DDC Mlimani Park - Celina

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 лип 2008
  • Original BOngo Dance song "Celina" by Mlimani Park Orchestra. Leading voice after Chorus we hear the leader of the group at the time Maalim Muhidin Ngurumo (R.I.P 13.04.2014)

КОМЕНТАРІ • 240

  • @Fiskarrr
    @Fiskarrr 14 років тому +20

    Ndugu, hebu niambie wimbo kama huu wawezaje kukosa kuyafanya machozi yasitiririke ukumbukapo enzi hizo? mimi ni mkenya lakini sanduri hii iliweza kunibadilisha rohoni mwangu kiwango cha kujitambulisha kama mojawapo wa hao watanzania. Hawa vijana walijua kazi yao sana, sauti zao zanikumbusha mengi sana ya uzuni na raha pia.
    Long live TZ, long live Kenya.
    Ombogo. Fl.

    • @georgetuya2282
      @georgetuya2282 Рік тому +1

      Humu watu wameimba, wameifungua sanaa, ujumbe umewekwa wazi, vyombo vimepigwa kwa kusikitika sanaa, na vimekubali sanaa. Mwenye hisia za karibu na ukikumbuka hawa walishatangulia mbele ya haki lazima chozi likutoke.....kazi nzuri mliifanya, ahsante kwa alama na tunu hiii, mpumnzike kwa amani.

    • @mwitondi
      @mwitondi Рік тому

      Nilikuwa skuli, katika umri wa utineja na tulizikia nyimbo hizi redioni hususan vipindi vya mchana mwema, ombi lako nk

    • @jacob2382
      @jacob2382 Рік тому

      Haisee.old.is.gold

    • @jacob2382
      @jacob2382 Рік тому

      Nakumbuka.mbari.sana.nikiwa.shure.yamsingi.kangetutya.bunda.nawakumbuka.hawa.jescka.john.kim.samson.ngwashi.merik.haisee.ilikua.hatar.sana.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 5 місяців тому

      ​@@jacob2382Ni shule na siyo Shure.
      Zingatia matumizi ya L na R

  • @gadnersolomon2971
    @gadnersolomon2971 7 років тому +27

    Wapumzike kwa amani nguli wetu katika sanaa ya muziki. Hizi ni miongoni mwa nyimbo zilizouwa zinatambulisha Taifa popote duniani. Vijana wenzangu wa sasa wanaweza kuzipuuza lakini zimebeba mengi zaidi ya ujumbe.

    • @mussaally2722
      @mussaally2722 6 років тому +5

      Me kijana Kaka lakini nashindwa kusikiliza bongo flavor hizi ndio ngoma zangu,, sikiliza kinanda Cha abel baltazar na solo ya mulenga hatari Sana hizi kazi

    • @patrickmilimuliyai6991
      @patrickmilimuliyai6991 5 років тому +3

      Patrick liyai apumzike kwa amani Muhidn mtunzi na mwenye Sauti ya kufana

  • @isaqlid4289
    @isaqlid4289 9 років тому +9

    Wimbo mtamu,taratibu na wenye mpangilio wa kuaminika,maneno yamewekwa kwenye mizani ya ufasaha na yakafuzu zuuu!! Muziki kama dawa.Pure niceness...

  • @salumothman7548
    @salumothman7548 7 років тому +8

    inanikumbusha mwaka 79 nikiwa mdogo mpaka leo ubora wake upopalepale zamani waliimba ddc bendi bado mpya apo

  • @chapandee
    @chapandee 12 років тому +9

    GOD bless the most beatyfull land of africa mabonde na milima i wish nisinge ondoka the amazing land one day i will be back am just crying in the heart of ulaya

    • @lazarokamunyu4497
      @lazarokamunyu4497 3 роки тому

      Nakumbuka marafiki wangu ambao wengi sasa ni mrehem na wengine wazee mno maisha yanaenda kasi Sana bora watu wamrie mungu

  • @epson5446
    @epson5446 6 років тому +6

    Mwaka 1978 ulivuma sana huu wimbo utunzi wake Joseph Bartholomeo Mulenga 'King Spoiler" na kisa cha kweli

  • @levaithenofgods9215
    @levaithenofgods9215 6 років тому +14

    '79 nilikuwa mdogo mno, mimi nakumbuka maduka ya kaya ya 80's. Nakumbuka uhaba wa diesel, kutwanga miwa na kuikamua kuchemshia chai, kufulia majani mpapai....

