Msondo Ngoma Music Band Kwenye Penzi Hapakosi Tenzi Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 161

  • @SiliverySixbeth
    @SiliverySixbeth 5 місяців тому +8

    Tunaoangali Hii nyimbo 2024 tunajielewa sanaaaa tujuane kwa like jamani❤

  • @IsmailiKhalifa-rf1id
    @IsmailiKhalifa-rf1id Рік тому +11

    Kama umemuona kingwendu gonga like

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Рік тому +2

    Tx Moshi suleimani mbwembwe, Muhidin gurumo Joseph mahina othmani momba saidi Mabel's,allahumaghfirlahu warahamahu waskanahu filjana, hao waliujua mziki bila basata Allah awapunguzie adhabu siku yakiyama

  • @AdrianoStephen
    @AdrianoStephen 3 місяці тому +4

    2024 nipo naona tena msondo

  • @amadisandaku3131
    @amadisandaku3131 4 роки тому +3

    Kwa kuwa tunapendana mengi utasikia lakini usijali
    Ahsante Suleiman mbwembwe

  • @AthumanAjasi
    @AthumanAjasi 3 місяці тому +6

    Kama umemuona Joti na Mpoki hakika tutafute pesa.,likes nyingi kwangu wandugu

  • @okalongany2220
    @okalongany2220 2 роки тому +1

    Wanamziki wassai wakopi mtindo wakale yenye mafundisho hongerini kama mngali wazima wanamsondongoma.

  • @bensonarambe
    @bensonarambe 6 місяців тому +9

    Watching this 2024 nani mwingene finya Like hapa🎉🎉

  • @OmaryBurra-og6fb
    @OmaryBurra-og6fb Рік тому +1

    Mungu amlaze pema hayatiselemani mbwembwe athumani momba na moshi william

  • @ramadhanisebogwe9011
    @ramadhanisebogwe9011 4 роки тому +6

    Yakale dhahabu kweli, hawa wazee walikuwa wanamuziki haswa. Mwenyezi Mungu warehemu wote waliotangulia mbele yahaki..
    Mziki mzuri unaishi daima...

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 2 роки тому

    Nyinyi niwamungu nakwake yutarejea mbwembwe Moshi mahina ngurumo momba mabele zaidi yakulia hakuna ziada mliijua kazi haswaaa

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Рік тому +1

    Tx Moshi mbwembwe momba mahina mabela anko gurumo, hao haijawahi Wala haitatokea walikua kaziyao, wapumzike kwaamani kazi waliijua

  • @ramadhanishabani8503
    @ramadhanishabani8503 4 роки тому +2

    Chama langu la ukweli linanikumbusha mbali sana eee mungu wape pumziko jema

  • @richardherman2959
    @richardherman2959 6 років тому +5

    Kila nafsi itaonja Umauti 😭😭 Mwenyezi Mungu awapumzisheni kwa amani wote mliotangulia mbele za haki 😭😭😭Mbele yenu nyuma yetu

    • @aishachamumi516
      @aishachamumi516 4 роки тому

      🙏🙏

    • @georgematahimba5242
      @georgematahimba5242 3 роки тому

      Inauma sana BUT we have no choice. Duniani tunapita tu. Rest in peace all regend. Tunawakumbuka sana

  • @mpendachakemedia9535
    @mpendachakemedia9535 5 років тому +1

    Hakika zaman ziliibwa nyimbo yaani ujumbe had maudhui yanaingia najikuta nakumbuka Enzi za uhai WA mzee Wang daaaah pumzikeni kea aman

  • @MosiZamiri
    @MosiZamiri 4 місяці тому

    Mungu ndiye muamuzi wayote waweke mahalipeme peponi Amina

  • @JaneJeremiah-c2j
    @JaneJeremiah-c2j 3 місяці тому +1

    Mziki ulikuwa mziki sasa siku hizi unaweza kusikiliza wimbo usielewe watoto wa siku hizi wanaimba nn big up msondo kweli kazi mliifanya

  • @focusbusili2984
    @focusbusili2984 5 років тому +2

    nahizi ni dhalilii kwamba roho zenu sio njema kwake hata akivaa vizuli mnamwambia analinga mbwembwe brother RIP

  • @mahmoudfarijallahrajab5245
    @mahmoudfarijallahrajab5245 7 років тому +9

    Mwenyezi Mungu awasamehe dhambi zao, huwa napata huzuni wakati mwengine nikisikiliza nyimbo zao.

