HII NDEGE NI HATARI DUNIANI, 2021: UWEZO WA AJABU/HAIJAWAHI TOKEA, S01EP21.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Ni matokeo na mafanikio makubwa katika sekta ya Uhandisi wa teknolojia za vifaa vya kijeshi na Anga na ni heshima kubwa katika Taifa la Marekani kwa ugunduzi utakao dumu katika viwango vya Ubora kwa zaidi ya miaka 40...hii ni ndege ya ajabu na yakipekee nayo ni "LOCKHEED MARTIN F-22 RAPTOR"
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #LockheeDmartin #F22raptor #Digitalgeneration

КОМЕНТАРІ • 57

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Місяць тому

    Wewe noma sana kwa uchambuzi

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 2 роки тому +3

    Somo lako lipo sawa sana mzee wangu

  • @user-pg2pe6ye4i
    @user-pg2pe6ye4i 3 місяці тому +1

    Marekani ana mengi sana na aweki wazi

  • @charlesmakabara9670
    @charlesmakabara9670 28 днів тому

    Dupa mambo vp mzee ? Napenda sana kazi zako ninaswali kwako kutokanana ufuatiliaji wako wa mambo ya kitaalam zaidi swali langu kwako je nikweli nasa walifanikiwa kupeleka mtu mwezini? Kuna maneno mengi mtaani tusaidie ukweli wa jambo hili mzee

  • @jacksonbiswalo8360
    @jacksonbiswalo8360 2 роки тому +1

    Upo vzr kijana

  • @davidmasongo1355
    @davidmasongo1355 2 роки тому +1

    Big up sana

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 2 роки тому +2

    Safisana kwa simulizi nzuri

  • @n.y.smedia4145
    @n.y.smedia4145 2 роки тому +1

    Safi sana

  • @Joybass2
    @Joybass2 Рік тому +1

    Kabla hajasikia chuma iko karagwe 😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 місяці тому +1

    Kiuchumi,
    Kisayansi & Technology,
    Kijeshi ,
    Kisiasa U.S.A IS MOST POWERFUL & DANGEROUS WORLD WIDE "

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 3 місяці тому

    Safi kabisa upo sahihi Akuna kama America

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 3 місяці тому

    Ah kumbe ni show za Mmarekani,niwache bwanaa kumbe mpaka Leo munatumika na Mmarekani,Mimi ni team mrusi ya Mmarekani ni mbwambwa tu hayanihusu Tena najuta kuingia kwenye hii clip Wacha niimaki

  • @cholophone4221
    @cholophone4221 4 місяці тому +1

    Sukhoi su 57 ule ni moto wa urusi

  • @mtakimjinja2328
    @mtakimjinja2328 2 роки тому +2

    Buro nimekuelewa!

  • @piussenga6669
    @piussenga6669 2 роки тому

    Unajua katika point umeongea ikanigusa ikanifanya nikuelewe zaid ni apo ulipo sema awa WATU WANATUHIMIZA KUISHI MIAKA MINGI LAKIN AO AO NDIO WANAO TENGENEZA VIFAA VYA MANGAMIZI.....apo umetumia Lugha gum sana hongera sana kaka

  • @mukusinisaidijanja9773
    @mukusinisaidijanja9773 2 роки тому

    Atali sana

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 3 місяці тому

    Wewe eleza vizuri kuna kilometa za anga na za ardhini kunatofauti

  • @praygodzakaria7276
    @praygodzakaria7276 2 роки тому

    Perfect dupa dupange

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 2 роки тому

    Hiyo unaisifia lakini ujue kunaweza kuwepo siraha za kuiangamiza muda mfupi usiisifie sana na ikawa aina maana vita Ina Siri kubwa...ww una UGONJWA WA na KUISIFIA marekani..usidhani nchi zingine zimelala..zinaweza kuwepo Kali kuzidi hiyo

  • @wardatiddi7845
    @wardatiddi7845 2 роки тому

    Nawakubali sana watu wangu wa iran na mifumo ya air defense khordad 15 and bavar 373 ni moto wa kuotea mbali

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Рік тому +1

    Story zoko zimeshiba hoja bora kabisa na uelewa wa hali ya juu wa mambo ya Dunia.

