Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
    Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
    Katika hafla hiyo Rais magufuli amemkabidhi captain wa kwanza wa shirika la ndege kwa kitendo chake cha ujasiri kwa kuruka na ndege kutoka Nairobi hadi Dar es salaam kwa nguvu bila kujali kulipuliwa.
    Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
    #RAISMAGUFULI
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

КОМЕНТАРІ • 407

  • @johnkiyaga1615
    @johnkiyaga1615 3 роки тому +22

    We always missing u mzee John pombe joseph magufuli

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 4 місяці тому +5

    Daaaaah Jpm alikumbuka watu waliotoa maisha kwa ajili ya Nchi. Jaman 😢😢😢😢😢😢😢.LALA BABA HAKIKA ILE KAULI YA UPENDO WEWE NDO ULIIONESHA DHAHILI.

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 5 років тому +18

    Wow congratulations nikawie moja sir Mr Mapunda ukikuja Kenya unirushie Mungu akuongezee mara mia

  • @rajabusungi5050
    @rajabusungi5050 4 роки тому +9

    Mh.yaani kazi yako ni ya tofauti Sana..!! Sijawahi kuona uongozi wa aina hii,super sana mzee

    • @choosenempire7772
      @choosenempire7772 2 роки тому

      tangia dunia ianzee sijawai onaa this man had a rare character. Stay blessed wherever you are magufuli

  • @keithochieng8805
    @keithochieng8805 3 роки тому +13

    My president from another country. May your soul Rest in Perfect Peace!.

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 4 роки тому +4

    Hongera Rais magufuli kumkubuka mzee mapunda mzalendo hongera sana rais safi Kenya subutu hakuna wakuwakubuka wazalendo ata ufanye nn utojulikana na yoyote yule family yko tu ndio watakubuka i salute u Mr.orezo bigup muheshimiwa from saudi Arabia

  • @blackvirus8740
    @blackvirus8740 3 роки тому +9

    Nimelia jaman kwa Furaha😭😭😂😂😂😂R.I.P Rais wetu

  • @mohamedakrabi4801
    @mohamedakrabi4801 3 роки тому +4

    Much respect to Mr. President. You never forget where we were and those devoted to our country. Capt Mapunda and Mfugale are live examples. May you continue with same spirit and strength. Will continue to pray for you, future leaders and our beloved country. Mungu Ibariki Tanzania.

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 4 роки тому +18

    JOHN MAGUFULI IS THE BREATH OF FRESH AIR , JPM HOYE

  • @tendatanzania9483
    @tendatanzania9483 5 років тому +16

    Hapa mzee MAGUFULI nimekuelewa sana..barikiwa

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 4 місяці тому +3

    Daaaaah JPM 😢😢😢😢 mwamba umelala. Ila roho yako inaishi Baba

  • @viviantenai4599
    @viviantenai4599 4 роки тому +3

    Ongera sana rais wa Tanzania kwakua unawatambua mashujaa wa nchi yako nakuwatetea wananchi bila kuwabakua. Naamini kenya mungu atatujalia raisi ambae atakua wa hekima na mwenye roho wa utu 2022 .twakupenda nchini Kenya kwa kazi yako nzuri. Mungu aibariki Tanzania.

  • @issahhussein1922
    @issahhussein1922 5 років тому +48

    Huyu raisi tutakuja kumkumbuka sana

  • @peterndossy3008
    @peterndossy3008 4 роки тому +4

    Hakika Uncle Magu nakuelewa sana MUNGU Aendelee kukutunza👏👏👏

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila6745 5 років тому +8

    Naipenda tanzania Mungu akubarikisana magufuli

  • @roselinendegwa2158
    @roselinendegwa2158 3 роки тому +6

    Waaaw you'll be remembered generation to generation. JPM rest in peace

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 4 роки тому +3

    Wallahi kweli ni Rais wa watanzania,im so proud of you Mr president,you deserve the 2nd term kuwa Rais wa Tanzania na mungu akubariki,2020 kura yangu wewe chukuwa

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u 5 років тому +1

    Sijawahi tuma comment Leo numeguswa baba kwa stahili hii songa mbele daima ni vizuri Sana kukumbuka wazalendo na wahasisi wa nchi hiii nasema asante

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 3 роки тому +4

    What a President he was💞
    🎩👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @hezy7595
    @hezy7595 3 роки тому +4

    Safiri salama Baba Magufuli.Mimi mkenya lakini nitakukumbuka sana kwa mfano mwema ulionyesha duniani.God bless you

    • @christinesulle5051
      @christinesulle5051 3 роки тому

      Safiri salama baba yetu Rais wa Africa yetu Milele utabaki mioyoni mwetu daima J.P.M

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 4 роки тому +8

    Hon Magufuli, hehehehe, I like the way he recognises his patriots one by one.....

