BINTI LISA - PART 82
Вставка
- Опубліковано 4 чер 2024
- Wote watatu walizungumza na kutaniana. Ilikuwa ni muda mrefu sana hawakupata wakati mzuri vile.
Kwa kweli, kifo cha Charity kilikuwa kimewatia wasiwasi Lisa na Pamela. Kila walipokuwa wakikumbuka kumbukumbu hizo, walijihisi wanyonge sana. - Розваги
Isiwe shida sana muhimu binty lisa yupo kwa hewa tupite nayo kwa like waungwana kwa pamoja sana❤❤❤🎉🎉🎉
Tunaoisubili milele sehemu ya mwisho Kwa hamu kubwa tujuane😂❤❤
Anko tupee muendekezo bac... 😢😢
🙏🙏🙏🙏🏃
Mpaka nimeisaau
Tunasubili jela ya mapenzi iyo milele tunasubili 🎉🎉🎉 Zaidi ni Binti Lisa ndio kiboko
Tuliomisi milele gonga like
Acha kuulizia milele maana ukiulizia tu ndo inazidi kukawia muacheni mi nimeipa wiki 1 ila ikizidi duuuh sitokubiria tena
But now day's ankojay anatutesa sana jamani but ankojay ukiendelea ivi unaeza kupoteza shapiki zako maana tunasubiri hadi kieleweke jamani tuuzie simulizi refu kama binti liza lakini izi fupi tutunukie jamani@@nahimanahawa
Tumehiss kweli kweli Anko anatutesa sana 😂😂😂
ank simuliz ya milele lin jmn tumeinis
@@jasecsjasecs5775 hvi kwan anauzaga shingap dear 😢
Wakwazaaa familia ya Lissa
Like zangu my love’s ♥️♥️♥️♥️
Nawapenda sanaaaaaa
Team viporo mko poa gongen like hapo kama mko poa 😊😊😊tunajivunia chanel yehu pendwa
Lazima tujivunie kula viporo bwana😂😂😂 tupo poa labda hii
Tuna vumilia tuuu kwa anko kutupuza 😢😢😢
😅😅😅😅
Tuko pamoja dear❤❤❤
Viporo huwa vitamu sanaa wengine washakula kitambo alafu sisi tunakula huku tunapitia maoni yao napata ladha halisi😊😅❤
Charity nimekuvulia kofia😂😂,,wangapi tunafurahia kwa chesta kupewa funzo na Charity ama ukipenda unaweza kumuita Elizabeth 😂😂
Jeuri zake mfukon shenzi sana huyo chesta
Yan ninomasana kuliko wotee😂kaninyooshea mtu mbadi😂😂
Team viporo come come 😂😂kitu kipya kwa anko J simulizi ❤❤🎉🎉 na like kidog jomon 😢😢
Asante ankoj kwa mwendelezo wa bint Lisa ngoja niisikilize nikiwa npo jikoni kwa mwarabu napika😅😅 team fulus gongeni like hapa najua nanyie mpo majikoni😂😂
Ww km mm napk huk napta budan napga pas huk napta burdn cjip prsha mm😂😂😂😂😂😂
Kama mtaninyima like ni sawa
Hio like
@@user-nj4ft9ic8z asante
Ndio naingia online swa swa na notification ya BINTI LISA❤❤❤❤
Wadau WA anko jay munasikia simulizi motomoto 💥 imebamba like nitapata ata tano Tu,
🌻🌻🏃
Wakwnz team viporo like zng🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waa leo nimekuwa wa 100 sijuwi nifanye wap nitume voice ❤❤❤❤ ankojay🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉from kenya 🇰🇪 😍
Jamani nimewah😂😂 ila wanao isubiri milele kwahamu tujuwane 🎉🎉🎉
🏃
❤❤❤1tim viporo njoon sahem ya82 leo nimewahi namuwah charty binti hodar hana mbambamba shukurani kwa jomba wanjo na ankojy mapesa nyie watu mwaka mmeugawa kwautam toka umeanza binti lisa inazid kua tam na🔥🔥🔥💯 wanda na wapenz wa ankojy gonga hapo bs🙏🏃
Ankojy mujomba wetu tuonee huruma sisi familia tupe kiporo Cha milele sio eti hatutak kukushika mkono huko vlp ilatu nihal navile mwezie huu ulivo namikimiki nazani unaelewa tupe tuneomba
Alvin na Lisa nawapenda sana
Asantee anko jay shukrani tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo surprise 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 team alvilisa tunasonga mbele team Elizabeth tunapambana
Tim lizi tuna pambana
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya much love .