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 4 роки тому +2

      Hakika kipindi hiki kilikuwa kigumu sana, Ndyo kipindi ambacho tumekula sana ugali wa unga wa njano.

    • @christianahia2680
      @christianahia2680 3 роки тому

      Duh ni kweli bwana Mjema umekumbuka

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 5 днів тому

      Nilikuwa darasa la kwanza hali ilikuwa ngumu..hata mafuta ya kula ilikuwa shida tunakula maharagwe chukuchuku

  • @rosepesha501
    @rosepesha501 7 місяців тому +1

    Nakumbuka miaka ya 80 kukiwa na redio Moja kwa mjumbe radio Tanzania aise maisha yalikuwa Raha sana ,umoja ushirikiano

  • @samuelmwankusye1147
    @samuelmwankusye1147 Рік тому +3

    Wimbo huu ulikubalika na watu wote.
    Wapigania uhuru wa PAC na ANC za Afrika ya kusini waliokuwa wanaishi hapa nchini wakati wa harakati za ukombozi, waliuvulia kofia wimbo huu. ❤

  • @khalidmakumulo8294
    @khalidmakumulo8294 6 років тому +14

    Maalim Gurumo na Maalim kinyasi Hamisi Juma na vocalist wengine mahili katika wimbo mzuri usiochosha masikioni,, daaah!!!@ Celina piga konde Moyo....... I love this song forevermore.

  • @TheGichira
    @TheGichira 8 років тому +10

    Kwangu huu ndio wimbo wapili wa DDC Milimani park kwa ubora. Nambari moja ni "Sauda Unatutia aibu"....Cosmas anasikika vizuri sana humo ndani. Mungu akupe maisha marefu....Oh Celina piga konde moyo oooh Celina utafanikiwa ooh Celina....aahhh mwaka 1982 wanirudia...

  • @jarawilla9043
    @jarawilla9043 7 років тому +14

    Once upon a time, there used to be an announcer on the Voice of Kenya swahili service, Ali Sahlim Manga. With his infectious laugh introducing salamu za wanajeshi, he was always sure to spin one of DDC's greats ---weekend, baruwa kutoka kwa mama. And I would pray it would be CELINA. The sax would kill me in this, Michael Enock he is I think. Supreme!

    • @isayamazani22
      @isayamazani22 5 років тому +2

      Michael Enock was also known as Ticha(teacher) as he was a full musician capable of playing all instruments and also vocal

    • @swalehewandi8715
      @swalehewandi8715 4 роки тому

      And elizabet obege .lat V.O.K

    • @SoFrii
      @SoFrii 4 роки тому +2

      @@isayamazani22 Also known as King Enock... I think he was from Zambia, went to to join the Dar es Salaam based Music Band... Alifanya kazi kubwa pamoja na wakongwe wengine kama Gulumo, Abel Bartazar na wengineo wengi... Tukiwa wadogo miaka ya 80s tunasikia nyimbo hizi Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD), saa sita mchana au saa nane kipindi cha Salaam Mkulima, Malima Ndelema akiunguruma.

    • @ramakipepe8673
      @ramakipepe8673 3 роки тому

      Asante sana ngimbo iko sawa sawa

    • @christianahia2680
      @christianahia2680 3 роки тому +2

      Hazitasahaulika

  • @TheCmusewe
    @TheCmusewe 3 роки тому +3

    Maalim Muhiddin was a real singer. I used to listen to his music in 1974.

    • @jabirkiminza9780
      @jabirkiminza9780 2 роки тому

      La hasha bwana Charles O. Masewe. Huu ni mwaka wa 1978. Na huu wimbo ni KIJEMBE kwa Juwata(Nuta) baada ya Muhidin Gurumo(RIP) KUIHAMA jUWATA NA KUJIUNGA NA DDC Mlimani Park. Kuhama kwa Muhidin kwenda Mlimani Park kulizua maneno, uhasama na chuki nyingi kutoka kwa Juwata kwani Muhidin alikua nguzo muhimu tangu wakiitwa NUTA - waliyumba yumba kidogo.Kwa hivyo "'Celina''(Juwata) hapa anaambiwa ajipige moyo konde na kuangalia mbele kwani Muhidin kesha kwenda. Huu ni baadhi ya nyimbo za DDC Mlimani park za mwanzo mwanzo kabisa hata Bitchuka alikua bado kujiunga na DDC hapa.

