana. Natumaini mapenzi yako yalielekea pazuri
here in 2024
Daah wimbo unanikumbusha marehemu shemeji yangu daah Allah amsamehe makosa yake
Daaaaaah,zamani walikuwa wanaimba bhana😢
Ni 14 Demcember 2018, bado nautazama huu wimbo na bado unagusa moyo yangu. Wimbo bora hakika. Twende pamoja kama unakugusa
Nimeishindwa ya Rayvan nimeamua kuifuata hii ya Jumbe
Rest Easy the Legend
Who is listening April 2020
Rest in peace Hussein jumbe Mola akupunguzie adhabu ya kaburi
Pumzika kwa amani baba yetu🙏
Hakuna haja ya Siri katika mapenzi! Hussein Jumbe hataki Siri! Asante Sana kwa wimbo mzuri!!! Pumzika salama kipenzi!
Hussein jumbe uko wapi jamani duh,nliutafuta sana wimbo huu
noumaaaaaaa sana
ua-cam.com/video/zvAt7XWVr8o/v-deo.html
Kijoko Mbao kwa sasa anaishi nchini Canada
+Kijana Matata hapana fleshy jumbe ndo yupo huko huyu hossen jumbe yupo tz tena anapatikana tmk
Huu wimbo ni HATARI..........vipaji vya wazee wetu ndo vinaondoka hivooooo jamani Hussein jumbe
Always Old is Gold - 19 Dec 2021. Rest easy Legend...
😢😢😢😢😢 Nyimbo zako zinatoa ujumbe mzuri mpaka kesho ana kuendelea ,lala salama😢😢😢😢😢
It Is 2023 but I'm still listening to this nice song 🎶
Rest in peace legend jumbe 🙏🙏🙏🙏
Rip Jumbe you be missed..
Rest in power master😢😢
2021 km bado unautazama huu wimbo ginga like
Rip the Regend Hussein Jumbe.Umekufa muziki wako unaishi.wasalimie Muhidin Gurumo na Tx Moshi William.
R.I.P LEGEND
Pumzika Kwa Amani Hussein Jumbe, sauti yako bado itaendelea kuishi masikioni mwetu, MUNGU alikupa kipaji Cha kuimba na kukosha nyoyo za mashabiki wako.
2023 gonga like hapa Kama unamkumbuka 😭😭😭🙏🙏
Ndyo,siri ya nini?! Hata mimi pia sipendi mapenzi ya siri sana.Nakupenda sana...unanipenda sana,hayo mengine tuyaache na tudeal ya kwetu😳
Dah mungu aendelee kumjalia huyu mzee maana huu wimbo nakumbuk mbal sn
COMPOSER AND SUPER VOCALIST! SAUTI HALISI HAIHITAJI KUFANYIA POLISHING KWENYE COMPUTERS! RIP
Nimekuja hapa baada ya #SIRI YARAYVANNY NA FAYMA
manSHYNE hate mimi
jenipha abdallah 😂😂😂
na mimi nmekuja kutoka kwa rayvan...hahaha
hata mimi pia
Tupo wengi...😝😋
Allah akuweke mahali pema peponi inshallah
nikupeleke nyumbani kwetu masha uwajue wazazi wangu
Cecylia Magele Kweli kabisa.
Rayvany boy uminifanya ni utafute huu wimbo Asante
O7-12-2021 nautazamaa
Duh naanza ku miss Tanzania sana
Miaka ya 2004 Nakumba Hii nyimbo ilikuwa ikipigwaa namkumbuka Class mate wangu Sylvia Batamla
Aliendaga wap Uyo lafk ako????
Mtu kazi kaondoka duh!
