KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 жов 2021
  • Kanali Ali Mahfoudh wa Zanzibar alikuwa Komandoo maarufu sana katika visiwa hivyo na Tanzania kwa ujumla. Alishiriki katika harakati za uhuru kwa nchi nchi za Afrika. Lakini baadae chini ya utawala wa Nyerere, Kanali Mahfoudh alikamatwa baada ya kifo cha Sheikh Abeid Amani Karume yeye pamoja na wenyiwe wengine na kuwekwa kizuizini na kisha kuachiwa na kwenda Msumbiji. Aliishi Msumbiji hadi kifo chake. Mkewe Bi Naila Jiddawi, mwanasiasa maarufu visiwani Zanzibar anaelezea kilichotokea na mambo yalivyokuwa. Tazama video hii.

КОМЕНТАРІ • 170

  • @abdishakurothowai4196
    @abdishakurothowai4196 2 роки тому +7

    A book on the life of Col Ali Mahfudh is urgently needed. This book will shed light on this enigmatic figure in the histories of both Zanzibar and Mozambique.
    Hiyo kitabu inafaa kuandikwa kwa vile hiyo historia inaweza potea.

    • @msakuzikondo536
      @msakuzikondo536 Рік тому +1

      Ubaguzi ulikuwepo tusitake kujisahaulisha.Mashuhuda ni wengi

  • @nassirali8342
    @nassirali8342 Рік тому +4

    This story must awarded a trophy

  • @ramakira4822
    @ramakira4822 2 роки тому +4

    Daaa inauma sana mw mungu akupe afya njema mamaetu🙏🙏🇹🇿😭😭😭

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 6 днів тому

    Mashaaalah she is hero power speech,ata Farao Firaun ilikua hivhiv lkn Aliangamia,pole mami

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 2 роки тому +1

    Historia ya kweli.Pole sana Mama.Mie Famlia yangu. İko Kikwajuni Zanzibar.Na Baba kutoka Nairobi Kenya.Wajomba wako Kichwele.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому

    Bibi uko vizuri. Zanzibar wabibi bwana utawapenda . Mkiongea ni burudani Mungu awajale umri mrefu diary ya hekima. Mf Mama Karume nk. Mungu awajalie umri mrefu. Hongera mwanahabari waibueni wabibi wengi watupe historia ni diary ya taifa. Good observers.

  • @salahawad553
    @salahawad553 Рік тому +1

    You are very strong lady Shujaa you deserve respect overall Dada Naila

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya 2 роки тому +3

    Alhamdulilah Mashaalwahu Allah Subhana Wataala Akujaalie Kula la Kheri na Hifadhi na Akujaalie Umri mrefu, Inshallah Ameen Yaarabbil Alaamin.You are Eloquent, Straight forward and to the Point in your Explanation.Thank you Mama Nails no Wonder you were the COMMANDER's WIFE.

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 2 роки тому +1

    Allhamdillah Allaah bless you!😭😭😭😭😭😢pole sana bi naila you have haert and you are strong to talk the truth 🙏

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 2 роки тому +7

    Mama andika kitabu cha Kanali cha Ali Mahafudh

  • @websuperspy
    @websuperspy 2 роки тому +7

    Na hiyo minyororo alitiwa na huyo Nyerere, kwa hivyo Nyerere ndie adui wa Col Mahfoudh.

  • @monicawagunda7751
    @monicawagunda7751 2 роки тому

    Mwenyezi Mungu muumba wasamehe, hawajui walitendalo. Mheshimiwa Nalaila Jidawi nakumbuka sana, nakumbuka uligombea kwa tiketi ya NCCR na ulifika Rorya Mume wangu Mussa akanileta kuwa pamoja nawe. Keep on mama.

  • @omaribabu4962
    @omaribabu4962 Рік тому

    Hongera bi nails kwa kutupa history from raw

  • @websuperspy
    @websuperspy 2 роки тому +1

    Col Mahfoudh alibahatika sana ukilinganisha na Wanamapinduzi wengineo kama Abdullah Kassim Hanga, Jaha Ubwa, Saleh Saadallah, Twala, na wengineo.

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 2 роки тому

    Nyerere ndo alomuuwa Ali Mahfudh, alikuwa katumwa

  • @happyassan656
    @happyassan656 2 роки тому

    She is a very bright women. I mean lady. MashaAllah.

