Pitio la Kitabu: Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume. Mohamed Said na Mohammed Ghassani wanakipitia kitabu hiki kipya kilichochapishwa na Buluu Publishing baada ya kuhaririwa na Mohamed Saleh na kuwekewa dibaji na Ahmed Rajab. Karibu.

КОМЕНТАРІ • 61

  • @sheikhasalim1190
    @sheikhasalim1190 29 днів тому +4

    nitakitafuta inshaAllah. shukran kwa ufafanuzi, Allah awalipe kheir

  • @azizamri1522
    @azizamri1522 29 днів тому +6

    Wallahi inasikitisha na kuliza. Dhulma haiwezi kudumu!

  • @mohsinrajab7350
    @mohsinrajab7350 День тому

    Asalaam aleykum bb daah baba ww umeleta kitu ambacho nilikuwa najiuliza maswali bila majibu kupata lkn ww umenipa majibu yenye kuutosheleza moyo wangu yn ni huzuni kubwa sana kwa ndgu zetu wa zanzibar maelf ya wazanzibar wamepoteza maisha bila sababu masikini ya mngu eeh mola wetu tunakuomba yalipe hya madhalimu yaliyotendeka ktk nchi hii yarabi naumia sana kusikia hzi hbr ijapokuwa mimi si mzanzibar lkn wale ni binadam kama nilivyo mimi wallah inauma sanaa

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 5 днів тому

    Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil kwa kila dhalim mpaka siku ya qiyama. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin

  • @suleimanmohammed5344
    @suleimanmohammed5344 29 днів тому +7

    Kuna ulazima wa mambo haya kusimuliwa na kuelezwa kila mahala ili sisi kizazi cha leo tuyajue kwa sababu kuna mengi ambayo tulikuwa hatuyajui.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 29 днів тому

      Hakika

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 10 днів тому

      Watawala hawataki vizazi vya Leo wajue ukweli wa udhalim uliofanyika Zanzibar,wanajua kuwa ni dhuman isionamfano

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 29 днів тому +3

    Hapana aliejifunza kwa sababu Serikali inayaficha ili watesaji wazidi kutesa watu kwa maslahi ya CCM

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Місяць тому +5

    Nakipenda Kiswahili cha Zenji jamani. Kina vionjo vyake vilivyojaa Lahaja busara za mtu mwenye hekima kama kiarabu vile. Waooo!

    • @Dr.zaidi4
      @Dr.zaidi4 8 днів тому

      Hakina tofauti na wazaliwa wa visiwa vya Kenya

  • @saeed5190
    @saeed5190 29 днів тому +5

    Wapi tutakipata kitabu na kiasi gani

  • @alimohammed8540
    @alimohammed8540 18 днів тому

    Allah awalinde na akupeni umri mrefu na akulipeni heri nyinyi na familia zenu na akupeni husni hatma njema ameen

  • @mohsinrajab7350
    @mohsinrajab7350 День тому

    Baba sheikh mohammed said wallah ningelijua unapatikana wapi ningelikuja mpk ulipo nije angalau siku moja tu huenda kichwa changu kingetulia kutokana na maswali niliyonayo kichwani mwangu mzee said mngu akupe kheir na barka tele kwani tulijazwa ujinga mwingi sana vichwani mwetu yani mauaji ya ndgu zetu umwagaji wa damu za watu leo iwe ni utakatifu kwa waliotekeleza mauaji ya watu kwa ajili ya maslahi ya mtu fulani iwe ni utakatifu,!!!!insh allah mngu ndie atakayelipa pia tunaomba aziweke roho za ndgu zetu mahala pema peponi Aamin

  • @munasuleyman3159
    @munasuleyman3159 18 днів тому +1

    Nakumbuka marehemu Aunty khadija baramia alilia siku ya mwanzo kuiimba hii nyumba nakumbuka nilikuwa mdogo

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490 27 днів тому +1

    Mashaalah jazakallah kher

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 28 днів тому +3

    Nafikiri tukipe jina kabisa hcho kitabu cha " walio jifanya waungu watu" Mwisho wa maji n'tope

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 18 днів тому +1

    Shekh mohd lazima ujue kama wengine hawana uwezo wa kukipata hicho kitabu,,tunategemea hivi vipindi vyenu kuelimika,,sasa mkificha baadhi ya vitu muhimu ,mnatughini sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 29 днів тому +3

    Ndio maana Zanzibar (Unguja na Pemba) haikai sawa wala haina barka kwa dhulma na mabaya walofanyiwa. NCHI imejaa watu lakini hawaijuwi nini Zanzibar na wangeijuwa kweli Zanzibar basi wote wangekimbia.

