11 Twala Yuko Jela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2016
  • Bwana Aman Thani Fairuz anakutana na Twala jela. Huko walifunga urafiki mkubwa. Aman anasema mengi kayapata kwa Twala kuhusu serikali ya MAVAMIZI. Abeid KArume akiwafanya mawaziri wake kama watoto wa skuli.
    Aman amepata habari kwamba Othman Shariff na Idrsa Majura wamefika jela ya Bamkwe (Mandera). Pia Hanga kafikishwa huko kwa Mandera.

КОМЕНТАРІ • 13

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊👍.

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 5 років тому +3

    Mitandao itafichua mengi

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 5 років тому +3

    Hataji mabaya anataja sifa zao nihaki yao kutajwa mbona mapinduzi yana sherehekewa kila mwaka ?? Mbona hamsemi yasiadhimishwe kwa sababu uanatonesha bidonda ??ndio kwanza mnasherehekea wacha ataje sifa zao tuzijue hizo anazo eleza huyu Mzee Ni sifa sio ubaya kama ni ubaya waambieni wasisherehekee mapinduzi
    Huyu Mzee anaelezea mapinduzi ambayo ndio damu yenu na mnaifurahia kila mwaka

    • @nassorali5511
      @nassorali5511 2 роки тому

      Baba sema uwone kitakacho kukuta

    • @EshaHamd-ed9yv
      @EshaHamd-ed9yv 5 місяців тому

      Tupe tusiyoyajua maana hata hayo tulikuwa hajui baba tufumbuwe macho na dhuluma ufisadi wizi kumbe iko zamani CCM wanaendeleza tu mkubukeni Allah iko siku mutakwenda kujibu muliyoyanya

  • @suleimansaid7486
    @suleimansaid7486 5 років тому

    Definitely for life wewe bwege sana.
    Kama huna mchango basi kaa kimyaaa.
    Mambo ya firauni au hitler
    Yazungumwa mpaka leo. .

    • @drfarouk7691
      @drfarouk7691 4 роки тому +1

      Suleiman Said Allah atakulipa Amin

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 5 років тому +1

    we mzee usitaje mabaya ya maiti ni kosa kubwa sana kua na heshima

    • @zainabkhatib6509
      @zainabkhatib6509 4 роки тому

      Wameyaka wenye kuuwa na kuifanya ufisadi katika ardhi ya zanzibar

    • @hadassoilih523
      @hadassoilih523 4 роки тому +1

      Yeye anayelezeya histoire yalompitia

    • @fu4308
      @fu4308 4 роки тому

      Funga mkundu wako mshenzi wa CCM wewe...Ukweli unauma eeh

    • @nassorali5511
      @nassorali5511 2 роки тому

      Yatengemea na huyo maiti