  • @hamisholela2403
    @hamisholela2403 2 роки тому +1

    Good speech

  • @hajiboma1351
    @hajiboma1351 2 роки тому +1

    Inshaallah mola atujaalie mushomwema

  • @allykhamis3378
    @allykhamis3378 2 роки тому +1

    Kwa kweli bi naila unajieleza vizuri sana kwakweli wewe ni ktk hazina kubwa katka Zanzibar

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому +1

    Wanahabari mwigeni huyu mwanahabari mwenzenu aliyemwibua huyu bibi. Tumechoka siasa za uzandiki na unafiki. Hizi ndio story za kujenga ujasiri kwa wajukuu wa taifa hili. Hongera mwana habari. Hongera bibi waambie. Binadamu hana uhakika na analolifanya mwenye uhakika ni Mungu tu. Tukikoseana tuombe radhi tu.. Tujenge taifa la waungwana watu tunaopendana tusahau ya zamani tusibaguane.. Wabibi na wababu tulee taifa la waungwa.

  • @munaaqatar4109
    @munaaqatar4109 2 роки тому

    Pole sana mungu atalipa malipo ni hapahapa duniani watakufa vifo vibaya

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 5 місяців тому

      Kifo cha karume atalipa nani! iwapo chake kitalipwa basi ujue hata cha karume atakilipia safi sana

  • @ramadhanhassan9308
    @ramadhanhassan9308 Рік тому

    Pole Shangazi Allah atawalipa

  • @mughairy6314
    @mughairy6314 Рік тому

    👏🏼👏🏼👏🏼

  • @user-ig6pg6oz9i
    @user-ig6pg6oz9i Місяць тому

    Story nimeipenda nampenda maafurdhi comando wa ukweri stori taaaaaaaaaaaaamuuuuu kuliko

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 2 роки тому +1

    Wadhulumati wote watalipa siku la akhera tuuu, duniani Siasa chafu sana la Binadamu.....

  • @alexedward4069
    @alexedward4069 2 роки тому

    History nzuri tatizo msimuliaji anachanganya xana mihogo Na pilau kiswahili kiingereza sasa sijui Ni tumweleweje

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Alex,anatumia elimu yake kujieleza inavostahiki .Ameeleweka vizuri

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 2 роки тому +2

    Safi sana

  • @umbopaday
    @umbopaday 2 роки тому

    Muulize baharia yoyote wa zamani walioshi Maputo au waliopita kuele.kea Africa ya kusini watakuelezea wema wa kanali mahfudh

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 6 днів тому

    Anyere mgundaa,tatii oh, maana yake,nani kanyea shamba, baba oooh

  • @111dudi
    @111dudi 2 роки тому +2

    Pole sana mama. Mazungumzo ya mama huyu hayana mpangilio kimuda (chronological order) tukafaham ujumbe wake ni nini. Anadai alikuwa mke wa canal, lakini kasema aliishi Kuwait,mara Marekani,mara England,mara Znz. Canal alifia Mozambique. Kama anadai alikuwa anamjua Nyerere kwanini asidai hotel yake. Ninavojua mimi, waliofungiwa bara walisalimika ,waliofungiwa znz waliuliwa (mahojiano na Aman Than). Kasema walifungwa miakan10,kuna mtu kamkosoa kuwa ni miaka 7.ipi ni sahihi? Kaniacha njiapanda

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 роки тому

      Bi Naila siyo anadai kuwa alikuwa mke wa Kanali. Ni kweli ni mke wa Kanali wa ndoa hasa na wamezaa watoto. Ulisema anadai ni kama unampora cheo chake cha mke. Hayo mengine ulisoma ni sawa.

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 2 роки тому

      Take positive and leave negative

    • @mahfudhmahfudh9195
      @mahfudhmahfudh9195 2 роки тому

      So what is your point unasema hakumjua Kanal na hajamjua Mwalimu nyerere ??? Na kama kakosea 7 - 10 or 6 years in the time done in prison so ??? So what are you trying to justify that MUONGO OR WHAT ???

    • @aflizy3067
      @aflizy3067 2 роки тому

      Nawewe unadai nin@?

    • @111dudi
      @111dudi 2 роки тому +1

      @@aflizy3067 ni maoni sidai chochote, labda muulize huyo mama anadai nini?

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Рік тому

    Mbona habari hizi ni za upande mmoja. Ni vema zingejibiwa na upande unaolalamikiwa.

