MTAZAME RUBANI MDOGO TANZANIA/WAZAZI WANGU NDIO CHANZO/NIMEISHIA KIDATO CHA NNE/NDEGE NI NYEPESI
Вставка
- Опубліковано 6 кві 2020
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Розваги
Hongera sana Rubani wetu. Damu ya Yesu ikufunikie siku zote za maisha yako.
Asee Mimi Ni mama wewe Kama mwanangu Mungu akuinue japo skujui da kweri ukitia Nia yote yanawezekana
Hongera sanaaaa,lakn kwa unavyoelezea tu naona pia na nyumbani pia kuna uwezo wa kipesaa.
Tunafunguka na elimu na Tanzania bado kunakiritimba nafasi za kusoma zinapatikana kwa kujuwana kijana unafunguwa upeo kwa watanzania. Hongera sana kijana mungu atubariki.
Hongera sana rubani mdogo kuliko wengine nchini. Nami mzazi ninaye Rubani kwenye familia yangu. PGM ni muhimu ili kuwa rubani. Pia PCM ni muhimu kuwa mhandisi wa ndege. Kila la heri Rubani wetu. Jitahidi kuongeza masaa ya kuruka hewani.
Hongera sana kazana usiishie hapo
Asante kwa elimu sababu sikujua haya yote. Mungu akulinde, akusimamie kwenye maisha yako.
Big up kijana wengine igeni juhudi za huyu mwenzenu. Msihofie malipo Mungu ni mwema kama nia ipo.
Hongera sana mdogo wangu Mungu akuinue kwa viwango vya juu zaid ❤
Jitahidi urudishe nusu ya gharama alizotumia baba na mama kukusomesha huko Africa kusini🎉
HONGERA SANA RUBANI WETU, UNAHAMASISHA WAZAZI KATIKA KUTIMIZA AU KUHAKIKISHA WAZAZI WANAWASAIDIA WATOTO WAO KUTIMIZA NDOTO ZAO.
Mimi nina kaschana kangu kana ndoto hyo Mungu asaidie,mana sio Kwa hyo ada
Kaka umenifuraisha sana umenikumbusha Bali nikiwa mdugo ilikuwa Naipenda sana Roket ANaile mistari Mpeni Hongera sana kijana Wetu Mungu Amuongoze lNshallaah 🌹🌹🌹🌹
Aiseeee umenihamasisha sana,kiukweli kila mtu anakuwaga na ndoto ila umasikini ndo unaotufanya tushindwe kuzifikia ndoto zetu
Hongera Sana mwanangu Mungu akulinde nyakati zote maana wengi hata hawawezi kuwajulisha watu hii elimu kwa kuona Ni wa viwango vya juu. Mungu akubariki Sana Nina mtoto siku zote anatamani kuwa rubani
Damu ya Yesu ikutunze kijana wetu mdogo
Safi sana , na hongera sana wazazi wa huyu kijana,
He is very humble.. he really deserve it .. humble people gets far💪
Exactly my dia
Sahan hello. Nauliz Ivo. ATI. Mwenye ndoto izo. Kapata. Phys. D ,math. C, na. Geo B. Inakubaliwa au. Kam. Vip. Natak. No. Za uyo. Ruban. Kupat. Taatif. Zaidi
Hongera kaka no maombi ya watanzania wengi ambapo tumekuskilixa mungu akuongoze vema uwe na umakin zaidi na ukumbuke kumuomba mungu zaidi man bi yy usingefika hapo ulipo kwako ni jitihada na ndoto ulizakuwa nazo shukran kubwa Kwa Baba na mama ulinzi wa mungu uwe Juu Yao wavune matunda walioyapanda hongera❤❤❤
Maa shaa Allah
Hongera sana kijana
Mungu akuzidishie Elimu na watu wote kila mwenye ndoto yake njema Mungu amuwezeshe
kuitimiza
Aamiyn
Hongera mdogo wangu.MUNGU akulinde ufike mbali zaidi ya ulipo.