  • @hamisimgonja1030
    @hamisimgonja1030 8 років тому +15

    INANIKUMBUSHA WAKATI MGUMU WA VITA VYA UGANDA 1979

  • @nkombakababa5959
    @nkombakababa5959 9 років тому +7

    NAKUMBUKA wakatri nilifika pale tanzania, WIMBO nzuri sana, GABY!

  • @sharifaashir4131
    @sharifaashir4131 4 роки тому +4

    naupenda saaana huu wimbo jmn 😘😘😘😘 2020

  • @jangamagili2601
    @jangamagili2601 6 років тому +3

    mlimani wanatoa celina kupata wakatoa mpenzi zarina.....kwa kweli tulienjoy mwaka 79....

  • @rajabumasuma2567
    @rajabumasuma2567 3 роки тому +3

    Who is listening to this song* 2021

  • @memusiantonio
    @memusiantonio 8 років тому +12

    wimbo bora kwa wakati wote "oo Celina piga konde moyo utafankiwa"

  • @andersonnzaro6075
    @andersonnzaro6075 2 роки тому +1

    Saa tank unusu hadi saa saba,
    Nyimbo hizi zilituliza mioyo ya wagonjwa , kipindi cha ugua pole, hospitality kuu ya mumblli

  • @user-ki1zz9hg6o
    @user-ki1zz9hg6o 4 місяці тому

    Namshukuru sana Mungu kwa haya maisha haijarishi nna shida ama raha kikubwa nina uzima m

  • @atubonekisyemwakulila6188
    @atubonekisyemwakulila6188 9 років тому +7

    Asante sana kwa wimbo huu, good old days!!!. RIP Gurumo

  • @martinemasunga5802
    @martinemasunga5802 3 роки тому +1

    Duuh hii ngoma naisikiliza kila siku ngoma tamu sijawahi sikia aiseee duuuh...haiwezi kujirudia mara mbili.

  • @rmatalanga
    @rmatalanga 3 роки тому +7

    Bass: Abel Balthazar
    Rhythm: Abdallah Gama
    Solo: Joseph Mulenga
    Keyboards: George Kessy
    Vocals: Gurumu Muhidin, Hassan Bichuka

    • @charlesbayona9090
      @charlesbayona9090 2 роки тому

      Vocalists are Hamisi Juma, (r.i.p) Ngurumo (r.i.p) Chidumule, Assosa, Bitchuka not joined yet then.

    • @henrychaula1174
      @henrychaula1174 Рік тому

      Asante sana kwa kutukumbusha magwiji hawa, Hilo gitaa la Bass linaniua mimi jamani Abel, Mungu AWABARIKI sana popote mlipo.

    • @user-od6wn9qt7d
      @user-od6wn9qt7d 2 місяці тому

      Bichuka hakuwepo wimbo huo alikuwa Bado yuko Juwata😅

  • @amosjulius1523
    @amosjulius1523 8 років тому +3

    Mziki mzuri sana, utaendelea kuishi vizazi na vizazi.

  • @jighaba
    @jighaba 11 років тому +6

    how can anyone dislike this?

  • @nicholasmurithi868
    @nicholasmurithi868 7 років тому +4

    ajabu ni kwamba huu wimbo kenya haukujulikana sana. when i visited tzin november last year i was surprised to learn that it was such a big big hit from the ddc milimani park and also one of their very frst songs.

    • @saidachekaaali1307
      @saidachekaaali1307 7 років тому

      +nicholas murithi
      Nyimbo nyingi za Tanzania zilikua zikivurumishwa katika radio ya Kenya,wakati huo ikiwa ni moja tu nayo ni VOK na baadae KBC.Hata huu wimbo ulikua ukichezwa ingawa sio sana.Mimi binafsi kwa mara ya kwanza niliusikia VOK miaka ya '77/78 /79 huko.