  • @johnmorrisnyagado6364
    @johnmorrisnyagado6364 5 років тому +7

    I love this.

  • @bosszulu245
    @bosszulu245 3 роки тому +1

    Heaven sent,Mr Maghufuli.

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 4 роки тому +3

    Yaani mhe Magufuli mie nafurahi ndani ya roho. Hakika umebarikiwa Imani na Fadhila. I cant wait to meet you hakika watapata kigugumzi walotuonea haki yetu mimi na wenzangu. Najua siku itafika Inshallah.

  • @seraphinembila6745
    @seraphinembila6745 5 років тому +18

    akika nahamini tanzania mumebarikiwa kiongozi bora duniani raisi anayependa watu wake bila ubaguzi natamani niwe mtanzania ilabasi tena congo inabowa ata raisi wangu anijue

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid1858 5 років тому +4

    Raha sanaaar....Ebu Mke wa mapunda aje hapa 😍😍😍😍😍😍

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe8258 3 роки тому +2

    God bless my present jpm god bless Tanzania

  • @lomulendavid8283
    @lomulendavid8283 4 роки тому +2

    Always excellent

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 років тому +16

    Mzee naomba tusaidie sisi , kwa safari za ndani nauli iwechini kidogo

  • @khatibalamin401
    @khatibalamin401 5 років тому +10

    Apo wadau watatengeneza fursa. Siti ya mapunda atapewa Juma 😤😅😅 ole wenu😣😮😮

  • @christopherowino1816
    @christopherowino1816 5 років тому +1

    Global TV, pia mubarikiwe kwa kazi mzuri,

  • @josphatkirui7732
    @josphatkirui7732 5 років тому +3

    😂😂😂😂😂😂,hapo nakubali Makufuli!,unawakumbuka kule mumetoka.Mungu akubariki !.

  • @ellysbrand
    @ellysbrand 5 років тому +2

    Karibu kwenye channel yangu ya GOOD TUBE.kupata update na taarifa pamoja na burudani.
    Ahsanteni sana.
    Usisahau kusubscribe

  • @e.jack.47
    @e.jack.47 3 роки тому +1

    Rewarding experience and merit promote n provokes patriotism

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 роки тому +4

    Nani kama huyu Tanzania.
    Jibu-hakuna
    Mungu akuone.
    Amiin

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 5 років тому +6

    dooo miaka mingi sana alipo Iba ndege kule kenya,maRais woote wamepita kimya kama hawamjui,magu kiboko yao mafisaidi.ocd mlinde sana mzee wetu aliyetuibia ndege kenya.

  • @allymohamed3090
    @allymohamed3090 3 роки тому +5

    We will forever mic u our president, magufuli "gone but never forgotten"

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 роки тому +1

    nawapenda Sana wazalendo woteee, TANZANIA kwanza kwani huwezi jua kesho Asante JPM Asante mzee mapumda

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 4 роки тому +1

    Da mimi sijui nisemeje magufuli Mungu akulinde sana kwa kuwakumbuka mashujaa wetu love you saaaaaana Rais wangu magufuli

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 4 роки тому +3

    Nataman awe anasoma comments asee mzee wetu ww Ni binadam wakipekee sana Mungu akupe umri mrefu uzidi kusaidia wanyonge na waliosahaulika

  • @nickyrude5766
    @nickyrude5766 5 років тому +10

    wat do we have to do to get such leaders??? much love from +254

  • @khalfanabdallah5360
    @khalfanabdallah5360 4 роки тому +6

    Kiongozi bora ni yule anaewapenda watu wake nawao kumpenda yeye 🇹🇿 twakuombea kila jema na iwe mfano kwa watakao kuja

  • @sulaimankalisa7247
    @sulaimankalisa7247 3 роки тому +1

    Kind hearted president RIP@JPM u will always be remembered dear

  • @maasaione6474
    @maasaione6474 3 роки тому +1

    God give us another one like this one.The last breed of good African leader

  • @hemed4064
    @hemed4064 4 роки тому +4

    hahah, eti asiwe anasafiri kila siku, nimecheka mwe...

