Kwakweli simulizi hii imetuliza kwelikweli,bonge la simulizi,hongera sana mtunzi ulitulia sana katika uandaaji wa simulizi hii,ngoja nimi nianze mazoezi ya utunzi wasimulizi,pia pongezi nyingi kwa musimuliaji Anko jay.
Kweli ni bonge la story kweli hayo ni majaaliwa ya ALLah Mtukufu (QadaraLLah) Shukran sana Anko Jay, Mwandishi na crew nzima ya Simulizi Mix ALLah Barik
Daaah siwah kucoment story yoyt hap simuliz mix na ingali ni msikilizaj mkubw wa hiz story za anko j lkn leo niseme hongera sana kwa mtunzi coz ni ametisha na big up kwako ankor j una kipaj cha kusisimua nakukubali Mpk naumwa 🥰❤️
Uongo na ukweli ni mafuta na maji kamwe haviwez kuwa pamoja daima vitajitenga such a good and educated story bravo anko J and whole simuliz mix team 👏👏👏👏👏👏
Hakika anko j wewe ni tishio la maana simulizi hazichokeshi hata kama ina mda mrefu ajee ila Kwa utaratibu wako na usimulizi wako waaoow raha tuuu Hadi mpaka mwishooo ahsante Sana anko j I salute you bro hongereni wanasimulizi mix
Dah leo ni tamu nadhani mrembo aliefariki alimsaidia sana doc Imm kumkutanisha na familia yake ndipo tunajifunza kila changamoto hua sababu zababu zake tusiwe tuna kufuru Mwenyzi Mungu. Ni majaliwa
Aya jamani nimekua wa kwanza nipeni like kumi 2 one love
Bonge la story kweli. I appreciate it uncle J never disappoint me when it comes about beautiful stories ❤ 💕. THANK YOU UNCLE J ♥
Hiyo simulizi imeshinda zote,nilizi zi sikiriza❤❤❤❤❤❤❤ Amina
Kwakweli simulizi hii imetuliza kwelikweli,bonge la simulizi,hongera sana mtunzi ulitulia sana katika uandaaji wa simulizi hii,ngoja nimi nianze mazoezi ya utunzi wasimulizi,pia pongezi nyingi kwa musimuliaji Anko jay.
Majaliw kafanya nn nipen.like..
Mungu akubariki Storio nzuri sana
INTERESTING STORY 🔥🔥ANKO JAY.
Kweli ni bonge la story kweli hayo ni majaaliwa ya ALLah Mtukufu (QadaraLLah)
Shukran sana Anko Jay, Mwandishi na crew nzima ya Simulizi Mix ALLah Barik
Daaah siwah kucoment story yoyt hap simuliz mix na ingali ni msikilizaj mkubw wa hiz story za anko j lkn leo niseme hongera sana kwa mtunzi coz ni ametisha na big up kwako ankor j una kipaj cha kusisimua nakukubali Mpk naumwa 🥰❤️
Uongo na ukweli ni mafuta na maji kamwe haviwez kuwa pamoja daima vitajitenga such a good and educated story bravo anko J and whole simuliz mix team 👏👏👏👏👏👏
Anko jay mwenyewe like zenu kwa simulizi mix 🥰🥰
Pamoja saana saana dear. Utamu juu ya utam
t
I
M
L
A
H
Hakika ni bonge la stori iko n kisa kizuri sana ❤❤
Yees! Ahsante Smix kwa muendelezo...I'm no.1 👍🏻❤
Hakika anko j wewe ni tishio la maana simulizi hazichokeshi hata kama ina mda mrefu ajee ila Kwa utaratibu wako na usimulizi wako waaoow raha tuuu Hadi mpaka mwishooo ahsante Sana anko j I salute you bro hongereni wanasimulizi mix
Asante anko jay kwa simulizi fupi tamu God bless you
This is more than Indian movie, big up bro 👌
Hakika haya ni majaliwa ya mwenyezi mungu shukran sana Anko Jay
Love it Anko jay
Kweli haya ni majaliwa👏👏👏👏
