11 Twala Yuko Jela
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2016
- Bwana Aman Thani Fairuz anakutana na Twala jela. Huko walifunga urafiki mkubwa. Aman anasema mengi kayapata kwa Twala kuhusu serikali ya MAVAMIZI. Abeid KArume akiwafanya mawaziri wake kama watoto wa skuli.
Aman amepata habari kwamba Othman Shariff na Idrsa Majura wamefika jela ya Bamkwe (Mandera). Pia Hanga kafikishwa huko kwa Mandera.
✌️👊👍.
Mitandao itafichua mengi
Hatari
Hataji mabaya anataja sifa zao nihaki yao kutajwa mbona mapinduzi yana sherehekewa kila mwaka ?? Mbona hamsemi yasiadhimishwe kwa sababu uanatonesha bidonda ??ndio kwanza mnasherehekea wacha ataje sifa zao tuzijue hizo anazo eleza huyu Mzee Ni sifa sio ubaya kama ni ubaya waambieni wasisherehekee mapinduzi
Huyu Mzee anaelezea mapinduzi ambayo ndio damu yenu na mnaifurahia kila mwaka
Baba sema uwone kitakacho kukuta
Tupe tusiyoyajua maana hata hayo tulikuwa hajui baba tufumbuwe macho na dhuluma ufisadi wizi kumbe iko zamani CCM wanaendeleza tu mkubukeni Allah iko siku mutakwenda kujibu muliyoyanya
Definitely for life wewe bwege sana.
Kama huna mchango basi kaa kimyaaa.
Mambo ya firauni au hitler
Yazungumwa mpaka leo. .
Suleiman Said Allah atakulipa Amin
we mzee usitaje mabaya ya maiti ni kosa kubwa sana kua na heshima
Wameyaka wenye kuuwa na kuifanya ufisadi katika ardhi ya zanzibar
Yeye anayelezeya histoire yalompitia
Funga mkundu wako mshenzi wa CCM wewe...Ukweli unauma eeh
Yatengemea na huyo maiti