  • @abdullaali8102
    @abdullaali8102 2 роки тому +4

    Ali Sultan who became Minister of Education in the 60s was Chief of Zanzibari Mission in Cairo in the 50s and worked hard to secure Scholarships for Zanzibaris from mostly Eastern Embassies in Egypt. He sent Ali Mahfoudh, Salim Ahmed, Moh'd Ali Foum, etc. to Havana

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 5 місяців тому

      but he was in mission to abolish black first dictator of zanzibar late Karume

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 2 роки тому

    Wanamapinduzi watambuliwe zaidi kwa kuung’oa usultani, kuna vibaraka wengi walijitojeza baadae.

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 2 роки тому

    This is History which past events

  • @abdullaali8102
    @abdullaali8102 2 роки тому

    Professor Abdulrahman M. Babu, was the Secretary General of MCF (Movement for Colonial Freedom) in the 50s in London; and the Chairman was Fenner Brockway a Labour Party Member of Parliament from Slough Bucks.

  • @user-zr7on8ys1l
    @user-zr7on8ys1l 4 місяці тому

    daaaa mam ume pitiy meng san Alhh ata kulip

  • @websuperspy
    @websuperspy 2 роки тому +4

    Nimeshangazwa sana kusikia watu kama Bavuai wanapongezwa baada ya kuuwa watu wasiyokuwa na hatia, na sio kwa kusingiziwa bali kwa ushahidi madhubuti. La Haula Wala Kuwata Ila Billah

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 роки тому +1

      Na hao waliouwa wenzao Na wao Mungu ameshawachukuwa wanakiona cha moto Kwa ukatili waliofanyia wenzao ,walifikiri wataishi milele

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому +1

      Hata Uarabuni weusi wanateswa na kuuawa kule. Na wauaji hupewa heshima. Hii ni Dunia imejaa mambo mengi ya maajabu

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 роки тому +1

      @@wazomyakinifu2301 Kwanini hamupendi kutaja wazungu Na matokeo Kila kukicha yanaoneshwa ya kuuwa watu wenye asili ya Africa Kwa mfano mauaji ya George floyd wa marekani , halafu munakaa Na kuwasingizia waarabu Na kuwasemea vibaya,then Hao hao ndio wanatusaidia

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому

      @@rastafare878 Walau wazungu wakiua weusi hata wazungu wenzao huandamana kulaani. Lakini ngoja waarabu waue ktk hizo nchi zao. Hakuna mwarabu wa kuandamana kulaani unyama huo.

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 роки тому

      @@wazomyakinifu2301 ndio tutajie hilo tukio la mtu kuuliwa huko arabuni , Na nini huyo aliyeuliwa Na kauliwa Nani , mumezoea kupaka matope nchi za kiarabu labda ni kwasababu ya udini hao hao ndio wanaokusaidieni Na misaada yao munaipokea mbiombio,

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 роки тому

    🤔Mistakes were made but we can start a new leaf of history by discussion, understanding and reconciliation. We can’t avoid or forget the history but we can adjust the situation by forgiving each other. We need to know that the gem can not be polished without friction, nor man perfected without trials. Migongano haitoacha kutokea. Tuvumiliane, tusameheyane kwa kuzungumza. Bila ya mazungumzo hatutofikia makubaliano mazuri kwa maslahi ya wote🤔.

    • @abdullaali8102
      @abdullaali8102 2 роки тому

      Kawaambie Wapemba waingiliwao majumbani na Masheha na Askari kwa Mabunduki usiku wa Manane kupigwa, kuibiwa Mali zao, kuporwa Simu zao na kulazimishwa watizame dada zao na mama zao na binti zao wakiingiliwa kwa nguvu. Uovu huu unaendelea mpaka kesho

    • @amourmtungo623
      @amourmtungo623 2 роки тому

      @@abdullaali8102 Mzalendo mimi huwa nachangia maoni kutokana na mada. Sasa kusamehe au kutosamehe hilo ni chaguo la mtu kutokana na yaliyomfika.

    • @sulimanmasoud9337
      @sulimanmasoud9337 2 роки тому

      Vipi wtu wasamehe hawa kubwa samahani balikilasiku unasikia mapiduzi yaheshima .ikwa iwekamavo kitu yakwaza yakuodosha jina mapiduzi nakuta samahani twedeble.