20222 ni 24 December nakumbuka mengi sana Kwenye hii Dunia 😭Mwenyezi atujaalie mwisho mwema. 👏👏👏
2023 naitazama
aweke nyimbo zake I tune ili ziuzike kwa urahisi,kama hii nimeitafuta I tune nimeikosa, i could buy
R.i.p jumbe😭🤦♂️
Daaah kweli siku zinaenda but ujumbe Ni mpya kabisa, Eeee Mungu tupe nguvu nyingine ya maisha katika ndoa
R.I.P legendary
Ala Kumbe Vanny boy kachukua hii ngoma! Mimi nilifikiri yeye ndo aloandika mistari!
jumbe lud kwenye game tumemic ngoma zko jmn# 2020¥ 😘😘
Amesha fariki😢😢😢😢
Vanny Boy unifanya kumkumbuka Mhengaaaa Jumbe
Hussein jumbe ni moja ya wanamuziki Lulu Tanzania.
Nani yupo hapa 2020
Duh zamani itabaki kiwa zamani tuu sio sikuizi wamehalibu mziki ni uchafu mtupu
Nice song 💪💪💪👏👏👏
Nikupeleke nyumbani kwetu
Nyie mnaosema wasafi hawana jipya MNA uhakika??? Kuna wengne tulikuwa hata hatumjui huyu mhenga BT kupitia rayvanny kuirudia nyimbo yake tumemfaham na najua hata nyimbo zake zingine zitauzika cz kashajulikana thanx WCB mungu anawainua watu kupitia njia tofauti yawezekana hapo alipo jumbe alikuwa ashajikatia tamaa BT anapata moyo through that
Reina Philbert ulikiwa humjuw we cha uongoooo we
Hussein Jumbe ni mwanamziki mkongwe kama ulikuwa humjui ni wewe tu. Hawa wanaorudia miziki ya zamani wanapoteza uhalisia wa nyimbo hizi na ni ukosefu wa ubunifu.
we itakua mtoto wajuzi km humjui huyu mujenga,ila sisi wazaman tunamfaham barabara na ametikisa sana enzi zetu
sanaaaaa tunamfatilia kiuhakika kabisa
Asante sana vanboy umenileta hadi uku kweli hiii siri
2021❤❤
Rest easy regend
Good mr Jumbe
Pumzika kwa Amani Jumbe
Rip legend
Hii ni ya ma_legend c ya watoto wa juzi.
Watoto wa buku 2 hawawezi kujua kitu hapo
sauti mungu kakujalia husen hongera na ujumbe unatufikia
chorus ya rayvany imenifanya niutafute huu wimbo
Siri ya niniii #VeeVannyBoy
Danny Jonz ua-cam.com/video/zvAt7XWVr8o/v-deo.html
2020 December huu wimbo still💥
R.I.P fundi wa dance
Ulitixha sana mzee
Rayvanny kumbe kakuiga mzee na ww ni fire
My sweet ringtone. Love the song vry much.
RIP Hussein Jumbe.
nice song
Ailove..alida. Wangu.
..mungu akurehemu huko ulipo mama. nakupenda Sana
Asante ndugu kwa message yako
Ngoma kali saana haiishi ladha nakumbuka mbali saana hii
R i p legendar nyota imezimika kama mshumaa
asantee kwa wimbo huu
Pumzika mkali
R.I.P HUSSEIN JUMBE
R.l.P
Sa ni bwana angu eko naimba
Rest in power our own Man
R.i.p
Pumzika kwa amani msanii mzalendo
rayvanny kaufanyia kweli huu wimbo big up kwake
Dah hii nyimbo iliimbwa jamani
Rayvanny kanileta huku 💕nice tune
2019 daah atari sana asee wimbo utaishi daima
Fly high husen jumbe
Jumbe bado yupo vizuri
Pumzika salama kipenzi Cheri
Safi
rayvan umetukumbusha siri ya husen jumbe
RIP Mzee wetu there we come
Vyakale dhahabu😂😂😂😂
Huu wimbo mbona unakatikatika wekeni ambao uko vizuri
Francis Jeremi mkuu nimejaribu sana kutafuta original yake nilikosa kama utaweza kupata nirushie nitabadilisha tu
Rip Hussein Jumbe
R.I.P 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
2024. ❤❤❤❤❤❤
Old is Gold- June2019
Naupenda sana huu wimbo
Always my favourate ❤️
2021 mpo.
Fundi!!🙌🏾
Daaah mwamba ameenda R.I.P
Rest easy Legend
RIP Jumbe