  • @maglansangenoi
    @maglansangenoi 4 роки тому +7

    Hakika hizi nyimbo zinaukonga moyo wangu sana…...nyimbo zilitungwa zikatungika. muziki bomba sana kwa kweli...ujumbe murua sana

  • @donnymwenda896
    @donnymwenda896 4 роки тому +1

    hapa mliacha kazi mkafanya kazi
    mimi si mpenzi sana wa msondo lakini kibao hiki nakikubali sana
    Mabelaaaa

  • @angelmacha5841
    @angelmacha5841 4 роки тому +14

    2020 kama tupo pamoja gonga like yako hapa twende sawa

  • @jumakatisho6613
    @jumakatisho6613 3 роки тому +1

    Hakika wazee Hawa hawawenzi kusahaulika ktk fani ya mziki wa dansi hapa tz.

  • @judewabwire4087
    @judewabwire4087 8 місяців тому +1

    Kanikumbusha 2020 nikimchumbia mke wangu Consolata Thirindi kutoka Meru nchini Kenya.Safari za kwenda nyumbani kwetu Busia na kwao Runda jijini Nairobi ndani ya crysler.Sasa ni miaka minne kwenye ndoa.Taraji mwanatu yupo miaka mitatu sasa.

  • @daudijilala9513
    @daudijilala9513 3 роки тому +2

    Mungu awalaze pema tunawakumbuka sana

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 6 років тому +1

    Allah awajalie safari ya kheri na ss tuko nyuma yenu allah awafanyie wepesi na adhabu ya kaburi

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 Рік тому

    Mungu ni wetu sote. Wapumzke Kwa amani wakongwe Hawa, walikuw Bora sana. R.I.P Suleiman mbwembwe, Tx moshi william na maalim gurumo

  • @thabitabdul7030
    @thabitabdul7030 2 роки тому +1

    Mungu atupunguzie adhabu za kaburi sote🙏😥

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Рік тому

    Masharubu nakosa niseme nn kwa ninyi wazee wangu

  • @skympange2466
    @skympange2466 3 роки тому +1

    Mwenyezu mungu awapumzishe kwa amani wote

  • @issajuma9043
    @issajuma9043 4 роки тому +2

    Kazi muliijua kwelikweli, hakika tutawakumbuka,
    Pia hamkuwa wachoyo mukawashilikisha akina Joti, Mpoki, na Kingwendu,
    Hakika mmenda,, lkn kazi zenu bado zinafanya vizuri

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 років тому +15

    Pumzikeni wote mliotangulia , lkn pia nikiwaangalia kina Joti inanifurahisha saanaa

  • @ashamvungi4033
    @ashamvungi4033 7 років тому +3

    Acheni mungu aitwe mungu xafunzima yauimbaji hatunayo tena nimachungu Mkubwa xana

  • @sangomamourice5114
    @sangomamourice5114 5 років тому +2

    Lala mahala pema hakika uruduburudisha

  • @khalidkhalfani5379
    @khalidkhalfani5379 2 роки тому

    Mwenyezi.mungu.awaweke.peponi.amina

  • @mikemunda
    @mikemunda 6 років тому +4

    hizi ndio mziki tunataka zakizmani na zina mafunzo vijana wasikuizi sijui wanaimba vitu atuelewi jameni.

  • @felixhaule
    @felixhaule 5 місяців тому

    Muziki ulipokuwa unaitwa Muziki,sio hizi shuzi za sasa hivi za kina Harmonize na wenzake