    • @sulimanmasoud9337
      @sulimanmasoud9337 2 роки тому

      Vipi wtu wasamehe hawa kubwa samahani balikilasiku unasikia mapiduzi yaheshima .ikwa iwekamavo kitu yakwaza yakuodosha jina mapiduzi nakuta samahani twedeble.

  • @hajiboma1351
    @hajiboma1351 2 роки тому

    Ahste mama jidawi roho mbaya inawasumbua

  • @kassimame3526
    @kassimame3526 2 роки тому +1

    mama andika kitabu kabla mudawako haujafika nakuomba mama

  • @nassirali8342
    @nassirali8342 Рік тому

    Story of the year 2022 very sad

  • @issakhamis6474
    @issakhamis6474 2 роки тому +2

    Wamezoea kudhulum hawo

    • @sulimanmasoud9337
      @sulimanmasoud9337 2 роки тому

      Ali Mahfudh kafanya makosa lakini alikua akiamin socialists namipago mini yakuodosha hiyo serkali alipaga nanigekua hazikuchuliwa Zanzibar Tazania. Basi igekuabali kwa namna alivo ogonaz Ali Mahfudh.

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 2 роки тому

    Wanaadam ni wamoja wote ilamungu alipanga kila watu na sehemu yao.na mambo ubadilika pia waarab walisafiri umbali mkubwa sana kuitafuta neema maana huko pia ilikuwa hali tete wakati huo na baadae neema imekuja arabuni alhamdulillah.sasa msitambiane kwa mipango ya mungu ukakuta waarabuni tena wakarudi huku neema itapogeuka huku africa.yt ni sawa tu ila ukifika ugenini ht ukiishi miaka100 usije ukajisahau na kuhalalisha ni kwako haiwezekani.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Bahiya,una agenda yako nyuma ya pazia.Watu ambao mababa na mababu wamezaliwa hapo,iweje wasijinasibu kuwa wao sio kwao?
      Unamaana wale wenzetu waliochukuliwa kama watumwa na kupelekwa marekani,vizazi vyao visijinasibu kuwa Marekani ni kwao?

  • @joycekingu1530
    @joycekingu1530 2 роки тому

    Its so painful . Life has made you tough. We need to follow your example. Its hard without God.
    Mama kama hujaandika kitabu tafadhali fanya hivyo haraka sana. Ni hazina ya historia ya Tanzania na Africa. Mungu akutie nguvu.

  • @kalla4alex146
    @kalla4alex146 2 роки тому

    Kwahiyo ulikuwa unasemaje ww maana history Yako haituelewi

  • @66zenj
    @66zenj 2 роки тому

    Jee makosa ya Nani juu ya maelezo yote haya ? Jee juu ya maelezo yote Jee upande wa pili hauna hoja kupinga maelezo haya ? Au kuna sababu gani kushindwa kutoa majibu ya maelezo yote ya Naila Jidawi ?

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d 2 роки тому

    Wewe unazungumza kizungu na kiswahili unajua kwanini huzungumzi kiswahili?

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 2 роки тому +2

    Duh” Historia ya Zanzibar na vuguvugu zote ndani ya Zanzibar inabidi ipitiwe upya kuna mengi hayaelezwi Ndo maana mkanganyiko bado ni Mkubwa” Watoa Mchango ndani ya Zanzibar wengi hawazungumzwi”

    • @maryammuses6586
      @maryammuses6586 2 роки тому

      Hakuna chakuelewa.Tunajuwa walochukuwa mabunduki wakatesa watu hata kuwauwa maranyengine

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 2 роки тому

    Mbona msimuliaji yupo gizani haonekani?

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 Місяць тому

    Bi Naila alikuwa mke wa Kanali Mahfoudh. Anajikomba kujiita mke wake kwani Walishaachana na Mahfoudh akaowa Msumbiji. Huko ameacha mtoto mmoja wakike.

  • @happyassan656
    @happyassan656 2 роки тому

    I think Bi Naillah unapaswa kuandika kitabu.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 місяці тому

    Yawezekana waliouawa walikuwa wasaliti.

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 7 місяців тому

    Bibi general chief cheo gani jeshini?

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya Місяць тому

    Why pumbavu ?