Dooooooooh,I like de way He's speaking,ana gud speaking.
To be Honest I like de Pilot.
He's gud on Everything.
Safi sana Mdogo wangu..yaaani una wa Inspire wengi...Big up sana
Mashallaah Mungu akuzidishie baraka Wa Tanzania tuko juu kumbe love and all the blessings from Uk
Hongera sana bro you have made ur dream true
Rubani mdogo Tz umetisha ubarikiwe
Mtangaxaji.kazi.nzr umeuliz mswal.mzr xna pia lubni anafaa kuwa mwalimuu
Damu ya Yesu ikulinde daima...kwa kweli umejua kuiheshimu pesa ya wazazi wako tena kwa muda mfupi ukaelewa vzr sana .Ubarikiwe sana David Matonya.
Beatrice John y
ji
oookyj
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika utafutaji wako
Dooooooooh,this guy jmn ana gud Smile as dat.
God be with Him.
Allah akupe nguvu na ujasiri zaidi uweze kufanya na wengine waweze
Hongera kijana nimekupenda bure kwa uwezo ulio nao umenisuuza sn
Hongera sana David. Wahongere wazazi wako pia kwa kukufanya ndoto yako itimie. Barikiwa zaidi.
Mungu akubariki zaidi na akuepushe na misukosuko ya safari zako zote kipenzi. Umenihamasisha mwanangu ana 10 yrs aliniambia sana anataka kazi ya urubani. Umenipa moyo lkn hiyo ada nauomba Serikali isaidie hata kama kwa mkopo. Ahsanteni waandishi kwa kusaidia kutuelimisha.
Tanzanian young brother to be Inspired as pilot due to ur story, bro uko vizuri sana, kwa ada hiyo ya mil 200 nimeanza kuotesha miti ili vijana wangu wakifika form 4 niwalipie ada, nilichokupendea unawatia moyo vijana wenzio waione hiyo fani ya upilot inawezekana kama wakiwa na moyo wakujituma kama ulivyo wewe.
mungu akufunike kwa dam ya yesu katka safari yako zote uishi maisha marefu
Mashaallah ongera rubani Allah akulinde🤲🤲😊
Vidimpozi kakaa mashaallah..umzuri..mngu akulinde na husda za waja wake...
Devid hongera sana mwanangu maana my son called devid to.na ako bright sana shule namuombea nae aje kutimiza ndoto zake km wewe.hongera sana son devid love you
Kumbe ndiyo rubani mdogo, hongera sana
Mungu atupe maisha malefu ya ni nimekubali sijui niombeeje natamani nione atawazazi wako niwashukulu jani ningekuwa na uwezo ingeleta zawadi
Mashaallah. Pilot Matonya Allah azidi kukuinua uendelee mbele mpaka uendeshe madege makubwa InShaaAllah
Amiiin
Jambo lakwanza nikusapoti bwana matonya atamimi natamani kuwendesha tatizo pesa naskiya ninyingi san
Hongera sana, Mungu azidi kukuinua, uzidi kupanda viwango vyaa juu
Hongera sana kijana,,umenisaidia sana na mimi kujua jinsi ndege inavyotembea angani,Mungu akusaidie ufike mbali
hatari sana mm pia nimejifunza nimepanda ndege sana ila sikujua ina ruka sana. hii no baraka 🙏
David well done kijana ##proud of Dodoma ##proud of gogo tribe
Mashaallah mashaallah tabarakallah nimekupenda jinsi unavyoongea na huna majivuno mungu akusimamie
Nice..
Hongera kaka mungu azidi kukufanyia wepesi inshaallah
Mashallwa mashallwa mungu akulinde na husida na akupe afya nzuri nakutakiya Kilala heri kwenye pirika zako na maisha yako 😘🙏🙏🙏
Nimejikuta naipenda tu interview nilitamani isiishe na tabasamu 👌
Honge sana kwa kutimiza ndoto zako
Great !!!