  • @fahamimwanyoka3623
    @fahamimwanyoka3623 3 роки тому

    Dah kweli bwana lakn mlijua zaidi wazee wetu RIP respect kwenu

  • @festokillingo8912
    @festokillingo8912 6 років тому +3

    Akika tutawakumbuka sana kwa hizi tungo

  • @JumaMpuchali
    @JumaMpuchali 7 місяців тому

    Said Mabela anakung'uta gita vizuri sana

  • @allychum-kq6in
    @allychum-kq6in Рік тому

    Msondo ngoma nyimbo zao mpaka leo zinatisha

  • @aloispolenichinga3828
    @aloispolenichinga3828 2 роки тому

    Mungu wape pumziko la milele

  • @lukianomakutakuta1374
    @lukianomakutakuta1374 Місяць тому +1

    Nimeona vitoto vinajiuliza huyu mbona kama joti nikawajibu ni wakina ndaro hao

  • @josephkisaro1377
    @josephkisaro1377 3 роки тому +1

    Watu hutoka mbali, Joti alikuwa bado mdogo na hajatoka bado,,,,,

  • @kaisydarus4778
    @kaisydarus4778 3 роки тому +1

    Msondo wapo vizuri Sana nyimbo zao zina maudhui Sana,

  • @FrenkMwaulambo
    @FrenkMwaulambo 4 місяці тому

    Kaeni Makini wanndishi wa habari

  • @YusufuAbdalah-l2x
    @YusufuAbdalah-l2x Рік тому

    Kwa wimbo huu juwata mko juu

  • @naomimatumula9144
    @naomimatumula9144 6 років тому +3

    Pumzikeni wapenzi ,MMungu awakumbatie!

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 2 роки тому

    Daaaah hakuna namna kweli tunapita

  • @abdulmtausi6672
    @abdulmtausi6672 8 років тому +8

    Suleiman Mbwembwe, pumzika kwa Amani

    • @joelnassari105
      @joelnassari105 7 років тому +1

      Mashujaa wote Wa Msondo waliotangulia Mbele za haki tunawaombea wapumzke salama

    • @josephkyomo8235
      @josephkyomo8235 7 років тому +1

      na kwa kuwa hana ubaya nanyi mola atamlipia....daa zaidi ya shule...msondo original habari mbaya ni kwamba kikosi kizima kimerejea kwake ...r.i.p all

    • @georgematahimba5242
      @georgematahimba5242 4 роки тому

      Dunia tunapita.. ....naumia sana nikizisikia nyimbo hizi .

  • @ArfonsZayumba
    @ArfonsZayumba Рік тому

    Napenda mitondo sana

  • @AbdullahGerigelen
    @AbdullahGerigelen 5 місяців тому

    Predovic Locks

  • @LaverneRainville-k7c
    @LaverneRainville-k7c 4 місяці тому

    Beier Station

  • @pamelanyanduga5102
    @pamelanyanduga5102 3 місяці тому

    Kuna vitoto vimemuona joti na mpoki lakin hawajawajua😂😂😂 wamemjua kingwendu tu😂😂😂😂😂

  • @PendaelimkumbokyalaKyala
    @PendaelimkumbokyalaKyala Рік тому

    Mmetutoka lakini sauti zènu na kazi zenu kamwe hatutazisahau, Mungu awalaze mahala pema peponi

  • @sangomamouricee1575
    @sangomamouricee1575 6 років тому +2

    asanteni mmemaliza kaz yenu

  • @SharifuWaziri-e7f
    @SharifuWaziri-e7f 5 місяців тому

    Watajuta Kama hawakufanya ibada

  • @izengojoseph12
    @izengojoseph12 7 років тому +4

    baba ya ngoma katika ubora wake. r. i. p moshi, momba,mbwembwe ,mahina na gurumo.

  • @matiku1
    @matiku1 8 років тому +4

    Nice collection....

  • @benamrondo7828
    @benamrondo7828 2 роки тому

    muziki ni uu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Рік тому

    Hizi ndo zilikuwa nyimbo,siyo kwa sasa,mara namtafuta hanii ndo nn sasa.

  • @josephasweto45
    @josephasweto45 Рік тому

    Zilizopendwa na zitakatopendwa.

  • @omarsuleiman1490
    @omarsuleiman1490 2 роки тому

    Kingwendu alikua bado barobaro kweli ni kitambo

  • @beatricesangana7678
    @beatricesangana7678 8 місяців тому

    Nakumbuka mbali 😢😢

  • @alexanderdidas3815
    @alexanderdidas3815 2 роки тому

    Tutawakumbuka daima.

  • @petrosimon4138
    @petrosimon4138 Місяць тому +1

    kweli

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 5 років тому +8

    The last crew of Msondo Ngoma,may their soul rest in perfect peace Ameem

  • @swaibajafari4427
    @swaibajafari4427 4 роки тому +1

    Pimzikeni kwa amani wote mliotangulia mola awapunguzie adhabu ya kabur

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 3 роки тому +1

    Zamani💪

  • @mwenempuris1912
    @mwenempuris1912 9 місяців тому

    Wazeee wetu

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu7779 6 років тому +2

    Omari niachie mimi.