  • @iconnectafrica1840
    @iconnectafrica1840 5 років тому +2

    Napenda sana kutoka Kenya

  • @ramadhanimsuya842
    @ramadhanimsuya842 4 роки тому +1

    Maguful you are the best

  • @yagadizzo8632
    @yagadizzo8632 3 роки тому +1

    We will miss u forever😢😢😢😢😢

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg Місяць тому +1

    KWELI WASUKUMA TUNAUPENDO.

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 років тому +5

    MashaAllah. Safi kabisa!😘🤩🤗👍

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому +19

    Ewe mwenyez MUNGU enderea kuimarisha afya yake raisu wetu

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 4 роки тому +1

    Mwenyeezi Mungu akupe afya na umri mrefu rais wa Marais JPM

  • @sengendotwaha9333
    @sengendotwaha9333 5 років тому +1

    Thx Mr president

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya7832 5 років тому +1

    Mungu hakubariki Rais wetu

    • @saalimmohammed3256
      @saalimmohammed3256 5 років тому

      Halisia Isaya : complicated speech or bad writing " hakubariki".

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 5 років тому +3

    Kwa kweli sion ubaya wako kwa sababu baya moja mazuri 99 lini na saa ngapi nitaona ubaya wako!!!ni wakwanza kulipa fadhira na kumpa mtu heshima anayostahili akiwa bado anaishi hivyo kumfanya mtu ajivunie kuwa mzalendo wa Taiga lake

  • @shadjimmy2766
    @shadjimmy2766 2 роки тому +1

    Pumzika kwa amani raisi wangu hakika nina kidonda😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻

  • @muganziivankaganzi.7300
    @muganziivankaganzi.7300 5 років тому

    Asante Sana mshimiwa

  • @lavenderlucy3444
    @lavenderlucy3444 5 років тому +1

    Nakupenda tu bure raise makafuli

  • @happypro3212
    @happypro3212 5 років тому +1

    I love so much the tanzanian president Magufuli

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 3 роки тому +1

    Mimi nazani maombolezo yangu yatakuwa tofauti ni ya milele mpaka mungu na mimi atakapo ni chukua nilimpenda sana magufuli my president

    • @mathewbahati2831
      @mathewbahati2831 3 роки тому

      Alikuwa kiongozi wa kugusa mioyo ya watu sana. Alipenda nchi yake na watu wake

  • @ellyayieko357
    @ellyayieko357 3 роки тому +1

    In my country the ones who would be entrusted with guarding the man would be the first to betray him

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 4 роки тому +6

    DAH : MZEE HUJA TEGEMEA HATA NDOTONI

  • @adilomar3199
    @adilomar3199 3 роки тому

    Dah hatutosahau

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 5 років тому +1

    Hhehehehehe Mzee mapunda wa kwetu songea ,mjomba magu asante sana kwa kazi nzuri

    • @wanjauanthony9582
      @wanjauanthony9582 5 років тому

      Hii ni pesa ya raia, angetunzwa kwa meadli wala si pesa.

  • @wanjiruwathuo3643
    @wanjiruwathuo3643 4 роки тому +2

    Rais Magufuli Wakenya Twakupenda Bure. ..Hongera Baba Taifa

  • @user-fi9ot6xk8l
    @user-fi9ot6xk8l 5 місяців тому

    Mungu amrehem jpm

  • @mohaz612
    @mohaz612 5 років тому +18

    Kapande za jeshii.....😂😂😂hamna rais kama magufuli namkubali sana mheshimiwa

  • @josphatmichori1455
    @josphatmichori1455 3 роки тому +1

    Lala salama Magufuli 🙏

  • @omarmsellem9969
    @omarmsellem9969 4 роки тому

    Hongera magu saluti

  • @jamesgitahikahuro2443
    @jamesgitahikahuro2443 4 роки тому +3

    Magufuli wewe! Mingi akubariki sana. Kuna wengi viongozi hawajali mwingine ila wao na jamii zao wenyewe.

  • @frankaruiz2310
    @frankaruiz2310 3 роки тому

    daaah lala salama mkuu

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 8 місяців тому

    Daaaah eh mungu

  • @davidthebigguy7470
    @davidthebigguy7470 4 роки тому

    The best president ever

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 6 місяців тому

    Sana tu

  • @nelsondiba
    @nelsondiba 3 роки тому

    Lovely

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba9070 3 роки тому

    Hongera Sana Mtukufu Rais

  • @elishajoshua4892
    @elishajoshua4892 4 місяці тому

    I miss my late President .😢

  • @Mburu_FX
    @Mburu_FX 5 років тому +12

    10m za tz ni laki 5 za Kenya..pesa yenye tunakuywa usiku moja hapa Nairobi

    • @endruwguzula5993
      @endruwguzula5993 5 років тому

      acha ushoga wewe unywe usiku mmoja wakt hela zenu wanagawana mafisadi nchi yenyewe wameshagawa watu wachachee acha ufala ongea kam mtu timam

