Yani moyo wangu unaenda mbio utafikiria mm ndo heri. Baisa unafanyia mwingine hivyoo jamani😳😳😳😳😳😥😥😥😥😭😭😭😭😭😭 masikini kendy jamani masikini pole jamani..lkn siku moja ukweli utajulikana tuuu
Huyu kendy kwann hakumsikiza heri hajui mwisho utajua ukweli na mybe utakua amechelewaa... pili kendy Caro alikuambia heri anampenda lkn hukulifanyia kazi
Izi sehemu mbili zimenihacha na Machozi 😭😭😭😭huku mwishoni nimepata Faraja kuhona mtahalamu wetu anahenda kujuwa ukweli hote ila mwisho wazambi ni mahuti itawakuta hote hapo mwisho
Rafiki wa leo ndo adui wa kesho (lugiko)…adui Wa leo ndo rafiki wa keaho (hija)….. ukimchukia mtu asimchukie kupitiliza na ukimpenda mtu usimpende kupitiliza ✊
Siku zote ukiwa mwema basi wema utakufata nyuma hatimaye wema alio mfanyia Hija ummfuata kwa kumueleza ukweli kuhusu usaliti adui aliye jivicha kwa kivuli cha urafiki
Hv candy umeshindwa kabisaa kukaa ukaihusisha halmashaur ya kichwa chako na umeamua kuachana na mtaalam wetu😔😔umeyasahau kabisa maneno alowah kukwambia kwamb chcht utakachokisikia kuhus yy usiamin moja kwa moja bila kuchunguza kwanza daaah ila sawa bhn ndivyo ulivyoamua😒😒
Izi sehemu mbili zimenihacha na Machozi 😭😭😭😭huku mwishoni nimepata Faraja kuhona mtahalamu wetu anahenda kujuwa ukweli hote ila mwisho wazambi ni mahuti itawakuta hote hapo mwisho
Ubarikiwe 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Wapili 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Wow 🎉🎉ndani ya mjengo😂😂❤❤❤
Nisawa tu ..Heri tuko nawewe hadi kieleweke
Ubaya wako heri hutilii manani maneno umeambiwaa na karo ...sasa wewe kendy unalia nn mshezi tuuu mmoja huezi kumsikixaa mwezako umeboa sana
Yani moyo wangu unaenda mbio utafikiria mm ndo heri. Baisa unafanyia mwingine hivyoo jamani😳😳😳😳😳😥😥😥😥😭😭😭😭😭😭 masikini kendy jamani masikini pole jamani..lkn siku moja ukweli utajulikana tuuu
Hakika nimesha fika kwani muda ndio huu acha nikae nisikilize
Huyu kendy kwann hakumsikiza heri hajui mwisho utajua ukweli na mybe utakua amechelewaa... pili kendy Caro alikuambia heri anampenda lkn hukulifanyia kazi
Izi sehemu mbili zimenihacha na Machozi 😭😭😭😭huku mwishoni nimepata Faraja kuhona mtahalamu wetu anahenda kujuwa ukweli hote ila mwisho wazambi ni mahuti itawakuta hote hapo mwisho
Huyu Kelly amefanya vixuri sana amemwambia ukweli kabisaaa heri
Rafiki wa leo ndo adui wa kesho (lugiko)…adui Wa leo ndo rafiki wa keaho (hija)….. ukimchukia mtu asimchukie kupitiliza na ukimpenda mtu usimpende kupitiliza ✊
Kweli karma huwa haiwachii mtuu salama Caro utajutia shauri yako mwambie tuu ukweli tena ukisema vibayaa naona hiyoo group itakufanyia vibayaa
Hayaya wacha tuone ila daah😢😢😢❤❤
Siku zote ukiwa mwema basi wema utakufata nyuma hatimaye wema alio mfanyia Hija ummfuata kwa kumueleza ukweli kuhusu usaliti adui aliye jivicha kwa kivuli cha urafiki
😭😭😭😭🤭🤭🤭🤭🤭🤭daaah. Dunia. Haina. Ulum🎉🎉🎉🎉😢😢😢
Ndani ya mda shukran sana director kwa mwendelezo
❤❤❤❤❤❤❤❤
Candy naye wala hata kufikiriya amekubali moja kwa moja kuchunguza kitu atakapo juwa ukweli atabaki na ukumu lake mwenyewe lakumwendekeza baisa
Kwanini Sasa nalia 😭😭😭😭🙌🙌🙌
Kwasababu heri kasingiziwaa mm pia nimelia jamani moyo unauma utafikiri ni mm
@@nurafedrick378 Dah hiki kipanda cha Saba kimeniliza kwakwel
Wa kwanza leo ngoja tuone wasaliti wanavojinadi
Taste d oen
Hv candy umeshindwa kabisaa kukaa ukaihusisha halmashaur ya kichwa chako na umeamua kuachana na mtaalam wetu😔😔umeyasahau kabisa maneno alowah kukwambia kwamb chcht utakachokisikia kuhus yy usiamin moja kwa moja bila kuchunguza kwanza daaah ila sawa bhn ndivyo ulivyoamua😒😒
Anasahau aliambiwaa na heri wanamaadui niwengi
Candy ametuangusha ki ukwel
Mbaya san na imeniuma sana😢
Kaka unazingua achia bas kituicho tuinyoi
hijja muokoe mtaalamu kwenye njia yamapenzi😢😢😢😢nimeumia adui mkubwa ni rafiki wakaribu😢😢😢
Hi 😢😢sehem imenitowa machozi
😭😭
Caroo pumba sana 😢😢
Nimutihani ila yatapita tupemwisho basi kikuraco rafiki munafi😭😭😭😭
Izi sehemu mbili zimenihacha na Machozi 😭😭😭😭huku mwishoni nimepata Faraja kuhona mtahalamu wetu anahenda kujuwa ukweli hote ila mwisho wazambi ni mahuti itawakuta hote hapo mwisho
Polesana kwauchungu Mbona H Ninyingi sana😂😂😂
Caroo pumba sana 😢😢