  • @AlyaÖzçamur-n1y
    @AlyaÖzçamur-n1y 3 місяці тому

    Koepp Way

  • @KimberlyDelgado-e8w
    @KimberlyDelgado-e8w 5 місяців тому

    Gerda Lights

  • @khadijanyoni2457
    @khadijanyoni2457 6 років тому +20

    Mungu awapunguzie adhabu ya Kabri, naumia sana ninapo Anglia video izi😢😢😢😢

    • @shuwanaliloka3816
      @shuwanaliloka3816 2 роки тому +1

      InshaAllah Amin

    • @Issaabdul-t7k
      @Issaabdul-t7k 6 місяців тому +1

      Mungu awabariki ata ss tutakufa kazi yao wamemaliza vizuri sana.waishi Sauti zao milele

  • @najmasaleh9231
    @najmasaleh9231 7 років тому +2

    Masharubu ni hatari kama enzi zile za Bima

    • @wikoloonlinetv1032
      @wikoloonlinetv1032 6 років тому

      mwenyexi awapunguzie adhabu ya kaburi na hii nyimbo zao ziwe funzo kwa jamii

  • @YahayaMbwana-v2q
    @YahayaMbwana-v2q Рік тому

    Tatizo nyimbo za ckuihz bila kuimba matusi watu hawasikilizi nyimbo zako

  • @arnoldbagambisa7545
    @arnoldbagambisa7545 7 років тому +2

    Ahhh Msondoooo

  • @hassanabdallah5290
    @hassanabdallah5290 6 років тому +2

    saruti kwenu haitatokea tena

    • @arunamponda3069
      @arunamponda3069 4 роки тому

      Tutawakumbuka daima, penye penzi hapakosi tezi""" huwezi kula muwa bila kuvuta fundo . Asieee kweli ardhi hii inameza

  • @heavenlightmuro2717
    @heavenlightmuro2717 Рік тому

    Masharubuu.

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo6913 3 роки тому +4

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
    My feelings covered by
    Happiness + sadness

  • @kishokafamilymussa-wo6xn
    @kishokafamilymussa-wo6xn Рік тому

    Yes

  • @AngelSaiya-nd9ph
    @AngelSaiya-nd9ph Рік тому

    Kalumanzila msondo

  • @swalehkoja7868
    @swalehkoja7868 8 років тому +7

    the rythm guitar,.... marvellous.

  • @katalayshemndolwa3146
    @katalayshemndolwa3146 Рік тому

    Joti kalikuwa ni kembambaa

  • @BlakeRenata-y4e
    @BlakeRenata-y4e 3 місяці тому

    Kuvalis Unions

  • @richardyusuph7719
    @richardyusuph7719 9 років тому +3

    MSONDOOOOO

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 років тому +1

    2018 mpooooooo hatupoiiiiiiiiii hapa mwendo Wa barudani

  • @sudiustathi-ku8rg
    @sudiustathi-ku8rg Рік тому

    Hakika magwiji wa mziki

  • @sagamomattaro6568
    @sagamomattaro6568 2 роки тому +1

    old is Gold

  • @roseanitheth8665
    @roseanitheth8665 2 роки тому

    Lemiongala

  • @mahamudmgongolwa756
    @mahamudmgongolwa756 7 років тому +3

    Mlijua sana

  • @ty26pilotss13
    @ty26pilotss13 2 роки тому +1

    Compared to none.

  • @bismassshilla2025
    @bismassshilla2025 7 років тому +1

    Mziki wa kweli

  • @juma3096
    @juma3096 Рік тому

    Kumbe wa2 tunatoka mbali kka mpoki alikuwa mzee

  • @edwardlila105
    @edwardlila105 Рік тому

    Kuzaliwa mwaname

  • @honoratalwehela9355
    @honoratalwehela9355 3 роки тому

    Roho zenu mahali pema peponi miliotangulia

  • @jumahadinani6321
    @jumahadinani6321 Рік тому

    ndugu

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah7538 3 роки тому

    Mpoki na kingwendu

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 3 роки тому

    Old is gold 😭😭😭😭

  • @rukiaali9183
    @rukiaali9183 7 років тому +3

    😭yaani RIP Dunia mapito