    • @peteramollo5329
      @peteramollo5329 5 років тому +2

      Wacha utani ndugu yangu mpendwa. Hi nyimbo ulikua moto sana hapa Kenya miaka hiyo. Pengine wewe ulikuwa hujui mambo ya miziki

  • @shilungundaki2073
    @shilungundaki2073 3 роки тому +3

    Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote

  • @johnchoma2522
    @johnchoma2522 Рік тому +1

    This song reminds me of the old good times in 1979 while working at Mkunya Newala District by then

  • @mzeeakida9609
    @mzeeakida9609 2 місяці тому

    Huo ni wakati amabo nyimbo zilikuwa zikiimbwa na musiki ukipigwa❤

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 7 років тому +4

    Wimbo Mzuri Sana "Kikosi Cha Dhahabu DDC " , 1970s Mwishoni ,Mafunzo na Wosia Ndani Yake

    • @mussaally2722
      @mussaally2722 6 років тому

      Joseph Felician Lugakingira
      Hatareee tupu hapo... Akina Abel bartazal,, mulenga gurumo Hamis Juma ( maalim kinyasi) na wengine kibaaaoooo

  • @bingwason
    @bingwason 14 років тому +2

    @Fiskarrr Vocals ni Muhidin Mwalimu, Hamisi Juma (RIP) na Cosmas Chidumule. Lead guitar Abel Balthazar (RIP), bass Joseph Mulenga (RIP), rhythm Abdallah Gama. Drums Habib Abbas 'Jeff'. Marijani Rajab alifariki 1992.

  • @AllyMsita
    @AllyMsita 19 днів тому

    Kuna nyimbo kama izi unasikiliza na unainjoy vizuri sana

  • @josiahmuthemba115
    @josiahmuthemba115 5 років тому +1

    Mimi kwa ukweli sipendi TBC ! Haitambuliki, Tadio ni RTD ( Radio Tanzania Dar ). Nyimbo zao zilikua viti mno

  • @emanuelnakei2736
    @emanuelnakei2736 8 років тому +4

    ..wimbo mzuri sana siwezi kuchoka kuusikiliza pongezi kwao DDC Mlimani Park

  • @renathamukinga9282
    @renathamukinga9282 2 роки тому +1

    Nimejitahidi kadiri ya uwezo wangueeeee, Wazazi wako waliniwekea vikwazo VINGI!!!!!!- Nia yangu na madhumuni yangu ilikuwa tufunge ndoa na tuishi sote kama mke na mume Celina. NYIMBO YA JANA; LEO; KESHO NA MILELE.

  • @rutarutahindurwa2080
    @rutarutahindurwa2080 8 років тому +6

    R.I.P Gurumo.... We miss you....

  • @brownee20007
    @brownee20007 Рік тому

    Nyimbo za kwanza baada ya kuanzishwa sikinde wananuziki wengi wakitokea dar international...utunzi wake Joseph Mulenga

  • @kokombwana8625
    @kokombwana8625 5 років тому +2

    Inanikumbusha miaka ya 1979 huko Kwakivesa Handeni,mkoani Tanga

  • @sangomamourice3251
    @sangomamourice3251 5 років тому +2

    nakumbuka nyumbani machozi yananimwagika ooh Home sweet home

  • @user-eg3kw3my4v
    @user-eg3kw3my4v 7 місяців тому

    Daa nyimboii inikumbusha mbalisana nikisikiliza adimachoziyanatoka kweliumliumeenda

  • @bennymarkotungaraza7520
    @bennymarkotungaraza7520 5 років тому +3

    one of the great songs in Afrika

  • @erickmakundi5278
    @erickmakundi5278 10 років тому +6

    maujumbe ya ajabu yanakufanya mwili usisimke!damn I love this band!

    • @aishasanja6935
      @aishasanja6935 5 років тому

      Selina kiukweli zamani raha sana

    • @abdulyayubu7447
      @abdulyayubu7447 4 роки тому

      Mzee alijitugiya yy sasa dio aliyemfiya mama yetu ampe afiya

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 3 роки тому +1

    Kweli hii ndyo ilikuwa inaitwa mzik R I P wote mlioshirk kweny wimbo huuu king mwindini ngurumo mwamba

  • @flowila82
    @flowila82 9 років тому +4

    Sauti ya Comando Ngurumo, pumzika kwa amani

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 11 років тому +1

    Samahani sana ndugu Mawazo ,nilikuwa namjibu mtu mwingine aliyesema nasota katikati ya Ulaya kwa wimbo mwingine na kwa bahati mbaya niligusa jina lako kimakosa samahani alisema najuta kwa nini niliondoka nyumbani.