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 2 роки тому

    story

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 2 роки тому +1

    Mm hatakama utaniambia mapinduzi yalikua dhuluma na mauaji sawa lkn tukija kwenye waarabu na ubaguzi nijambo ambalo hata sasa yapo ,we ukiwa mweusi hata Leo nenda tu ukafanye negotiations na hao watu ndio utajua

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 роки тому

      Kwa hiyo na sasa CCM inavyowabagua katika kazi nao wale waarabu? Kila taasisi Zanzibar zimejaa "Waafrika" na ndo hao wanawakomesheni kuwabagua kila uchao. Kama huna gwanda la kijani huna ajira. Seif Idd mweusi tiiiii lakini alowafanyia Wazanzibari ana mabaya kuliko Mwarabu. Acheni ujinga fungueni macho nalishwa kasumba tu. Waarabu si malaika lkn chuki na sifa mbaya zinazidishwa na wazungu pia. Utasema wao wazungu wasafi kumbe watumwa wamejaa kwao. Ulaya na Marekani ubaguzi wa hali ya juu. Huko Tanganyika nako ndo wanaeneza sumu kuhusu waarabu. Utasema Wazungu ndo wa maana kumbe waliwatia minyororo shingoni. Wake up, open your mind. Mapinduzi ni dhulma yaliuwa watu Period. Hakuna cha kuyapamba. Mwarabu akiua na mwafrika akiua wote ni wahalifu na washenzi. Wala si kwamba mauwaji ya mwafrika ndo matamu kuliko ya mwarabu

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 2 роки тому

      @@malikajohnson8897 soma historia za nchi za kiarabu utaona mapinduzi yalivyo sababisha mauaji ya wao kwa wao soma Oman ,misri ,saudia ,aljeria utaona kwamba sio Zanzibar tu waarabu waliuliwa hata kwao ni. Asili yao kupinduana kwa kumwaga damu nakubaliana na we we hata wazungu niwashenzi tu na kwaufupi MTU mweupe popote alipo anamuona MTU mweusi mbwa, nyani, au MTU wa laana huo ndio ukweli

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 роки тому +1

      @@khatibabass3106 ndo nasema huyo mtu mweusi naye si msafi. Congo, hapa Tanzania na nchi za Afrika tunauwana wenyewe kwa wenyewe kwa uchu wa madaraka. Ninachosema kuwa hakuna msafi. Weusi kama Sefu nao wanauwa Weusi wenzao. Sisi Waafrika huwa tunanyooshea watu vidole na sisi tunafanya hayohayo. Uhalifu na mauwaji yanafanywa na kila asili. Waarabu unaowasema, Wazungu na hata sisi Waafrika. Tusijifanye wasafi

    • @hamisibura7781
      @hamisibura7781 2 роки тому

      @@malikajohnson8897 wanaoua wachache wanafadhiliwa na Waarabu au Wazungu,hiyo mbona iko wazi.

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 2 роки тому

      @@hamisibura7781 Basi ukikubali kuuwa nduguyo kwa kushawishiwa na mgeni ujue wewe una tatizo. Kama wanakubali basi inaonyesha nafsi zao si wasafi. Hawana tofauti na hao unaosema wanawafadhili wauwe

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 2 роки тому +1

    Bi naila naona mambo yamemchanganya
    Anatuchanganyia kireno na kiingereza
    Hadithi za mapinduzi ni za mwamba ngoma huvutia upandewe ukweli unafichwa
    There are more questions than reliable answers

  • @mombasa7
    @mombasa7 2 роки тому +1

    Ukidhulumu Uta Dhulimiwa...

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 роки тому

    Kwa kua wewe hujuwi kiingereza nini?

  • @fatmamohammed4821
    @fatmamohammed4821 2 роки тому

    Wacheni kumuingilia anavyo ongea kwani humjui kiengereza nyie anaishi ungereza amezowea hivyo na kiswahili nilugha alitoka nayo Zanzibar shida nini sasa wivu tu

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 2 роки тому +4

    Sasa km anataka kuongea Kiingereza si aende tu kule BBC!?

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 2 роки тому +5

      Inamaana kiengereza alokizungumza ni kikubwa na kinakukera kuliko dhulma, mauwaji, ubakaji, manyanyaso na vipigo tulovipata waislamu na wazanzibari? Damn

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому +1

      @@mohamedturanardan8871 Sijakuelewa unaongelea udini au Uzanzibari ?

    • @sultansallah4509
      @sultansallah4509 2 роки тому +2

      @@wazomyakinifu2301 mm kinachonipa moyo ni kwamba hta wafanye vp visiwa havingoki vikaenda dodoma.. yuko wa nyerere

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому

      @@sultansallah4509 Wow!! Na pale moyo ukang'oka? !!