    • @endruwguzula5993
      @endruwguzula5993 5 років тому

      watu wenyewe mmejaa ukabila mnajifanya mmesoma ila ujinga waukabila hauwaishi maandazi nyie

    • @endruwguzula5993
      @endruwguzula5993 5 років тому

      @Tafari Kassai acheni ukabila kwanza ndomuongee nasisi nyie mnaujinga waasili hata msome mpaka yesu arudi hilo halitawatoka

    • @benjaminikijanhomi2034
      @benjaminikijanhomi2034 5 років тому

      Ko haujaona maana ya uyo mtu kupewa M10 ama izo laki tano za Kenya?? Lengo hapo si hela Bali ni mcctizo wa watu wajitoe kwa moyo katika kazi upo??

  • @frankjulius7978
    @frankjulius7978 3 роки тому

    Nakukubali sana mh Rais wangu

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 4 роки тому +6

    Mama mapunda!! 😂😂😂😂😂

    • @OmanOman-hr6cb
      @OmanOman-hr6cb 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣Nimecheka mpka nataka kujamba

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 5 років тому +5

    BIKO IYO

  • @elisantemollel3525
    @elisantemollel3525 5 років тому +1

    Taarifa ya habari

  • @ukombozimiracle8332
    @ukombozimiracle8332 4 роки тому +2

    Tanzania tuna kila sababu kumshukulu Mungu kwa Ris alie tupatia

  • @wolfhelmgothom6641
    @wolfhelmgothom6641 5 років тому +11

    Akina Mapunda Kama mm mikono Juu

  • @cyrilmarish6263
    @cyrilmarish6263 5 років тому +12

    Talk about people running a country the same way a head teacher runs a primary school.

    • @Tylee29
      @Tylee29 5 років тому

      LOL, it is proportional to their country's economy. Can't blame them.

    • @itsvipi
      @itsvipi 5 років тому +1

      @@Tylee29 Dont hate guys, its working for them. Unlike a country am in where the president asks " jameni mnataka nifanye nini?", corruption has overwhelmed him though he's really trying. The vice is in our culture. Follow and watch Magafuli online and you'd be impreesed.

    • @valeriachipeta774
      @valeriachipeta774 4 роки тому +1

      Yah! This is our presdent and we love him just the way he leads us. So wether its like school or a country its non of your business what matters to us is that we are happy and blessed about it.

  • @chechelawasafi3409
    @chechelawasafi3409 5 років тому +11

    Bonge moja la Rais atokuja tokea kama ww

  • @hassanjongo403
    @hassanjongo403 5 років тому +2

    👍👍👍👍

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 5 років тому +2

    Ka 10m Cash sio check mmhh

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 роки тому

    😂😂😂😂😂watani zake Magu unaweza kuta ameoa mke mdogo, na kweli anamke mdogo 😂😂😂😂🙌

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 5 років тому +1

    Kwa kweli anastahili sana huyu mzee kupata tuzo na heshima hiyo!

  • @omarychipeta5081
    @omarychipeta5081 5 років тому

    Daaaaa p1 sana baba

  • @alifarah6742
    @alifarah6742 5 років тому +8

    Mzee Mapunda usisafiri kila sikuu

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138 Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @lhmgaya
    @lhmgaya Рік тому

    Good good late JPM

  • @kennedykenney8201
    @kennedykenney8201 5 років тому +8

    Brother,you are the best president l have seen in Africa,may God bless you.we are live in diaspora supervising what's up in Africa mama,keep the candles burning

  • @stephenwakuloba7086
    @stephenwakuloba7086 3 роки тому

    What a President!! We have bigly lost a leader

  • @alexmaige1450
    @alexmaige1450 3 роки тому

    Dah, barikiwa raisi wetu

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 4 роки тому +3

    Baada ya kuangalia hii
    Me going to search on UA-cam:mapunda alivyoiba ndege
    UA-cam respond:No result found hahahaaaaaaaa

  • @enosokothetyang
    @enosokothetyang 3 роки тому

    Wooow! John Pombe Joseph Magufuli! Lala pema baba!

  • @barakaakyoo1905
    @barakaakyoo1905 4 роки тому +1

    Nimefrayi Sana ila nawew mzemapunda usiwe unasafiri kila siku