  • @PatricksagaiSagai
    @PatricksagaiSagai 7 років тому +4

    kwakuwa imekuwa hivyo sioni sababu ya kujiua kwa ajili yangu.hoooo Celina pigs kondo moyo. ooooo Celina utafanikiwa.Ujumbe murua mama zetu walipewa

  • @chelule2011
    @chelule2011 13 років тому +3

    Ni taaaaaamu!
    Kipngetich, Kenya

  • @user-od6wn9qt7d
    @user-od6wn9qt7d 3 місяці тому

    Nilikuwa na miaka 13 nasoma darasa la tano 1978 Nyamighadu shule ya msingi namkumbuka sana marehemu Babu yangu Lucian Ghughulu na marehemu Sabina Limingwa

  • @benny-dk3kl
    @benny-dk3kl Місяць тому

    Hawa waliibeba tz kimuziki, pumzikeni mashujaa wetu

  • @selemanikipoto1012
    @selemanikipoto1012 10 років тому +1

    Nakumbuka kwa Mara kusijia wimbo ni mwaka 1995 wakati huo nk drs la 2 so mchezo selinaaaa! RTD

  • @abdallamatemba7484
    @abdallamatemba7484 Рік тому

    Waimbaji katika wimbo huo ni Cosmas, Maalim Kinyasi na Gurumo, solo(Mulenga),bas(Abel),rithym(Gama),tumba(Jamwaka),sax(King Enock),hiyo timu kwa kweli haitasahaulika katika muziko wa nchi hii, mziki huu hata Kama timu yako Kulwa au Doto(Kariakoo)imefungwa wewe sikiliza Celina (Mliman) unasahau machungu yako ya kufungwa

  • @user-op4wb3lf9f
    @user-op4wb3lf9f 4 роки тому +1

    Wimbo unanikumbusha mwaka 1979 nikiwa darasa la pili katika shule ya msingi mkinga- Tanga, nikiwa na miaka 9

  • @josephatutana3076
    @josephatutana3076 Рік тому

    Ningelikuwa na uwezo ningehamrisha hizi Ngoma ziwe zikichezwa Kwa vituo vyote vya radio kutokea hapa Kenya hadi afrika kusini

  • @ibramjailla994
    @ibramjailla994 8 років тому +4

    Wimbo celina una ujumbe,burudani na ufikirishaji.

    • @kagusveds8920
      @kagusveds8920 3 роки тому

      Daah nimezaliwa mwaka 1984 huu wimbo ni mzur sana

  • @salomefelix2052
    @salomefelix2052 3 місяці тому

    🎉🎉2024 bado chuma....

  • @davieskirui8505
    @davieskirui8505 2 роки тому +1

    It was a well composed song wish up coming artist can produce such educative hits

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 6 років тому

    Moja kati ya nyimbo nzuri sana za DDC miaka hiyo ya 1978 nikiwa darasa la 5, nikisikiliza MCHANA MWEMA, RTD kupitia National 2_7_7 yenye sanduku la mbao. Walale peponi magwiji hao wa muziki wa dansi uliokuwa unaitambulisha Tz kwa aina hii ya muziki. Ooh Celina piga konde moyo, ooh Celina, tutafanikiwa ooh Celina mamah.

  • @andersonnzaro6075
    @andersonnzaro6075 2 роки тому

    Magoma safi, nilikua nikwasikiza xana kipindi cha ugua pole ,hospitality ya mumbling UGUA pole

  • @jonathanfredman2356
    @jonathanfredman2356 6 років тому +2

    I'm really starting to like these guys Brilliant!

  • @Binzime
    @Binzime 12 років тому +1

    tize boy bro,tuletee wimbo talaka ya hasira ddc mlimani.....

  • @mshukumangi
    @mshukumangi 3 місяці тому

    Sipper old is gold

  • @gordonnyagudi8166
    @gordonnyagudi8166 Рік тому

    No music were as educative as these numbers. How I wish our younger musicians can be as creative!!

