Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Doctor samia suluhu hassan chapa kazi rais wetu.
Miss Swai hongera!
Neema Swai beautiful with brain...hongera Neema Mungu akulinde daima
Magufuli oyeeee
Magu oyeeee tunakukumbuka
Nikitaka kusafirisha mzigo dar to kigoma ni chap kwa haraka 🙌🙌
Raha San wanawake juu
Ndege imenunuliwa na Watanzania.
Samia kanunua ndege aise .
Nadhani usahihi ni iliyonunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania au kama nimekosea nisahihishwe
Acha kutudanganya yy co Wa Kwanza kurusha ndege kubwa. Wa Kwanza Alikuwa Yule Mtoto Wa Mwakasege ndio Aliyeanza kuendeshw Bombadia
Miradi Yote Iliacha Na Magu ko Mctuchanganye hakuna alichonunua huyo
Kwa wale wanaouliza pea za Tozo na kodi zinakwenda wapi haya ndio majibu.
Ndege imenunuliwa na serikali ya tanzania sio samia
Ivi Yule rubani waruvuma swai uyu ni mtoto wake ama
Viporo vya magufuli
Ma Rubani wa Kike ni Wengi hata Yule Mtoto Wa Mwakasege aliyerusha Ndenge Miliyokuwa imebeba Mwili Wa Mangu na yy Alikuww Mwanamke
Report ya CAG .Hazijawahi leta faida ni hasara tu .mnalijua Hilo .
Neema.
Huyu mkuu wa nchi ni jembe na muombea apewe mitano mingine bira kupingwa.
Doctor samia suluhu hassan chapa kazi rais wetu.
Miss Swai hongera!
Neema Swai beautiful with brain...hongera Neema Mungu akulinde daima
Magufuli oyeeee
Magu oyeeee tunakukumbuka
Nikitaka kusafirisha mzigo dar to kigoma ni chap kwa haraka 🙌🙌
Raha San wanawake juu
Ndege imenunuliwa na Watanzania.
Samia kanunua ndege aise .
Nadhani usahihi ni iliyonunuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania au kama nimekosea nisahihishwe
Acha kutudanganya yy co Wa Kwanza kurusha ndege kubwa. Wa Kwanza Alikuwa Yule Mtoto Wa Mwakasege ndio Aliyeanza kuendeshw Bombadia
Miradi Yote Iliacha Na Magu ko Mctuchanganye hakuna alichonunua huyo
Kwa wale wanaouliza pea za Tozo na kodi zinakwenda wapi haya ndio majibu.
Ndege imenunuliwa na serikali ya tanzania sio samia
Ivi Yule rubani waruvuma swai uyu ni mtoto wake ama
Viporo vya magufuli
Ma Rubani wa Kike ni Wengi hata Yule Mtoto Wa Mwakasege aliyerusha Ndenge Miliyokuwa imebeba Mwili Wa Mangu na yy Alikuww Mwanamke
Report ya CAG .Hazijawahi leta faida ni hasara tu .mnalijua Hilo .
Neema.
Huyu mkuu wa nchi ni jembe na muombea apewe mitano mingine bira kupingwa.