RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 148

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu2937 4 місяці тому +1

    I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 місяці тому +8

    Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.

  • @qasimmafuta
    @qasimmafuta 4 місяці тому +4

    Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT

  • @WasswaMajegere
    @WasswaMajegere 4 місяці тому +1

    So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 4 місяці тому +7

    Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama,
    Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC

    • @israelifissoo2141
      @israelifissoo2141 4 місяці тому

      haha sasa iyo balistic ata tz tunayo kama ujui

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 4 місяці тому +1

    Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 4 місяці тому +7

    Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke

  • @Kilcarslan
    @Kilcarslan 3 місяці тому

    2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..

  • @Laydejulie
    @Laydejulie 13 днів тому

    Ruto umezubaa aje😅😅,,, as if Kenya hakuna kitu kama hio

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 4 місяці тому +6

    Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂

    • @IddyAmir-gq1jr
      @IddyAmir-gq1jr 4 місяці тому +1

      Kavae wewe kama vile uburuzwe tuone

    • @rejobu9723
      @rejobu9723 4 місяці тому

      Khaaa wewe ni muuaji aisee 😂😂😂

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 4 місяці тому

      Huna akili ww

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 4 місяці тому

      Uyo mamaako nae chenga2 unamuonaje?

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 4 місяці тому +6

    Vichanel vya kisengeeee

  • @fabiogomieiro4131
    @fabiogomieiro4131 3 місяці тому

    E dizer que a maioria dos dirigentes e oficiais desses países estudaram na Grã Bretanha.

  • @JumanneMwita
    @JumanneMwita 4 місяці тому +1

    Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana

  • @janerosejohn8373
    @janerosejohn8373 4 місяці тому +1

    Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.

  • @ofwonoleviticusfavour6527
    @ofwonoleviticusfavour6527 3 місяці тому

    Love from Uganda

  • @BonnyMesopirr
    @BonnyMesopirr 3 місяці тому

    I can see my president William Ruto

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 4 місяці тому

    Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 4 місяці тому +3

    Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu 4 місяці тому +1

      Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu,
      2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target....
      Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera

    • @NeemaJuma-xn9nw
      @NeemaJuma-xn9nw 4 місяці тому +2

      ​@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu 4 місяці тому

      @@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo...
      Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo...
      Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 4 місяці тому

      Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa

    • @JafetiKanyala
      @JafetiKanyala 4 місяці тому

      Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 4 місяці тому +2

    Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.

  • @rizionemajura4707
    @rizionemajura4707 4 місяці тому +2

    Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 4 місяці тому

      Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw

    • @pavlotz8084
      @pavlotz8084 4 місяці тому

      Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja

  • @joelntuka
    @joelntuka 4 місяці тому

    congraturation for 5M millardayo team

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 4 місяці тому

    nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote

  • @manasehi
    @manasehi 4 місяці тому

    Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 місяці тому +1

    SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.

    • @geuzasilvester1715
      @geuzasilvester1715 4 місяці тому

      Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 4 місяці тому

      😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani

  • @AbrahamMohamed-o4q
    @AbrahamMohamed-o4q 4 місяці тому +3

    Ndo nini?sasa

  • @DonardNzogera
    @DonardNzogera 4 місяці тому

    Tanzania We are the top

  • @lolodaprincess7411
    @lolodaprincess7411 4 місяці тому +2

    Najivunia Utanzania♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 4 місяці тому +1

    Askri wako vzr sana ninawapongeza sana

  • @Allymoh001
    @Allymoh001 4 місяці тому

    The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....

  • @bestscenes955
    @bestscenes955 4 місяці тому

    In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!