  • @allanmzomozi3424
    @allanmzomozi3424 5 років тому

    Ujumbe mzuri sana..Hii ngoma huwa inanikumbusha TK Pub..Tukiwa na TK,Muya,Ally,Mzee Mchome,G,na wengineo..Old is gold.

  • @hizzersamwel2838
    @hizzersamwel2838 7 років тому +4

    aisee zamani walifaidi sana

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 10 років тому

    Mimi natoa shukrani kubwa sana kwa msanii Diamond kwa kumtukuza mwimbaji wetu wa miziki ya kitanzania gari mpya ili imsaidie, sio hao wengine wanaomtukuza kwa maneno matupu tu bila kitu ingawa yeye ameutukuza mziki mpaka amefikia umri huu. tunamwombea umri mrefu mzee Gurumo.

    • @josephmichael2225
      @josephmichael2225 5 років тому +1

      MOHAMED OMAR diamond katoa gari gani mbona kituko

  • @Magwega
    @Magwega 7 років тому +2

    celinaaaaaa piga moyo kondeeeee

  • @mwithigastephencontractor6997
    @mwithigastephencontractor6997 5 років тому

    Nukumbuka kwa mara kusikia wimbo ni mwaka 1982 nikiwa form two Gikumene Sec sch Meru. VOK changuo lako. Mumzike kwa amani Mr M.D.J Eddy Fundo

  • @carlsonndossi9271
    @carlsonndossi9271 10 місяців тому

    2023 still this song rocks..

  • @moshyjanga5181
    @moshyjanga5181 8 років тому +2

    Selina,sijaona muziki Wa kulinganisha kutoka muziki Wa leo

  • @costacemwangolwa181
    @costacemwangolwa181 3 роки тому

    Celina piga moyo konde nasilia raha sana ninaposikiliza wimbo, gitaa sauli yaani we acha 2021

  • @SIKONGE
    @SIKONGE 15 років тому

    Da, Mungu weeee. Nashindwa kulia au kucheka. Nakumbuka enzi hizo hapa Sikonge nikiwa na Marehemu Baba, Mama, na kaka yangu. RIP all.

  • @erastosengerema87
    @erastosengerema87 8 місяців тому

    Mtunzi wa huu wimbo mbinguni moja kwa moja.

  • @azikiwelutumo9127
    @azikiwelutumo9127 Рік тому

    Selina! Wimbo unanikumbusha mbali sana. Nahisi machozi yanataka kutiririka, nimewakumbuka wengi waliotangulia mbele ya haki.

  • @williamalphonce2320
    @williamalphonce2320 6 років тому

    Pumzika kwa amani Mzee wetu Muhidin Gurumo kwa kweli huu muziki unanikumbusha mbali sana

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 11 років тому

    Mzee Gurumo alikuwa DDC zamani akahamia msondo Ngoma leo Mzee ni mgonjwa sana nyumbani kwake na wana Msondo wamemtenga na wala hawana habari nae lakini huu ni mtihani wa ulimwengu hutokea kwa kila mtu lakini ushukuru kibanda ya kujihifadhi unayo na mama watoto wako anakutunza nakuombea afya njema.

  • @chapandee
    @chapandee 12 років тому

    asánte tzboy ukitaka kujua kwamba wewe ni mzalende kaa majuu, unanikumbusha mbali karibu na asubui yani zamaaniii RTD sita ya mchana natoka shule ya msingi korogwe huku na wahi lunch home kipoindi cha mchana mwema.abdi haibe abdisa kb sweden God bless motherland.

  • @mawazochanya2081
    @mawazochanya2081 11 років тому +2

    Jamal hata mimi wimbo huu unanikumbusha safari za mchana kurudi nyumbani kupata chakula cha mchana baada ya kutoka shule

  • @andersonnzaro6075
    @andersonnzaro6075 2 роки тому

    Ehhh bwanee, enzi hizo ulijua unatafutiwa mwari wa kisawa, aliyekosa alikua ni mmoja, let's celebrate these amazing lyrics, it doesn't happen today

  • @jeradmatingo5656
    @jeradmatingo5656 Місяць тому

    wacha tu , mimi nyakati zingine naona labda walikoenda ni pazuri zaidi hata kunipa tamaa kuwafwata.