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 роки тому +3

      @@wazomyakinifu2301 nyinyi hamuelewi eti maana akili zenu zimeshatiwa unga wa muhogo ,kwani wale wasanii wa bongo wakihojiwa wanavyojitia kuongea kiengereza Huwa wanaongea Na BBC au Na watanganyika wenzenu

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 2 роки тому +1

    Nyerere si adui mahfudh tu yeye alikua ni adui ya waislam

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi8206 2 роки тому

    Karume kenge asili yake ni Mnyasa wa kutoka Malawi

  • @abdullaali8102
    @abdullaali8102 2 роки тому

    We are the original people and we have every reason to stand up in the tallest mountains to proclaim who we are.”
    “We are beautiful, intelligent, sophisticated, highly adaptable and totally indestructible people - the Africans.” “Any other race that would have gone through what we’ve been subjected to would have been extinct and that’s the truth." Arikana Chihombori-Quao

    • @muzdalifatomar9712
      @muzdalifatomar9712 2 роки тому +1

      Uibaguzi. Ulikuwapo. Wacha. Uongo. Kulikuwa. Na. Skuli. Za. Waarabu. Wahindi. Na. Wangazija. Na. Mji. Mkongwe. Waswahili. Walikuwa. Hawaruhusiwi. Kwenda. Isipokuwa. Watumishi b wa. Waarabu. Na. Wahindi na. Skuli. Za. Waafrika. Ilikuwa. Ngambo. Na. Kidongo. Chekundu.

    • @muzdalifatomar9712
      @muzdalifatomar9712 2 роки тому +1

      Tumepewa. Historia. Hata. Bado. Vyama. Vingi. Kwanini. Waafrika. Hawakusoma.

    • @muzdalifatomar9712
      @muzdalifatomar9712 2 роки тому +1

      Historia. Inaeleza. Kuwa. Waarabu. Hapa. Sio. Pao. Nyie. Ndio. Mliowanyanganya. Wazee. Wetu. Ardhi. Zao. Kwa. Kutumia. Hadaa.

    • @muzdalifatomar9712
      @muzdalifatomar9712 2 роки тому +2

      Iangalie. Oman. Iliko. Na. Visiwa. Vya. Unguja. Inakuwaje. Hebu. Tujiulizeni.

    • @abdullaali8102
      @abdullaali8102 2 роки тому +1

      @@muzdalifatomar9712 Elimu yaondoa UMASIKINI, Maradhi, UJINGA, Njaa, toka 1964 Muungano umewaletea neema tupu Watanzania hassa visiwani na kuwaondolea majanga yote haya; tuwashukuru Karume na Nyerere

  • @hj9522
    @hj9522 Рік тому +1

    You have to have the courage to say that the revolution in Zanzibar was a mistake. Is the Zanzibar of today a better place than it was before Jan 11, 1964? It is sad to see the Zanzibar of today. The original culture which was a unique blend of all who were there then has been replaced by a deplorable one. Yes, it was not a perfect situation before but it was a million times better than the slavery to the tourism dollar, the intolerable version of Islam and the generally unsafe conditions that exist today. Zanzibaris need to be honest in admitting the truth.

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Місяць тому

      It so normal for those who enjoy the 'system' to think things were alright and everybody was happy!

  • @suleimanomar4693
    @suleimanomar4693 2 роки тому +2

    ongea kiswahili au unasoma kitabu unatafsiri

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 2 роки тому +4

      Hujalazimishwa kusikiliza

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 2 роки тому +1

      Inamaana kiengereza alokizungumza ni kikubwa na kinakukera kuliko dhulma, mauwaji, ubakaji, manyanyaso na vipigo tulovipata waislamu na wazanzibari? Damn

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому

      @@mohamedturanardan8871 Kwani wewe umelazimishwa kumsoma mchangiaji kwenye ukurasa wake?

    • @sultansallah4509
      @sultansallah4509 2 роки тому

      @@wazomyakinifu2301 waambie wizara ya elumu masomo.yote yasimwe kwa.kiswahili

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 2 роки тому

      @@sultansallah4509 Duhh upo sahihi maana hata Kiswahili chako tu ni mgogoro tupu😁😂😂😂😂

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 роки тому

    Unataka nini sasa. Pumbavu kwa huko OMAN fungua na joto