God is good all the time.Mungu wetu huwa hamtupi mja wake na hulipa hapahapa duniani matendo yote wanayofanya wanadamu mbinguni hubaki hesabu tu.Amen
Tamu sana
Duuh kitu kitamu hasa hongera yako mtunzi na msimuliaji nawapenda sana simulizi mix mungu awabarki sana inshaallah
Amin ya Rabby
What a nice stroy sometime anciul l anatufuza mengi sasa we all 💕 u bro always
Ewaaaaaah asnt sana Kwa simuliz yak tam 💜🤍 Yan daaaaaah ni majaliwa🙏🌺🇧🇮🇦🇪
Ankoj asante like jmn
Asante simulizi mix by simulizi fupi kwa burdani nzuri 👌 ♥
Dah leo ni tamu nadhani mrembo aliefariki alimsaidia sana doc Imm kumkutanisha na familia yake ndipo tunajifunza kila changamoto hua sababu zababu zake tusiwe tuna kufuru Mwenyzi Mungu. Ni majaliwa
Hongera zako Anko J
Nice anko j
Anko jay ukumbuke alvnlisa tunasubiri kwa ham 🎉❤
Bonge lá story dah eu amei
Big UP very nice one Anko J
👏👏👏kweli haya ni majaliwa
I say story nzuri sanaa. Nime enjoy tu sana
Hiii story ni nomaa wanaume wengine nwapuzi🏑🤔
❤anko
Simulizi hii imetisha 👍
Nice one uncle J
Alhamdulillah kila maturity yanasababu yake
Woyoooo yaan tunadaka. Kama. Tonge kinywani🤣
Anko jay mwenyew , unajua san kupangilia sauti umetisha mnoo
Wow kweli ni bonge la simulizi
🥰🥰🥰👌
Panapo kuwa ukweli uhongo utengwa pebeni🙏🙏🙏🙏
Ctory ya kuccmua sana haya kweli ni majaliwa ya allah
❤❤❤❤❤❤❤❤
Waaaoooh kweli ni majaliwa hakika maajabu ya MUNGU na pia milima na milima haikutani Ila wanadamu hukutana
Hii hadithi imenigusa sana
😂😂😂😂Nimejikuta nacheka tu jamani ndah kajikuta a naingia mtengoni
Hatimaye familia imekutana 😅😅❤❤❤
Unatufundisha san
Duh haya tupo ndani na anko j
🤔🤔poooooooh
Leo tunakitu cha majaliwa haya nisikilize kilochomo ndan kwanza baadae nitakurejea
Nice
Nimrcheka sana
💃💃💃💃💃❤️😘
Nan mtunz jmn nmeipenda hongera
Nzurii saaanaa
Katika stori zote nilowahi kuskiliza kwako anko jey hii kiboko haswa
❤❤❤ pa1
🔥🔥🔥🔥
Mh tamu jmn.asanten
❤
Anko jay nawezaje kujiunga na simulizi mix mm pia ni mtunzi nahitaji stori zangu zisomwe hapa plz🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Kwa kweli huyo ni mungu
❤❤❤❤❤❤🇰🇪
Mie nimelia jaman mafua😢😊
Haki nitamu ubarikiwe waaaaa yaan c amini waaaa mtunzi na huyo musumulizi mungu azidi kuinua kipaji chenu haki nmefurahia
Twende sawa
Kwakweli yaduniya yanachosha
😘😘❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kweli mungu mkubwa
Anko unatisha Sana simuliz nzuri bandika bandua we ni mkali
❤❤❤❤❤💥💥💥💥💥💥
Kama s ft sh
Kweli simulizi iko tamu sn nimeipend sn
Ank jei ni kiboko
Bonge la story when it comes to ankojay is awesome ❤❤❤
Bonge moja la simuulizi hatar
Yaani hadi raha
Vita ya mapenz ni ngumu jmn mpaka kusingiziana kisa majina yote ni majaliwa ya mungu
🤣🤣🤣
@@maryambakari4858 omba mungu yasikukute hata kama sio majina yani mapenzi kinamshinda Kila mtu
Utu muhandishi ni kibokooooo
Nimeshakuwa mlemavuu nikionaa story naaangalia saauti ni nan kwanzaa 😂😂😂😂😂
Uko kama mimi yaaani 😂😂😂😂 na nikiona lissa Mwalla roho kwatu❤
😂😂😂😂😂
Panapo kuwa ukweli uhongo utengwa pebeni🙏🙏🙏🙏