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 7 місяців тому

    2023 celina mlimani ktk ubora mkubwa mnoo

  • @selemanimjimbo8852
    @selemanimjimbo8852 7 років тому +2

    wakati wote celina namkumbuka, malegend wote hawapo tena duniani

    • @papaakea6892
      @papaakea6892 6 років тому

      Selemani Mjimbo Namkumbuka mjomba wangu Shabani juma nyakaliro

  • @lawrencemwakyambiki2
    @lawrencemwakyambiki2 7 років тому +8

    "Celina" inanikumbusha sana 1979 nikiwa mwanafunzi UDSM

    • @freedom-ui2et
      @freedom-ui2et 6 років тому +1

      Lawrence Mwakyambiki one year later(1980),my mother gave birth to me.heshima yako mzee mwakyambiki.lol

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 3 роки тому

      Nina meaka mmoja hapo shikamoo baba lawrence

  • @epson5446
    @epson5446 4 роки тому +2

    Huu wimbi ni true story kwa Joseph Bartholomew Mulenga ambaye alimpenda Celina lakini wazazi wake wakamwekea vigingi na Celina akataka kujiua ndiyo message halisi

    • @henrychaula1174
      @henrychaula1174 4 роки тому

      Nani walipiga solo & rythm guitars maana bass najua ni Mwanyiro

  • @trio12gito
    @trio12gito 13 років тому

    Ama...Ahsante sana kwa wimbo huu,,,,Ni wakati ule tulipokuwa vijana na sherehe kemkem...machozi nikikumbuka!

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 2 роки тому

    I remember those days during my school time in 1977 at ifunda technical secondary school

  • @emanueldodoma3172
    @emanueldodoma3172 7 років тому +1

    Da! enzi hizo ,nilikua na miaka 50, yani nakumbuka mbali sana

  • @zuhurakhamis4625
    @zuhurakhamis4625 9 років тому +4

    Daaa wimbo bomba

  • @mgenikisukari1371
    @mgenikisukari1371 8 років тому +6

    Beautiful voice of the late khamis juma RIP Brother!!!

  • @elijahbii6528
    @elijahbii6528 6 років тому

    Yanikumbusha zile siku za mwaka wa 1979-80 tukiwa wakaazi wapya katika wilaya ya Uasin Gishu.

  • @mariachisunga1095
    @mariachisunga1095 Рік тому

    Naupenda balaaa huu nauimba hata club age angu cio issue

  • @robertchesebe6901
    @robertchesebe6901 6 років тому

    Wimbo huu nimeusikia mwanzo mingi iiopita na nafurahi kuupata tena. Thanks.

  • @davidmahende6871
    @davidmahende6871 3 роки тому

    Inankusha 1979 wakati huo nikiwa Tanga na watoto wenzangu pipi tunanunua sent 25, sent 50 mpaka sh 1. Maisha yalikua raha sana.

  • @katungenyanda6177
    @katungenyanda6177 6 років тому

    nakumbuka nikiwa Azania high school enzi za Mwl kitukufu RIP Mwl wangu kitukufu

  • @jacob2382
    @jacob2382 Рік тому

    Nakumbuka.mbali.sana.namkumbuka.maria.dishon.pia.mwalimu.wangu.mfungo.mwilila.pia.best.yangu.manzare.j.maganga.na.shile.samson.ilikua.balaa.saana.miaka.iyo.kwer.natamani.sana..kama.ningewaona.hao.wapendwa.wangu.maana.nikiwakumbuka.machozi.hutoka.da.haisee

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 7 років тому +1

    OLD IS DIAMOND

  • @clementturo5714
    @clementturo5714 6 років тому

    jifaraja na fundisho kwa kizazi cha sasa na vijavyo. Vizur xan inapendeza.

  • @pigabox8117
    @pigabox8117 6 років тому

    sauti nzuri, mungu awarehemu maalimu khamis juma kinyasi na mzee muhudin gurumo

  • @kherikivuli5145
    @kherikivuli5145 8 років тому +1

    Huu ndiyo muziki wenye maadili

  • @mangimtatamateru8826
    @mangimtatamateru8826 3 роки тому

    Vikwazo nimuhimu sehemu ya raha