  • @ShabaniRamadhani-jb6wy
    @ShabaniRamadhani-jb6wy 4 місяці тому

    Waziri akiogea juu ya buge hili

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 4 місяці тому +2

    Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 4 місяці тому +2

    Uhame bongo uende wapi

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 4 місяці тому +1

    Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 4 місяці тому

    Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo

  • @IreneMabenga
    @IreneMabenga 9 днів тому

    One lov

  • @ObediMeyan
    @ObediMeyan 4 місяці тому

    Ni noma sana

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 4 місяці тому +5

    Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 4 місяці тому

      Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 4 місяці тому

      @@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya

  • @Nashohaule
    @Nashohaule 4 місяці тому

    Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark

  • @RajabuKhatibu-nl4uk
    @RajabuKhatibu-nl4uk 4 місяці тому

    Asanteni sana

  • @ArushaBoyfire
    @ArushaBoyfire 28 днів тому

    Good

  • @SharonGodwill
    @SharonGodwill 4 місяці тому +3

    ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu

  • @DotiVirtuoso
    @DotiVirtuoso 4 місяці тому

    sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 4 місяці тому +1

    Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo

  • @IssaNasir-v2e
    @IssaNasir-v2e 4 місяці тому

    Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 місяці тому

    Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2

  • @Wisedonn
    @Wisedonn 4 місяці тому

    Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys

    • @OmaryMgoss
      @OmaryMgoss 4 місяці тому

      Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 4 місяці тому

    Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote

  • @abubakaryabdallah4708
    @abubakaryabdallah4708 4 місяці тому

    Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando

  • @zackhisa955
    @zackhisa955 4 місяці тому

    5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please

  • @francenipala
    @francenipala 4 місяці тому

    Kwahy ndio kakazen hao

  • @AshaMwamba-v2o
    @AshaMwamba-v2o 4 місяці тому +2

    Kaumia ilo Kofi imeanguk

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 4 місяці тому

  • @Neemacitizenepisode
    @Neemacitizenepisode 4 місяці тому +4

    Ule ujinga uko Tanzania

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 4 місяці тому +1

    Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 4 місяці тому +1

      Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana

  • @RichardElias-km9ql
    @RichardElias-km9ql 4 місяці тому

    Amna kitu apo

  • @kennedyariembi5545
    @kennedyariembi5545 4 місяці тому

    😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 4 місяці тому

    Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 4 місяці тому

      America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?

  • @LangxSheby
    @LangxSheby 4 місяці тому

    Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂

  • @drcezzane3630
    @drcezzane3630 4 місяці тому

    Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 4 місяці тому

    Badoo sanaaa

  • @neemaevance80
    @neemaevance80 4 місяці тому

    Safi ❤❤❤🙏

  • @ramxonforex772
    @ramxonforex772 4 місяці тому

    nchi yetu bana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 місяці тому

    Napenda kazi kama hizi?

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 4 місяці тому

    hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin

  • @almahdialmahdi5545
    @almahdialmahdi5545 4 місяці тому

    ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر

  • @kandaboy3026
    @kandaboy3026 4 місяці тому

    Bure kabisa

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 4 місяці тому +2

    Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣

    • @mtaanasanaa6557
      @mtaanasanaa6557 4 місяці тому +1

      Hujui Maana ya maonesho???

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 місяці тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NeemaJuma-xn9nw
      @NeemaJuma-xn9nw 4 місяці тому

      ​@@mtaanasanaa6557jibwa

    • @kisrahcogar8538
      @kisrahcogar8538 4 місяці тому

      Wanaletwa marehem kila kukicha 😂😂😂

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 4 місяці тому

      Kufa vitani nijambo la kawaida kwao hatauwe mjuzi kiasi gani usicheze na vita

  • @dicksonmlibwa3661
    @dicksonmlibwa3661 4 місяці тому

    Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba 4 місяці тому

    Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 4 місяці тому

    Bado sanaa

  • @ABBASIKANDULU-kl8zc
    @ABBASIKANDULU-kl8zc 4 місяці тому

    Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅

  • @Дежурный-я8к
    @Дежурный-я8к 4 місяці тому

    Упражнения 19 - века

  • @amossimon1095
    @amossimon1095 4 місяці тому

    haha hatar

  • @kevinatinda2242
    @kevinatinda2242 4 місяці тому

    This is more of comedy;;

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 4 місяці тому

    Haya tumekubali

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 місяці тому

    Mhm😂😂

  • @TibaTito
    @TibaTito 4 місяці тому +1

    Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n 4 місяці тому +1

    Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 місяці тому

      Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 місяці тому

      Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 місяці тому

      Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 4 місяці тому

      ​@@clementsabuni75🙄🙄🙄🙄🙄

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 4 місяці тому

      @@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.

  • @ssaa7495
    @ssaa7495 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @WinfridaFabian
    @WinfridaFabian 4 місяці тому

    Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu

  • @kipkorirprotus9573
    @kipkorirprotus9573 4 місяці тому

    Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu

  • @davidnamu6374
    @davidnamu6374 4 місяці тому

    😂😂😂

  • @saidimussa8128
    @saidimussa8128 4 місяці тому

    Duh sasa mbna sion maajabu sas
    Duh !

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 4 місяці тому

    😂

  • @johnnyhandoko1849
    @johnnyhandoko1849 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂

  • @KHAMIS_SHILINGI
    @KHAMIS_SHILINGI 4 місяці тому

    Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 4 місяці тому

    Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.

    • @Jal210
      @Jal210 4 місяці тому

      Acha ujinga wewe

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 4 місяці тому

      @@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.

  • @babawamtaa8538
    @babawamtaa8538 4 місяці тому

    Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi

  • @Bushman000
    @Bushman000 4 місяці тому +1

    Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂
    ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA

    • @justice607
      @justice607 4 місяці тому

      Canteen is good😅😅

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 4 місяці тому

    Ujingaaaaaaa

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 4 місяці тому

    Jeshi la znz ndo nnalolitaka 😂

  • @saidijuma5424
    @saidijuma5424 4 місяці тому

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 4 місяці тому

    😂😂😂

  • @ZainabuIddy-r1o
    @ZainabuIddy-r1o 4 місяці тому