TZ Boy
Mwanangu wa Dodoma !!
Keep it up
Congrts my little boy
Mbarikiwe nyote nawapenda sana nyote 🥰🥰👏🏽🤲🏽🙏🏽👌🏽👌🏽 all 😊🎉🎉
Ndiyo maana hukutakiwa kuwa rubani mungu hawezi kukubariki kea sababu maombi yako ni mabaya.
Daah honger david mungu akutangulie
Rubani lkn Hana maringo mashaallah Mungu akutangulie
Oooh, my God, nimekupenda bure, sipat picha mama ako akikuona anajisikiaje, hongera, nakuombea Mungu akufikishe mbali zaidi, na akulinde! big up! Mdogo etu!
Bigup kalumbu brother from another mother
Ananikumbusha wakati nipo shule kuwa rubani ilikua ni my dream na Hilda Ringo alikua ni role model wangu as the youngest female pilot wakat nipo O-level....but now nasomea udaktari and enjoying my career 😊😊😊😊
😂😂😂 Dr. Mercy Elly
Honqera sana kaka
Daaah kweli mungu anajua wakuwapa sipati picha ningekuwa mimi!!ha ha bravo bro huna majivuno
Kabisa yan hadi nimempenda 😁
nafikiri cha kwanza,ungeipaisha mpaka kiraeni uwanja wa shule ya msingi kustua wanakijiji😅
kingereza kingekua kingi
Hongera Sana mungu akuzidishie Kila laher ufanikishe ndoto zako
Mwanang katisha kweli kasoma sio mjanja mjanja!!! Daa ndege kutoa moshi nimependa jibu lake na jibu la frequency!! Salute bro
Hongera sana kaka mwanangu anapenda sana kua pilot natumaini siku moja atakua
Hatariii may God bless you🙏
Aaaiii poa sana my bro duuuuh pilot 👨✈️ wetu uyooo.
Ooh kumbe wazaz wake walikuwa wanasafir sanaa nje.aya sisi wakwetu wanachoma mikaaa basi tutawauzia mikaaa sanaaaaa
Hahahahhh
Hahahha
hukohuko kwenye mikaa ,Mungu anachomoaga huko watu
😂😂😂😂
😂😂😂 nimecheka sana
Mungu akusaidiee ufike mbaliii
Congratulations 🎊 and God bless you my kaka
Hongera sana pilot mungu akutangulieee
Yaani natamani ningepata mtu wa kunielekeza nilikuwa napenda kusomea urubani ila dah ndio imeshakula kwangu umri umeenda, hongera sana kijana.
Hongera sana kaka aisee msalato sasa inawasomi
Wema Moses weeeeee
Mungu akutie nguvu Dav #Dasen Endelea kukua kiroho,kimwili na kiakili zaid
Na hongera sana kwa kupigania Ndoto yako.#Be Blessed
Nzuri sana ...nimeipenda haya mahojiano
Hivi kumbe wagogo hawavumi kumbe wamo🤗
Siyo huyu tu, alikuwepo na ki Jana mmoja anaitwa Aman mgogoro, alikuwa ni balaa, alipata ajali ndege ikaanguka morogoro alifariki tukamzika mkonze Dodoma, ndiyo kwao.
mashallah mungu amuongoze kwa kila jambo aje kutufuata huku tusha choka kutizamana na waraab
Mashaalah kijana mstaarabu sana,,Allah akuhifadhi
Kaka unajielewa sana unajibu maswali kwa busara sana
Ongera sana rubani wetu mungu akubariki kaka yangu
Very nice, god bless you David Matonya
Na alivyo handsome ivyo lazima asumbuliwe😩, mi mwenyw nimependa😝🤗❤️
Aziza 😂😂😂
Hhhahhh mkwe Wang u uyo jmni
Mpaka uive kwel big up brother
Sauti iko chini sana bana na nyinyi media kubwa hivo mnashindwa kubalanc sauti mnashindwa na MBENGO ON LAIN.. sema acha kumkufuri mungu dogo maisha yako so ya kawaida bwana usijilinganishe na sisi ada ya milion 200 ndo unasema maisha ya kawaida acha uongo mshukuru mungu kwa maisha ya familia yako yalivo au hujawah kuwaona watu wenye maisha ya kawaida?
