JE UKO TAYARI KULEA WATOTO WAWILI
Вставка
- Опубліковано 7 кві 2022
- Usikose kutazama HELLO MR RIGHT kila jumamosi ifikapo saa 4 kamili usiku kupitia @stbongotv ndani ya kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (Antena) CH 401 (Dish) #HelloMrRightShow2 #Mara100Zaidi
- Розваги
Hahaha uyooo marayaaaa
Kenya wapo vizuri hawakati kati kama Tz
Lulu diva mashaallah mn umevaa km mzanzibar au ndie
Kipindi chenu cha Hello Mr right ni kizuri sana, ila kwa kuwa wasichana mnaowaleta hapo kwenye show ni warembo sana na pia wanajitambua, basi hamna budi pia kuwaleta wanaume wanaovutia ili tata hao walembo wakiwaona waseme wow! kweli huyu ndio Mr. Right wangu. Lakini mkiwaleta hapo ili mradi ru wanaume, hao wasichana hawata choose na kipindi kitapoteza mvuta siku hadi Sikh. Congole kwa watangazaji Neema Aloyce na Mc Gala B, Daktari Mkali Lulu Diva na mshauri Aunt Ezekiel. Mm ushauri wangu ndio huo.
naona kumejaa wadangaji hapo
Lulu diva umependeza wallah ❤❤❤❤👌👌🔥👌
Jaman hapa niwapi ira nammi niweze kwenda ?
Huyu dada ni mimi jamani
Yes
😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana
Mgekua kenya ningejiunga ise
Mbona mnaweka nusu nusu kipindi kizuri lkn mnakifanya kuwa comedy
Uyo Sophia mbna amekua kisiki sana
Nimecheka
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Muhindi
🙄🙄🙄🙄mama kila mtu na baba ake
Mmnh
Mhh
Yeye kuweza
🤣🤣🤣
Duuh pagum hapo
Wengine co waolewaji hapo
Staki ujinga spo tayari
hapana nimempenda mke sio watoto wale watoto wazazi wao wako