WOYOYOAOOOOOO JAMANI AWAWATU WAWIR WANA NIKOSHYA ASWAAAAA KWANZIYA NYUMA YA PAZIYA WANA NI UWAAAA MIM NABVYOPENDA SAUT ZAWO WANAO PENDA SAUTI ZA OENE FELIX MUNIP MAUWAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴
Woyooooooooooooo🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍😍😍😍😍😍😋😍😍Mmmmmmmmwaaaaaaaaaaaaaah hawa ndio Smix bwanaaaaaa jamaniiiiiiiiiii njooooooooon kitu kipyaaaaaaaaaaaaa kipo hewaaaaaaaan ile saut tamu isiyochosha ipo nyuma ya 🎤 Director embu kunywa soda nakuja kulipa
Kwa sasa mi siko upande wowote kwa sasa maana hayo ya wanajeshi wanayajua wenyewe tu na siri zao najiuliza kwa nini huyo mrembo hakupeleka swali hili kwa wakuu alipokuwa akisumbuliwa huku kwa Benny naye ata sijui nimshauri nini
Mwanajeshi Mrembo amekosea kutomuweka mchumba wake wazi na huyo mwanajeshi mrembo hatumiyi hakiri, japo kuwa Ben arikuwa ametekwa asinge lala na General plus amelala na lafiki yake Ben mwanamke mujinga sana bola angevujisha hizo sili za General kama bwayi bwayi tuu sio kujiachia kihiivyo.
Ninashida vipenzi vyangu naomba msaada.iko hivi siku hizi kama wiki moja hivi nimekuwa nikiona vitu nilivyo ziona kitambo sana ama najikuta na tukio nililo fanya kitambo ama nilifanyiwa niko serious kweli,yaani matukio ya leo nayakuta nishawahi kunitokea maisha ya sai nayaona nishawahi kuyaishii naombaa kujua shida nini😢
ukiona ipo hvo nahaikupi amani ingia maombi maana hiyo nihali yamaangano namaagao humtesa mtu bila kujua huenda kunaroho inaleta halihyo kiwa waliweka angano wazazi au mababu iyo inaondolewa na maombi yakutaa roho za ma zaangano ulioangana au waliongana wazazi au mababu na mabibi
Pole mpenzi kama alivokushauri hapo mwenzangu nami naongezea kikubwa mkimbilie Mungu ingia katika Maombi ikibidi teua siku ufunge ili kuzikataa hizo roho Ama muone mchungaji ambae unamwamnini umuelezee atakusaidia kuziondoa hizo roho
Anza kuomba kwa bidii hiyo Hali itapotea ila kwa upande mwingine uwenda unaishi na nafsi ya mtu ambaye alishakufa miaka ya nyuma, maana katika kifo mwili ndio hufa ila sio nafsi, ingawa hivi ni vitu visivyoaminika sana katika jamii zetu, pole
Nipo pamoja na mrembo
Mimi niko kwa beni asije kuliwa kisa demu wapowengi 🎉🎉🎉 beni 🎉🎉🎉
Wakwaza leo 😊
Kila king'aacho sio dhahabu😊
Hehehe sasa hapa kwa mimba jamani. 😢..ila nimefurahi jenerali kafaa....fupi tamu..❤❤thanks director..🎉🎉
😁😁😁belle m2 mbaya!!
Nyanga mkaliaini wake anaharusi😂😂😂 jamani.
Jeneral kauzo kwel ujanakatumia nawengine🌹🌹🙏
WOYOYOAOOOOOO JAMANI AWAWATU WAWIR WANA NIKOSHYA ASWAAAAA KWANZIYA NYUMA YA PAZIYA WANA NI UWAAAA MIM NABVYOPENDA SAUT ZAWO WANAO PENDA SAUTI ZA OENE FELIX MUNIP MAUWAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴
Nilimis sana sauti hii❤❤❤
Mie nahisi mwanajeshi mrembo hajakosea .ile sema tu huyo mchumba wake Ben sio muelewa yani😢😢😢
Hakika
😢😢😢
Ila mrembo anakufaje sasa
Woyooooooooooooo🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍😍😍😍😍😍😋😍😍Mmmmmmmmwaaaaaaaaaaaaaah hawa ndio Smix bwanaaaaaa jamaniiiiiiiiiii njooooooooon kitu kipyaaaaaaaaaaaaa kipo hewaaaaaaaan ile saut tamu isiyochosha ipo nyuma ya 🎤 Director embu kunywa soda nakuja kulipa
🥰🥰😁
😘😘🤓
😊😊😊
🔥🔥🔥🥰🥰
Mrembo ila mkatili😢😢😢
Ila usimuige ukatili, sawa Linda mrembo
W
❤❤❤🎉
Owen hii imekuja Kwa wakati wanadamu wanasahau kuwa mapenzi ni hisia na siyo ubabe na uninja
Me nahisi huyu dada mjeda Ako sawa hajakosea yupo sahihi ila sema huyo beni ni bwege kweli yaaaani kalipiwa Hadi mahali but sorry girl 😢😢😢
Kwa sasa mi siko upande wowote kwa sasa maana hayo ya wanajeshi wanayajua wenyewe tu na siri zao najiuliza kwa nini huyo mrembo hakupeleka swali hili kwa wakuu alipokuwa akisumbuliwa huku kwa Benny naye ata sijui nimshauri nini
Mwanajeshi Mrembo amekosea kutomuweka mchumba wake wazi na huyo mwanajeshi mrembo hatumiyi hakiri, japo kuwa Ben arikuwa ametekwa asinge lala na General plus amelala na lafiki yake Ben mwanamke mujinga sana bola angevujisha hizo sili za General kama bwayi bwayi tuu sio kujiachia kihiivyo.
😂😂😂
Ninashida vipenzi vyangu naomba msaada.iko hivi siku hizi kama wiki moja hivi nimekuwa nikiona vitu nilivyo ziona kitambo sana ama najikuta na tukio nililo fanya kitambo ama nilifanyiwa niko serious kweli,yaani matukio ya leo nayakuta nishawahi kunitokea maisha ya sai nayaona nishawahi kuyaishii naombaa kujua shida nini😢
ukiona ipo hvo nahaikupi amani ingia maombi maana hiyo nihali yamaangano namaagao humtesa mtu bila kujua huenda kunaroho inaleta halihyo kiwa waliweka angano wazazi au mababu iyo inaondolewa na maombi yakutaa roho za ma zaangano ulioangana au waliongana wazazi au mababu na mabibi
@@user-rc3om5hs9i 🥺🥺🥺asnte kwa sababu inanitokea karibu kila siku mpka naogopa
Pole mpenzi kama alivokushauri hapo mwenzangu nami naongezea kikubwa mkimbilie Mungu ingia katika Maombi ikibidi teua siku ufunge ili kuzikataa hizo roho Ama muone mchungaji ambae unamwamnini umuelezee atakusaidia kuziondoa hizo roho
@@AnnaMelikion hizi sounds zinaniogopesha,nitafanya hvyo my wangu🙏🙏🙏🙏🙏💓
Anza kuomba kwa bidii hiyo Hali itapotea ila kwa upande mwingine uwenda unaishi na nafsi ya mtu ambaye alishakufa miaka ya nyuma, maana katika kifo mwili ndio hufa ila sio nafsi, ingawa hivi ni vitu visivyoaminika sana katika jamii zetu, pole