CAPTEN DUNGA ukiachana na hao wanao omba like wewe ndo umeandika kitu hapa
Mwambie maana mm nimeshtuka hiyo ada
Wengine wanapata wafadhili wana wasapoti
Hongera kaka kwa kuwa na baba mwenye akili anae kusikiliza mm mwenyew niliutaman ila baba yangu kanipeleka kusiko julikana
Hahahhaah, ww jamaa bhna
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiiii nimecheka kweli kaka yangu pole jmn😂😂😂😂
Si ungekimbia
Daaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀
Aise mungu akuzishiye maarifa zaidi na zaidi
Hivi ni mim tu nd nahis saut ndogo sanaa! Ama sim yng jmn saut ndogoo mnooo ,,,,but honger bro God bless you 🥰🙏
Simu yako tu, sauti kubwa tu inatosha kabisa
Cimu yk tu
DAAH BROTHER SIAMINI KAMA N WEWE LAST TIME (2013) DCT MVUMI TULIKUWA TUNAPIGA STORY PALE ANNEX PUB DOMITORY ULKUWA UNASEMA ONE DAY UTAKUJA KUWA RUBANI NILICHUKULIA EASY BT DAAH SIAMINI MZEE BIG UP XANA MGOGO WA KWANZA KUWA RUBANI MWANANGU DAVID MATONYA
Duh
Aisee Ni zao letu tunajivunia dct sec kutoa rubani itangazeni shule huko mliko
Masha Allah
Walishakuwepo,sema hakukuwa na mitandao
Kijiji natoka alikuwepo rubani wa ndege za jeshi
Mungu atakusaidia ndg yng kwenye kazi yako
Ma sha Allah Allah akusimamie in sha Allah
Mungu atakupa nguvu fanya kazi broo usilembe kazkaz
Hongera sana mdogo wangu mimi mtoto wangu yuko darasa la 3 anapenda sana kuwa rubani
HONGERA UTAFUFUA NDOTO ZA WENGI KIJANA MUNGU AKUBARIKI SANA
masha allah mungu azid kukuongoza kama ila nimependa tabacam lako na uchezi wako 😙
Hongera sana Ruban na watangazaji.
Hongera sanaa, very humble
Hongera baba m mungu kulinde na hassad
Hongera sana kijana umebobea maelezo yako yamenyooka
Hongera sana. Humble boy God bless you
Hata Mimi nilikuwa naita loket duu hongera sana devi
Kwanza uyu kaka katulia sana hata maelezo yake yamenyooka kuna wengine wakina kuhojiwa wanakuwa na mbwembwe nyingi hata mjibu yanakuwa hayajanyooka wanakatisha watu tamaa uyu anaeleza vzr sana kumbe hata unachosoma darasan sio kitakachotumika ktk masomo yako ya uruban haviusian na upande wa ada kanyoosha maelezo wengine wana mizunguko mingi kujibu swali la ada asnte bro
Ndio jamaa knyooka sana
Hongera sn mdogo wanting mwenyezi mungu akijalie uishi udum
Matonya,kichwa kimetulia!HONGERA.
Halee karumbu mulungu alumbwee na kuwa baba bora kwa wanao baadae kama baba na mama yako kwa kukusikiliza na kutimiza ndoto yako
Chikulumba mwaya
Wagogo tuko juu hongera mwanakwetu matonya wa dodoma
Hahhaah nmecheka sn kuhusu mstri du !!!nmekuelewa bro💪👊🙏