  • @JumanneTwahiru
    @JumanneTwahiru 3 місяці тому

    Yaani mimi siwezi Subcribe kwa sababu uongo mtupu

  • @muichorekishagani1751
    @muichorekishagani1751 2 роки тому +1

    sahihi kabisa F 22 raptors ni ndege bora kabisa licha China kukopi ndezao mpya aina ya j 20 lakin ubora hawawezi kuufikia

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 4 місяці тому

    Jamani athari ya vita ni mbaya sanaaa tusiombeee itokee duu hasa nchi masikini

  • @fidelisinnocent7516
    @fidelisinnocent7516 2 роки тому

    Hatari

  • @meshnovgillynov678
    @meshnovgillynov678 2 роки тому

    Super flanker ni ndege ya murusi
    F 35 lightening ndo ya American

  • @cholophone4221
    @cholophone4221 4 місяці тому

    Angalia pia ndege ya urusi inayoitwa pak daa inauwezo wa kuizunguka dunia mzima kwa masaa machache sana

  • @lukongerajab1120
    @lukongerajab1120 2 роки тому

    Brother naomba uzilinganishe ndege hizi za rasian ili upunguze kupotosha

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 3 місяці тому

    kwenye swala la kijeshi america ni wakawaida TU. hizo story za watoto weka mbali na watu wazima.

  • @SalumuChamkulu
    @SalumuChamkulu 12 днів тому

    Dogo acha ubabaishaji picha hiyo SU 57 ya urusi

  • @salumsalum8261
    @salumsalum8261 2 роки тому

    Iyo kwenye picha ni su 57 ndege ya urusi

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 2 роки тому

    Picha tofauti si ya f 22 vipi kijana! Picha ya Su 57 !

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 місяці тому

    Thumbnail yako tu inadhiirisha Sukhoi su 57 ni jini ilioshindikana nandio maana ukaiweka 😅😅 . Chezea urusi wewe kwenye dhaza zakivita

  • @user-he9eq2gk8e
    @user-he9eq2gk8e 3 місяці тому

    Uyu nae ndowareware wasifiae mandege jonh ya ziwani marekan mayo niyakusifi kwer?urus je

  • @cholophone4221
    @cholophone4221 4 місяці тому

    Na su 57 ya kirusi ni balaa kwa kuliko hio ya kimarekani

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 5 місяців тому

    Tuletee istolia yavita yakwanza na yapili chanzochake na mwisho wake na chanzo cha ugomvi wa hitra na urusi

  • @marriemarrio4390
    @marriemarrio4390 3 місяці тому

    Uogo mtupu apa

  • @mussaomar3464
    @mussaomar3464 2 роки тому

    Imeundwa nchi gani

  • @xingho3990
    @xingho3990 2 роки тому

    Hao America ndiovyo walivyowaaminisha kuwa wao ndio top...lakini bro sahau hilo America siokama hivyo unavyomsifia.

  • @kassimkingai564
    @kassimkingai564 3 місяці тому

    Unaijua su 57 ww

  • @cholophone4221
    @cholophone4221 4 місяці тому

    Na picha uliyoiweka ile ni ndege ya urusi SU 57 siyo ya kimarekani

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 10 місяців тому

    Marekani bado ni super ster ata bajeti ya ulinzi inatisha.

  • @sogoramwinshekhe1464
    @sogoramwinshekhe1464 2 роки тому

    Hakuna ndege yeyote ya US ambayo Russia haioni kwenye rada

  • @meshnovgillynov678
    @meshnovgillynov678 2 роки тому

    Sukhoi su 35 super flanker ya Russia 🇷🇺 hikoje???

  • @kitikawamuwa1279
    @kitikawamuwa1279 11 місяців тому

    ilo nitishio la wahuni aca kuwasifiya we bwege unaongeya ujinga tuu

  • @masoudsalim143
    @masoudsalim143 2 роки тому

    Kama America yupo sawa basi tayari kimewaka huko kwa Mr Putin akaitetee Ukraine.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 5 місяців тому

    Su 35 na Su 57. Hizi bana ni zaidi ya motooo!! Russia!!

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g 4 місяці тому

      Hamnakitu urusi,screper

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 4 місяці тому

      @@user-yw3qh6qj8g hahahahahaha haya unanichekesha tu.

  • @saidchitanda2782
    @saidchitanda2782 2 роки тому +1

    Dupa mi naomba mkitoa mtoe yote tunaimiss afu wiki ni mbali mno

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 місяці тому

    HUYU KWA KUSIFIA NDEGE ZA MAREKANI AJUI KWSS URUSI INA NDEGE JANJA NA KALI SANA DUNIANI KWA HIVI SASA AJAZION SU 57 NA SU 35 BALAA LAKE SIO LA KAWAIDA

    • @user-tz6it3nb5p
      @user-tz6it3nb5p 3 місяці тому

      Hajitambui we mwache

    • @dennissarah3485
      @dennissarah3485 Місяць тому

      Kama wewe unajuwa Nzuri kuliko hii Au za kimarekani tuhadithie