Wale wa kusubiri viporo hatimae tumekumbukwa leo❤❤❤
Ahh wa 3❤❤❤❤
Mauwaa Ankoooò
Ahsante anko Jay
Ligi imeisha plss anko Jay usitusahau sana tutakufa na stress wenzio
TEAM VIPORO WEZANGU MPO HAYA TUJUANE LIKE 10 VIPORO WEZANGU 😂😂😂
Tupo
Tumesubiri sana Ank jey mbona viporo tutakoma kusubiri embe chini ya mnazi ila twashukuru watuletea kazi nzuri🙏❤
Waooo! Asante Anko Jay, Mungu akubariki
Aiseeee siku imekuwa sawa sasa asante kwa simulizi❤❤
Wale wote tulokuw wamwishoo gonna hapa😊😂 tupate mautamuu🎉❤
Jmani nipeni laki maana sjachewa sana 🎉🎉🎉🎉
Wapili like jamani 😂😂
Nyie watu muko faster kwli 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 chesta chesta mbona utaisoma namba kaa kwakutulia maana nimwendo wakukutia adabu chezea charity wewe 😂😂😂😂😂
Asante anko j kwa kutukumbuka sisi wanyonge
Hod hum ndani asante kipenz chetu anko jay
Bwana anko Jay simulizi unatunyima usingizi lkn pia ahsante sana❤❤❤❤
Nimewahi na mm leo,Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa bint Lisa, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤️.
Safi sana anko jay MUNGU mwema azidi kukupa afya njema
Hi guy leo miye number one
Wa mwisho jamani nipeni pole kwa kuchelewa😂😂
Wow Anko J good job❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asantaaa sanaaa ankoo jay wetu kipenziiii hoyeeeeee
🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦Toronto Ontario mpo tujuane hata wale wa Hamilton tujuane❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo tujuane kwa like
Team wa vipolo mkuje hapa kwa simuliza Asante sana anko Jay
Asante Ankojay 🙏 listening 🎧🎧 from 🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Duh kweli Pata pesa tujue tabia yako 😅😅
Wanawapa somo wameteseka mno 😁😁😁
Leo mapemaaa❤❤❤
Morning everybody naona mmewahi 😂😂😂😂❤❤❤❤
Chartty anatufamya tusilale chesta anapewa somo lake apate adabu nakujua kuifunga zip kwa umakini
Kitu ndani ya njengoooo! Sante sana Anko jay kipenzi cha wengi.
