Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi
Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂
MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.
John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika
Karume alichomekwa na Tanganyika
Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe
Mwinyi waliwekwa kutawala
Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa
Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga
Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07
Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere
Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere
@@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.
@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe
Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao.
Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada.
Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu
@@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama
A nice interview, full information
Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa
Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba
Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.
Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.
Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba.
Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.
Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊
Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅
Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.
Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa
Gari za serikali
SMZ
Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran
Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700
Television ya rangi ya kwanza Afrika
Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!
Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.
BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO
"Alikuwa Baharia Original "
Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli
darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.
Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢
Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24
Dar 24 wana watu sana hata maalim Kondo(Shaban Kondo) yupo vzr sana.
Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika
Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi
Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani
1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂
Maneno mengine anayosema ya uwongo
Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars
Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi
Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu
Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.
Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume
Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo
Saidi miraji siasa vp umerud tna
OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!
Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road
Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.
Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.
Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?
Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume
Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana
cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea
Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi
Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.
Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi
Mnona zanzibar isewe nchi kivyake
Sio wote wazanzibar
Jamaa alitoka dar 24 au?
Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote
Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi
Bububu mpaka shangani
Naomba namba zake
Mtafute jusa...huyo msanii tu...
Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli
Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.
Siasa inatuvuruga
Hajui anachokisema
Huyu anatafuta mchongo
Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.
Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.
Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika
,,,,,,,,
karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi
Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.
Hata samia na hussein .
Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN
Sasa imekuwa nyuma kama mkiya
mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White