КОМЕНТАРІ •

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 4 місяці тому +2

    mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 5 місяців тому +6

    Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 4 місяці тому +2

    MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.

  • @ndalahwakulwa8758
    @ndalahwakulwa8758 4 місяці тому +1

    John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika
    Karume alichomekwa na Tanganyika
    Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe
    Mwinyi waliwekwa kutawala

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 29 днів тому

    Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 3 місяці тому

    Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p 5 місяців тому +2

    Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 5 місяців тому +12

    Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому +1

      Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 4 місяці тому +1

      @@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 3 місяці тому

      ​@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe
      Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao.
      Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada.
      Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu

    • @user-nv9to8cq6d
      @user-nv9to8cq6d 3 місяці тому

      Mjinga mpe cheo, wewe ni kubwa jinga

    • @salmaabdu5011
      @salmaabdu5011 3 місяці тому

      @@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama

  • @eddyjabry6939
    @eddyjabry6939 5 місяців тому +2

    Well done Mr.Miraji 🫡 nimefurahi sana.

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 5 місяців тому +2

    A nice interview, full information

  • @georgemkira1720
    @georgemkira1720 5 місяців тому

    Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba

  • @wamisangi2801
    @wamisangi2801 5 місяців тому +3

    Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому

      Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому

      Viatu vya raba Bora Tanzania na raba Bata na raba za China.

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому

      Nimecheza halaiki nyingi za mapinduzi Zanzibar tangu 1970

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 5 місяців тому +3

    Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba.
    Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.

    • @humphreychristopher8577
      @humphreychristopher8577 5 місяців тому

      Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊

    • @BedroomTvKe
      @BedroomTvKe 2 місяці тому

      Ndugu unamrekebisha mtu aliyekuepo wakati ule

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 4 місяці тому +1

    Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 4 місяці тому

    Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 місяці тому

    Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Gari za serikali
    SMZ

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran
    Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 5 місяців тому +2

    Television ya rangi ya kwanza Afrika

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 5 місяців тому

    Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 4 місяці тому

      Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 4 місяці тому +1

    BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO

  • @siasia5469
    @siasia5469 5 місяців тому +2

    "Alikuwa Baharia Original "

  • @selemanshayo7126
    @selemanshayo7126 2 місяці тому

    Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 5 місяців тому

    darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.

  • @saqrymo379
    @saqrymo379 3 місяці тому

    Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢

  • @fanityubumedia
    @fanityubumedia 5 місяців тому +3

    Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika
    Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi

  • @kassimhaji3238
    @kassimhaji3238 5 місяців тому +1

    Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141 4 місяці тому

    1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 Місяць тому

      Halaiki ya usalama na ukombozi PIA zilikuwspo Zbar

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 5 місяців тому +3

    Maneno mengine anayosema ya uwongo
    Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars

  • @machaliakulima76
    @machaliakulima76 4 місяці тому

    Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Місяць тому

    Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому

    Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 5 місяців тому

    Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume

  • @suleimansaid7486
    @suleimansaid7486 5 місяців тому +3

    NI MAVAMIZI NA SIO MAPINDUZI.

  • @mbogelabairo4722
    @mbogelabairo4722 5 місяців тому +2

    Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 5 місяців тому +1

    Saidi miraji siasa vp umerud tna

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 місяці тому

    OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!

  • @maomacatta9770
    @maomacatta9770 5 місяців тому +2

    Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 4 місяці тому

    Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 5 місяців тому +2

    Huyu mtu anaijua vema Zanzibar

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому

      Sana tu anajua sana lakini mengine kabania bania

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 5 місяців тому

    Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.

  • @victorjeremiah246
    @victorjeremiah246 5 місяців тому +2

    Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 4 місяці тому

      Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 5 місяців тому +1

    Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 місяців тому

    cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 5 місяців тому +1

      Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 4 місяці тому

    Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 5 місяців тому

    Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 місяців тому +1

    Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 4 місяці тому

    Mnona zanzibar isewe nchi kivyake

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 4 місяці тому

    Sio wote wazanzibar

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 4 місяці тому

    Jamaa alitoka dar 24 au?

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 місяців тому +1

    Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 4 місяці тому

    Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi
    Bububu mpaka shangani

  • @SaidHassan-wz1px
    @SaidHassan-wz1px 5 місяців тому

    Naomba namba zake

  • @abdifaraji2883
    @abdifaraji2883 5 місяців тому

    MV Mapinduzi imeundwa Uchina au Japani ?

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 4 місяці тому

    Mtafute jusa...huyo msanii tu...

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 3 місяці тому

    Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli

  • @user-sq5mb2gd6x
    @user-sq5mb2gd6x 5 місяців тому

    Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 місяців тому

    Siasa inatuvuruga

  • @badruabdalla5301
    @badruabdalla5301 4 місяці тому

    Hajui anachokisema

  • @abdulhalimjuma7786
    @abdulhalimjuma7786 4 місяці тому

    Huyu anatafuta mchongo

  • @user-sq5mb2gd6x
    @user-sq5mb2gd6x 5 місяців тому

    Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.

  • @humphreygodfrey5400
    @humphreygodfrey5400 4 місяці тому

    Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 4 місяці тому

      Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika

  • @alikashmir2983
    @alikashmir2983 4 місяці тому

    ,,,,,,,,

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 місяців тому

    karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 5 місяців тому

      Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 4 місяці тому

      Hata samia na hussein .
      Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 5 місяців тому

    Karume kauliwa kwa sababu alitaka kuuvunja muungano

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 4 місяці тому

    Sasa imekuwa nyuma kama mkiya