9 Kutoka kwa Mandera Kurudi Jela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2016
  • Bwana Aman Thani Fairuz anaendelea kueleza yaliyompata Zanzibar ya MAVAMIZI. Baada ya kuadhibiwa na kupigwa na Mandera huko kwa Bamkwe mpaka kakaribia kufa,amerejeshwa jela. Kufika jela wameambiwa mumehukumiwa kufungwa miaka kumi tena.
    Jela wamefika kutoka kwa Bamkwe viongozi wa Afro-Shirazi, Abduaziz Twala, Mdungi Usi, Jaha Ubwa, Ngwengwe na mzee Abbas Kenyata. Pia wameletwa Saleh Masta, na Mohamed Amor Barwani.

КОМЕНТАРІ • 13

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 5 років тому +3

    Allah atawalipa madhalim hao na wao wamesha fika mbele ya haki walifikiria wao wataishi milele

  • @samirs764
    @samirs764 3 роки тому +3

    Haya wameyaficha kisha wanifanya km hawayajuai laanatuAllha

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 роки тому +3

    Kesho kiyama kuna mambo wallai

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 3 роки тому +1

    Inna lillah wainna ilaih raajiuun.Allah atawalipa inshaallah

  • @samirs764
    @samirs764 3 роки тому +2

    Allha wajaalie hawa pepo ya frdausi

  • @princenyakurungwi6925
    @princenyakurungwi6925 4 роки тому +2

    Jaman kumbe hali ili kuwa mbaya sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    👍✌️👊.

  • @Qadar-vx4gj
    @Qadar-vx4gj 4 роки тому

    Pole Mzee

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 4 роки тому

    Subhanaallah

  • @samirs764
    @samirs764 3 роки тому

    Shkhe Allha atakulipa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 роки тому

    Lakusikitisha mpka kesho ccm
    Wanaendeleza kuua kwa kweli
    Dunia hii tunapita tu walouliwa
    NA walioua wote wapo mbele ya Allah walo baki hai hata 100
    Hawafiki

  • @zainabkhatib6509
    @zainabkhatib6509 5 років тому +1

    Inasikitisha sana

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 3 роки тому +2

    karume na nyerere walikua wauwaji na waikuta hesabu yao mbele ya allah