  • @mohamedkhalifa5764
    @mohamedkhalifa5764 29 днів тому +7

    Dunia Mapito na hawa wauaji watakufa Watayakuta waliyoyatenda

  • @bellalygeomecky1145
    @bellalygeomecky1145 27 днів тому +1

    Mungu akupeni afya yenye neema...na baraka 1:19

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 29 днів тому +3

    Pole bi khadija

  • @Marjeby
    @Marjeby 29 днів тому +3

    Hassan leo nimependa sana jinsi video ya leo ilivyo clear

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 14 днів тому

    Wallah machozi yananitoka wallah tena

  • @akaumbo9433
    @akaumbo9433 24 дні тому +2

    Zanzibar yarudi kwa bamkwe😂

  • @fathiyaalrawahi6382
    @fathiyaalrawahi6382 28 днів тому +2

    Mwandishi ana hekma nzuri hataki fitna yaani ukimjua mtu alokutesea mtu wako itakua kisasi.anakuacha kwenye suspense utambue mwenyewe

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 29 днів тому +3

    Ungemuachia jusa akakichambua kitabu bila kuficha

    • @aliyissa9857
      @aliyissa9857 24 дні тому

      Alf mabruk Muhammad Said. Kazi kubwa umeifanya.

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 29 днів тому +4

    Inauma na inasikitisha mnoooo la kushangaza mpka leo yanaendelezwa licha ya watu kushinda kwenye vibla vya misikiti kila ijumaa lkn wanaendeleza mauaji mabakaji na ulawiti kila siku za uchaguzi zanzibar na wakubwa hawasomi

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 29 днів тому +1

    Good alhasan

  • @MussaMohammed-r8j
    @MussaMohammed-r8j 29 днів тому +3

    Kama pataandikwa mwisho wa watesaji kina Mandera itakuwa ni somo tosha . Nakubaliana na wazo la muandishi alomuandikia sh. Mohammed said. Na wewe kaka Mohammed Ghasan ulisimamie hilo.

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 19 днів тому +1

    Tunanunua wapi kitabu hichi, kupitia kitabu hichi tuletee Jussa

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 14 днів тому

    Samahani kaka ghassani hvo vitabu vyko vyote uloandika na hvi vinavoelezewa mm niko dar navipata wapi navitaka

  • @AbubakarHafidh-b6v
    @AbubakarHafidh-b6v 26 днів тому +1

    Naomba kujua kitabu tunaweza kukipata wapi?

  • @safiam5338
    @safiam5338 12 днів тому

    Kitabu hiki kinapatikana wapi ?na thamani yake ngapi ?

  • @Mfundo272
    @Mfundo272 19 днів тому +1

    Kwenye kitabu hichi tuletee Jussa atupe Raha

  • @habalalabry687
    @habalalabry687 22 дні тому +1

    Hichi kitabu kinapatikana wapi

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 23 дні тому +1

    HILI NI KOSA LA WAZANZIBARI WOTE TUMEIDHARAU HISTORIA YETU BAYA ZAIDI TUMECHOMA MABUKU YOTE ILI IWE SIRI YAO

  • @saifancal1629
    @saifancal1629 29 днів тому +1

    So sad kwakweli

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 8 днів тому

    Mbona musifanye vikao vya ana kwa ana kama inawezekana?
    Meza moja ina utamu wake.
    Ni kama kuangalia mpira kupitia T. V na kuwa kiwanjani kujionea mwenyewe

  • @ZahorSalimHamad
    @ZahorSalimHamad 25 днів тому +1

    Mmmmmmmmmmmhhh

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 Місяць тому +2

    Kaka tushamiss vipind kma hivi ni mda san

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 29 днів тому

      Yani tmevimis sana, Kuanzia Prof Ibrahim Noor, Sheikh Riadh Al busaid, Sheikh Abdul Mutalib (Mutta)Miss them badly!

  • @abdullamasoud7324
    @abdullamasoud7324 20 днів тому +1

    Kilipigwa stop kuzinduliwa ilikuwaje tena? Kinapatikana kweli

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 29 днів тому +1

    ,Jina la kitabu please na kinapatikana wapi kwa gharama zipi please 🙏

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  29 днів тому

      @@imraniqbal00765 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4

    • @ahmadgharib9886
      @ahmadgharib9886 20 днів тому

      Dhulma haidumu Yana MWISHO haya

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 19 днів тому

    Upuuzi

  • @MalengoKai
    @MalengoKai 29 днів тому +1

    Ni sawa andika kilichowakuta

  • @nassoromarelbajouny4462
    @nassoromarelbajouny4462 29 днів тому +1

    Tunaomba kujua wapi tutakipata hicho kitabu

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  29 днів тому

      @@nassoromarelbajouny4462 www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4

    • @nassoromarelbajouny4462
      @nassoromarelbajouny4462 29 днів тому +1

      Thanks bro​@@GumzolaGhassani

  • @JumaSuleiman-r1r
    @JumaSuleiman-r1r 28 днів тому +1

    kitabu kama hicho kwa Zanzibar tunakipata wap

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 29 днів тому

    Tupo sawa

  • @abdulhakimsaleh6899
    @abdulhakimsaleh6899 29 днів тому +1

    Wapi kinapatikana

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  29 днів тому +1

      www.lulu.com/shop/ibrahim-mohammed-hussein-and-ahmed-rajab-and-mohamed-a-saleh/baraza-ya-majestic-na-machinjioni-kwa-bamkwe/paperback/product-gjgkyde.html?q=Ibrahim+Hussein+&page=1&pageSize=4