17 Yalomkuta Saleh Sadalla

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 бер 2016
  • Saleh Sadalla aligombana na Karume kwa sababu ya mwanamke. Karume alimtukana Sasalla kwenye kikao cha baraza la mapinduzi. Karume kataka kumpiga Sadalla na Sadalla akataka kumpiga risasi Karume, hakufaulu. Kwahivyo Sadalla kafungwa na baadae Karume kamuua.

КОМЕНТАРІ • 20

  • @rashidsalum722
    @rashidsalum722 6 років тому +8

    Allah akupe pepo ya hali ya juu kabisa shehe Aman Than kiukweli mlipata mateso makubwa sana.

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 роки тому +3

    Allah(SW) akuweke mahali pema peponi amin. Haya mambo hayasemwi na wanaendelea kupotosha ukweli huu kwenye misingi ya elimu.

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому +7

    Watesaji wateswaji wote wameshafika kwa Hakim muadilifu

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 8 років тому +10

    sasa kiduchu nimeanza kupata ukweli wa mambo yalivyokua wakati wa utawala wa serikali ya kwanza ya mapinduzi. inaonekana tulivyosomeshwa skuli sivyo kabisa.
    Allah mrehemu mzee huyu kwa kutupa ukweli wa mambo na umuingize kwenye pepo yako tukufu.

    • @MzeeBarwani
      @MzeeBarwani  8 років тому +3

      Mwenyezi Mungu anatufundisha:
      "Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia." (9:33)
      Na Abraham Lincoln anatuambia:
      "Unaweza kudanganya watu kwa muda mchache na baadhi ya watu milele, lakin huwezi kudanganya watu wote milele"

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 роки тому +1

      @@MzeeBarwani ,
      Baada ya miaka 3 najibu message yako. Allah akubarik.
      Kila nikipata muda humaikiliza marehemu Thani, hakika katufumbua macho.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 років тому +1

    Naomba Ruhusa Kuzitumia Hizi Video zako Ndugu yangu, Zitasaidia sana Kusaidia Tanzania Kuona Umuhimu wa Kujali haki.

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 роки тому +1

    MZEE THAN WAS SO GENIUS

  • @andrewairo3483
    @andrewairo3483 7 років тому +4

    kumbe wakati wa utawala wa mwanzo yalifanyika mambo mazito

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 роки тому +1

    Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    ✌️👊🙏.

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 роки тому

    Inshallah kher

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 5 років тому +1

    Ukweli ni huu kuusuta ni uwongo

  • @seifcrony2435
    @seifcrony2435 3 роки тому

    Yule baharia alikuwa mshenzi sana

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Na kizuri walifanyiana ubaya wenyewe kwa wenyewe.

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Eti tunamuondoa muarabu madhalim wakubwa washirazi wangapi muliwaangamiza

  • @ibrahimnassor1561
    @ibrahimnassor1561 6 років тому +2

    Kumbe mambo ndivyo yalivyokua hivyo

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i 10 місяців тому

    Unamutoleya rais bastola. ? Unafikikiya nn. ? Kisa kuma za Kizanji za wote haya limekukuta majuto mjukuu yote hii elimu Dunia angekuwa nayo yasingemukuta Karume hajasoma harafu unashindana naye

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 роки тому

    Wamegeuka mbogo wakaanza kulana wenyewe kwa wenyewe dhambi ya damu bana