Nimempenda kipande cha Alvin na Lisa kitandan
Asanteeee nitalala sasa
🤭😂🤣 Yan family Lisa wetu atakama nimechelia kwakweli lakini siombaa Acha 🪑🎧 niinjoi AnkoJay ahsante Sana 💐💕
Barikiwa saana kipenzi chetu❤❤❤❤❤
Amin
Mwendo wakobe jaman cjuwe nimchelewa cjuwi nimewahi familia ya anko jay simulizi nipen like ht 2 tu🎉🎉🎉🎉
Naomba like atakama nimechelewa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asante sana ankojay Allah akujaalie afya njema Inshaallah ❤❤❤❤❤❤❤
Amin
Thanks ankojay mapesa tuna kupenda sana 🥰🥰
Asante anko wetu tunakupenda sana Kwa simuliz tamu sana❤❤❤sisi tuendelee kuinjoi
Ankojjjjjjjjjjj kpz nakupenda nitakupa yoteeeee namaanisha big lunch bby wangu angusha 83 maana tayari nimemaliza 82 plzzzzz
Yaan dah anko naon umegoma kutuletea milele😥
Asante anko jey 🪑🪑🎧🎧🎧🎧🇴🇲👏👏👏
Elizabeth umekwenda mbili mnooooooo kwanini usimsamee bwana choka kwa ni yy alikuwa ajui Sara ndio alikuwa chanzo Cha ww kupitiya hayo yote yy aliwateka wanaume wote watatu ivyo alikuwa sio niya yake umelipa na inatosha usilipe ubaya kwa ubaya nilipa wema na nenda zako akika imetosha msamee bwana choka 😂😂😂
Kwali kabisa
Bado sijalizika, Chester ana dharau sana inatakiwa apewe somo zaidi na zaidi
Ngoja dawa imuingie kwanza kama wengine dawa ilivyowaingia kila mtu karma lazima imfikie acha huruma , wamezoea kunyanyasa wanawake
Asante sana ank J
Tumeikuta Binti Lisa jamani tumeimisi haya twende kazi tumsikilize anko jay
Woyooooo tunayoyoyomatu mambo 🔥🔥🇴🇲🇴🇲 Anko jay shukran 🙏 sana Kwa mwendelezo kwani uwongo wanapitwa mautamu
Ahsante
Asante sana anko J be blessed broo nakupenda nakupenda nakupenda sana napenda kilaaaa kitu kutoka kwako 😅😂
Niko ndani na mm nmewahi waaaah maajabu jamani haya tusikie sasa
Wakwanza mim leo
hila pia Lisa na Pamela pia Sasa wameaza kuwa na jeuli kwa waume zao hii ni jeuli ya pesa 😂😂😂
Jamani alvini nakupenda sana wewee tushindanie kitandani
Asant sanaa ankojay 🎉❤
Chart upendo unanguvu Sana ngoja tuone my kipi unafanya 🎉🎉😂
Lete raha
Like kwa Tim Lisa Pamela na charity a. k. a Liz hakika walipitia milima na mabonde ss malipizo kwa wanaume zao waliowatenda😂😂
Asante sana Eliza kwa kumpapresha chestar, aya tunasubiri bonge la arusi ya Alvlissa
Leo mapemaa sana tu❤❤❤❤❤🎉🎉
Nimewai jamani
aucle jmn tunakupenda 💞sana vip kuhusu Rodney wetu jmn apone bc umemsahau sana😔😔😔
Mumbi Wa Naivasha Ndani Ndani likes
Wangapi wamefrahia ukweli wa charity kwa Lisa na Pamela
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao ankojy
Nime fika jamani ❤❤❤❤
Nice story be blessed anko Jay Asante sana kaka yetu ankooooo ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kweli hakuna mkate mkavu mbele ya chai chesta kapatikana😅😅
Eliza kazi nzuri sana kumpa Chester somo 😂😂😂umetumia njia nzuri sana Anko Jay Asante Kwa kazi nzuri ❤❤❤
Kabisaa alvin
Shukrann anko jay uishi miaka mingi inshalah❤
Ukweli matendo ya chalite sijaya penda kisasi ni cha Mungu tuuu
Asante unatusahau sana ankoj
Uwo ni utapeli unaofanywa eliza
Sante sana Ankojay kutukumbuka mungu akuzidishee
Mambo zenu wapenzi wa anko jey like kwenu wapenzi wangu
Asanteeee anko🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tupooooo❤❤
Hongere sana charity unahekma ya hali ya juu dada ❤❤❤🎉🎉🎉
Wow Asante sana Ankojay ❤💋
Mm naona kama Alvin amekua mtu mzuri❤😂😂
Binti milele vp anko
Jamn nimechelewa sana mambo moto sana❤❤❤❤
Rodney na Chesta ndio aliopata mafunzo ya kwli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alvin lisa alimuokoa ❤❤
Woooow nice ❤❤❤